🔴LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 8 - JULY 10
🔴LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 8 - JULY 10
-
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
Efmtanzania:
TWITTER:
Efmtanzania
FACEBOOK:
Efmtanzania:
Пікірлер: 31
Jamani mtu anapoleta story kwa vero kusudi ni sisi tujifunze kwa namna moja au nyingine sasa baadhi yenu mnapomahambulia kwa maneno mabaya mnakosea
Shida ya elibariki sio mshamba shida ujuaji na ubishi ulipata nafasi ya kupata mtu wa kukuongoza baya na zuri ukapuuza wakati wengn hua hawapati ata nafas ya kuambiwa usifanye ivi sio vzr hao ndo tunawaonea huruma sio ww shwaiin simbilisi kabs
@gladyrobbin
23 күн бұрын
Yes. Ujuaji na mbishi
@user-tq5di6mv9c
22 күн бұрын
Mkaka mjuaji sana 😂😂
@mariamufadhili9245
14 күн бұрын
watoto wengi wanaolelewa katika familia za kitajiri ndivyo walivyo wanajiona wao ndo wajuzi kuliko wengine na hii huwa inawacost sana
UJUWAJI AUJAWAHI MWACHA MTU SALAMA📌
dah jmni Elibariki wa watu. Pole sana na mambo yote..yaani mie mpaka chozi likanitoka ulivolia..najua moyo wako umeuma mnoo baada ya kumuona mzee akiwa mgonjwa na maneneo alokuambiwa. thanks again Elly for sharing your story God bless u so much
Vero sio urahabu ni uraibu
Watu wanashaur utadhan wanaangalia tamthilia this is past jaman😂😂😂😂
Pole Elly kwa hayo mapito….sio wakati mzuri wa kukulaumu ila kila hatua ina mafunzo
Watu weny akil nzito wasilet simulz zao hapa wanatutia hasira😢
@hasnanadhiru2168
23 күн бұрын
😂 lete yako ya akili nyepesi uone km itanoga
@AgnetaMpulu-xe4tf
12 күн бұрын
Jamani nimecheka umenifurahisha sna
Huyo naye siumwambie baba ake na eribariki maan Kila sku nitamwambia nitamwambia eee
Mi namuelewa elly ..... tusimjudge sana
Akome mim kanikwanza sn
Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂 37:46 37:50
Ulifanya unajua kumbe unaungua jua
Ilikuwa nilazima upite uko ili sisi tujifunze
Afadhar Elbarik ameleta simuliz yake watu tujifunze maana kiukwel vijana wengi wa Tanzania wakienda nje %kubwa awatimiz lililowapeleka huko labda wapelekwe uganda au kesha ndo wanarud salama😂😂😂😂😂
@lynepeter7040
19 күн бұрын
😂😂😂
Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂
Komaaaaaa
😏😏eli ulikuwa unajuskia sana na kujiona ww ni mjuaji 😏
@Kiddohsanga-fw7jh
23 күн бұрын
Haaaaa
@MsAggie5
23 күн бұрын
Mtoto WA kishua 😅
@PendoMacha-ib6oc
23 күн бұрын
@@MsAggie5 mwache apigwe na kitu kizito😏
Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂 37:46 37:50
Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂 37:46 37:50
Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂 37:46 37:50
Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂 37:46 37:50