🔴LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 8 - JULY 10

🔴LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 8 - JULY 10
-
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
Efmtanzania:
TWITTER:
Efmtanzania
FACEBOOK:
Efmtanzania:

Пікірлер: 31

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc23 күн бұрын

    Jamani mtu anapoleta story kwa vero kusudi ni sisi tujifunze kwa namna moja au nyingine sasa baadhi yenu mnapomahambulia kwa maneno mabaya mnakosea

  • @Deedlr4767
    @Deedlr476723 күн бұрын

    Shida ya elibariki sio mshamba shida ujuaji na ubishi ulipata nafasi ya kupata mtu wa kukuongoza baya na zuri ukapuuza wakati wengn hua hawapati ata nafas ya kuambiwa usifanye ivi sio vzr hao ndo tunawaonea huruma sio ww shwaiin simbilisi kabs

  • @gladyrobbin

    @gladyrobbin

    23 күн бұрын

    Yes. Ujuaji na mbishi

  • @user-tq5di6mv9c

    @user-tq5di6mv9c

    22 күн бұрын

    Mkaka mjuaji sana 😂😂

  • @mariamufadhili9245

    @mariamufadhili9245

    14 күн бұрын

    watoto wengi wanaolelewa katika familia za kitajiri ndivyo walivyo wanajiona wao ndo wajuzi kuliko wengine na hii huwa inawacost sana

  • @user-uu6ei1ys3k
    @user-uu6ei1ys3k23 күн бұрын

    UJUWAJI AUJAWAHI MWACHA MTU SALAMA📌

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi824123 күн бұрын

    dah jmni Elibariki wa watu. Pole sana na mambo yote..yaani mie mpaka chozi likanitoka ulivolia..najua moyo wako umeuma mnoo baada ya kumuona mzee akiwa mgonjwa na maneneo alokuambiwa. thanks again Elly for sharing your story God bless u so much

  • @tunkuh661
    @tunkuh66122 күн бұрын

    Vero sio urahabu ni uraibu

  • @estershilla1560
    @estershilla156023 күн бұрын

    Watu wanashaur utadhan wanaangalia tamthilia this is past jaman😂😂😂😂

  • @ZuleykhaIsmail-rc5ly
    @ZuleykhaIsmail-rc5ly23 күн бұрын

    Pole Elly kwa hayo mapito….sio wakati mzuri wa kukulaumu ila kila hatua ina mafunzo

  • @Lucyidrisa
    @Lucyidrisa23 күн бұрын

    Watu weny akil nzito wasilet simulz zao hapa wanatutia hasira😢

  • @hasnanadhiru2168

    @hasnanadhiru2168

    23 күн бұрын

    😂 lete yako ya akili nyepesi uone km itanoga

  • @AgnetaMpulu-xe4tf

    @AgnetaMpulu-xe4tf

    12 күн бұрын

    Jamani nimecheka umenifurahisha sna

  • @user-wh1iw4cf5k
    @user-wh1iw4cf5k23 күн бұрын

    Huyo naye siumwambie baba ake na eribariki maan Kila sku nitamwambia nitamwambia eee

  • @monicacharles3411
    @monicacharles341123 күн бұрын

    Mi namuelewa elly ..... tusimjudge sana

  • @user-nn5lv6nb6i
    @user-nn5lv6nb6i23 күн бұрын

    Akome mim kanikwanza sn

  • @MwantumuHamis-g6e
    @MwantumuHamis-g6e22 күн бұрын

    Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂 37:46 37:50

  • @MwantumuHamis-g6e
    @MwantumuHamis-g6e22 күн бұрын

    Ulifanya unajua kumbe unaungua jua

  • @benadetharange9899
    @benadetharange989919 күн бұрын

    Ilikuwa nilazima upite uko ili sisi tujifunze

  • @PeterJames-yy6wm
    @PeterJames-yy6wm22 күн бұрын

    Afadhar Elbarik ameleta simuliz yake watu tujifunze maana kiukwel vijana wengi wa Tanzania wakienda nje %kubwa awatimiz lililowapeleka huko labda wapelekwe uganda au kesha ndo wanarud salama😂😂😂😂😂

  • @lynepeter7040

    @lynepeter7040

    19 күн бұрын

    😂😂😂

  • @MwantumuHamis-g6e
    @MwantumuHamis-g6e22 күн бұрын

    Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂

  • @happyfihavango4151
    @happyfihavango415123 күн бұрын

    Komaaaaaa

  • @PendoMacha-ib6oc
    @PendoMacha-ib6oc23 күн бұрын

    😏😏eli ulikuwa unajuskia sana na kujiona ww ni mjuaji 😏

  • @Kiddohsanga-fw7jh

    @Kiddohsanga-fw7jh

    23 күн бұрын

    Haaaaa

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    23 күн бұрын

    Mtoto WA kishua 😅

  • @PendoMacha-ib6oc

    @PendoMacha-ib6oc

    23 күн бұрын

    @@MsAggie5 mwache apigwe na kitu kizito😏

  • @MwantumuHamis-g6e
    @MwantumuHamis-g6e22 күн бұрын

    Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂 37:46 37:50

  • @MwantumuHamis-g6e
    @MwantumuHamis-g6e22 күн бұрын

    Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂 37:46 37:50

  • @MwantumuHamis-g6e
    @MwantumuHamis-g6e22 күн бұрын

    Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂 37:46 37:50

  • @MwantumuHamis-g6e
    @MwantumuHamis-g6e22 күн бұрын

    Dogo umepotea sana😂😂😂😂😂 37:46 37:50

Келесі