🔴LIVE:RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 7 - JULY 09

🔴LIVE:RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 7 - JULY 09
-
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
Efmtanzania:
TWITTER:
Efmtanzania
FACEBOOK:
Efmtanzania:

Пікірлер: 29

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga810124 күн бұрын

    Alafu nikisema alikuwa mjinga na mpumbavu kabisa mnaona kama namhukumu,badala yakutafuta msaada kama alivyosema amekuja kuendelea, na huyo rafiki yake,toka siku ya kwanza tu alipomuona mwenzake alimwambia , huyo si mtu mzuri lakini yeye akaona kama anamfatilia mambo yake,akaja akamwambia tena ,huyo rafiki yako Yuko kwenye makundi mabaya ,akamsimulia hadi stori ya rafiki yake kupoteza maisha kwasababu yakujiunga kwenye makundi mabaya lakini wapi ,yeye masikio na macho juu juu kama mnara wa simu, kiukweli anakwaza sana,na ndio hivyo anaanza kuchanganya changanya matakataka maana hata uzoefu wa kujua tu kwamba mm natumia aina gani hajui, jamani MUNGU nakuomba epusha watoto wetu

  • @jumapiliissa4835

    @jumapiliissa4835

    24 күн бұрын

    😂😂😂 yani watoto wengi wakushua hua hawajui vitu vingi na hua hawaamini mawazo ya watu wenehali yachini kiuchumi

  • @user-uu6ei1ys3k

    @user-uu6ei1ys3k

    23 күн бұрын

    AMINA🙏

  • @tusajigwemwamalili3556
    @tusajigwemwamalili355624 күн бұрын

    Veronica okoa mb zetu basi kwa kutorudiarudia sentensi zile zile ambazo umeshatusimilia,unatufanya Sisi wakaibu WA simulizi zako Jana Mercy na Elibariki,radio hazishiki,punguza marudio audio ya maneno

  • @zayabdala-ky9dg
    @zayabdala-ky9dg24 күн бұрын

    Hii inafundisha ukiwa na Jambo linakusumbua acha kukaa kimya sema upate msaada naona kabisa alikua Teja aiseee inaumaa

  • @user-lu4ie4fp1o
    @user-lu4ie4fp1o24 күн бұрын

    Dada vero mungu akutuze me kipekee katika simulizi hizi nimejifunza mengi

  • @lucygodwin7590
    @lucygodwin759024 күн бұрын

    Barikiwa sana Vero

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam249124 күн бұрын

    Umezid kulemba

  • @dayana5513story
    @dayana5513story23 күн бұрын

    Nashukuru Mungu Mungu kwakuniepusha vitu ivo sijui ningekua mgeni wanani

  • @user-uu6ei1ys3k
    @user-uu6ei1ys3k23 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂MENO YAMEPANGIKA❤

  • @user-mq7xp2so6z
    @user-mq7xp2so6z24 күн бұрын

    Msichana mzuri tuseme alikuwa anakusubiri ww wakati wanaume wapo wwngi😂😂

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube94424 күн бұрын

    Shetani ni muongo sana😢😢

  • @annastaziajohn9269
    @annastaziajohn926924 күн бұрын

    Matangazo yamezidi kuwa mengi

  • @AnnaMark-cm8ch
    @AnnaMark-cm8ch19 күн бұрын

    3 Some😂😂😂😂

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga810124 күн бұрын

    Na hilo ndilo lilikuwa tatizo lake kujifanya mjuaji,kutokusikiliza ni nini mwenzake anamwambia

  • @lightymmary22lightymmary27
    @lightymmary22lightymmary2724 күн бұрын

    Nasikitika Sana jmn poleee

  • @user-ol6dk4bp9x
    @user-ol6dk4bp9x24 күн бұрын

    Kweli huyo ni shetani

  • @shaluuanthony1836
    @shaluuanthony183624 күн бұрын

    😢😢😢😢😢

  • @user-nn5lv6nb6i
    @user-nn5lv6nb6i23 күн бұрын

    Akome mimi ananipa to hasira hapa

  • @christinaabelmwaipungu-5727
    @christinaabelmwaipungu-572724 күн бұрын

    Imalize hii simulizi inachosha sana da Vero!!

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa483524 күн бұрын

    Yani kuna mambo mengi binadam tunakosea kutokana na matumizi ya akili pia nakuto fatiilia maandikoya M/MUNGU pole sana

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc24 күн бұрын

    Chezea uzuri wewe hakuna mwanaume anayeweza kushinda vishawishi mbele ya mwanamke mzuri ata awe mchungaji au muaminifu sana kwa mkewe, pole sana

  • @user-ol6dk4bp9x
    @user-ol6dk4bp9x24 күн бұрын

    Sio arosto ya pepsi😂😂😂

  • @clintonnjiku3616
    @clintonnjiku361624 күн бұрын

    Dada veroo unasimuliaa vizurii sanaa❤❤❤ ilaa jamani vunadeleee niwaongoooooo sanaaa nilipigiwa sim tang tar3/5 mpaka leoooooo akunaaa kitu

  • @younghacker7250

    @younghacker7250

    24 күн бұрын

    @@clintonnjiku3616 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Kiddohsanga-fw7jh

    @Kiddohsanga-fw7jh

    24 күн бұрын

    😂😂😂😂pole udugu

  • @user-nn5lv6nb6i

    @user-nn5lv6nb6i

    23 күн бұрын

    Watakua walikupigia matapel asa nyny mnadhn media kubwa kma hyo itatapel watu jamn c yatakua mambo y ajabu sn wanapt faid gn?? Kwahyo n veronik atakua tapel cyo kwl jmn

  • @monicahmwikali7699

    @monicahmwikali7699

    22 күн бұрын

    😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @SabrinaIbrahim-jl5um
    @SabrinaIbrahim-jl5um24 күн бұрын

    Sio mshamba ni mwehu