Musonda ni mchezaji mzuri,mwenye nidham,...mpole saana.KENEDY MSONDAAAAAAA......💚💚💚💛💛💛🙏🙏🙏
Mungu amtangulie ktk majukumu yake ya kisoka ila atambuwe kuwa tuna mpenda na tutakutana ribo fainali ya mabingwa.
Kiukweli mm roho inauma sana kama kweli ki azizi anaondoka niite upepo mkali.
Aende salama !. Musonda bado yupo au na yeye anaondoka. Musonda abaki,ana juhudi ktk timu yetu.
ongea la maana.unazunguka sana
Mimi ninashida kuonana na media hii naipenda niko mbeya
Mh ni kwer kaka naskiliza kutoka iringa tx.
Wakishindwa huko wanakoenda wasijesema wametupiwa majini na yanga
Aende tuu, kama amekataa kusaini mkataba. Mtu halazimushwi.
unaongea sana bro!
Mmmmmmmh inauma kam ni kwel
nasikiliza nikiwa rukwa
Safari njema aziz K
Nenda salama
Aina shida awe na msimu mwema uko aendako Sie bado tupo daima kwetu mbere nyuma mwiko
Pw
Пікірлер: 16
Musonda ni mchezaji mzuri,mwenye nidham,...mpole saana.KENEDY MSONDAAAAAAA......💚💚💚💛💛💛🙏🙏🙏
Mungu amtangulie ktk majukumu yake ya kisoka ila atambuwe kuwa tuna mpenda na tutakutana ribo fainali ya mabingwa.
Kiukweli mm roho inauma sana kama kweli ki azizi anaondoka niite upepo mkali.
Aende salama !. Musonda bado yupo au na yeye anaondoka. Musonda abaki,ana juhudi ktk timu yetu.
ongea la maana.unazunguka sana
Mimi ninashida kuonana na media hii naipenda niko mbeya
Mh ni kwer kaka naskiliza kutoka iringa tx.
Wakishindwa huko wanakoenda wasijesema wametupiwa majini na yanga
Aende tuu, kama amekataa kusaini mkataba. Mtu halazimushwi.
unaongea sana bro!
Mmmmmmmh inauma kam ni kwel
nasikiliza nikiwa rukwa
Safari njema aziz K
Nenda salama
Aina shida awe na msimu mwema uko aendako Sie bado tupo daima kwetu mbere nyuma mwiko
@AbubakariKingwa
17 күн бұрын
Pw