🔴

live

Пікірлер: 55

  • @AmosMagembe
    @AmosMagembeАй бұрын

    Ndacha bwana apewe sifa huyo sule hakuwezi kabisa hebu mkomalie ajibu hoja ndo utajua Umesha mzidi

  • @melizakwamboka8004
    @melizakwamboka80048 күн бұрын

    May God bless you ndacha ..

  • @kissabrown4349
    @kissabrown434911 күн бұрын

    Wanajikwepisha kwepisha tu ukweli wanao yesu alisubiliwa Kwa ajili ya dhambi zetu na sio Kwa ajili laana yake na agekuwa na laana asigefukuka km Mohamed alivyolala moja Kwa moja . Yesu yu hai ata SS yu hai

  • @donatienbest6043
    @donatienbest6043Ай бұрын

    Sule unapoteza muda sana kwasababu ata uyo nyota unae msema sio mungu kasema ni wa nabi

  • @PaulDeus-jh7jn
    @PaulDeus-jh7jnАй бұрын

    Hakika Yesu ndiye njia wala hakuna MWINGINE.

  • @mbongonyosokazakambaukovzu6918
    @mbongonyosokazakambaukovzu6918Ай бұрын

    Ndacha Chapa,,sure akuezi kitabu wakijua

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293Ай бұрын

    Ndacha kiboko ya waislamu

  • @AmosMagembe
    @AmosMagembeАй бұрын

    Nafatilia Sana mjadala huo mbona sule maneno megi jitahidi kujibu hoja usitupe mawaiza sisi jibu Kama ndacha Yuko vizur kabisa

  • @mwoso
    @mwosoАй бұрын

    Hawa walishindwa na mada. Hoja za mwalimu ndacha hazipingwi wala hazikanushwi. Watu wanaona kasoro ilioko Katika imani ya kiisilamu.

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017Ай бұрын

    Kumbuka kiswahi kimeanzia Kenya siyo Tanzania

  • @hasinaalrahbi6681

    @hasinaalrahbi6681

    Ай бұрын

    Nonono.wakenya.kiswahili chenu kibovu

  • @saidmwamburi1758
    @saidmwamburi1758Ай бұрын

    ❤❤nikweli kabisa ndacha kiswahili hajui

  • @user-qy7he6cl8w

    @user-qy7he6cl8w

    Ай бұрын

    Sio hajui kiswahili ,,,huyu ni mkenya lafudhi yao na yetu kidogo tofauti lakin kiswahili anajua

  • @user-vg6rg2nv8s
    @user-vg6rg2nv8sАй бұрын

    Sasa kama hutaki kujibu maswali umeenda kufanya nini hapo?

  • @babinhoelninho5416
    @babinhoelninho5416Ай бұрын

    Debate ni swali hadi lijjibike kabisa bt hapa swali halijakaa sawa swali lengine

  • @SaitotiAlfred
    @SaitotiAlfredАй бұрын

    25:01

  • @FidelPascal-t2z
    @FidelPascal-t2z22 күн бұрын

    apo ni neno tu hakuja kufundisha kiswahili

  • @StevenMtambo
    @StevenMtamboАй бұрын

    Sure umeurizwa swali hujibu unaleta ujanjaujanja ,,ninamashaka na u doctor wake huyo

  • @mwoso
    @mwosoАй бұрын

    Yaani maswali ya ndacha hayajibiwi lakini Yao ndacha anawajibu.

  • @AshrafuShabani
    @AshrafuShabaniАй бұрын

    Je? Mpaka anaomba msaada hakujua kateuliwa kwa ajili ya dhambi za waovu?

  • @herimornchriston6083
    @herimornchriston6083Ай бұрын

    mnatakiwa mtofautishe mdaalo na mahubiri !!!!! sasa kama mnahubiri ya nn kusema mdahalo wa kielimu??

  • @saidmwamburi1758
    @saidmwamburi1758Ай бұрын

    Aende shule ndacha

  • @user-qy7he6cl8w

    @user-qy7he6cl8w

    Ай бұрын

    Shule ya wapi tena na wewe,,,, shule we unayo!!

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017Ай бұрын

    Waislamu jibuni hoja acheni poyoyo na ngonjera viva ndacha

  • @princerammy1543

    @princerammy1543

    Ай бұрын

    Ushabiki acha elimika

  • @user-qy7he6cl8w

    @user-qy7he6cl8w

    Ай бұрын

    Ndacha Baba laoooo

  • @princerammy1543

    @princerammy1543

    Ай бұрын

    @@user-qy7he6cl8w baba lako

  • @herimornchriston6083
    @herimornchriston6083Ай бұрын

    sasa kama unaulizwa swali kujibu hutaki unataka nini wakati watu wanauliza maswali?? sio kila k2 lazima upinge

  • @fauwilliam6780
    @fauwilliam6780Ай бұрын

    Kweli kabisa mwalim ndacha anajitahidi kujibu lkn hawaelewi

  • @princerammy1543

    @princerammy1543

    Ай бұрын

    Anajitahidi ila hajibu

  • @franciskabila8136
    @franciskabila813616 күн бұрын

    Sule hana elimu kabisa

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293Ай бұрын

    Sule baada ya kujibu swali analeta mahubiri

  • @user-df8fn8sz7o
    @user-df8fn8sz7oАй бұрын

    Ameni

  • @mwoso
    @mwosoАй бұрын

    Akina Mazinge wamestahafu. Walijaribu kutetea uisilamu wakashindwa. Ni kibarua kigumu kutetea kitabu kilicho jisaliti. Hakuna andiko la kujitetea nalo.

  • @SalmaAbdul-zz7dy

    @SalmaAbdul-zz7dy

    Ай бұрын

    Uislamu na Quran unajitetea wenyewe sio kama biblia kuanzia mwanzo mpaka ufunua hakuna ukristo ni dini ya Mungu Wala biblia ni kitabu Cha Mungu....na mazinge hajastaafu usijidanganye akili yako...mbona apo kina yohana pia hatuwaoni

  • @mwoso

    @mwoso

    Ай бұрын

    @@SalmaAbdul-zz7dy wewe wacha nikusaidie kuelewa sababu ya kusema vile nimesema. Usitazame tu mijadala ya hapo peke yake. Kuna mijadala dunia nzima. Kama unajua kutafuta kwa social media, tafadhali zitazame na kusikia kwa makini. Vile tu waisilamu wanalemewa hapo ndivyo ilivyo kwengine kwote duniani. Kitabu cha Quran ndugu yangu kilibuniwa bila muelekeo wowote.jaribu kuona Kama muisilamu aliye kua mkristo akitetea uisilamu. Hana hoja yoyote ya maana. Na ujaribu kusikiza mkristo aliye kua muisilamu. Utamshukuru Mungu kusikia ukweli. Waisilamu wote sehemu nyingi duniani hushindwa na hoja na kukasirika pasipo sababu. Kwa Nini? Mbona wakristo hawakasiriki Katika mijadala?

  • @mwoso

    @mwoso

    Ай бұрын

    @@SalmaAbdul-zz7dy unajua kweli idadi ya waisilamu wanao kimbia uisilamu na kua wakristo? Kulingana na utafiti wa Aljezeera ni takriban 6000 kila Siku. Hilo ni Jambo halingefanyika miaka ishirini iliopita. Kwa Nini? Waisilamu wengi hawakua wanajua ukweli mpaka vile Quran ilianza kuchambuliwa hadharani .

  • @SalmaAbdul-zz7dy

    @SalmaAbdul-zz7dy

    Ай бұрын

    @@mwoso kwa sababu Wana njaa sana...maana katika uislamu hupewi pesa... halafu sote tukiwa waislamu motoni ataingia nani?

  • @mohdissa2984
    @mohdissa2984Ай бұрын

    Ndacha anajikanyaga t

  • @user-qy7he6cl8w

    @user-qy7he6cl8w

    Ай бұрын

    Kajikanyaga wap acha chuki,,,,

  • @RashidiMwanongo
    @RashidiMwanongoАй бұрын

    Sure peleka shule hao vipofu

  • @user-qy7he6cl8w

    @user-qy7he6cl8w

    Ай бұрын

    Hamna lolote ubishi tuuu

  • @estakenia

    @estakenia

    Ай бұрын

    😂 sule ndie anaefaa kwenda shule wala sio Ndacha.

  • @BernardChesoli-rj3nw
    @BernardChesoli-rj3nwАй бұрын

    Sule swali bado haujajibu. Mtu ambaye amefungwa santa ni maiti au ni mtu aliye hai?

  • @princerammy1543

    @princerammy1543

    Ай бұрын

    Maiti ndo anafungwa sanda

  • @saidmwamburi1758
    @saidmwamburi1758Ай бұрын

    Ailimu huyo kafiri

  • @Abdallahsefu-cw2xj
    @Abdallahsefu-cw2xjАй бұрын

    Uyu ndacha ni mpuuzi tu

  • @justintabu7291

    @justintabu7291

    Ай бұрын

    Mtafute ujadiliane nae tujue mpuzi ni nani

  • @justintabu7291

    @justintabu7291

    Ай бұрын

    Mtafute ujadiliane nae tujue mpuzi ni nani

  • @AjiaMohamed-rt5pb

    @AjiaMohamed-rt5pb

    Ай бұрын

    Mpuuzi ni bb yako

  • @benardsonga6597

    @benardsonga6597

    Ай бұрын

    Sule , umeshindwa hoja, hii hoja huiwezi !

  • @BernardChesoli-rj3nw

    @BernardChesoli-rj3nw

    Ай бұрын

    Wewe peleka hoja zako tuone.

  • @AmosMagembe
    @AmosMagembeАй бұрын

    Ndacha bwana apewe sifa huyo sule hakuwezi kabisa hebu mkomalie ajibu hoja ndo utajua Umesha mzidi

  • @AmosMagembe
    @AmosMagembeАй бұрын

    Ndacha bwana apewe sifa huyo sule hakuwezi kabisa hebu mkomalie ajibu hoja ndo utajua Umesha mzidi

Келесі