LIVE: MAOMBI YA KUONDOA SHAMBULIO LA KIROHO // USIKU WA MANANE
Mathayo 13:25
lakini watu walipolala, akaja adui yake akapanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake.
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Пікірлер: 133
Na aga ili tatizo mume wangu amefunguliwa kutoka mahali pa baya alipo fungwaga toka zamani kwa jina la yesu namrisha nnguvu za giza kuachilia maisha ya mume wangu
Naomba mungu anisamehe dhambi zangu zote,anifanye kuwa kiumbe kipya,nimepoteza kiu ya maombi,siwezi hata kusoma neno,nikianza kuomba napatwa na usingizi mkubwa sana,namsii mungu anirejeshe upy baba
Ondoka ugonjwa wa miguu yangu kwa damu ya yesu ondoka ndani yangu
Mungu wangu nataka roho zote za uharibifu zitoweke kwa jina yesu katka maisha yangu
Mungu naomba mponye mdogo wangu tumbo na madhambulizivyotevya nguvu za Giza ktk jina la Yesu
Naomba hii roho yakukatariwa katika mahusiano iondoke kwa jina la yesu
Yesu nisaidie nipone kichwa na mgongo
@kissamwamunyange1018
3 ай бұрын
Safisha Nafsi kipenzi kichwa kitakoma
Mungu ninakuomba kupitia kwenye ulimwengu roho ndoto ya kuwa uchi ikakome na katika jina la YESU. Mambo ya aibu yasiyokee kwangu. Ninatamka sasa. Ameen🙏
Asante yesu kwa mtumishi wako unae mtumia toka nilipo Jiunganisha kwenye madhabahu hii hakika nimeona nimefunguliwa bwana mtunze na mbaliki
Mungu naomba mponye baba yangu mpe amani na furaha ktk jina la Yesu
Changamoto kwenye ndoa ndoto mbaya,naota watoto wangu wanaruka naungo nawachawi mago jwa,kwenye familia ya ,kausha dhambi kwenye familia yangu,mkono wangu ulipigwa nashot,nanikatamkiwasauti inaniambia umesha kufa tayari,yesu miponye naunivushe kwenye hiki kipindi minacho pitia
Naomba Kwa jina la yesu ukaniponye Mimi Amina 😭😭
Hlv ikauke kwenye familia yetu kwa damu ya Yesu mkristu kufarakana kwa ndoa kila roho ya uharibifu
Changamoto ya madeni na magonjwa katika mfumo WA kizazi, changamoto katika ndoa yangu viondoke ndani yangu Kwa Jina la Yesu
Naomba mungu aniponye mashambulio yate yafamily yangu yote nguvu za giza
Roho yamaombi nakusoma neno irudi kwa jina la YesuKristo wa Nazareth Naomba uvuvio wa Roho mtakatifu
Mungu naomba mtoto wangu akatembee kwa jina la yesu Pepo inaoniandama ikatoweke milele na milele namini
Naomba Mungu anifungulie milango ya kazi na ndoa katika maisha yangu, aniondolee Roho ya kukataliwa na ndoto za uzinzi😢😢
Ee mungu wangu naomba uniongezee katika maisha yangu magumu yote yaondoke katika maisha yangu
Mungu naomba ponya uchumi wa nyumba yangu ktk jina la Yesu
Mungu naomba moyo wa ibada kwenye nyumba yanngu ktk jina la Yesu
Mungu naomba niondolee ivimbe kwenye mwili wanga na uniponye mguu wa kulia
Mungu aniponye magonjwa ya moyo na reins kwa jina la Yesu
Namrisha nguvu za za adui kuachilia maisha ya wanangu izi nibara kutoka kwa mungu sikiliza chetani una masiko mm sio wa kwako na familia yangu siyako sio wewe ulie niumba na ndo maana auna mamlaka ya kufagna lolote juu yangu na familia yangu na gnumba yangu pia
Mungu anifungue na roho za magojwa yanayonitesa aniumbe upya anifungulie ufahamu nilijue neno lake na kumtumikia yeye
Mungu naomba niponye maunivu ya mifupa, ktk kina la yesu
Nafungua anga yangu ya maombi na malango yangu ya ndoto naamini nafunguliwa Kwa jina la yesu kristo
Mimi Noelah Munyakazi naku omba Mungu wangu uni linde na ndoto mbaya ulinde na watoto wangu,funguwa maicha yangu na uchumi wangu kwa jina lako
Ufungulifu wa mbingu una tembea ndani ya maisha yangu na familia yangu
Amina mtumishi nimepokea uponyaji na nimefunguliwa,❤
Mungu najiunganisha na maombi haya nikutanishwe na mtu sahihi kuanzia leo, kucheleeeshwa hakupo tena
Damu yesu ikazidi kutamalaki maishani mwangu kwa kina la yesu Kristu
Ndoto mbaya mtoto wangu akatembee kwa jina la yesu,,,,, Pepo inaoniandama ikatoweke milele na milele namini
Mwenyezi Mungu naomba ukailinde ndoa yangu dhidi ya ndugu.
Sylvia asante bwana yesu Kwa kuwa umeniona Aki adui ameshindwa Hana uwezo Tena Kwangu alivyo kuwa amepanga kuniuwa sifi Kwa Jina la yesu mwana Wa mungu Alie Hai🙏🙏, ♥️
Mungu wangu naomba uponye hatma ya mwanangu na uniponye miguu
Asante sana Mungu aliyetuumba kwa kibali cha maisha yetu
Kisukariiiii , ganzi kwa mikono na miguu , kufifia kuona kwa machoo, unene wa kupitilizaaaaaa bwanaaaa niponyeeeeee
Nimaombi juu ya uchumi na furaha na upendo kwenye maisha yangu
Nakataa ndoto mbaya,umasikini,kukosa wateja kwenye biashara zangu,ugonjwa wa ganzi, jini mahaba atoke ndani yng,ninakataa roho ya kurudishwa nyuma kwa jina la yesu
Naomba Mungu aniponye na mashambulizi yote ya nguvu za giza
Naomba nguvu za kiroho mungu anilinde mashambulizi ya kiroho anipe macho ya kiroho
Pepo la magonjwa lishindwe in JESUS NAME 🙏
Kesi ya mdogo wangu ashinde aondokewe na roho ya kuchukiwa na nataka niwe na biashara yangu
Ndoto mbaya inayonisonga ucku na kupatwa kukaushwa kwa kinywa na kutaman maji litoke kwa jina la yesu
nakaka kupona magojwa yote yanayotutesa mimi na mume wangu mavojwa yasiyoeleweka nayaaga kwajina la yesu
Kila maneno mabaya yaliitamkwa juu yangu na juu ya watoto wangu na juu ya ndugu zangu nayafuta kwa damu ya yesu amen
Uzito uliowekwa kwenye hatua za uchumi wangu liondoke kws jina la yesu,
Asante bwana yesu kwa kunisaidia
Maumivu ya mguu wa kulia upande wa kulia yakakome daima
Asanti Mungu
Naomba nipone bega linaloniuma Wale waabiahaji wa maisha yangu wapgwe adi kufa wale walioshikilia maisha yangu na biashara yangu moto wa roho mtakatfu ukapate kuwaunguza wt waliofanya mateso kwangu,
Hallelujah. Thank you Lord
Bwana naomba nisamehe dhambi zangu na uniokoe🤲🙏
Mungu wangu niweke mbali na ndoto mbaya funguwa maisha yangu na uchumi wangu linda watoto wangu mahali walipo linda mume wangu na mufunguliye milango ya kazi amen
Kusumbuliwaa ndotoniiu kuona majokaaaa, kuzinishwaa ndotoni, kukosa amani adui anaweka mawazo machafuuuuu, nimesimamishwa kaziniii , afyaa , ukamee wa kiuchumiiiii,
Baba fungua kijana wangu Elijah popote alipo, arudi nyumbani kwa Jina la yesu
Yesu ondoa zuiyo kwenye uchumi wangu,kwenye ndoa yangu ndoto mbaya ziondoke magonjwa kwa watoto wangu yaondoke kwa jina la yesu
Kumpata mweza wa maisha yangu ,naenda kukutanishwa na e leo, nitapata cm yake leo
Neema ya Bwana inisaidie 🙏
Spiritual attacks ziondoke in jesus 🙏 🙌
Kila neno mbaya walio nalifua kwa damu ya Yesu
Naomba mungu wangu kwa jina Lako yesu kristo ukaniponye.
Amen
Uzito wa kiuchumi liondoke kwa jina la yesu
Amen Amen
Amen Amen Ahsante roho wa mungu kwa Ibada hii napokea ukombozi na kila kilicho changu nakifufua kupitia Jina la yesu kristo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen amen
Mungu naomba uniondolee ndoto mbaya
Sylvia asante yesu Kwa ukombozi
Mdogo Wangu kuumwa macho,tumbo na mama yngiu kichwa
Mjukuu wangu lango lake la elimu likafunguke aweze kuelewa anachofundishwa akafanye vizuri kwenye masomo yake kwa damu ya Yesu
Amen 🙏
Miguu kuuma na kuwaka moto nafangasi yaondoke haya maumivu yayukekwadamu ya yesu
Ndoto mbaya zihondoke kwa Jina la yesu
Amina Amina ❤❤
Asante yesu 👏👏👏
Thank you Jesus
Amen 🙏🙏🙏🙏❤❤❤
Mungu ni saidiye baba exame yangu yote
nikalipwe pesa zangu zote kuptia yesu
Asante Yesu
Changamoto niliyo nayo kifua cha kikulisi asuma mume wng kichwa kisichopona kurejesha uchumi wangu kurejesha kiroho changu, huduma yangu mtoto wangu Jemsi apone kifafa ,
Asante yesu ❤
Ugonjwa nilio nao na ugonjwa wa mama yangu wa miguu na umaskini kukataliwa kazini kuchukiwa bila sababu
Asante yesu nimevuka uchungumzito na huzuni uliokaribia kunipa mauti
nimebalikiwa sana
Naanga changamoto vizuizi na umaskini kwenyemaisha yangu kwajina layesu...
Amen mchungaji,
Ameeen
Ongoza atua zangu zote Uongoze family yangu
Ndio bwana asante
kupitiya maombi hii naimani Kuwa damu ya yesu itafanya kazi usiku huu nakuvunja mandoto zote zibaya kwangu' damu ya yesu inatawale mimi n'a jamaa yangu
Nisaidie eee Bwana nikapone Katika sga" HMbifio
Nakataaaaa kwajinalayesù
Maumivu yamoyoni uchungu uzuni
Rohoyapumu naombaiondoke katikajinalayedu
Pepo lauzinifu little kwajina layesu
Pepo laumasikini nalikataa kwajina layesu
Rohoyakurudu nyuma kirojo nalikataa kwajinalayesu