LIVE: “MAMA NI MGONJWA TOKA BABA AFARIKI"- MTOTO WA MAGUFULI

Пікірлер: 345

  • @evelynebwire7684
    @evelynebwire76843 жыл бұрын

    Pole kwa mama yetu kipenzi Janeth Magufuli, MUNGU akuponye mama

  • @happymichael3821
    @happymichael38213 жыл бұрын

    Polen tena familia! Mungu aendelee kuwatunza

  • @shanifesto9037
    @shanifesto90373 жыл бұрын

    Ee mwenyezi mungu shusha baraka zako na Neema zake ili mama yetu apate nguvu na afya tele na arejee katika hali yake ,,Amen

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika61733 жыл бұрын

    ASANTE kakangu unanikumbusha kabla Rais J.P Magufuli hajasema lolote alikuwa akiaza hivyo Asalamaleko .Tumsifu yesu kristo. Bwana yesu asifiwe asante sana kakangu Mpendwa

  • @dotahamad6640

    @dotahamad6640

    3 жыл бұрын

    Khakika

  • @munaahmed8499

    @munaahmed8499

    3 жыл бұрын

    Kabisa aisee hakubagua raingi wala kabila wala dini yeye alisimama kam rais wa wote

  • @peninahkyalo4400
    @peninahkyalo44003 жыл бұрын

    May the almighty God visit this family and always comfort them...let's support them by praying for this family

  • @liliansamson674
    @liliansamson6743 жыл бұрын

    Nimelia sana JPM tulimpenda sana, poleni familia yake🙏🏽🙏🏽

  • @allykhelef1416

    @allykhelef1416

    3 жыл бұрын

    Pole sn mamy

  • @saitawilson7307

    @saitawilson7307

    3 жыл бұрын

    😭😭😭😭 R.I.PJpm

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia10243 жыл бұрын

    Hakika tutamkumbuka 😭😭😭🙏🏽

  • @carolinemulonzya432
    @carolinemulonzya4323 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu azidi kuwa fariji, tunamuombea mama uponyaji wa haraka kwa jina kuu la Yesu

  • @petronillamnyambi7607
    @petronillamnyambi76073 жыл бұрын

    Poleni sana mpepole mama janethi mungu awabariki daima

  • @adelaidesimani727
    @adelaidesimani7273 жыл бұрын

    Quick recovery mama Janeth.

  • @tonyi6807
    @tonyi68073 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu ampe Afya njema katika kipindi chote tunajua namna hali inavyokuwa Tunawapenda sana.

  • @anethyusuph4737

    @anethyusuph4737

    3 жыл бұрын

    Mungu hajawah mtupa mja wake atapona kwanema yamungu

  • @marcynhumbi3534
    @marcynhumbi35343 жыл бұрын

    Joseph ameongea maneno machache tena ya hekima sana. Aendelee kupumzika kwa amana rais wetu wa awamu ya tano

  • @amirlehao8945
    @amirlehao89453 жыл бұрын

    Viongozi mjifunze kwa mwamba magu hata watoto wake hawajulikani kabisa yule alikuwa raisi mzalendo anayependa taifa lake hakuweza kujilimbikizia vyeo, kule upande wa pili mpaka mjukuu atajulikana ikulu

  • @benyrashird1130

    @benyrashird1130

    3 жыл бұрын

    This might be sound something ahead

  • @christinamagesa4381
    @christinamagesa43813 жыл бұрын

    Polen sana mungu ampumzishe kwa aman JPM pia mungu amponye mama janeth

  • @wlkmwlkm3381
    @wlkmwlkm33813 жыл бұрын

    Watu wengi walishtuka sana ata Mimi nikiwa mmja wao 😢😢

  • @martinnjeru3191
    @martinnjeru319110 ай бұрын

    Mungu awerehemu na kuwapa nguvu kwa kumpoteza rais na baba mzazi joseph

  • @masundelwa
    @masundelwa3 жыл бұрын

    Kafanana na baba ake. Ni jasiri kama baba ake. Ni mzalendo Kama baba ake. Ni Ana confidence Kama ya baba ake. Ni Ana speech nzuri Kama ya baba ake. .. 🙏🙏hakika anafaa kupewa nafasi ya uongozi katika taifa letu... Ili tuzidi kumuenzi hayati John pombe magufuli🙏

  • @benyrashird1130

    @benyrashird1130

    3 жыл бұрын

    Kilichotoka katika viuno kitakua cha kufanana nawe hasa ukikuza utakavyo

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka84693 жыл бұрын

    Familia yote hasa mamaJanneth na watoto wake,inauma sana.japo ami nimeumia lkn siwezi kuwafikia machungu mliyonayo familia yk.Mungu awape faraja.

  • @jenyyusuph4973

    @jenyyusuph4973

    3 жыл бұрын

    😭😭😭😭 Jaman mm sijawahi umizwa na msiba kama huu daah magufuli😭😭 alikua mwema saba kwetu lkn 😭😭😭duuuh TAZAMA MAMA YAKE 😭😭😭 PALE KITANDANI ALIPATA STROK KWASABABU YA KIFO CHA MTOTO WAKE WA KIKE😭😭🤔 TENA MAMA HAYUPO SAWA MAGUFULI NAE KAENDA😭😭 TAZAMA MAMA JANETH NA WATOTO WAKE HAKI WA NAWAKATI MAGUMU TUSIWASAHAU KTK MAOMBI YETU JAMANI KAMA MAGUFULI ALIVYOJITOA KWETU😭😭😭

  • @temuemanuel4671

    @temuemanuel4671

    3 жыл бұрын

    @@jenyyusuph4973 Kweli kabisa ndugu yangu. Tuendelee kuiombea familia yake hasa mke wake na mama yake.

  • @epifaniamilinga2848

    @epifaniamilinga2848

    3 жыл бұрын

    Umesema mpendwa.wanawakati mugumu Sana.ondoka ya magufuli mungu tu anajua.ujue hata familia hakuacha wosia wowote

  • @rosaliembarikiwa592
    @rosaliembarikiwa5923 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akuponye mummy Janette Magufuli, katika Jina la Yesu Kristo 🙏🏽

  • @annastaziadaniel2308

    @annastaziadaniel2308

    3 жыл бұрын

    Amen🙏🙏🙏

  • @merinaibrahimnampendayukov7007

    @merinaibrahimnampendayukov7007

    3 жыл бұрын

    Amina😭

  • @manissa9654
    @manissa96543 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu Ailaze Loo yako Maali pema pepon Jpm Inshalllah Amen 🙏🙏🙏

  • @latifamkulazi8378

    @latifamkulazi8378

    3 жыл бұрын

    Allahumma amiin

  • @shamsaalrahbi5573

    @shamsaalrahbi5573

    3 жыл бұрын

    Ameen yarabby

  • @munaahmed8499

    @munaahmed8499

    3 жыл бұрын

    Amina thumma amina

  • @irakozejclaude7869

    @irakozejclaude7869

    3 жыл бұрын

    Amiiin ya Rabbi

  • @halimamwajuma9208

    @halimamwajuma9208

    3 жыл бұрын

    Allahuma amiin

  • @olphamoraa6683
    @olphamoraa66833 жыл бұрын

    Pole sana kakangu mungu ndiye kiongozi wa familia hawesi kugwaacha 🇰🇪

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly3 жыл бұрын

    Duh mbona mtiani jamani..Mungu amponye mama yetu,Amfanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki33303 жыл бұрын

    Pole sana kaka yetu kipenzi tume umia sana juu ya baba etu ila mungu ata mpa afya njema mama yetu kipenzi

  • @dicksonwanyama1689
    @dicksonwanyama16893 жыл бұрын

    Pole sana Mungu aitie nguvu Family ya Hayati JPM. Pole sana Mama Janeth Magufuli

  • @augustinomathias1893
    @augustinomathias18933 жыл бұрын

    Mungu awe nanyi ktk kipnd chote

  • @esterlyalo7710
    @esterlyalo77103 жыл бұрын

    Pole sana mama yetu Janet MAGUFULI mungu akupe uzima na afya njema.

  • @irenelulu530
    @irenelulu5303 жыл бұрын

    Wallah Tz bado hatujarecover ukiacha kwamba ulikuwa rais wetu bado ulikuwa baba mwenye upendo wa dhati na tz 🇹🇿💔

  • @sabrinaiboma2444
    @sabrinaiboma24443 жыл бұрын

    Kaka yetu umenitonesha kidonda nimejikuta nalia sanaaa......MUGUFULI WETUU JEMEDARI...daaah aiseeee naumiaaaaaaaaa mpaka mwisho jamani kama mie naumia hivi mama JANETH MUNGU AKUPE NGUVU UJASIRI. Na akuponye 💔😭😭😭😭💔💔💔💔💔🇹🇿🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲✍️🙏

  • @temuemanuel4671

    @temuemanuel4671

    3 жыл бұрын

    Ujumbe wako umenitiririsha machozi. Magufuli alikuwa baba yetu. Najua Mungu amemweka kwenye makao yake ya milele. Mungu aijalie familia yake hasa mke wake mama yetu mpendwa Mama Janeth na mama Magufuli

  • @stephanokigosi656
    @stephanokigosi6563 жыл бұрын

    Apone Haraka mama yetu, Dah tumekumbuka mbali isee.

  • @tatubadi9010
    @tatubadi90103 жыл бұрын

    Nimejikuta nalia kabla nilipokiona kichwa cha habar.. Yaarabi mpe shifaa mama Janet magufur na umasamehe makosayake Raic wetu magufur na uwape nguv Familia ya magufur na faraja sikuzote..

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala99513 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭Mungu ampumzishe kwa amani JPM wetu, Mungu akampe AFYA njema MAMA janeth magufuli

  • @munamuna7488
    @munamuna74883 жыл бұрын

    Pole mama Janet mama etu kipenzi Allah atakuwafu ni mtihani nikimkumbuka mangufur nakosa la kusema

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene230313 жыл бұрын

    handsom boy like father like son love you from congo zaire

  • @bjzee1981
    @bjzee19813 жыл бұрын

    Hata huyu mtoto hayuko sawa ki vile. Ana ongea aki tetemeka 😢

  • @yusuphmalongo706

    @yusuphmalongo706

    3 жыл бұрын

    Hawezi kaa sawa kwa mda mfupi majonzi bado anayo

  • @witnnesheke2246
    @witnnesheke22463 жыл бұрын

    Duh inauma sna aiseee ...Mungu azidi kuipigania familia ii y mpendwa wetu jpm aiseee inauma sana RIP JPM

  • @sabrinaiboma2444
    @sabrinaiboma24443 жыл бұрын

    Pole mama yetu mpenzi wetu...MUNGU akutie NGUVU na akusimamie uyashinde magumu yote kikubwa Subra

  • @bernardoleonard7331
    @bernardoleonard73313 жыл бұрын

    Nasikia sauti Ikisema HAPA KAZI TU nasikia sauti Ikisema SAMIA MTANGULIZE MUNGU USIKUBALI MACHANJO HAYO ooh nasikia sauti sauti yaushindi sauti yenye nguvu yakiongozi wakweli mzarendo mwenye Imani yakweli iliyotufanya Tz🇹🇿kuwa nchi yatofauti Sana na yakujivunia hasa kwenye hi biashara ya korona. Pole Joseph Mungu amponye amfariji mama yetu mama yako

  • @bahatimungundomteteziwetum4360
    @bahatimungundomteteziwetum43603 жыл бұрын

    Mungu awape faraja kutoka juu. Pumzika kwa amani baba yetu jpm

  • @doricas2049
    @doricas20493 жыл бұрын

    POLE XANA MAMA ATAPONA KWA JINA LA YESU SAUTI TO KAMA BABA MAGUFULI LALA SALAMA SER

  • @dianamkita6571
    @dianamkita65713 жыл бұрын

    Hakika nimelia sana,,,Mungu awatie nguvu familia ya Mpendwa wetu JPM...

  • @siaswai8310
    @siaswai83103 жыл бұрын

    Mungu atamponya kwa jina la Yesu

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni75163 жыл бұрын

    Huyu kijana ana hekima kubwa sana, huwezi jua kama babake alikuwa kiongozi. Ubarikiwe sana

  • @anastaziamoses4100
    @anastaziamoses41003 жыл бұрын

    Jamani inauma kiukweli 😭😭😭

  • @rehemamsamila8820
    @rehemamsamila88203 жыл бұрын

    Pole sana mama yetu Janeth Magufuli Mungu akupe uponyaji

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha67643 жыл бұрын

    Dah! Inauma sana, pumzika kwa amani baba yetu JPM😭😭😭😭.

  • @jacobsafari700
    @jacobsafari7003 жыл бұрын

    we love you JPM mungu akupe raha ya milele

  • @pendomarco8928
    @pendomarco89283 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani baba yetu Magufuri

  • @geoffreymwarabu8323
    @geoffreymwarabu83233 жыл бұрын

    pole sana mama Janeth. Baba yumo mioyoni mwetu na kamwe hatofutika

  • @josephinemetekai9152
    @josephinemetekai91523 жыл бұрын

    Mama Janeth Pole sana Mungu akuponye katika jina La Yesu Mungu awatie nguvu familia kwa kweli kama Mimi nimeumia kiasi kikubwa je mke wake na watoto wake.

  • @mazipupondi9760
    @mazipupondi97603 жыл бұрын

    It's so sad bra....inaumaaa sana bro ila poa Mungu you mwema

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi13083 жыл бұрын

    Hongera sana Joseph Magufuli kwa lisala fupi na nzuri

  • @SAM_163
    @SAM_1633 жыл бұрын

    R.I.P JPM YOU WERE THE TRUE SON OF AFRICA!!!🌹💪💪

  • @peterassenga6169

    @peterassenga6169

    3 жыл бұрын

    Jamaaa ni dingi mtupu

  • @africaboy9880

    @africaboy9880

    3 жыл бұрын

    Mungu ampumzishe raisi yetu mahal pema pepon amina

  • @maulidimuhammed7851

    @maulidimuhammed7851

    Жыл бұрын

    @@africaboy9880 Sidhani hivyo ,maana Mingu wetu ni wa haki hahukumu kwa mapenzi anahukumu kwa haki naye Magu kauwa wengi tena kwa uonevu tu,akiwemo Ben Saa Nane,Azory Gwambo,na wengi wengineo.Achilia mbali waliotekwa na kupigwa risasi na kutiwa ulemavu,watu wasojulikana waliuwa wengi na kutesa wengi chini ya amri zake Magu.Mungu ni wa haki na atahukumu kwa haki musijisahaulishe aliowafanyia raia zake.

  • @maridadi8
    @maridadi83 жыл бұрын

    You sound just like your father - Big up. May be one day you will become the president of Tanzania.

  • @abasadidal7
    @abasadidal73 жыл бұрын

    Tunamuomba Mwenyezi Mungu amponye mama

  • @saidhamad533
    @saidhamad5333 жыл бұрын

    Familia inamachungu sana tena sana.pole mama janet mungu atakuponya

  • @morelovekombe9548
    @morelovekombe95483 жыл бұрын

    Mungu amponye janeth magufuli

  • @omarihamadumetishasanalava4725

    @omarihamadumetishasanalava4725

    3 жыл бұрын

    Rip

  • @ibel4lf
    @ibel4lf3 жыл бұрын

    Pole sana Jose pole pia kwa Mama yetu mpenzi Janeth Magufuli nakuombea faraja kuu kutoka kwa Mungu uwe na amani uwe na furaha Mungu anakusudi jema na wewe hawezi kukuacha atakupigania katika mapito haya mazito

  • @massbass6090
    @massbass60903 жыл бұрын

    Quick recover mummy Mungu awakumbuke na asimame na nyinyi

  • @mohamedissakaishema9895
    @mohamedissakaishema98953 жыл бұрын

    Polee sana bro

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly3 жыл бұрын

    Poleni sana familia ...Mungu awatie nguvu🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rehemavickie6521
    @rehemavickie65213 жыл бұрын

    poleni sana 😢 Pole sana kwa mama Janeth 😢

  • @susanlazaro8323
    @susanlazaro83233 жыл бұрын

    Namlilia Sana Raisi wetu Magufuli Jamani😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Tulimpenda Sana Daima Tutamkumbuka😰😰😰🙏🙏🙏🙏

  • @azzamohamed6649

    @azzamohamed6649

    3 жыл бұрын

    Machozi hayaishi

  • @annamtapila5761
    @annamtapila57613 жыл бұрын

    Mungu aendelee kuikumbatia familia hii jamani. Tunawaombea. Msiba huu ni mzito.

  • @elizabethmapunda6806
    @elizabethmapunda68063 жыл бұрын

    Daaah Magufuli umetuacha baba yetu kipenzi tunakukumbuka sana sana tulikupenda sana ila Mungu kakupenda zaidi yetu pumzika kipenzi chetu,Poleni familia,mama pona ututie moyo yote muachie Mungu wewe uwezi.

  • @josej9888
    @josej98883 жыл бұрын

    Apumzike kwa AMANI JPM 🇹🇿🙏

  • @hajijuma9908

    @hajijuma9908

    3 жыл бұрын

    Poleni sana jose mungu awatie nguvu

  • @dauzjumaa6818

    @dauzjumaa6818

    3 жыл бұрын

    Pole Sana kaka angu

  • @linetnekesa8019
    @linetnekesa80193 жыл бұрын

    Mkitaka kuponya hii familia muache kuongea kinyume na alikuwa rais pliz mnawafinya kwa vinonda ambavyio bado mpichi kumbuka rais alikufa kifo cha ghafla hakuna alie tarajia so Wana machungu😭😭😭😭😭

  • @saknajumapili8282
    @saknajumapili82823 жыл бұрын

    Pumzka kwa aman magufuli,na polen tena ndugu zetu kwa kuuguliwa na mama,mungu aponye,amin

  • @hidayamotto7210
    @hidayamotto72103 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu atamponyaa inshallah

  • @zawiajuma715
    @zawiajuma7153 жыл бұрын

    Poleni sana Allah awape subra katika kipindi kigumu

  • @theresiathadayo3622
    @theresiathadayo36223 жыл бұрын

    E mungu unyooshe mkono wako wa umponye mama etu pia mwanga wa milele uzi kumuangazia tukumbuke pia rais jpm lala baba kiukwel naumia sana

  • @angelalphonce9368
    @angelalphonce93683 жыл бұрын

    Tutakukumbuka Magufuri wetu

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya50143 жыл бұрын

    Maskini mama janet poleni sana mola awape subra katika wakati huu mgumu ikiwa sisi tupo mbali tumeumia vipi wewe ulie kua kitu kimoja na yeye ningum sana ila tutazidi kukuimbea mola akupe amani ya moyo na famili yako

  • @eliasnyondo5528
    @eliasnyondo55283 жыл бұрын

    Mungu baba wa mbingun nyosha mkono wako wa baraka katika familia ya marehemu dokt John pombe magufuli

  • @neemajulius1256
    @neemajulius12563 жыл бұрын

    Aponye kwa haraka ktk jina la Yesu

  • @naamohamed1042
    @naamohamed10423 жыл бұрын

    Dahhhh JPM 😭😭😭

  • @tatuhongeranurushaus485

    @tatuhongeranurushaus485

    3 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @eunicemsigo9677
    @eunicemsigo96773 жыл бұрын

    Mama Janet mama Nakuombea Amani ya mwenyezi mungu dadangu mungu Skype Amani take ya biblia....pokea Amani ya yesu Christo. Na uponyaji pia ukufikie ulipo mama

  • @shakilaabdallaherio5617
    @shakilaabdallaherio56173 жыл бұрын

    Tutamkumbuka sana jemedar wetu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @agnesmajuramangombe986
    @agnesmajuramangombe9862 жыл бұрын

    Pole jose umefanana na mama yako sana

  • @rachaelkazimili4092
    @rachaelkazimili40923 жыл бұрын

    Jaman mm sijawahi zoea huu msiba kila siku naumia nakilia😭😭😭😭

  • @sophiamahanyu3056

    @sophiamahanyu3056

    3 жыл бұрын

    We nikama mim yn

  • @anithaisraely5808

    @anithaisraely5808

    3 жыл бұрын

    Kumbe tupo wengi jamani.😭😭😭

  • @mawananasoro4405
    @mawananasoro44053 жыл бұрын

    Poleni sana baba

  • @boazsamwel6111
    @boazsamwel61113 жыл бұрын

    Duh mama yetu pole sana ;Mungu akutie nguvu mama yetu

  • @ashurampuya6214
    @ashurampuya62143 жыл бұрын

    Poleni sanaaa wanafamiliaa

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase11143 жыл бұрын

    Poleni Sana'a familia ya baba janety mungu awatanguliee aminaa tutamkumbuka Sana'a JPM aminaa

  • @happybonphasy6464
    @happybonphasy64643 жыл бұрын

    Get quick recovery mam janeth

  • @munaahmed8499
    @munaahmed84993 жыл бұрын

    Masha mungubakutunze na ww kaka maan nakumbuka katika hotuba za Rais Magufuli alikuw akianza kusema Asalam aleykum . Bwana yesu asifiwe na Tumsifu yesu krito leo na ww umeanza hivyo hivyo Nimejikuta nimelia walah khaa hivi ni kweli Magufuli hatunae jmn sijui kma nitakuja kuamin aiseee inaumiza kupita maumivu

  • @janethtobius6173
    @janethtobius61733 жыл бұрын

    Pole sana mama yetu janeth mungu akuponye na baba yetu mungu amlaze mahali anapopastaili

  • @lucymacha1853
    @lucymacha18533 жыл бұрын

    Poleni sana familia na tanzania pia tunamkumbuka JPM sana tu

  • @elizabethjohn5168
    @elizabethjohn51683 жыл бұрын

    Mungu awatie nguvu, pia Mungu amponye mama yetu

  • @mashakamagembe1188
    @mashakamagembe11883 жыл бұрын

    Baba yetu mungu ampe makazi mazuri Shujaa wetu

  • @rosekaale9724
    @rosekaale9724 Жыл бұрын

    Kuongea mbele za watu kazi kubwa mungu akupe nguvu joseph baba wa yatima yupo

  • @rockgsimbajike6557
    @rockgsimbajike65573 жыл бұрын

    Tunamuombea mama Janet Tunampenda sana

  • @hamzamohamedKeslivol
    @hamzamohamedKeslivol3 жыл бұрын

    Hee mtihani, mungu amponye

  • @jeniphacosmas1749
    @jeniphacosmas17493 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @josephmangera6799
    @josephmangera67993 жыл бұрын

    Mtafutieni kanafasi huko serikalini , kwa njia ya kumhenzi hayati Dr, Magufuri, itapendeza Sana....

  • @ayoublamesi6347
    @ayoublamesi6347 Жыл бұрын

    Daaa Tutakukumbuka siku zote baba yetu mtetezi wetu mungu akupumunzishe kwa amani baba

  • @godfreykibena

    @godfreykibena

    Жыл бұрын

    Pole mama janeti

  • @BeatriceSaid

    @BeatriceSaid

    8 ай бұрын

    natamani ingekuwa ni maigizo ufumbue macho uone walivyo ning'iniza matumbo .sio tz uliyoiacha.

  • @chrismill9495
    @chrismill94953 жыл бұрын

    Rest In Peace Sir JPM 💔

  • @vailethanod1522
    @vailethanod15223 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu amtie nguvu Mama janeth

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty88193 жыл бұрын

    Sisi wananchi tumekuwa namachungu mioyo yetu bado ina mahumivu itakuwaje Familia Ewe mwenyez Mungu nyosha mkono wako juu Familia ih uwape moyo wa subira Aman Upendo vidumu juu yao na JPM tunazid kukuombea uko ulipo ukapumzike kwa Amani🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Randm-
    @Randm-3 жыл бұрын

    Anaongea kama.baba yake sauti kidogo..poleni sana..Na Mungu amlaze mahala pema peponi

  • @eliudijastini645
    @eliudijastini6453 жыл бұрын

    R I p mwamba

Келесі