LIVE: “MAMA NI MGONJWA TOKA BABA AFARIKI"- MTOTO WA MAGUFULI
Жүктеу.....
Пікірлер: 345
@evelynebwire76843 жыл бұрын
Pole kwa mama yetu kipenzi Janeth Magufuli, MUNGU akuponye mama
@happymichael38213 жыл бұрын
Polen tena familia! Mungu aendelee kuwatunza
@shanifesto90373 жыл бұрын
Ee mwenyezi mungu shusha baraka zako na Neema zake ili mama yetu apate nguvu na afya tele na arejee katika hali yake ,,Amen
@rwandaafrika61733 жыл бұрын
ASANTE kakangu unanikumbusha kabla Rais J.P Magufuli hajasema lolote alikuwa akiaza hivyo Asalamaleko .Tumsifu yesu kristo. Bwana yesu asifiwe asante sana kakangu Mpendwa
@dotahamad6640
3 жыл бұрын
Khakika
@munaahmed8499
3 жыл бұрын
Kabisa aisee hakubagua raingi wala kabila wala dini yeye alisimama kam rais wa wote
@peninahkyalo44003 жыл бұрын
May the almighty God visit this family and always comfort them...let's support them by praying for this family
@liliansamson6743 жыл бұрын
Nimelia sana JPM tulimpenda sana, poleni familia yake🙏🏽🙏🏽
@allykhelef1416
3 жыл бұрын
Pole sn mamy
@saitawilson7307
3 жыл бұрын
😭😭😭😭 R.I.PJpm
@lilianjeremia10243 жыл бұрын
Hakika tutamkumbuka 😭😭😭🙏🏽
@carolinemulonzya4323 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kuwa fariji, tunamuombea mama uponyaji wa haraka kwa jina kuu la Yesu
@petronillamnyambi76073 жыл бұрын
Poleni sana mpepole mama janethi mungu awabariki daima
@adelaidesimani7273 жыл бұрын
Quick recovery mama Janeth.
@tonyi68073 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ampe Afya njema katika kipindi chote tunajua namna hali inavyokuwa Tunawapenda sana.
@anethyusuph4737
3 жыл бұрын
Mungu hajawah mtupa mja wake atapona kwanema yamungu
@marcynhumbi35343 жыл бұрын
Joseph ameongea maneno machache tena ya hekima sana. Aendelee kupumzika kwa amana rais wetu wa awamu ya tano
@amirlehao89453 жыл бұрын
Viongozi mjifunze kwa mwamba magu hata watoto wake hawajulikani kabisa yule alikuwa raisi mzalendo anayependa taifa lake hakuweza kujilimbikizia vyeo, kule upande wa pili mpaka mjukuu atajulikana ikulu
@benyrashird1130
3 жыл бұрын
This might be sound something ahead
@christinamagesa43813 жыл бұрын
Polen sana mungu ampumzishe kwa aman JPM pia mungu amponye mama janeth
@wlkmwlkm33813 жыл бұрын
Watu wengi walishtuka sana ata Mimi nikiwa mmja wao 😢😢
@martinnjeru319110 ай бұрын
Mungu awerehemu na kuwapa nguvu kwa kumpoteza rais na baba mzazi joseph
@masundelwa3 жыл бұрын
Kafanana na baba ake. Ni jasiri kama baba ake. Ni mzalendo Kama baba ake. Ni Ana confidence Kama ya baba ake. Ni Ana speech nzuri Kama ya baba ake. .. 🙏🙏hakika anafaa kupewa nafasi ya uongozi katika taifa letu... Ili tuzidi kumuenzi hayati John pombe magufuli🙏
@benyrashird1130
3 жыл бұрын
Kilichotoka katika viuno kitakua cha kufanana nawe hasa ukikuza utakavyo
@basilisamsaka84693 жыл бұрын
Familia yote hasa mamaJanneth na watoto wake,inauma sana.japo ami nimeumia lkn siwezi kuwafikia machungu mliyonayo familia yk.Mungu awape faraja.
@jenyyusuph4973
3 жыл бұрын
😭😭😭😭 Jaman mm sijawahi umizwa na msiba kama huu daah magufuli😭😭 alikua mwema saba kwetu lkn 😭😭😭duuuh TAZAMA MAMA YAKE 😭😭😭 PALE KITANDANI ALIPATA STROK KWASABABU YA KIFO CHA MTOTO WAKE WA KIKE😭😭🤔 TENA MAMA HAYUPO SAWA MAGUFULI NAE KAENDA😭😭 TAZAMA MAMA JANETH NA WATOTO WAKE HAKI WA NAWAKATI MAGUMU TUSIWASAHAU KTK MAOMBI YETU JAMANI KAMA MAGUFULI ALIVYOJITOA KWETU😭😭😭
@temuemanuel4671
3 жыл бұрын
@@jenyyusuph4973 Kweli kabisa ndugu yangu. Tuendelee kuiombea familia yake hasa mke wake na mama yake.
@epifaniamilinga2848
3 жыл бұрын
Umesema mpendwa.wanawakati mugumu Sana.ondoka ya magufuli mungu tu anajua.ujue hata familia hakuacha wosia wowote
@rosaliembarikiwa5923 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akuponye mummy Janette Magufuli, katika Jina la Yesu Kristo 🙏🏽
@annastaziadaniel2308
3 жыл бұрын
Amen🙏🙏🙏
@merinaibrahimnampendayukov7007
3 жыл бұрын
Amina😭
@manissa96543 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu Ailaze Loo yako Maali pema pepon Jpm Inshalllah Amen 🙏🙏🙏
@latifamkulazi8378
3 жыл бұрын
Allahumma amiin
@shamsaalrahbi5573
3 жыл бұрын
Ameen yarabby
@munaahmed8499
3 жыл бұрын
Amina thumma amina
@irakozejclaude7869
3 жыл бұрын
Amiiin ya Rabbi
@halimamwajuma9208
3 жыл бұрын
Allahuma amiin
@olphamoraa66833 жыл бұрын
Pole sana kakangu mungu ndiye kiongozi wa familia hawesi kugwaacha 🇰🇪
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Duh mbona mtiani jamani..Mungu amponye mama yetu,Amfanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@josephinanikwelimdacki33303 жыл бұрын
Pole sana kaka yetu kipenzi tume umia sana juu ya baba etu ila mungu ata mpa afya njema mama yetu kipenzi
@dicksonwanyama16893 жыл бұрын
Pole sana Mungu aitie nguvu Family ya Hayati JPM. Pole sana Mama Janeth Magufuli
@augustinomathias18933 жыл бұрын
Mungu awe nanyi ktk kipnd chote
@esterlyalo77103 жыл бұрын
Pole sana mama yetu Janet MAGUFULI mungu akupe uzima na afya njema.
@irenelulu5303 жыл бұрын
Wallah Tz bado hatujarecover ukiacha kwamba ulikuwa rais wetu bado ulikuwa baba mwenye upendo wa dhati na tz 🇹🇿💔
@sabrinaiboma24443 жыл бұрын
Kaka yetu umenitonesha kidonda nimejikuta nalia sanaaa......MUGUFULI WETUU JEMEDARI...daaah aiseeee naumiaaaaaaaaa mpaka mwisho jamani kama mie naumia hivi mama JANETH MUNGU AKUPE NGUVU UJASIRI. Na akuponye 💔😭😭😭😭💔💔💔💔💔🇹🇿🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲✍️🙏
@temuemanuel4671
3 жыл бұрын
Ujumbe wako umenitiririsha machozi. Magufuli alikuwa baba yetu. Najua Mungu amemweka kwenye makao yake ya milele. Mungu aijalie familia yake hasa mke wake mama yetu mpendwa Mama Janeth na mama Magufuli
@stephanokigosi6563 жыл бұрын
Apone Haraka mama yetu, Dah tumekumbuka mbali isee.
@tatubadi90103 жыл бұрын
Nimejikuta nalia kabla nilipokiona kichwa cha habar.. Yaarabi mpe shifaa mama Janet magufur na umasamehe makosayake Raic wetu magufur na uwape nguv Familia ya magufur na faraja sikuzote..
@rithakuyala99513 жыл бұрын
😭😭😭😭😭Mungu ampumzishe kwa amani JPM wetu, Mungu akampe AFYA njema MAMA janeth magufuli
@munamuna74883 жыл бұрын
Pole mama Janet mama etu kipenzi Allah atakuwafu ni mtihani nikimkumbuka mangufur nakosa la kusema
@Farajahelene230313 жыл бұрын
handsom boy like father like son love you from congo zaire
@bjzee19813 жыл бұрын
Hata huyu mtoto hayuko sawa ki vile. Ana ongea aki tetemeka 😢
@yusuphmalongo706
3 жыл бұрын
Hawezi kaa sawa kwa mda mfupi majonzi bado anayo
@witnnesheke22463 жыл бұрын
Duh inauma sna aiseee ...Mungu azidi kuipigania familia ii y mpendwa wetu jpm aiseee inauma sana RIP JPM
@sabrinaiboma24443 жыл бұрын
Pole mama yetu mpenzi wetu...MUNGU akutie NGUVU na akusimamie uyashinde magumu yote kikubwa Subra
@bernardoleonard73313 жыл бұрын
Nasikia sauti Ikisema HAPA KAZI TU nasikia sauti Ikisema SAMIA MTANGULIZE MUNGU USIKUBALI MACHANJO HAYO ooh nasikia sauti sauti yaushindi sauti yenye nguvu yakiongozi wakweli mzarendo mwenye Imani yakweli iliyotufanya Tz🇹🇿kuwa nchi yatofauti Sana na yakujivunia hasa kwenye hi biashara ya korona. Pole Joseph Mungu amponye amfariji mama yetu mama yako
@bahatimungundomteteziwetum43603 жыл бұрын
Mungu awape faraja kutoka juu. Pumzika kwa amani baba yetu jpm
@doricas20493 жыл бұрын
POLE XANA MAMA ATAPONA KWA JINA LA YESU SAUTI TO KAMA BABA MAGUFULI LALA SALAMA SER
@dianamkita65713 жыл бұрын
Hakika nimelia sana,,,Mungu awatie nguvu familia ya Mpendwa wetu JPM...
@siaswai83103 жыл бұрын
Mungu atamponya kwa jina la Yesu
@badenbensoni75163 жыл бұрын
Huyu kijana ana hekima kubwa sana, huwezi jua kama babake alikuwa kiongozi. Ubarikiwe sana
@anastaziamoses41003 жыл бұрын
Jamani inauma kiukweli 😭😭😭
@rehemamsamila88203 жыл бұрын
Pole sana mama yetu Janeth Magufuli Mungu akupe uponyaji
@malugukushaha67643 жыл бұрын
Dah! Inauma sana, pumzika kwa amani baba yetu JPM😭😭😭😭.
@jacobsafari7003 жыл бұрын
we love you JPM mungu akupe raha ya milele
@pendomarco89283 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba yetu Magufuri
@geoffreymwarabu83233 жыл бұрын
pole sana mama Janeth. Baba yumo mioyoni mwetu na kamwe hatofutika
@josephinemetekai91523 жыл бұрын
Mama Janeth Pole sana Mungu akuponye katika jina La Yesu Mungu awatie nguvu familia kwa kweli kama Mimi nimeumia kiasi kikubwa je mke wake na watoto wake.
@mazipupondi97603 жыл бұрын
It's so sad bra....inaumaaa sana bro ila poa Mungu you mwema
@erickchitumbi13083 жыл бұрын
Hongera sana Joseph Magufuli kwa lisala fupi na nzuri
@SAM_1633 жыл бұрын
R.I.P JPM YOU WERE THE TRUE SON OF AFRICA!!!🌹💪💪
@peterassenga6169
3 жыл бұрын
Jamaaa ni dingi mtupu
@africaboy9880
3 жыл бұрын
Mungu ampumzishe raisi yetu mahal pema pepon amina
@maulidimuhammed7851
Жыл бұрын
@@africaboy9880 Sidhani hivyo ,maana Mingu wetu ni wa haki hahukumu kwa mapenzi anahukumu kwa haki naye Magu kauwa wengi tena kwa uonevu tu,akiwemo Ben Saa Nane,Azory Gwambo,na wengi wengineo.Achilia mbali waliotekwa na kupigwa risasi na kutiwa ulemavu,watu wasojulikana waliuwa wengi na kutesa wengi chini ya amri zake Magu.Mungu ni wa haki na atahukumu kwa haki musijisahaulishe aliowafanyia raia zake.
@maridadi83 жыл бұрын
You sound just like your father - Big up. May be one day you will become the president of Tanzania.
@abasadidal73 жыл бұрын
Tunamuomba Mwenyezi Mungu amponye mama
@saidhamad5333 жыл бұрын
Familia inamachungu sana tena sana.pole mama janet mungu atakuponya
@morelovekombe95483 жыл бұрын
Mungu amponye janeth magufuli
@omarihamadumetishasanalava4725
3 жыл бұрын
Rip
@ibel4lf3 жыл бұрын
Pole sana Jose pole pia kwa Mama yetu mpenzi Janeth Magufuli nakuombea faraja kuu kutoka kwa Mungu uwe na amani uwe na furaha Mungu anakusudi jema na wewe hawezi kukuacha atakupigania katika mapito haya mazito
@massbass60903 жыл бұрын
Quick recover mummy Mungu awakumbuke na asimame na nyinyi
@mohamedissakaishema98953 жыл бұрын
Polee sana bro
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Poleni sana familia ...Mungu awatie nguvu🙏🙏🙏🙏🙏
@rehemavickie65213 жыл бұрын
poleni sana 😢 Pole sana kwa mama Janeth 😢
@susanlazaro83233 жыл бұрын
Namlilia Sana Raisi wetu Magufuli Jamani😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Tulimpenda Sana Daima Tutamkumbuka😰😰😰🙏🙏🙏🙏
@azzamohamed6649
3 жыл бұрын
Machozi hayaishi
@annamtapila57613 жыл бұрын
Mungu aendelee kuikumbatia familia hii jamani. Tunawaombea. Msiba huu ni mzito.
@elizabethmapunda68063 жыл бұрын
Daaah Magufuli umetuacha baba yetu kipenzi tunakukumbuka sana sana tulikupenda sana ila Mungu kakupenda zaidi yetu pumzika kipenzi chetu,Poleni familia,mama pona ututie moyo yote muachie Mungu wewe uwezi.
@josej98883 жыл бұрын
Apumzike kwa AMANI JPM 🇹🇿🙏
@hajijuma9908
3 жыл бұрын
Poleni sana jose mungu awatie nguvu
@dauzjumaa6818
3 жыл бұрын
Pole Sana kaka angu
@linetnekesa80193 жыл бұрын
Mkitaka kuponya hii familia muache kuongea kinyume na alikuwa rais pliz mnawafinya kwa vinonda ambavyio bado mpichi kumbuka rais alikufa kifo cha ghafla hakuna alie tarajia so Wana machungu😭😭😭😭😭
@saknajumapili82823 жыл бұрын
Pumzka kwa aman magufuli,na polen tena ndugu zetu kwa kuuguliwa na mama,mungu aponye,amin
@hidayamotto72103 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atamponyaa inshallah
@zawiajuma7153 жыл бұрын
Poleni sana Allah awape subra katika kipindi kigumu
@theresiathadayo36223 жыл бұрын
E mungu unyooshe mkono wako wa umponye mama etu pia mwanga wa milele uzi kumuangazia tukumbuke pia rais jpm lala baba kiukwel naumia sana
@angelalphonce93683 жыл бұрын
Tutakukumbuka Magufuri wetu
@safiyasafiya50143 жыл бұрын
Maskini mama janet poleni sana mola awape subra katika wakati huu mgumu ikiwa sisi tupo mbali tumeumia vipi wewe ulie kua kitu kimoja na yeye ningum sana ila tutazidi kukuimbea mola akupe amani ya moyo na famili yako
@eliasnyondo55283 жыл бұрын
Mungu baba wa mbingun nyosha mkono wako wa baraka katika familia ya marehemu dokt John pombe magufuli
@neemajulius12563 жыл бұрын
Aponye kwa haraka ktk jina la Yesu
@naamohamed10423 жыл бұрын
Dahhhh JPM 😭😭😭
@tatuhongeranurushaus485
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@eunicemsigo96773 жыл бұрын
Mama Janet mama Nakuombea Amani ya mwenyezi mungu dadangu mungu Skype Amani take ya biblia....pokea Amani ya yesu Christo. Na uponyaji pia ukufikie ulipo mama
@shakilaabdallaherio56173 жыл бұрын
Tutamkumbuka sana jemedar wetu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@agnesmajuramangombe9862 жыл бұрын
Pole jose umefanana na mama yako sana
@rachaelkazimili40923 жыл бұрын
Jaman mm sijawahi zoea huu msiba kila siku naumia nakilia😭😭😭😭
@sophiamahanyu3056
3 жыл бұрын
We nikama mim yn
@anithaisraely5808
3 жыл бұрын
Kumbe tupo wengi jamani.😭😭😭
@mawananasoro44053 жыл бұрын
Poleni sana baba
@boazsamwel61113 жыл бұрын
Duh mama yetu pole sana ;Mungu akutie nguvu mama yetu
@ashurampuya62143 жыл бұрын
Poleni sanaaa wanafamiliaa
@emmanuelbonifase11143 жыл бұрын
Poleni Sana'a familia ya baba janety mungu awatanguliee aminaa tutamkumbuka Sana'a JPM aminaa
@happybonphasy64643 жыл бұрын
Get quick recovery mam janeth
@munaahmed84993 жыл бұрын
Masha mungubakutunze na ww kaka maan nakumbuka katika hotuba za Rais Magufuli alikuw akianza kusema Asalam aleykum . Bwana yesu asifiwe na Tumsifu yesu krito leo na ww umeanza hivyo hivyo Nimejikuta nimelia walah khaa hivi ni kweli Magufuli hatunae jmn sijui kma nitakuja kuamin aiseee inaumiza kupita maumivu
@janethtobius61733 жыл бұрын
Pole sana mama yetu janeth mungu akuponye na baba yetu mungu amlaze mahali anapopastaili
@lucymacha18533 жыл бұрын
Poleni sana familia na tanzania pia tunamkumbuka JPM sana tu
@elizabethjohn51683 жыл бұрын
Mungu awatie nguvu, pia Mungu amponye mama yetu
@mashakamagembe11883 жыл бұрын
Baba yetu mungu ampe makazi mazuri Shujaa wetu
@rosekaale9724 Жыл бұрын
Kuongea mbele za watu kazi kubwa mungu akupe nguvu joseph baba wa yatima yupo
@rockgsimbajike65573 жыл бұрын
Tunamuombea mama Janet Tunampenda sana
@hamzamohamedKeslivol3 жыл бұрын
Hee mtihani, mungu amponye
@jeniphacosmas17493 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@josephmangera67993 жыл бұрын
Mtafutieni kanafasi huko serikalini , kwa njia ya kumhenzi hayati Dr, Magufuri, itapendeza Sana....
@ayoublamesi6347 Жыл бұрын
Daaa Tutakukumbuka siku zote baba yetu mtetezi wetu mungu akupumunzishe kwa amani baba
Sisi wananchi tumekuwa namachungu mioyo yetu bado ina mahumivu itakuwaje Familia Ewe mwenyez Mungu nyosha mkono wako juu Familia ih uwape moyo wa subira Aman Upendo vidumu juu yao na JPM tunazid kukuombea uko ulipo ukapumzike kwa Amani🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@Randm-3 жыл бұрын
Anaongea kama.baba yake sauti kidogo..poleni sana..Na Mungu amlaze mahala pema peponi
Пікірлер: 345
Pole kwa mama yetu kipenzi Janeth Magufuli, MUNGU akuponye mama
Polen tena familia! Mungu aendelee kuwatunza
Ee mwenyezi mungu shusha baraka zako na Neema zake ili mama yetu apate nguvu na afya tele na arejee katika hali yake ,,Amen
ASANTE kakangu unanikumbusha kabla Rais J.P Magufuli hajasema lolote alikuwa akiaza hivyo Asalamaleko .Tumsifu yesu kristo. Bwana yesu asifiwe asante sana kakangu Mpendwa
@dotahamad6640
3 жыл бұрын
Khakika
@munaahmed8499
3 жыл бұрын
Kabisa aisee hakubagua raingi wala kabila wala dini yeye alisimama kam rais wa wote
May the almighty God visit this family and always comfort them...let's support them by praying for this family
Nimelia sana JPM tulimpenda sana, poleni familia yake🙏🏽🙏🏽
@allykhelef1416
3 жыл бұрын
Pole sn mamy
@saitawilson7307
3 жыл бұрын
😭😭😭😭 R.I.PJpm
Hakika tutamkumbuka 😭😭😭🙏🏽
Mwenyezi Mungu azidi kuwa fariji, tunamuombea mama uponyaji wa haraka kwa jina kuu la Yesu
Poleni sana mpepole mama janethi mungu awabariki daima
Quick recovery mama Janeth.
Mwenyezi Mungu ampe Afya njema katika kipindi chote tunajua namna hali inavyokuwa Tunawapenda sana.
@anethyusuph4737
3 жыл бұрын
Mungu hajawah mtupa mja wake atapona kwanema yamungu
Joseph ameongea maneno machache tena ya hekima sana. Aendelee kupumzika kwa amana rais wetu wa awamu ya tano
Viongozi mjifunze kwa mwamba magu hata watoto wake hawajulikani kabisa yule alikuwa raisi mzalendo anayependa taifa lake hakuweza kujilimbikizia vyeo, kule upande wa pili mpaka mjukuu atajulikana ikulu
@benyrashird1130
3 жыл бұрын
This might be sound something ahead
Polen sana mungu ampumzishe kwa aman JPM pia mungu amponye mama janeth
Watu wengi walishtuka sana ata Mimi nikiwa mmja wao 😢😢
Mungu awerehemu na kuwapa nguvu kwa kumpoteza rais na baba mzazi joseph
Kafanana na baba ake. Ni jasiri kama baba ake. Ni mzalendo Kama baba ake. Ni Ana confidence Kama ya baba ake. Ni Ana speech nzuri Kama ya baba ake. .. 🙏🙏hakika anafaa kupewa nafasi ya uongozi katika taifa letu... Ili tuzidi kumuenzi hayati John pombe magufuli🙏
@benyrashird1130
3 жыл бұрын
Kilichotoka katika viuno kitakua cha kufanana nawe hasa ukikuza utakavyo
Familia yote hasa mamaJanneth na watoto wake,inauma sana.japo ami nimeumia lkn siwezi kuwafikia machungu mliyonayo familia yk.Mungu awape faraja.
@jenyyusuph4973
3 жыл бұрын
😭😭😭😭 Jaman mm sijawahi umizwa na msiba kama huu daah magufuli😭😭 alikua mwema saba kwetu lkn 😭😭😭duuuh TAZAMA MAMA YAKE 😭😭😭 PALE KITANDANI ALIPATA STROK KWASABABU YA KIFO CHA MTOTO WAKE WA KIKE😭😭🤔 TENA MAMA HAYUPO SAWA MAGUFULI NAE KAENDA😭😭 TAZAMA MAMA JANETH NA WATOTO WAKE HAKI WA NAWAKATI MAGUMU TUSIWASAHAU KTK MAOMBI YETU JAMANI KAMA MAGUFULI ALIVYOJITOA KWETU😭😭😭
@temuemanuel4671
3 жыл бұрын
@@jenyyusuph4973 Kweli kabisa ndugu yangu. Tuendelee kuiombea familia yake hasa mke wake na mama yake.
@epifaniamilinga2848
3 жыл бұрын
Umesema mpendwa.wanawakati mugumu Sana.ondoka ya magufuli mungu tu anajua.ujue hata familia hakuacha wosia wowote
Mwenyezi Mungu akuponye mummy Janette Magufuli, katika Jina la Yesu Kristo 🙏🏽
@annastaziadaniel2308
3 жыл бұрын
Amen🙏🙏🙏
@merinaibrahimnampendayukov7007
3 жыл бұрын
Amina😭
Mwenyezi Mungu Ailaze Loo yako Maali pema pepon Jpm Inshalllah Amen 🙏🙏🙏
@latifamkulazi8378
3 жыл бұрын
Allahumma amiin
@shamsaalrahbi5573
3 жыл бұрын
Ameen yarabby
@munaahmed8499
3 жыл бұрын
Amina thumma amina
@irakozejclaude7869
3 жыл бұрын
Amiiin ya Rabbi
@halimamwajuma9208
3 жыл бұрын
Allahuma amiin
Pole sana kakangu mungu ndiye kiongozi wa familia hawesi kugwaacha 🇰🇪
Duh mbona mtiani jamani..Mungu amponye mama yetu,Amfanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Pole sana kaka yetu kipenzi tume umia sana juu ya baba etu ila mungu ata mpa afya njema mama yetu kipenzi
Pole sana Mungu aitie nguvu Family ya Hayati JPM. Pole sana Mama Janeth Magufuli
Mungu awe nanyi ktk kipnd chote
Pole sana mama yetu Janet MAGUFULI mungu akupe uzima na afya njema.
Wallah Tz bado hatujarecover ukiacha kwamba ulikuwa rais wetu bado ulikuwa baba mwenye upendo wa dhati na tz 🇹🇿💔
Kaka yetu umenitonesha kidonda nimejikuta nalia sanaaa......MUGUFULI WETUU JEMEDARI...daaah aiseeee naumiaaaaaaaaa mpaka mwisho jamani kama mie naumia hivi mama JANETH MUNGU AKUPE NGUVU UJASIRI. Na akuponye 💔😭😭😭😭💔💔💔💔💔🇹🇿🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲✍️🙏
@temuemanuel4671
3 жыл бұрын
Ujumbe wako umenitiririsha machozi. Magufuli alikuwa baba yetu. Najua Mungu amemweka kwenye makao yake ya milele. Mungu aijalie familia yake hasa mke wake mama yetu mpendwa Mama Janeth na mama Magufuli
Apone Haraka mama yetu, Dah tumekumbuka mbali isee.
Nimejikuta nalia kabla nilipokiona kichwa cha habar.. Yaarabi mpe shifaa mama Janet magufur na umasamehe makosayake Raic wetu magufur na uwape nguv Familia ya magufur na faraja sikuzote..
😭😭😭😭😭Mungu ampumzishe kwa amani JPM wetu, Mungu akampe AFYA njema MAMA janeth magufuli
Pole mama Janet mama etu kipenzi Allah atakuwafu ni mtihani nikimkumbuka mangufur nakosa la kusema
handsom boy like father like son love you from congo zaire
Hata huyu mtoto hayuko sawa ki vile. Ana ongea aki tetemeka 😢
@yusuphmalongo706
3 жыл бұрын
Hawezi kaa sawa kwa mda mfupi majonzi bado anayo
Duh inauma sna aiseee ...Mungu azidi kuipigania familia ii y mpendwa wetu jpm aiseee inauma sana RIP JPM
Pole mama yetu mpenzi wetu...MUNGU akutie NGUVU na akusimamie uyashinde magumu yote kikubwa Subra
Nasikia sauti Ikisema HAPA KAZI TU nasikia sauti Ikisema SAMIA MTANGULIZE MUNGU USIKUBALI MACHANJO HAYO ooh nasikia sauti sauti yaushindi sauti yenye nguvu yakiongozi wakweli mzarendo mwenye Imani yakweli iliyotufanya Tz🇹🇿kuwa nchi yatofauti Sana na yakujivunia hasa kwenye hi biashara ya korona. Pole Joseph Mungu amponye amfariji mama yetu mama yako
Mungu awape faraja kutoka juu. Pumzika kwa amani baba yetu jpm
POLE XANA MAMA ATAPONA KWA JINA LA YESU SAUTI TO KAMA BABA MAGUFULI LALA SALAMA SER
Hakika nimelia sana,,,Mungu awatie nguvu familia ya Mpendwa wetu JPM...
Mungu atamponya kwa jina la Yesu
Huyu kijana ana hekima kubwa sana, huwezi jua kama babake alikuwa kiongozi. Ubarikiwe sana
Jamani inauma kiukweli 😭😭😭
Pole sana mama yetu Janeth Magufuli Mungu akupe uponyaji
Dah! Inauma sana, pumzika kwa amani baba yetu JPM😭😭😭😭.
we love you JPM mungu akupe raha ya milele
Pumzika kwa amani baba yetu Magufuri
pole sana mama Janeth. Baba yumo mioyoni mwetu na kamwe hatofutika
Mama Janeth Pole sana Mungu akuponye katika jina La Yesu Mungu awatie nguvu familia kwa kweli kama Mimi nimeumia kiasi kikubwa je mke wake na watoto wake.
It's so sad bra....inaumaaa sana bro ila poa Mungu you mwema
Hongera sana Joseph Magufuli kwa lisala fupi na nzuri
R.I.P JPM YOU WERE THE TRUE SON OF AFRICA!!!🌹💪💪
@peterassenga6169
3 жыл бұрын
Jamaaa ni dingi mtupu
@africaboy9880
3 жыл бұрын
Mungu ampumzishe raisi yetu mahal pema pepon amina
@maulidimuhammed7851
Жыл бұрын
@@africaboy9880 Sidhani hivyo ,maana Mingu wetu ni wa haki hahukumu kwa mapenzi anahukumu kwa haki naye Magu kauwa wengi tena kwa uonevu tu,akiwemo Ben Saa Nane,Azory Gwambo,na wengi wengineo.Achilia mbali waliotekwa na kupigwa risasi na kutiwa ulemavu,watu wasojulikana waliuwa wengi na kutesa wengi chini ya amri zake Magu.Mungu ni wa haki na atahukumu kwa haki musijisahaulishe aliowafanyia raia zake.
You sound just like your father - Big up. May be one day you will become the president of Tanzania.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu amponye mama
Familia inamachungu sana tena sana.pole mama janet mungu atakuponya
Mungu amponye janeth magufuli
@omarihamadumetishasanalava4725
3 жыл бұрын
Rip
Pole sana Jose pole pia kwa Mama yetu mpenzi Janeth Magufuli nakuombea faraja kuu kutoka kwa Mungu uwe na amani uwe na furaha Mungu anakusudi jema na wewe hawezi kukuacha atakupigania katika mapito haya mazito
Quick recover mummy Mungu awakumbuke na asimame na nyinyi
Polee sana bro
Poleni sana familia ...Mungu awatie nguvu🙏🙏🙏🙏🙏
poleni sana 😢 Pole sana kwa mama Janeth 😢
Namlilia Sana Raisi wetu Magufuli Jamani😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Tulimpenda Sana Daima Tutamkumbuka😰😰😰🙏🙏🙏🙏
@azzamohamed6649
3 жыл бұрын
Machozi hayaishi
Mungu aendelee kuikumbatia familia hii jamani. Tunawaombea. Msiba huu ni mzito.
Daaah Magufuli umetuacha baba yetu kipenzi tunakukumbuka sana sana tulikupenda sana ila Mungu kakupenda zaidi yetu pumzika kipenzi chetu,Poleni familia,mama pona ututie moyo yote muachie Mungu wewe uwezi.
Apumzike kwa AMANI JPM 🇹🇿🙏
@hajijuma9908
3 жыл бұрын
Poleni sana jose mungu awatie nguvu
@dauzjumaa6818
3 жыл бұрын
Pole Sana kaka angu
Mkitaka kuponya hii familia muache kuongea kinyume na alikuwa rais pliz mnawafinya kwa vinonda ambavyio bado mpichi kumbuka rais alikufa kifo cha ghafla hakuna alie tarajia so Wana machungu😭😭😭😭😭
Pumzka kwa aman magufuli,na polen tena ndugu zetu kwa kuuguliwa na mama,mungu aponye,amin
Mwenyezi Mungu atamponyaa inshallah
Poleni sana Allah awape subra katika kipindi kigumu
E mungu unyooshe mkono wako wa umponye mama etu pia mwanga wa milele uzi kumuangazia tukumbuke pia rais jpm lala baba kiukwel naumia sana
Tutakukumbuka Magufuri wetu
Maskini mama janet poleni sana mola awape subra katika wakati huu mgumu ikiwa sisi tupo mbali tumeumia vipi wewe ulie kua kitu kimoja na yeye ningum sana ila tutazidi kukuimbea mola akupe amani ya moyo na famili yako
Mungu baba wa mbingun nyosha mkono wako wa baraka katika familia ya marehemu dokt John pombe magufuli
Aponye kwa haraka ktk jina la Yesu
Dahhhh JPM 😭😭😭
@tatuhongeranurushaus485
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
Mama Janet mama Nakuombea Amani ya mwenyezi mungu dadangu mungu Skype Amani take ya biblia....pokea Amani ya yesu Christo. Na uponyaji pia ukufikie ulipo mama
Tutamkumbuka sana jemedar wetu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole jose umefanana na mama yako sana
Jaman mm sijawahi zoea huu msiba kila siku naumia nakilia😭😭😭😭
@sophiamahanyu3056
3 жыл бұрын
We nikama mim yn
@anithaisraely5808
3 жыл бұрын
Kumbe tupo wengi jamani.😭😭😭
Poleni sana baba
Duh mama yetu pole sana ;Mungu akutie nguvu mama yetu
Poleni sanaaa wanafamiliaa
Poleni Sana'a familia ya baba janety mungu awatanguliee aminaa tutamkumbuka Sana'a JPM aminaa
Get quick recovery mam janeth
Masha mungubakutunze na ww kaka maan nakumbuka katika hotuba za Rais Magufuli alikuw akianza kusema Asalam aleykum . Bwana yesu asifiwe na Tumsifu yesu krito leo na ww umeanza hivyo hivyo Nimejikuta nimelia walah khaa hivi ni kweli Magufuli hatunae jmn sijui kma nitakuja kuamin aiseee inaumiza kupita maumivu
Pole sana mama yetu janeth mungu akuponye na baba yetu mungu amlaze mahali anapopastaili
Poleni sana familia na tanzania pia tunamkumbuka JPM sana tu
Mungu awatie nguvu, pia Mungu amponye mama yetu
Baba yetu mungu ampe makazi mazuri Shujaa wetu
Kuongea mbele za watu kazi kubwa mungu akupe nguvu joseph baba wa yatima yupo
Tunamuombea mama Janet Tunampenda sana
Hee mtihani, mungu amponye
🙏🙏🙏🙏
Mtafutieni kanafasi huko serikalini , kwa njia ya kumhenzi hayati Dr, Magufuri, itapendeza Sana....
Daaa Tutakukumbuka siku zote baba yetu mtetezi wetu mungu akupumunzishe kwa amani baba
@godfreykibena
Жыл бұрын
Pole mama janeti
@BeatriceSaid
8 ай бұрын
natamani ingekuwa ni maigizo ufumbue macho uone walivyo ning'iniza matumbo .sio tz uliyoiacha.
Rest In Peace Sir JPM 💔
Mwenyezi mungu amtie nguvu Mama janeth
Sisi wananchi tumekuwa namachungu mioyo yetu bado ina mahumivu itakuwaje Familia Ewe mwenyez Mungu nyosha mkono wako juu Familia ih uwape moyo wa subira Aman Upendo vidumu juu yao na JPM tunazid kukuombea uko ulipo ukapumzike kwa Amani🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Anaongea kama.baba yake sauti kidogo..poleni sana..Na Mungu amlaze mahala pema peponi
R I p mwamba