🔴LIVE: KIFO NI KILE KILE FUNGA KAZI YA KIBABE HII OFA MPYA SIMBA KWA AZIZ KI MO HATAKI UTANI

Спорт

#LIVE: MAYELA AIFUNGULIA MILANGO SIMBA, KINZUMBI ATUA DAR, PESA YA SIMBA DUBE AITEMA

Пікірлер: 45

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le13 күн бұрын

    Ingekuwa cmba happy yanga ingekuwa midomo juu

  • @salimmohamed3177
    @salimmohamed317713 күн бұрын

    Aziz k welcome simba sc

  • @sakinayahya78
    @sakinayahya7813 күн бұрын

    Hakuna mchezaji mwenye mapenzi na timu mpira kazi yeye anaangalia maokoto

  • @Stephano722
    @Stephano72213 күн бұрын

    Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba hii saplaiz ❤❤azzi k timu hizi hazijaanza leo umafia huu🎉❤❤❤ inakuja kuwa balaa iga ufe

  • @Stephano722
    @Stephano72213 күн бұрын

    🎉❤❤🎉imeiishaaaaaa hiyooooooo azzi k nimali ya mnyama aaaaaaaaaa

  • @HussenAbdu-wy5vi
    @HussenAbdu-wy5vi13 күн бұрын

    Kaka dawa yedeni kuripa mkuki kwanguruwe kwabidamu uchungu❤

  • @sakinayahya78
    @sakinayahya7813 күн бұрын

    Waislam tunasema Kama tadiinu tudaanu

  • @FrankLuhala
    @FrankLuhala13 күн бұрын

    MO fanya kazi bosi ❤ Wanguvu

  • @sakinayahya78
    @sakinayahya7813 күн бұрын

    Imeisha hiyooooo ki mnyamaaaaaa

  • @AbdallahAbubakary-s5g
    @AbdallahAbubakary-s5g13 күн бұрын

    Siyo kwer azizi k kuja simba

  • @BakariHussein-hy9lz
    @BakariHussein-hy9lz13 күн бұрын

    Kisasi ni haki

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf13 күн бұрын

    Miaka 100 makolo hawawezi kumnyakua MSTER K

  • @AmidoMawazo
    @AmidoMawazo13 күн бұрын

    Kwaiyo unaniambia tiali wamemaliza na aziziki nasimba

  • @user-ck6lf9gg6v
    @user-ck6lf9gg6v13 күн бұрын

    Natoka kumuangalia mwanangu uwamjani kama anajua mpira niuze hapo tv nimnunulie viatu kumbe mpira unalipa hivi.

  • @lonesomekabora5547
    @lonesomekabora554713 күн бұрын

    Unaamini kua masta ki bado hajasaini mkataba na Yanga hadi sasa? Na kama kweli hajasaini Yanga hadi sasa basi Aziz Ki hawezi kua Yanga

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le13 күн бұрын

    Muosha huoshwa

  • @NestoryRamadhan
    @NestoryRamadhan13 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @johanesthobias8742
    @johanesthobias874213 күн бұрын

    Kwani Simba kuwana tamaa inakuuma nini?

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le13 күн бұрын

    Yanga roho mkononi kama alivyotuambia kwa chama mtajua hamjui

  • @johanesthobias8742
    @johanesthobias874213 күн бұрын

    Kwanini asiwe azz k

  • @MnakuBuremo-tz2uv
    @MnakuBuremo-tz2uv13 күн бұрын

    Mange auwae Kwa upanga kifo chake na yeye ni Cha upanga

  • @Nasibuhelemani
    @Nasibuhelemani13 күн бұрын

    Awongee kiwahili

  • @HassaniMzee
    @HassaniMzee13 күн бұрын

    Na kuche ukweli udhihiri

  • @user-ir5qy8qd4w
    @user-ir5qy8qd4w13 күн бұрын

    Alikuwa amebkza sk 9

  • @WamburaJohn-z9c
    @WamburaJohn-z9c13 күн бұрын

    Mo alipe kisasi

  • @mwafrikakahisha8166
    @mwafrikakahisha816613 күн бұрын

    Saut hatuku sikii

  • @user-oi8ml4vb3o
    @user-oi8ml4vb3o13 күн бұрын

    Kaka nikweri aziziki anakuja simba mbona tafanya sharehe jaman

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le13 күн бұрын

    Ahmed Ally alisema ubaya ubwela

  • @jumapiliboniface636
    @jumapiliboniface63613 күн бұрын

    Tunapiga kwenyemoyo mnyama ki

  • @jumapiliboniface636
    @jumapiliboniface63613 күн бұрын

    Mo piga kwenyemoyo

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali884913 күн бұрын

    Nd.MO. washikize adabu hawo upande wa pili.

  • @Stephano722
    @Stephano72213 күн бұрын

    Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba nomeamini spot arena ukweli mnyama mwaka ujao timu zitakimboa

  • @BakariHussein-hy9lz
    @BakariHussein-hy9lz13 күн бұрын

    Kilajema linamaunivu..dadeki

  • @ramadhanichubi9139
    @ramadhanichubi913913 күн бұрын

    Waandishi punguzeni uongo,mnawajengea wachezaji wa kigeni soko na gharama kwa vilabu vyetu.

  • @lonesomekabora5547
    @lonesomekabora554713 күн бұрын

    Aubin kramo mbona hujamtaja na kaongezewa mkataba au yy sio wa kigeni

  • @user-ir5qy8qd4w
    @user-ir5qy8qd4w13 күн бұрын

    Mh

  • @abdulkarimabdallah9536
    @abdulkarimabdallah953613 күн бұрын

    .

  • @MickyAluis-y3m
    @MickyAluis-y3m13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅

  • @MgondeOmary
    @MgondeOmary13 күн бұрын

    Mgondevp,mpazu,vp

  • @alimohdkhatib2443
    @alimohdkhatib244313 күн бұрын

    Propaganda tu izo hamna icho kitu

  • @amoschilongola

    @amoschilongola

    13 күн бұрын

    Simba tunaweza Niko kitu 💯💯😂😂😂

  • @lonesomekabora5547
    @lonesomekabora554713 күн бұрын

    Naamini Simba wanaweza kulipa kisasi kwa Chama ila sio kwa kumchukua Azizi Ki, Aziz Ki akitaka 50M mshahara na akalipwa tutakua tunatengeneza ufalme wa masta Ki ndani ya Simba kama tulivyotengeneza ufalme wa Chama Uliotukosti misimu miwili, Imagine unamnunua mchezaji kwa pesa ndefu aje Msimbazi wakati ana mahaba na Yanga tunatengeneza tatizo lilele bora tubaki na Mpanzu au Mayele

  • @HassaniMzee

    @HassaniMzee

    13 күн бұрын

    Mpira ni kazi sio Mapenzi kwa timu,km uwezekano wa kumpata freshi tu na aje

  • @StanleyMwaluko

    @StanleyMwaluko

    12 күн бұрын

    Vp kaka et mo ametuma dau kwa azizi?

  • @StanleyMwaluko

    @StanleyMwaluko

    12 күн бұрын

    Anatua leo saa ngap bro

Келесі