LIVE: HARAKATI ZA PAPARAZZI NA POWER BREAKFAST YA CLOUDS FM.

Matukio ya kiuchunguzi, yamewagharimu wanahabari wengi nchini na hata kwingineko Ulimwenguni, hii yote inachochewa na uzito Wa Matukio hayo na matokeo yake..
Hivi karibuni Moja ya tukio lililoteka hisia za wengi nchini, ni lile la tuhuma zinazomhusu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk. Yahaya Nawanda kutuhumiwa kulawiti..
Je ni ipi nafasi ya Baraza la Habari nchini MCT kuwasimamia Wanahabari dhidi ya Hali hiyo, je Nini kinaendelea kwa wanahabari walioshikiliwa Kwa kuibua tukio la RC Wa Simiyu, ...
Takakuwa na Katibu Mtendaji Wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Ernest Sungura.

Пікірлер