#LIVE

Пікірлер: 164

  • @fatmayusuf7122
    @fatmayusuf712211 ай бұрын

    Kama unampenda hamisa usipite bila kugonga like I say Tanzania finest

  • @user-bn6hf9je4q

    @user-bn6hf9je4q

    11 ай бұрын

    Nampenda sana ❤

  • @annamosha968

    @annamosha968

    11 ай бұрын

    Nampenda saaana

  • @user-cr5kr1vm2x
    @user-cr5kr1vm2x11 ай бұрын

    Ukiachana na mungu na mama yangu hakuna mwingine ninae mpenda duniani Kama hamisa mobeto mwanamke ananidham sana hata Kama anamapungufu yake sio Kama ya masta wengine tulia mdogo wangu na mpenzi wako tu acha tamaa na mambo mengine ya kidunia 🎉

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid374311 ай бұрын

    Hamisa ni mmoja tu......So humble

  • @harodphilipo8228
    @harodphilipo822811 ай бұрын

    Nampenda sana huyu dada napenda pia kuona akiwa na furaha

  • @fatumaomari7742
    @fatumaomari774211 ай бұрын

    Jmn huyu dada anajibu maswal vizur uwiiiii🙌🙌🙌❤❤❤❤

  • @kendytz7288
    @kendytz728811 ай бұрын

    Hamisa nampenda sana. Namsemo wake kuna wanaume na kuna huyu wa kwangu😅😅😅

  • @khadijarashidy9304
    @khadijarashidy930411 ай бұрын

    Hamisa dada yangu ukiona watu wanakuchukia bila sababu ujue una kitu ambacho umewazidi maneno ya watu yasikunyime raha mwanya wewe ni mrembo, mchapakazi na unajielewa endelea kuwarusha roho KIVUTIO CHA TAIFA 🥰😂😂💃💃

  • @hellenmollel6679
    @hellenmollel667911 ай бұрын

    Very matured Misa, keep moving 💕

  • @everlyne8595
    @everlyne859511 ай бұрын

    Nmpenda huyu dada jmn haringi wish cku moja nmuone live ❤

  • @JulianaCharlez-uq9xi
    @JulianaCharlez-uq9xi11 ай бұрын

    Hamisa mobetto Nakupenda Sana'a a as a

  • @user-oq7ie3vt6n
    @user-oq7ie3vt6n11 ай бұрын

    Hamisa kiukweri nakupenda sana Tena sana mungu akuzidishiye kirakitu mm ni mboniyangu ❤❤❤

  • @remiomar7154
    @remiomar715411 ай бұрын

    Adui ya mwanamke ni mwanamke mwenzake naona wengi muna wivu na hamisamobetto kila unapo mchukia mtu basi mungu huzidi kumpandisha daraja wengi walitamani afeli kimiaisha lakini mungu nani maana wengi walitarajia nyota yake itazima ila ndio kwanza inazidi kung'aa

  • @irenedaniel8702
    @irenedaniel870211 ай бұрын

    Star mwenye aibu mbele ya camera ni missa ❤❤❤❤

  • @hemedyawadhi2935
    @hemedyawadhi293511 ай бұрын

    Hamisa mremboo sana wanaomsema mbaya cwashangai kilamtu na mtazamo wake

  • @nahlahassan-fd6le

    @nahlahassan-fd6le

    11 ай бұрын

    Wamuumbe wao basi aaka😂😂

  • @hemedyawadhi2935

    @hemedyawadhi2935

    11 ай бұрын

    Hapo sasa

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly11 ай бұрын

    Kazuri,mashaAllah 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @seifyangawakosawakombo6605
    @seifyangawakosawakombo660511 ай бұрын

    Uko vizuri sana kujibu maswali

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky108811 ай бұрын

    Binti yuko vizuri sn, Safi sana, Wenye wivu wanaumia eti anaiga eti kafata pesa sasa Afate nini! Wa Tz acheni Umbea. Penye sifa Sifuu.

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid374311 ай бұрын

    Wanawake Tunatamani kumfikia huyu dada Tunaishia kumchukia tu

  • @hanifahanifa1010

    @hanifahanifa1010

    11 ай бұрын

    Kabisa hasa mastar wenzie siku izi hata hwa comment zaid ya Muna love na rushaina

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah115411 ай бұрын

    Hamisa Ni mmoja okota maokoto dada kila mtu ana maisha yake

  • @fatmayusuf7122
    @fatmayusuf712211 ай бұрын

    Nampenda yaani jinsi anavyojua kuhandle wa2 wa media🤣🤣🤣🤣🙈

  • @mdta8161
    @mdta816111 ай бұрын

    Hamisa nakupenda wewe mdada acha tu

  • @user-tt6jt8pz5m
    @user-tt6jt8pz5m11 ай бұрын

    HAMISA WANGUUUUUU❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le11 ай бұрын

    Mtihani hakuna waume skuiz😢😢mrembo kam huyu ndo wakuzalishwa halaf bwana wake akatae mtoto?? ilhali anaweza kumpa mahitaji yote mtoto wake😢😢😢mungu tusaidie wanawake woote duniani hakuna waume skuizi😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @ashminaabdulla8946

    @ashminaabdulla8946

    11 ай бұрын

    Wapo wema ila ni wachache ila Allah atufanyie wepesi

  • @nahlahassan-fd6le

    @nahlahassan-fd6le

    11 ай бұрын

    @@ashminaabdulla8946 Aamina inshallah

  • @joycenicodemus.2232

    @joycenicodemus.2232

    11 ай бұрын

    Wanaume nimtihani 😭😭😭

  • @nahlahassan-fd6le

    @nahlahassan-fd6le

    11 ай бұрын

    ​@@joycenicodemus.2232saana my😢ila mung atupe wanaume wema amina

  • @vickydan2869

    @vickydan2869

    11 ай бұрын

    Kev ndo atamuoa kwa uwezo wa mungu

  • @user-zr1qm9cc7g
    @user-zr1qm9cc7g11 ай бұрын

    Songa Mbele ulpotoka ni mbali❤

  • @Shatfa-ec8td
    @Shatfa-ec8td11 ай бұрын

    Your amazing more ❤

  • @modestamashoke9038
    @modestamashoke903811 ай бұрын

    Mungu akutunze wewe na uzao wako

  • @angelaminde1247
    @angelaminde124711 ай бұрын

    Hamisa wangu mimi ❤❤❤

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan249911 ай бұрын

    Mashallah nakupenda Hamisa.

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir806411 ай бұрын

    Keep your personal life private achana na wambeya mara nyingi ni kuvuruga somebody's life, you are a strong woman so keep it up.❤

  • @sabinashabani1165
    @sabinashabani116511 ай бұрын

    Hamisa nimzuri harafu nimole sana nampenda sana huyu dada ❤

  • @akishamwende8515
    @akishamwende851511 ай бұрын

    Hamisa karemboooo😋🔥

  • @vickykapama8386
    @vickykapama838611 ай бұрын

    Misa❤❤❤❤❤❤❤👑

  • @claudiajames2003
    @claudiajames200311 ай бұрын

    ❤❤❤Hamisa

  • @user-qx4fj4jr2h
    @user-qx4fj4jr2h11 ай бұрын

    ❤ amisa

  • @user-tt6jt8pz5m
    @user-tt6jt8pz5m11 ай бұрын

    Hamisa eeeh, hamisaaa eeh hamisaaa eeh❤❤❤❤😂nyimbo ya Dr remmy ilkua inamsifia hamisa, hamisa mwenyewe ndio hyu sasa😂😂

  • @LuciaVenance-nd2kd
    @LuciaVenance-nd2kd11 ай бұрын

    Watu mnaroho mbaya ety hamisa ametoa mkundu acheni zambi mnataka watu waishi maisha ya kuteseka mungu akimbariki mnasema ametoa mkundu hii nchii mhh🤔

  • @user-ru3jp3zh4u

    @user-ru3jp3zh4u

    11 ай бұрын

    Anoonaa katona mundy na yy akatowee spare ganache pasta Hamisa

  • @josephinekanaiza2945
    @josephinekanaiza294511 ай бұрын

    Khamisa kangu mie🎉🎉

  • @user-nn5sq8ol4g
    @user-nn5sq8ol4g11 ай бұрын

    Bas utulie uwolewe

  • @alicewangechimbatia7350
    @alicewangechimbatia735011 ай бұрын

    Shes wise

  • @banguha
    @banguha11 ай бұрын

    Hamisa nakupenda sana

  • @Faith_joseph
    @Faith_joseph11 ай бұрын

    Kanajitambua haka Kabinti♥️

  • @neemamalakilevi2661
    @neemamalakilevi266111 ай бұрын

    Hekima kubwa napenda anavyojibu

  • @jacquelinejeff1249
    @jacquelinejeff124911 ай бұрын

    ♥️♥️♥️

  • @user-dy4is8kp1e
    @user-dy4is8kp1e11 ай бұрын

    Nakupenda Sana hamisa

  • @asiamohd5516
    @asiamohd551611 ай бұрын

    ❤Missa

  • @mmn7480
    @mmn748011 ай бұрын

    Maringo mpka anaboa mfyuuuu 😏😏😏Sasa iyo shingo vpi

  • @claudiajames2003

    @claudiajames2003

    11 ай бұрын

    Pole saaana...wivu utakukaba ukuuue

  • @kekiplus1andonly

    @kekiplus1andonly

    11 ай бұрын

    Poleeeee😂😂wivu mbaya,kunywa diclopa ulale

  • @joycenicodemus.2232

    @joycenicodemus.2232

    11 ай бұрын

    Acha makasiriko hamisa❤❤

  • @lilianestephanie7881

    @lilianestephanie7881

    11 ай бұрын

    Mmh na wewe si uiweke jamani kwani kuna shida??

  • @kellyngogo3319

    @kellyngogo3319

    11 ай бұрын

    Sasa maringo yapo wapi hapo fuuu

  • @ssaa7495
    @ssaa749511 ай бұрын

    Uzee huu uwapa 😅😅😅🤣🤣🤣

  • @rukiyahussein2738
    @rukiyahussein273811 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @ericacharles8710
    @ericacharles871011 ай бұрын

    Hamisa nakupenda sana mama

  • @anisiamchembe6552
    @anisiamchembe655211 ай бұрын

    Duniani Omba bahati sio uzuri!! sura hata mbuzi anayo😂😂

  • @ashminaabdulla8946

    @ashminaabdulla8946

    11 ай бұрын

    Kweli maana sisi wengine duh 🙄 tungekaa pande ipi

  • @vincentmokenye4465
    @vincentmokenye446511 ай бұрын

    Yule mwenye Mandevu yupo wapi jamani sijui anaitwa ice cube au😂

  • @anthonygenge4366

    @anthonygenge4366

    9 ай бұрын

    Tuendelee kusubir atakuja huyo mr mandevuu😂😂😂😂

  • @tinalucas6284
    @tinalucas628411 ай бұрын

    Afu mtu anatoka anasema wanawake wazur wanamakomwe na uyu je mbna hana komwe na ni mzuri balaa🔥🔥🤣🤣

  • @nahlahassan-fd6le

    @nahlahassan-fd6le

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @vickydan2869

    @vickydan2869

    11 ай бұрын

    Hamisa mzuri I wenye makomwe nikwel wanaongoza kwa uzur

  • @clevermngao7565
    @clevermngao756511 ай бұрын

    Bakiza Maneno Dada! Usije ukapata aibu kesho!!

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya950611 ай бұрын

    Mahusiano nina imani nayo alhamdulillah? 😢😢😢😢 kwanini usiolewe unaziniwa mpaka unazeeka Umekubali kua mchepuko sugu😢😢😢,,.........

  • @sabinashabani1165

    @sabinashabani1165

    11 ай бұрын

    Unateseka pole sana

  • @rukiaiddyyahaya9506

    @rukiaiddyyahaya9506

    11 ай бұрын

    @@sabinashabani1165 kama unajua thamani ya ndoa usingeropoka niteseke uchi wangu ndii unaotumika hapo jamaa kama ana mguu yeye ndie analiwa unaifurahia zinaa? Ana sema mahusiano alhamdulillah... Jambo haram vipi liwe alhamdulillah? Dunia pambo usishabikie ujinga

  • @hellendaniel3809

    @hellendaniel3809

    11 ай бұрын

    Huna hela acha wivu

  • @rukiaiddyyahaya9506

    @rukiaiddyyahaya9506

    11 ай бұрын

    @@hellendaniel3809 unajuaje kama sina hahaha

  • @aminaabdullah9193

    @aminaabdullah9193

    11 ай бұрын

    ​@@rukiaiddyyahaya9506Acha nao my wanapenda zinaa hao

  • @rossettesworld
    @rossettesworld11 ай бұрын

    Muooooongo kucopy tu maisha ya zari

  • @alsam4881

    @alsam4881

    11 ай бұрын

    Halafu leo hadi anaonekana ana makengeza.

  • @user-yn7mt4mh8n
    @user-yn7mt4mh8n11 ай бұрын

    Vina muda Basi

  • @hillahally5018
    @hillahally501811 ай бұрын

    Mrembo njo Nikusaidiye kifedha

  • @dianasago9214
    @dianasago921411 ай бұрын

    Huyu kumpenda mm ndicho najua

  • @rossettesworld
    @rossettesworld11 ай бұрын

    Mtu muongo hua haangalii direct kwa uso

  • @rosewabiwa5628

    @rosewabiwa5628

    11 ай бұрын

    Wewe mukweli

  • @rossettesworld

    @rossettesworld

    11 ай бұрын

    @@rosewabiwa5628 awache kulipa mange kimambi kutukana watu she should face them herself shetwani pretender

  • @nahlahassan-fd6le

    @nahlahassan-fd6le

    11 ай бұрын

    Sasa uongo wake mm hapa jamani

  • @kekiplus1andonly

    @kekiplus1andonly

    11 ай бұрын

    ​@@rossettesworldnakuhurumia,pole sana,diclopa inaweza saidia maumivu haya kweli😂😂😂qu tumia ibuprofen

  • @kekiplus1andonly

    @kekiplus1andonly

    11 ай бұрын

    Kwendraaaa 😂😂😂unajikuta nani sasa??professor wa saikolojia. Kunywa panodol ulale,wivu ni ugonjwa

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia642111 ай бұрын

    Allah amekupa itaji la moyo wako fungeni nfoa

  • @alsam4881
    @alsam488111 ай бұрын

    Baadhi ya wabongo wanapenda kuwaiga wamarekani eti kila wakati akiulizwa swali ni anaanza na kusema am am am 😏😏😏

  • @kekiplus1andonly

    @kekiplus1andonly

    11 ай бұрын

    Wivuuuu😂😂😂😂😂pole sana,Meza panadol ulale

  • @khadijaomary5537

    @khadijaomary5537

    11 ай бұрын

    Na ww iga bas naonaunateseka ndg yang

  • @Yunis-hn9hn

    @Yunis-hn9hn

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @alsam4881

    @alsam4881

    11 ай бұрын

    @@khadijaomary5537 wewe Ndiyo utakuwa mtumwa daima kwa kuiga vya wenzako usiyopenda uhalisia wako na utamaduni wako, bogus kabisa.

  • @anthonygenge4366

    @anthonygenge4366

    9 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @victoriapendo1730
    @victoriapendo173011 ай бұрын

    Hamisa❤❤❤❤❤❤❤

  • @happymarwa4517
    @happymarwa451711 ай бұрын

    Kuwa comfortable tu, unajishongondoa sana

  • @ummycheedy2809

    @ummycheedy2809

    11 ай бұрын

    Nyieee Kwan kujishongondoa maana yake nn😂😂😂😂

  • @mmn7480

    @mmn7480

    11 ай бұрын

    😂😂Anaboa bhana

  • @TanishaManiky-kp9xc
    @TanishaManiky-kp9xc11 ай бұрын

    jaman Ali kamwe je!

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd11 ай бұрын

    Mmh lakin kama hakajiamin mweh

  • @kekiplus1andonly

    @kekiplus1andonly

    11 ай бұрын

    We unayejiamini mbona hatukujui??

  • @muftimikuli3223
    @muftimikuli322311 ай бұрын

    Acha uzinifu

  • @alsam4881

    @alsam4881

    11 ай бұрын

    Ameshazowea kuzini na Ndiyo maana alizaa Watoto wake wote kwa Zinaa, na bado anaendelea kuzini bila ya kuwa na hofu kwa Mungu, badala ya kufanya toba na kujirudi kwa Mungu wake, amesahau kuwa hapa duniani tunapita tu.

  • @user-sq7pz9ex5g
    @user-sq7pz9ex5g11 ай бұрын

    Unajikamua Sana kuongea 😂Hadi unaboaa...mmh makubwaa 😂unajichekesha chekeshaa kama kidemu cha mizingaa😂😂

  • @hanifahanifa1010

    @hanifahanifa1010

    11 ай бұрын

    Pole dada .

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia171511 ай бұрын

    Wewe umefuata pesa tu hauna lolote

  • @user-ru3jp3zh4u

    @user-ru3jp3zh4u

    11 ай бұрын

    Na we karate hiyo pesaa

  • @dhinatsimbano8854

    @dhinatsimbano8854

    11 ай бұрын

    Wewe ambaye hufuatagi pesa umefika wapi labda!

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    11 ай бұрын

    @@dhinatsimbano8854 Wewe pia ni miongoni mwa hao wanaotumia papa kupata pesa

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    11 ай бұрын

    @@user-ru3jp3zh4u Wewe pia ni mama muuza tu na ndio maana unatetea

  • @nathanlusulo-po2lj
    @nathanlusulo-po2lj11 ай бұрын

    Washamba tu hamna chochotea cha kufanya ili kuleta mabadiliko

  • @kekiplus1andonly

    @kekiplus1andonly

    11 ай бұрын

    Ebu tuone ulichofanya mpaka sasa😂

  • @johariiddy2128
    @johariiddy212811 ай бұрын

    Mbona anaongea kama mkenya

  • @iamjanemapozi2079
    @iamjanemapozi207911 ай бұрын

    Wa kawaida tu

  • @claudiajames2003

    @claudiajames2003

    11 ай бұрын

    Ila kakuzidi au sio😂😂

  • @dora3340
    @dora334011 ай бұрын

    Dada natafuta pesa kinguvu sijui kweli kama hajatoa mkundu Safari hii 😂alafu Hamisa siyo mzuri kabisa ma editor ndiyo zinawasitiri😂

  • @hemedyawadhi2935

    @hemedyawadhi2935

    11 ай бұрын

    Acha wivuu kkama ww umeshazoea kutoa mkundu ucfikili nawenzio wote kama mkundu dili katoe na ww upate anavyopata

  • @baimarrajahbuayan6237

    @baimarrajahbuayan6237

    11 ай бұрын

    Mwambie na mama Yako atoe mkundu apate pesa

  • @baibe...rino..

    @baibe...rino..

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂true ni filters halafu anafinya sauti why 🤔💔

  • @missqueen3769

    @missqueen3769

    11 ай бұрын

    Mmmh wivu

  • @baibe...rino..

    @baibe...rino..

    11 ай бұрын

    @@missqueen3769 wivu gani mwenzangu Wacha ukweli usemwe🤣🤣

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen11 ай бұрын

    Tunatafuta pesa ya watoto 🤔Tuliyaona ya Bwana Madevu 🤣😂Humuumizi Simba Waumia weweeee😂🤣😏

  • @isaachayes9783
    @isaachayes978311 ай бұрын

    Huyu fedha ndio zinamsumbua, hatujasahau ya Rick Ross teyari umenasa chambo kingine!, yote hayo ni pesa ndo inakuperekesha,!😮Angalia dada fedha fedheha, kwa tamaa ulonayo waweza wabadilisha dini mpaka na watoto!

  • @user-bx6rf6nv4x

    @user-bx6rf6nv4x

    11 ай бұрын

    Kwanini shida ipo wapi punguza k....... M

  • @AfricaQueen

    @AfricaQueen

    11 ай бұрын

    Hii Stori Kama R. Madevu 🤣😂🤣kikiiiii Bado Anampenda Simbaaa 😂🤣😂😏

  • @AfricaQueen

    @AfricaQueen

    11 ай бұрын

    Sura za Filta hakuna leoooo😂🤣😂

  • @baibe...rino..

    @baibe...rino..

    11 ай бұрын

    Huyu ni Malaya tuu wa kawaida ni wakutumiwa tuu na wanaume na kuwachwa Hana jipya huyu 😂😂😂😂

  • @priscaalphonce1662

    @priscaalphonce1662

    11 ай бұрын

    Acheni makasiriko jamani Mungu hapendi kama mtu anaonyesha bidii mpongeze ndio namna na Mungu na yeye atakupa. Sio kumtamkia mabaya mwenzio. Nilikuwa napita ti mikakutana na hii interview nikacheki ila kusoma comment ndio nikachoka. mnaandika vibaya mtakuta maisha yenu yamejaa maovu mpka shetani anawashangaa ila ni vile hayako public na pia ni Siri ya mioyo yenu. Jifunzeni kumtamkia watu baraka, madhambi yake acheni kwa Mungu ndio hakimu wa haki

  • @baibe...rino..
    @baibe...rino..11 ай бұрын

    Mbona Ricky rose alimtia na kumwacha😂😂😂huyu hana nyota ya kupendwa nyota yake ni ya kitumiwa tuu na wanaume nothing else💔💔💔💔🤣🤣🤣🤣so hana jipya

  • @nahlahassan-fd6le

    @nahlahassan-fd6le

    11 ай бұрын

    Umekua mungu Sasa auu

  • @baibe...rino..

    @baibe...rino..

    11 ай бұрын

    @@nahlahassan-fd6le na wewe umekua shetani au??🤔🤔😏

  • @sleeprelaxation8431

    @sleeprelaxation8431

    11 ай бұрын

    so what? wewe umetiwa na kutia wangapi na ume achwa? kafe mbele nyani wewe

  • @baibe...rino..

    @baibe...rino..

    11 ай бұрын

    @@sleeprelaxation8431 unajua nyani haoni mkundu wake so wewe ndio kafie mbali mshenzi sana haujui LA kusema fala wewe 😏😏

  • @ericacharles8710

    @ericacharles8710

    11 ай бұрын

    Wewe nyau tu kama manyau mengine kupendwa wee unaona dili kwanza katafute pesa wee mwenyewe Fala tu huna hata mpenzi nyama wewe

  • @user-oq7ie3vt6n
    @user-oq7ie3vt6n11 ай бұрын

    Hamisa kiukweri nakupenda sana Tena sana mungu akuzidishiye kirakitu mm ni mboniyangu ❤❤❤

Келесі