LISSU: NILIKOSWA KOSWA BAADA YA UCHAGUZI/ BALOZI ALINIOKOA/ POLISI WALISHINDWA/ SIJUI NINGEKUWA WAPI
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#tundulissu #polisi #balozi
Пікірлер: 85
Mungu akupe maisha marefu sana uwaone hata vilembwe wako Rais wa Watanzania wapenda haki. 👊👊👊👊✊✊
@AdoniaIssaya-dw2dt
Жыл бұрын
Mungu akubaliki saana
Alotaka ufe..aliondoka yeye.. dictator mkubwa..alidhani yeye ndo ataishi kama mwamba. Piga kazi Tundu lissu wewe ni shujaa
@gracemima5234
Жыл бұрын
Kila mtu ataondoka. Hata wewe utaondoka. Alipoondoka Magu, Membe alikuwa mmojawapo aliye piga makofi. Naye kaondoka. Wewe unaonekana ni mjinga wa kutupwa. Kifo ni cha kila mtu.
@farhiyaibrahim2053
Жыл бұрын
@@gracemima5234 Wewe ndo mjinga ingelikua babako ungesema hivo? maccm imani imewatoka kwa vyeo tu au kwa pesa tu!! Why umpige mtu risasi kama vile lol!!!
@musasabuu2808
10 ай бұрын
@@gracemima5234unateseka ukiwa wapi
Mungu amemsimamia sana
Tundulissu mungu akuweke mda mrefu wewe Ni mjanja sana
Daaah pole sana Yani wafezeheshwe kabisa
Presenter , I love your sense of compoasure and intelligence
@chai_r
Жыл бұрын
What’s “compoasure”?
Sio pumba angekua baba ako ndio lisu ungelisema hivyo
Waliomshambulia Lisu Wamelaaniwa maisha yao na vizazi vyao,maana anaeamua kuumiza mwingine hali yeye hakuumizwa Amelaaniwa..
@Mina.15
Жыл бұрын
Kabisa they're animals
Kabla haujafa haujaumbika,mwenyezi mungu anakutambua Sana lissu kwani risasi moja tu yaweza ondoa uhai wamtu , lakini ajabu umepigwa risasi nyingi kiasi hicho. Jamani mungu anakupenda Sana na hii inaonesha kuwa hauna hatia mbele za mungu Ila zambi na laana zote zitarudi kwa walo. Kuzuru
@yasiniswedi8835
Жыл бұрын
Mjinga ww hkupgwa lisasi hyo alidanganya
Sasa Magufuli hayupo kwanini uchunguzi haufanyiki?
Asilimia kubwa ya tunaocomment yawezekana hatujui machungu ya Majeraha, ninavyo hisi ni hatari sana kama kwenye kazi tu nikijipiga tu nyundo kidole huwa tunapoteana. tuwe makini
Mwacheni huyu hampango kama unamjua aliokioiga risasi mtaje
😮
Doktaa Slaaa ni chizi kama wengine,,wa kuzuia na kuondoa Askari walinzi ni mkubwa
Hata mwandishi unabidi uwe huna akili uhoji swali dhaifu eti chadema walimteka lissu lakini any way...
Mwaken Dr. Slaa. Agombee URAIS Kwa tiketi ya CHADEMA. Huyoo LIsu Atawasumbuwa sana huyo.
Anamaanisha Wanajulikana na wanawalinda kwa manufaa Yao ivyo yani.
@Mina.15
Жыл бұрын
Yes Hadi leo bado wapo
Je ulijuaeje makufuli rais wetu mpendwa ndie aliye taka kukuua bila thibitisho mweshimiwa lissu tundu
Mwongo, serikali ingetaka kukumata balozi angefanya nini? Sema walipoona una nia ya kuondoka wakali wacha Balaa liende. Umetoka airport watu wanakuachia.
Ndani ya Chadema mulijiteka, mulioigana risasi, Acheni kutumia watu lawama
@samsonfulgence5553
Жыл бұрын
Na wewe ni walewale msiojulikana. Ugaidi mtupu. Kama chadema walikuwa wakijiteka kwanin hamkuwakamata na kuwafungulia mashitaka?
@GideonChacha-tn5lz
Жыл бұрын
Usiombe yakukute, mungu ni wa wote
Mwandishi jibu maswali unayoulizwa halafu utauliza naww ykwako chadema wanauezo kuzuia police kufanya uchunguzii chadema wanauezo kuzuia bunge lisifanye kazi zake na hiyo kauli alioitoa magufuli bdo hujapata picha tu
nazani cha kushukuru wewe ulitoka salaama Mwenyezi MUNGU alikuokoa ndio jambo la msingi ila kuwa shutumu wengine hapo sioni logic
Slaar mjinga kweli. Mtu mzima kama yule baba but empty head
Huyu jamaa mbona kila wakati hanazungumza pumba tu na matatizo yake tu
mwacheni raisi kipenzi cha watanzania apumzike kwa amani. kama hamna sera mkalale
Magufuri hakuwa mbaya hivyo lakini kipindi akishughurika na Mageuzi ya Kiuchumi Tanzania Watu wengi kama wewe mlikuwa mnasiasa za kuzuia anayoyafanya ambayo yalikuwa na Tija kubwa kwenye Taifa letu. Magufuri kufa ukiacha Uchama na Ushabiki wa Kisiasa Magufuri tutamkumbuka sana kuliko wewe Lissu, Nape, Makamba wala yeyote. Nawaza km Ninyi wote mngemuunga Mkono Magu Leo Tz ingekuwa mbali sana
Mwandishi naona anahoji vitu ambavyo mwenyewe anamajibu
Uchaguzi ujao wa 2025 Pia Akiitisha maandamano itakuwa kama wa 2020
We Rudi zako ubelgiji hauna jipya Kila siku ni hayo hayo sera za wafu hauna sera za kuwainua watazania zaidi ya sera zako za matusi ipo siku utateremshwa jukwaani.
Wewe nenda ulaya na ile life
Chama yako ilimpanga kumua
Huyu jamaa sidhani kama anafaa kuakiongozi kwa sasa
@richardnganya2311
Жыл бұрын
Kwa nini ?
@florencemwanansao834
Жыл бұрын
Mamaako mzazi ndo anafaa kuwa kiongoz
@HN-ff3hz
Жыл бұрын
@@richardnganya2311kwasababu ni pro west na hatutegemei mpinzani kua pro west
Achana na magufuli ameshakufa
@kisangageorgethomasi2830
Жыл бұрын
Ata ww ukiwa bandidu ukifa utasemwa tu
@richardnganya2311
Жыл бұрын
Ukifa hakuna zuio la kutokusemwa kwa mazuri au mabaya
@kisangageorgethomasi2830
Жыл бұрын
@@richardnganya2311 kweli
@hassanmfaume4522
7 ай бұрын
@@richardnganya2311ndio maana mzee Mwinyi aliwaasa hawa wanasiasa uchwara waache legacy ya kukumbukwa na mazuri nasiyo maovu tu
kwamaelezo hayo nchi za.magharibi nitatizo na wewe nikibaraka mpaka.sasa hivi
@linus275
Жыл бұрын
Angepigwa ndg Yako usingesema hayo mwache mwamba aseme tu
@josephatikirutu9739
Жыл бұрын
Fran huna ubongo kichwani kwako
@josephatikirutu9739
Жыл бұрын
Mushenyera ujinga wako ni wakurithi
@salumjumaruhaga2513
Жыл бұрын
Stupit pumbafu
@florencemwanansao834
Жыл бұрын
Mpumbav kibaraka mamaako mzazi. Unafurahi mwenzio apate shida ndo maana mnakuwa wachawibwa nyie
Ulijuaje magufuli ndie aliye Fanya jaribio la kukuua thibitsho mweshimiwa lissu dundu
@hassanmfaume4522
7 ай бұрын
Mara ngapi athibitishe
maswali yako yakijinga pumbavuu
Kiki za kishamba
@jamessiame5169
Жыл бұрын
Mushamba wewe
@linus275
Жыл бұрын
Wewe ndo mshamba mtu kuumizwa ni ushamba acheni ushetani huo
@johnsulle4679
Жыл бұрын
@@linus275 cyo mbaya lakini kiki zake zilifanya kazi mpk amepata pesa za kwenda kuishi ughaibuni we akili ndogo hamtakaa muelewe mtu risasi 16 asife
@valenakomba9218
Жыл бұрын
SANAA ,TENA NA UTOTO JUUU.
@florencemwanansao834
Жыл бұрын
Pumbavu zako. Apigwe risasi babaako iwe kiki mbwa wewe
mimi siamini makufuli ange kuwa nyuma ya mpango asinge kuacha ulipo ludi watu wana weza kuwahonga walinzi kwa hiyo sizan makufuli alivyo kuwa na roho zuri ya kusaidia anaweza kutenda hayo
@kassim1262
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@hassanmfaume4522
7 ай бұрын
Kwako alikuwa na roho nzuri uliza familia ya ben saanane azory gwanda na wengine waliopotea watakujibu..!
Hizo story achana nazo...tushazichoka..!
@GideonChacha-tn5lz
Жыл бұрын
I wish yakukute alafu tukuchoke pia
Mjinga ni mwandishi king'ang'anizi. Mtu anajieleza unarudiarudia swali kama hilo. Umekosa maswali?
Aliyempiga risasi hakuna mwingine ni gaidi Mbowe. Mwacheni MAGUFULI apumuzike kwa amani.
@kassim1262
Жыл бұрын
Sasa mbowe anauezogani kuzuia police wasifanye uchunguzi mbowe anauezo gani kuzuia bunge lisifany uchunguzi
wangepatikana hao ndio wange sema kwa nini wali kupiga
Story yako ile ile
Domo lako kubwa lilikuponza.
@erasmusgervas2464
Жыл бұрын
Hata Lisasi za mwenda zake hazikufanikiwa mbele ya Mungu na ndo maana mungu aliondoa mapema uovu huo ili Taifa lipate haweni
@adamnasibu5931
Жыл бұрын
We ni mjinga
@florencemwanansao834
Жыл бұрын
We ni mkundu tu. Vipi domo la mamako mzazi lipo poa
@gililwise
Жыл бұрын
@@florencemwanansao834 hivi unajua maana ya jina lako mpaka utukane matusi ya nguoni?. Kuwa mstaarabu.