LISSU: NILIKOSWA KOSWA BAADA YA UCHAGUZI/ BALOZI ALINIOKOA/ POLISI WALISHINDWA/ SIJUI NINGEKUWA WAPI

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#tundulissu #polisi #balozi

Пікірлер: 85

  • @mzarendo.com9624
    @mzarendo.com9624 Жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu sana uwaone hata vilembwe wako Rais wa Watanzania wapenda haki. 👊👊👊👊✊✊

  • @AdoniaIssaya-dw2dt

    @AdoniaIssaya-dw2dt

    Жыл бұрын

    Mungu akubaliki saana

  • @giovannir.restone182
    @giovannir.restone182 Жыл бұрын

    Alotaka ufe..aliondoka yeye.. dictator mkubwa..alidhani yeye ndo ataishi kama mwamba. Piga kazi Tundu lissu wewe ni shujaa

  • @gracemima5234

    @gracemima5234

    Жыл бұрын

    Kila mtu ataondoka. Hata wewe utaondoka. Alipoondoka Magu, Membe alikuwa mmojawapo aliye piga makofi. Naye kaondoka. Wewe unaonekana ni mjinga wa kutupwa. Kifo ni cha kila mtu.

  • @farhiyaibrahim2053

    @farhiyaibrahim2053

    Жыл бұрын

    @@gracemima5234 Wewe ndo mjinga ingelikua babako ungesema hivo? maccm imani imewatoka kwa vyeo tu au kwa pesa tu!! Why umpige mtu risasi kama vile lol!!!

  • @musasabuu2808

    @musasabuu2808

    10 ай бұрын

    ​@@gracemima5234unateseka ukiwa wapi

  • @musasabuu2808
    @musasabuu280810 ай бұрын

    Mungu amemsimamia sana

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Жыл бұрын

    Tundulissu mungu akuweke mda mrefu wewe Ni mjanja sana

  • @samsonsakwa-sg4du
    @samsonsakwa-sg4du9 ай бұрын

    Daaah pole sana Yani wafezeheshwe kabisa

  • @noeldidas3578
    @noeldidas3578 Жыл бұрын

    Presenter , I love your sense of compoasure and intelligence

  • @chai_r

    @chai_r

    Жыл бұрын

    What’s “compoasure”?

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy5 ай бұрын

    Sio pumba angekua baba ako ndio lisu ungelisema hivyo

  • @martinmadodo4666
    @martinmadodo4666 Жыл бұрын

    Waliomshambulia Lisu Wamelaaniwa maisha yao na vizazi vyao,maana anaeamua kuumiza mwingine hali yeye hakuumizwa Amelaaniwa..

  • @Mina.15

    @Mina.15

    Жыл бұрын

    Kabisa they're animals

  • @mamavena-jd4mc
    @mamavena-jd4mc Жыл бұрын

    Kabla haujafa haujaumbika,mwenyezi mungu anakutambua Sana lissu kwani risasi moja tu yaweza ondoa uhai wamtu , lakini ajabu umepigwa risasi nyingi kiasi hicho. Jamani mungu anakupenda Sana na hii inaonesha kuwa hauna hatia mbele za mungu Ila zambi na laana zote zitarudi kwa walo. Kuzuru

  • @yasiniswedi8835

    @yasiniswedi8835

    Жыл бұрын

    Mjinga ww hkupgwa lisasi hyo alidanganya

  • @jaywi5681
    @jaywi5681 Жыл бұрын

    Sasa Magufuli hayupo kwanini uchunguzi haufanyiki?

  • @fjafrica62
    @fjafrica62 Жыл бұрын

    Asilimia kubwa ya tunaocomment yawezekana hatujui machungu ya Majeraha, ninavyo hisi ni hatari sana kama kwenye kazi tu nikijipiga tu nyundo kidole huwa tunapoteana. tuwe makini

  • @mrajani786
    @mrajani786 Жыл бұрын

    Mwacheni huyu hampango kama unamjua aliokioiga risasi mtaje

  • @turkingmedia
    @turkingmedia5 ай бұрын

    😮

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Жыл бұрын

    Doktaa Slaaa ni chizi kama wengine,,wa kuzuia na kuondoa Askari walinzi ni mkubwa

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka87925 ай бұрын

    Hata mwandishi unabidi uwe huna akili uhoji swali dhaifu eti chadema walimteka lissu lakini any way...

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Жыл бұрын

    Mwaken Dr. Slaa. Agombee URAIS Kwa tiketi ya CHADEMA. Huyoo LIsu Atawasumbuwa sana huyo.

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Жыл бұрын

    Anamaanisha Wanajulikana na wanawalinda kwa manufaa Yao ivyo yani.

  • @Mina.15

    @Mina.15

    Жыл бұрын

    Yes Hadi leo bado wapo

  • @geoffreysore-os7ty
    @geoffreysore-os7ty Жыл бұрын

    Je ulijuaeje makufuli rais wetu mpendwa ndie aliye taka kukuua bila thibitisho mweshimiwa lissu tundu

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 Жыл бұрын

    Mwongo, serikali ingetaka kukumata balozi angefanya nini? Sema walipoona una nia ya kuondoka wakali wacha Balaa liende. Umetoka airport watu wanakuachia.

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Жыл бұрын

    Ndani ya Chadema mulijiteka, mulioigana risasi, Acheni kutumia watu lawama

  • @samsonfulgence5553

    @samsonfulgence5553

    Жыл бұрын

    Na wewe ni walewale msiojulikana. Ugaidi mtupu. Kama chadema walikuwa wakijiteka kwanin hamkuwakamata na kuwafungulia mashitaka?

  • @GideonChacha-tn5lz

    @GideonChacha-tn5lz

    Жыл бұрын

    Usiombe yakukute, mungu ni wa wote

  • @kassim1262
    @kassim1262 Жыл бұрын

    Mwandishi jibu maswali unayoulizwa halafu utauliza naww ykwako chadema wanauezo kuzuia police kufanya uchunguzii chadema wanauezo kuzuia bunge lisifanye kazi zake na hiyo kauli alioitoa magufuli bdo hujapata picha tu

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Жыл бұрын

    nazani cha kushukuru wewe ulitoka salaama Mwenyezi MUNGU alikuokoa ndio jambo la msingi ila kuwa shutumu wengine hapo sioni logic

  • @evansm8802
    @evansm8802 Жыл бұрын

    Slaar mjinga kweli. Mtu mzima kama yule baba but empty head

  • @nathanpangjanda2734
    @nathanpangjanda2734 Жыл бұрын

    Huyu jamaa mbona kila wakati hanazungumza pumba tu na matatizo yake tu

  • @edenusmrosso9225
    @edenusmrosso9225 Жыл бұрын

    mwacheni raisi kipenzi cha watanzania apumzike kwa amani. kama hamna sera mkalale

  • @shabanialfani5394
    @shabanialfani5394 Жыл бұрын

    Magufuri hakuwa mbaya hivyo lakini kipindi akishughurika na Mageuzi ya Kiuchumi Tanzania Watu wengi kama wewe mlikuwa mnasiasa za kuzuia anayoyafanya ambayo yalikuwa na Tija kubwa kwenye Taifa letu. Magufuri kufa ukiacha Uchama na Ushabiki wa Kisiasa Magufuri tutamkumbuka sana kuliko wewe Lissu, Nape, Makamba wala yeyote. Nawaza km Ninyi wote mngemuunga Mkono Magu Leo Tz ingekuwa mbali sana

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Жыл бұрын

    Mwandishi naona anahoji vitu ambavyo mwenyewe anamajibu

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Жыл бұрын

    Uchaguzi ujao wa 2025 Pia Akiitisha maandamano itakuwa kama wa 2020

  • @borysaronge1493
    @borysaronge1493 Жыл бұрын

    We Rudi zako ubelgiji hauna jipya Kila siku ni hayo hayo sera za wafu hauna sera za kuwainua watazania zaidi ya sera zako za matusi ipo siku utateremshwa jukwaani.

  • @mrajani786
    @mrajani786 Жыл бұрын

    Wewe nenda ulaya na ile life

  • @mrajani786
    @mrajani786 Жыл бұрын

    Chama yako ilimpanga kumua

  • @onesphorymgedzi995
    @onesphorymgedzi995 Жыл бұрын

    Huyu jamaa sidhani kama anafaa kuakiongozi kwa sasa

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    Жыл бұрын

    Kwa nini ?

  • @florencemwanansao834

    @florencemwanansao834

    Жыл бұрын

    Mamaako mzazi ndo anafaa kuwa kiongoz

  • @HN-ff3hz

    @HN-ff3hz

    Жыл бұрын

    @@richardnganya2311kwasababu ni pro west na hatutegemei mpinzani kua pro west

  • @MordenTz
    @MordenTz Жыл бұрын

    Achana na magufuli ameshakufa

  • @kisangageorgethomasi2830

    @kisangageorgethomasi2830

    Жыл бұрын

    Ata ww ukiwa bandidu ukifa utasemwa tu

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    Жыл бұрын

    Ukifa hakuna zuio la kutokusemwa kwa mazuri au mabaya

  • @kisangageorgethomasi2830

    @kisangageorgethomasi2830

    Жыл бұрын

    @@richardnganya2311 kweli

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    7 ай бұрын

    ​@@richardnganya2311ndio maana mzee Mwinyi aliwaasa hawa wanasiasa uchwara waache legacy ya kukumbukwa na mazuri nasiyo maovu tu

  • @fransicmushenyera9302
    @fransicmushenyera9302 Жыл бұрын

    kwamaelezo hayo nchi za.magharibi nitatizo na wewe nikibaraka mpaka.sasa hivi

  • @linus275

    @linus275

    Жыл бұрын

    Angepigwa ndg Yako usingesema hayo mwache mwamba aseme tu

  • @josephatikirutu9739

    @josephatikirutu9739

    Жыл бұрын

    Fran huna ubongo kichwani kwako

  • @josephatikirutu9739

    @josephatikirutu9739

    Жыл бұрын

    Mushenyera ujinga wako ni wakurithi

  • @salumjumaruhaga2513

    @salumjumaruhaga2513

    Жыл бұрын

    Stupit pumbafu

  • @florencemwanansao834

    @florencemwanansao834

    Жыл бұрын

    Mpumbav kibaraka mamaako mzazi. Unafurahi mwenzio apate shida ndo maana mnakuwa wachawibwa nyie

  • @geoffreysore-os7ty
    @geoffreysore-os7ty Жыл бұрын

    Ulijuaje magufuli ndie aliye Fanya jaribio la kukuua thibitsho mweshimiwa lissu dundu

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    7 ай бұрын

    Mara ngapi athibitishe

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz Жыл бұрын

    maswali yako yakijinga pumbavuu

  • @johnsulle4679
    @johnsulle4679 Жыл бұрын

    Kiki za kishamba

  • @jamessiame5169

    @jamessiame5169

    Жыл бұрын

    Mushamba wewe

  • @linus275

    @linus275

    Жыл бұрын

    Wewe ndo mshamba mtu kuumizwa ni ushamba acheni ushetani huo

  • @johnsulle4679

    @johnsulle4679

    Жыл бұрын

    @@linus275 cyo mbaya lakini kiki zake zilifanya kazi mpk amepata pesa za kwenda kuishi ughaibuni we akili ndogo hamtakaa muelewe mtu risasi 16 asife

  • @valenakomba9218

    @valenakomba9218

    Жыл бұрын

    SANAA ,TENA NA UTOTO JUUU.

  • @florencemwanansao834

    @florencemwanansao834

    Жыл бұрын

    Pumbavu zako. Apigwe risasi babaako iwe kiki mbwa wewe

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Жыл бұрын

    mimi siamini makufuli ange kuwa nyuma ya mpango asinge kuacha ulipo ludi watu wana weza kuwahonga walinzi kwa hiyo sizan makufuli alivyo kuwa na roho zuri ya kusaidia anaweza kutenda hayo

  • @kassim1262

    @kassim1262

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    7 ай бұрын

    Kwako alikuwa na roho nzuri uliza familia ya ben saanane azory gwanda na wengine waliopotea watakujibu..!

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Жыл бұрын

    Hizo story achana nazo...tushazichoka..!

  • @GideonChacha-tn5lz

    @GideonChacha-tn5lz

    Жыл бұрын

    I wish yakukute alafu tukuchoke pia

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Жыл бұрын

    Mjinga ni mwandishi king'ang'anizi. Mtu anajieleza unarudiarudia swali kama hilo. Umekosa maswali?

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Жыл бұрын

    Aliyempiga risasi hakuna mwingine ni gaidi Mbowe. Mwacheni MAGUFULI apumuzike kwa amani.

  • @kassim1262

    @kassim1262

    Жыл бұрын

    Sasa mbowe anauezogani kuzuia police wasifanye uchunguzi mbowe anauezo gani kuzuia bunge lisifany uchunguzi

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Жыл бұрын

    wangepatikana hao ndio wange sema kwa nini wali kupiga

  • @mrajani786
    @mrajani786 Жыл бұрын

    Story yako ile ile

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Жыл бұрын

    Domo lako kubwa lilikuponza.

  • @erasmusgervas2464

    @erasmusgervas2464

    Жыл бұрын

    Hata Lisasi za mwenda zake hazikufanikiwa mbele ya Mungu na ndo maana mungu aliondoa mapema uovu huo ili Taifa lipate haweni

  • @adamnasibu5931

    @adamnasibu5931

    Жыл бұрын

    We ni mjinga

  • @florencemwanansao834

    @florencemwanansao834

    Жыл бұрын

    We ni mkundu tu. Vipi domo la mamako mzazi lipo poa

  • @gililwise

    @gililwise

    Жыл бұрын

    @@florencemwanansao834 hivi unajua maana ya jina lako mpaka utukane matusi ya nguoni?. Kuwa mstaarabu.

Келесі