LEMA AKIWASHA TANGA MJINI, AWASHANGAA WANAONUNULIKA NA CCM, ADAI YEYE HANUNULIKI

Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 6

  • @yomseyyomsey5114
    @yomseyyomsey511420 күн бұрын

    Lema ni Jembe Kabisa Anajua sana Kujenga Hoja na mchambuzi Makin Sana wa Uchumi,Kijamii,Kisiasa na muwaz sana. NAOMBA2 VIONGOZ WA CHADEMA KUWEKA NGUVU KUBWA KATIKA MAENEO YOTE Yaliyo nyuma na Upinzani MKALIAMSHE ZAID MIKUTANO MINGI Ngazi zote yaani kijiji,kata,mtaa, na Vitongoji MFANO Dodoma,Tanga,manyara,Tabora nakadhalika.

  • @reginas1832
    @reginas183219 күн бұрын

    Kamanda

  • @georgempogomi7329
    @georgempogomi732920 күн бұрын

    Shida ccm wote ni wachawi ,waganga ,wezi wa kura,na machawa kila mtu wanamloga tuombeni Mungu atuondolee huu mzimuCCM

  • @issataslima9846
    @issataslima984619 күн бұрын

    Kuna watu wanakihujumu Chama kwenye matangazo jamani yanakatakata saan hasa viongoozi wanapo toa points zamaana

  • @reginas1832
    @reginas183219 күн бұрын

    Tanganyika tuamke

  • @jumannentimizi9000
    @jumannentimizi900020 күн бұрын

    WENGINE WANAAMBIWA UKWELI LAKINI UTAONA WAKATI WA UCHAGUZI WANAPEWA CHUMVI NA KOFIA WANASAHAU YOTE WANAPIGA KURA BAADAE UTASIKIA USHINDI WA KISHINDO WANACHEKA NA KUSHANGILIA UKIANGALIA USHINDIA CHUNGWA TU KWAKWELI WATANZANIA TUMEROGWA NANANI JAMANI?

Келесі