KWAYA YA UMOJA - NINATAKA KUINGIA [TUMWABUDU MUNGU WETU (154)] (KKKT WAZO HILL)
KKKT - DMP WAZO HILL
KWAYA YA UMOJA - NINATAKA KUINGIA [TUMWABUDU MUNGU WETU (154)]
TUFUATILIE KUPITIA MITANDAO YETU:
INSTAGRAM - / kkkt_wazo_hill
FACEBOOK ACCOUNT - / 100069093037456
FACEBOOK PAGE - / kkkt-wazo-hill-dmp-103...
KZread - / @kkktwazohill
WEBSITE : www.wazohillparish.or.tz/
KWA MAONI NA USHAURI:
Simu : +255 653 659 110
Barua Pepe : wazohillchurch21@gmail.com
#kkkt #dmp #kkktwazohill #kkktkijitonyama #kkktmbezibeach #kkktkimara #azaniafrontlutheranchurch #upendomedia #upendotv #love #mungu #god #yesu #jesus #religion #spiritual #faith #dayosisi #dayosisiyamashirikipwani #ibada #pasaka #live #mubashara #wazo #wazohill #kinondoni #tanzania #eastafrica #africa
Пікірлер: 144
Aisee huu wimbo mimi kama mKKKT naupenda sana kwakweli,aisee aliyeleta huu wimbo na hii notem MUNGU AMBARIKI SANA 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Bila hiyo sauti ya 4 wimbo usingenoga....you made my day! Waao!
❤❤❤❤ I 😢😢😢 huu wimbo nafurahi hd na Lia haswa kipindi hiki nilichompoteza mdogo wangu ghafla wakiwa wanapenda kumzika upareni alafu kwenye ajali akafa peke yake uwiii mungu awa bariki kwakutupa vitu adim
@sir_ENOCKMACHA
3 күн бұрын
Pole sana mamaaa
Namkumbuka Mama yangu alitangulia kwa Mungu,huu wimbo aliupenda sana,Mungu endelea kumhifadhi Mama Yangu mahali pazuri hadi siku nitakayomuona tena,AMEN
Mungu wangu wambinguni awatunze hakika Wimbo umenifanya nabubujikwa namachonzi umenikumbusha mbali sana Mungu awatunze.
Mungu wa mbinguni awabariki kwa wimbo mzuri na sauti nzuri
Kila nikiliza wimbo huu napata aman na roho mtskatifu kuwepo na kutawala Hongera saaana baba kwa sauti yako ya 4
Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri ila besi halikupendeza
Mungu wangu najisifia mno kuwa mluteri jamani nyimbo zetu ni za Utukufu na injili tuuu oh hleluia Bwana
Neno lako ee yesu linanipa uzima nikifika nitaimba umeniponya🙏😭
Wimbo huu kiukweli ukiwa nahuzuni faraja inarudi.pia miaka ya 1963 Dunia ilikuwa na Amani kubwa Mno Mbarikiwe sana Wazo Amen
Hongera sana Elihudi Emmanuel kwa kazi nzuri mngeuimba tena u control sauti ya 4 kwenye Mike. Zaidi mbarikiwe kwa ubunifu wa Kiwango cha juu cha uimbaji wimbo huu. Sichokagi mana niwimbo wangu wa Kipaimara tuliingia nao na Trapet miaka hiyo. Nakuelewa kwa kazi hizi
Mungu akutunze saana baba sauti yako ya 4 ni nzuri mno mno kwa ujumla mnaimba vizuri sana Neno lako eeeeh Yesu
All voices are clear amazing.
Ooooh haleluya hizi ndizo nyimbo zinazompa MUNGU wetu UTUKUFU na uwepo wake unalijaza kanisa
Ukiusikiliza wimbo huu kwa umakini unisikia hisia nzito moyoni!! Kuna wadada wawili wanaimba kwa hisia kali hadi machozi yanatiririka!! Hongera sana kwaya nzima!!
Nakupenda wimbo huu ninataka kuingia mjini Kwa Mungu
Mwimbaji na Mike ana base Safi lakini ameiweka karibu sana
Nimebarikiwa sana sana! nimekumbuka nyumbani
I like the base leading,am blessed
@kipipakipipa5050
Жыл бұрын
Kabisa
😢😢huu wimbo umenikumbusha siku namzika Baba yangu😢😢 pia unanifariji sana
Hongera sana Baba yangu kwa kumuimbia Mungu na Kwaya nzima
Hongereni sana aise satu tamu mno ,, I love it so much 💓🔥🔥🔥💕💕💕
Huu wimbo unanikumbusha mbali mungu awabalik sana muda wenu sibule mungu ata walipa
Home sweet home !! Mmenikumbusha nyumbani ❤❤❤
Mmeimba vizuri sanaa Yani Siku nyingine huyo aliyeimba ameshika maiki msimpe tena maiki kaharibu Radha yani
Hiyo ndo KKKT OG. Hadi raha. Hongereni sana
@noelbryson7840
5 ай бұрын
Ameen
This is not just like a song is a powerful prayer. Am not kkkt but I like all team Jesus. Am proud being team Jesus from Catholic
The bass is so powerful and beautiful. I love the melody
Well sung song by it when sung in truth and spirit it can open the heaven showers of blessings Steven Lauwo
Ni wimbo unaonipa faraja kubwa Sana! Mungu awabariki
Kwaya nzuri na sauti nzuri sana ,hongera sana watumishi wa Mungu ,
Mungu awabariki kwa wimbo mzuri
Angelic voices praising mighty God in heaven. God the son in control of his flock! Receive the praises.
This is my fav song of all
Hongereni sana..mpiga kinanda kafanya kweli pia
Hongera sana Kwaya ya umoja. Sauti yako njema Teacher Erick nimekusoma # Kwaya ya wanawake msasani
Wimbo mtamu sana.barikiweni sana
❤❤❤❤❤❤
Yesu ananiambia uningojee😢🙏🙏🙏🙏
Mimi sitaki kingine ila uzima🙏🏽
well sing ,good dressing all are smart.....barikiweni sana
Hongreen sana
Huu wimbo aisee... Ukiuimba kwa kuutafakari lazima utoe machozi, anyways mbarikiwe Sana wazo hill, nawapendaga Sana ila huyo aliyeimba sauti ya nne ameharibu ladha halisi iliyotakiwa kwa Susi wasikilizaji not nyngi haziimbi kwa usahihi na Mic kaiweka karibu Sana imeharibu harmony ya muziki..mwalimu pokea maoni Haya uyafanyie kazi, NAWATAKIA HUDUMA NJEMA
@kkktwazohill
Жыл бұрын
Asante tumepokea mawazo yako mpendwa
@sir_ENOCKMACHA
3 күн бұрын
@@kkktwazohill napendekeza uimbwe upya ndio muuapload bila huyo wa base
Huyo wa sauti ya 4 ndiye aliyenogesha huu wimbo kiasi hiku ,kiongozi naye da yuko vizuri mno mno wimbo wa nguvu sana
@noelbryson7840
5 ай бұрын
Kabisa mtumishi, Sauti ya 4 nzuri na yakuvutia imenibariki sana.. Mwisho wa siku wote wameniambia vizuri sana.. Katika maisha yangu hapa duniani hii ni kati ya nyimbo zilizonibariki
Naupenda wimbo huu
Touching song ever. Hongereni sana
Hizo ndizo nyimbo tunafaa kuimba barikiweni sana
Baba hongera sana Kwa sauti ya nne
Very touching song i like it
Sauti ya nne ni haba sana duniani hawa wamebahatasha kuwa na mtu mmoja tu mwenye kipaji ktk sauti hiyo
Hongelen sana mmenikimbusha mbali
Mungu awabariki
Mungu awabariki sana mmeimba vzuri sanaaa
Hongereni sana waimbaji ....
Uyo aliye imba na mike amezingua sanaaa alafu maneno hajashika
@kkktwazohill
Жыл бұрын
Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.
Jaman hyo ndo kkkt dah hakika
Barikiweni mno tumebarikiwa sana na wimbo huu.
@kkktwazohill
Жыл бұрын
Amen
Barikiweni sana mpo vizuri sana
Hongeren kwa huduma nzuri
😂Huyu wa Bass yuko vzr sana , ila pumzi taab kidogo😅 Congrats Umoja Choir
Hamna kitu hiyo bes ameharibu khaaa
Mwenye mic jamn karibu ladha ya wimbo sana ,
mmeuaa sana🤗
Mbarikiwe sana
Mbarikiwee sanaaa ❤❤❤❤❤❤
Kwa kweli nahisi roho wa Mungu yupo mahali hapa. Wimbo huu huniletea kumbukumbu za mazishi ya shangazi yangu.......NIKIFIFIKA NITAIMBA UMENIPONYE!
Halelujah
Congratulations 👍👍👍
Kaharibu sana aliyepo kwenye 🎤
Stay blessed Wazo Hill
Asante waimbaji nimeguswa
Bass safi sana
Huu Mwimbo unanikumbusha Baba yangu alivyokuwa anaimba yaan Tena huyo Baba anayeimba hapo kwa sauti ananipa Faraja ya kwamba Niko na Baba yangu mzazi kabisa Mungu endelea kumpunzisha kwa Amani Mzee Martin ameacha alama nzuri Duniani😢😢 Mkono wako unishike nisianguke najiona kuwa mnyonge Nuru mwake. ×2 Neno lako eee Yesu linanipa uzima Nikifika nitaimba umeniponya×2
@nelsonlugaimukamu6611
8 ай бұрын
Kumuenzi ni kuishika na kuitetea Imani.....
Hongereni waimbaji mmeimba vizuri
♥️♥️😢♥️👏🇮🇱🇹🇿 Huwa najisikia Raha sana ndani yangu wimbo huu ukipigwa Ibada I.
@kkktwazohill
Жыл бұрын
Share link na wengine wapate kubarikiwa Mpendwa.
@matendokadinde6533
Жыл бұрын
Barikiwa Sana wahubiri kwa njia ya nyimbo
aloshika maiki kaharibu wimbo, wengine wote waliimba sawa ila yeye aliimba anachojua yeye
Hongeren I sana 🙏🙏🙏
Hongeren sanaa
Amen, Mungu Awabariki
@kkktwazohill
Жыл бұрын
Amen
Huyo wa mike amebaribu
@kkktwazohill
Жыл бұрын
Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.
@aminanialice4435
Жыл бұрын
Huu wimbo nikius🎉ikiliza kwa tafakari na jinsi ulivyoimbwa nabatikiwa sana maana ni kweli naona mimi siwezi peke yangu pasipo UWEZA WA YESU KRISTO KWELI NATAMANI SANA kufika kwa baba ila bado najikongoja nautafuta uso wa Bwana. YESU KRISTO NDIE MSAADA WANGU.
@aaronswai6935
Жыл бұрын
Mungu wabaruki KKKT WAZO HILL na kuzidi sana 🙏🙏🙏
Ni wimbo mzuri unipa ujasir
SAUTI YA 4 , SAUTI YA 4 , IMENIBARIKI SANA SANA, WAIMBAJI WOTE PIA WAMEIMBA VIZURI SANA SANA PIA.. HII NI KATI YA NYIMBO ZITAKAZO BAKI KWENYE MOYO WANGU HAPA DUNIANI..
❤
Asante. Kama walivyosema wengine, kwa taaluma yetu ya muziki, mtu ambaye sauti yake ni kubwa, pana au nzito huwa hawekewi maiki. Hapo base ameonekana kama yeye ndiye Solo. Otherwise, grateful!!!
Woow
Katika uimbaji haitakiwi kusikia sauti ya flani. Inatakiwa kusikika sauti ya 1, 2, 3 na 4. Ukiimba usifunike sauti za wengine.
Huyo kwenye microphone🎤🎤 daaah😞😞
Jaman kwann mlimpa mic huyo wa bass huo niuimbaj wawap sijapenda kabisa
@busaraclemence4447
7 ай бұрын
ukijakujua muziki utamuelewa hahahahaaa
Epukeni kutumia mic kwenye set songs za halaiki. Jifunzeni kuimba sauti bila mic. Ona sasa utamu wote wa wimbo umemezwa na huyo jamaa anayeimba bass nadhani yupo karibu na mic. Kwenye uimbaji wa halaiki Kila sauti inatakiwa isikike kwa ratio. Otherwise hongereni kwa dressing code na utulivu wa kiibada. Ni Mimi ndugu yenu mkatolikiki
@akidajulius1581
Жыл бұрын
Nikweli kabisa,
@theodorajohn9474
Жыл бұрын
Mpo vzr mbarikiwe
Wimbo mzur ila aloimba sait ya nne akasikika peke yake yake kaharibu utamu wote wa wimbo
@blessednassary8432
Жыл бұрын
Kwa kwl kaaribu wimbo, ni kama ameforce solo ivi
@kkktwazohill
Жыл бұрын
Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.
Hongereni sana kwa kuimba VIZURI
Huyo bas kameza woote anasikika zaidi hivyo uwekeni vizuri
Huyo anayeimba mwenyewe kwa mike anaharibu wimbo. Na tena haimbi sawa na noti zilivyo
@kkktwazohill
Жыл бұрын
Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.
@franklema2008
Жыл бұрын
Mbona kama anaimba sahihi sauti ya nne?
Microphone huwa inawekwa kwa mbali kidogo Kama Ni nyimbo ya pamoja otherwise sound system haijakaa sawa, bass iko juu Sana inafunika sauti zingine
@SeaRockinvestments
Жыл бұрын
Haya wataalam wa mziki no eneo lenu kutoa ushauri mini kiboreshwe ili Jina la Bwana liendelee kuinuliwa
@kkktwazohill
Жыл бұрын
Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.
Huu wimbo ukiimbwa kwa roho lazima utoe machozi una uhalisia mno
@kkktwazohill
Жыл бұрын
Share link na wengine wapate kubarikiwa Mpendwa.
@lanesmkemwa2718
Жыл бұрын
Hakika
@SilasMbise-bp4ph
11 ай бұрын
Mungu wabariki
@leslietewe5520
22 күн бұрын
Ukiwaangalia wanakwaya wenyewe wakiimba makini kiroho na wengine wanatokwa na machozi!! Umeimbwa kwa hisia kali sana!!
Hakika wimbo unagusa mioyo ya watu,barikiweni sana!!!!🙌🙌🙌
Good singing bt huyo Jamaa wa base pooo
Nooo kwaya lazima sauti zibalance hiyo ya 4 inakera as if yy ndo important kuliko wote!
sauti ya nne dah