KWAYA YA UMOJA - NINATAKA KUINGIA [TUMWABUDU MUNGU WETU (154)] (KKKT WAZO HILL)

KKKT - DMP WAZO HILL
KWAYA YA UMOJA - NINATAKA KUINGIA [TUMWABUDU MUNGU WETU (154)]
TUFUATILIE KUPITIA MITANDAO YETU:
INSTAGRAM - / kkkt_wazo_hill
FACEBOOK ACCOUNT - / 100069093037456
FACEBOOK PAGE - / kkkt-wazo-hill-dmp-103...
KZread - / @kkktwazohill
WEBSITE : www.wazohillparish.or.tz/
KWA MAONI NA USHAURI:
Simu : +255 653 659 110
Barua Pepe : wazohillchurch21@gmail.com
#kkkt #dmp #kkktwazohill #kkktkijitonyama #kkktmbezibeach #kkktkimara #azaniafrontlutheranchurch #upendomedia #upendotv #love #mungu #god #yesu #jesus #religion #spiritual #faith #dayosisi #dayosisiyamashirikipwani #ibada #pasaka #live #mubashara #wazo #wazohill #kinondoni #tanzania #eastafrica #africa

Пікірлер: 144

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA3 күн бұрын

    Aisee huu wimbo mimi kama mKKKT naupenda sana kwakweli,aisee aliyeleta huu wimbo na hii notem MUNGU AMBARIKI SANA 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @brantywilson1347
    @brantywilson13473 ай бұрын

    Bila hiyo sauti ya 4 wimbo usingenoga....you made my day! Waao!

  • @MARYNAGUJustin
    @MARYNAGUJustin15 күн бұрын

    ❤❤❤❤ I 😢😢😢 huu wimbo nafurahi hd na Lia haswa kipindi hiki nilichompoteza mdogo wangu ghafla wakiwa wanapenda kumzika upareni alafu kwenye ajali akafa peke yake uwiii mungu awa bariki kwakutupa vitu adim

  • @sir_ENOCKMACHA

    @sir_ENOCKMACHA

    3 күн бұрын

    Pole sana mamaaa

  • @brysonjohnlukumay
    @brysonjohnlukumay19 күн бұрын

    Namkumbuka Mama yangu alitangulia kwa Mungu,huu wimbo aliupenda sana,Mungu endelea kumhifadhi Mama Yangu mahali pazuri hadi siku nitakayomuona tena,AMEN

  • @JordanBegumisa
    @JordanBegumisaАй бұрын

    Mungu wangu wambinguni awatunze hakika Wimbo umenifanya nabubujikwa namachonzi umenikumbusha mbali sana Mungu awatunze.

  • @SaraMaphie
    @SaraMaphie3 ай бұрын

    Mungu wa mbinguni awabariki kwa wimbo mzuri na sauti nzuri

  • @francescammari5337
    @francescammari5337Ай бұрын

    Kila nikiliza wimbo huu napata aman na roho mtskatifu kuwepo na kutawala Hongera saaana baba kwa sauti yako ya 4

  • @DastanKitojo-bo1cc
    @DastanKitojo-bo1cc3 ай бұрын

    Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri ila besi halikupendeza

  • @merceulomi4003
    @merceulomi4003 Жыл бұрын

    Mungu wangu najisifia mno kuwa mluteri jamani nyimbo zetu ni za Utukufu na injili tuuu oh hleluia Bwana

  • @TinnahJatros
    @TinnahJatrosАй бұрын

    Neno lako ee yesu linanipa uzima nikifika nitaimba umeniponya🙏😭

  • @latiaelimbise8584
    @latiaelimbise8584 Жыл бұрын

    Wimbo huu kiukweli ukiwa nahuzuni faraja inarudi.pia miaka ya 1963 Dunia ilikuwa na Amani kubwa Mno Mbarikiwe sana Wazo Amen

  • @emmanuelidafa2974
    @emmanuelidafa297410 ай бұрын

    Hongera sana Elihudi Emmanuel kwa kazi nzuri mngeuimba tena u control sauti ya 4 kwenye Mike. Zaidi mbarikiwe kwa ubunifu wa Kiwango cha juu cha uimbaji wimbo huu. Sichokagi mana niwimbo wangu wa Kipaimara tuliingia nao na Trapet miaka hiyo. Nakuelewa kwa kazi hizi

  • @francescammari5337
    @francescammari5337Ай бұрын

    Mungu akutunze saana baba sauti yako ya 4 ni nzuri mno mno kwa ujumla mnaimba vizuri sana Neno lako eeeeh Yesu

  • @ericsababu8825
    @ericsababu88253 күн бұрын

    All voices are clear amazing.

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 Жыл бұрын

    Ooooh haleluya hizi ndizo nyimbo zinazompa MUNGU wetu UTUKUFU na uwepo wake unalijaza kanisa

  • @leslietewe5520
    @leslietewe55204 ай бұрын

    Ukiusikiliza wimbo huu kwa umakini unisikia hisia nzito moyoni!! Kuna wadada wawili wanaimba kwa hisia kali hadi machozi yanatiririka!! Hongera sana kwaya nzima!!

  • @MargarethKisse
    @MargarethKisse7 ай бұрын

    Nakupenda wimbo huu ninataka kuingia mjini Kwa Mungu

  • @kimanzitunzi4600
    @kimanzitunzi4600 Жыл бұрын

    Mwimbaji na Mike ana base Safi lakini ameiweka karibu sana

  • @rhodanangoma7386
    @rhodanangoma7386 Жыл бұрын

    Nimebarikiwa sana sana! nimekumbuka nyumbani

  • @augustinenjengwa7515
    @augustinenjengwa7515 Жыл бұрын

    I like the base leading,am blessed

  • @kipipakipipa5050

    @kipipakipipa5050

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @annaikungu6429
    @annaikungu642911 ай бұрын

    😢😢huu wimbo umenikumbusha siku namzika Baba yangu😢😢 pia unanifariji sana

  • @francescammari5337
    @francescammari533727 күн бұрын

    Hongera sana Baba yangu kwa kumuimbia Mungu na Kwaya nzima

  • @williamnyaga6094
    @williamnyaga60946 ай бұрын

    Hongereni sana aise satu tamu mno ,, I love it so much 💓🔥🔥🔥💕💕💕

  • @user-hv3gr9hs2n
    @user-hv3gr9hs2n9 ай бұрын

    Huu wimbo unanikumbusha mbali mungu awabalik sana muda wenu sibule mungu ata walipa

  • @allanngowi9015
    @allanngowi901511 ай бұрын

    Home sweet home !! Mmenikumbusha nyumbani ❤❤❤

  • @heavenlymusicproduction4360
    @heavenlymusicproduction4360 Жыл бұрын

    Mmeimba vizuri sanaa Yani Siku nyingine huyo aliyeimba ameshika maiki msimpe tena maiki kaharibu Radha yani

  • @elamungairo4785
    @elamungairo478510 ай бұрын

    Hiyo ndo KKKT OG. Hadi raha. Hongereni sana

  • @noelbryson7840

    @noelbryson7840

    5 ай бұрын

    Ameen

  • @arttilioemiliam2419
    @arttilioemiliam2419 Жыл бұрын

    This is not just like a song is a powerful prayer. Am not kkkt but I like all team Jesus. Am proud being team Jesus from Catholic

  • @dennisondari94
    @dennisondari945 ай бұрын

    The bass is so powerful and beautiful. I love the melody

  • @eliawonylauwo1005
    @eliawonylauwo1005 Жыл бұрын

    Well sung song by it when sung in truth and spirit it can open the heaven showers of blessings Steven Lauwo

  • @solomonkingu3837
    @solomonkingu38379 ай бұрын

    Ni wimbo unaonipa faraja kubwa Sana! Mungu awabariki

  • @gracenyanchama9869
    @gracenyanchama98699 ай бұрын

    Kwaya nzuri na sauti nzuri sana ,hongera sana watumishi wa Mungu ,

  • @joelrushima6487
    @joelrushima6487 Жыл бұрын

    Mungu awabariki kwa wimbo mzuri

  • @ronn3340
    @ronn3340 Жыл бұрын

    Angelic voices praising mighty God in heaven. God the son in control of his flock! Receive the praises.

  • @magorimagori9264
    @magorimagori9264 Жыл бұрын

    This is my fav song of all

  • @simonmusyimi2209
    @simonmusyimi22094 ай бұрын

    Hongereni sana..mpiga kinanda kafanya kweli pia

  • @ceciliampamila2000
    @ceciliampamila20002 ай бұрын

    Hongera sana Kwaya ya umoja. Sauti yako njema Teacher Erick nimekusoma # Kwaya ya wanawake msasani

  • @lizben1150
    @lizben11503 ай бұрын

    Wimbo mtamu sana.barikiweni sana

  • @SaraMaphie
    @SaraMaphie3 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @ceciliakingazi6792
    @ceciliakingazi67928 ай бұрын

    Yesu ananiambia uningojee😢🙏🙏🙏🙏

  • @christophermshuza5648
    @christophermshuza5648Ай бұрын

    Mimi sitaki kingine ila uzima🙏🏽

  • @mmbandomacky2117
    @mmbandomacky2117 Жыл бұрын

    well sing ,good dressing all are smart.....barikiweni sana

  • @user-xy8co8uo1w
    @user-xy8co8uo1w18 күн бұрын

    Hongreen sana

  • @inesmtoi7344
    @inesmtoi7344 Жыл бұрын

    Huu wimbo aisee... Ukiuimba kwa kuutafakari lazima utoe machozi, anyways mbarikiwe Sana wazo hill, nawapendaga Sana ila huyo aliyeimba sauti ya nne ameharibu ladha halisi iliyotakiwa kwa Susi wasikilizaji not nyngi haziimbi kwa usahihi na Mic kaiweka karibu Sana imeharibu harmony ya muziki..mwalimu pokea maoni Haya uyafanyie kazi, NAWATAKIA HUDUMA NJEMA

  • @kkktwazohill

    @kkktwazohill

    Жыл бұрын

    Asante tumepokea mawazo yako mpendwa

  • @sir_ENOCKMACHA

    @sir_ENOCKMACHA

    3 күн бұрын

    @@kkktwazohill napendekeza uimbwe upya ndio muuapload bila huyo wa base

  • @richardkirenga1112
    @richardkirenga11126 ай бұрын

    Huyo wa sauti ya 4 ndiye aliyenogesha huu wimbo kiasi hiku ,kiongozi naye da yuko vizuri mno mno wimbo wa nguvu sana

  • @noelbryson7840

    @noelbryson7840

    5 ай бұрын

    Kabisa mtumishi, Sauti ya 4 nzuri na yakuvutia imenibariki sana.. Mwisho wa siku wote wameniambia vizuri sana.. Katika maisha yangu hapa duniani hii ni kati ya nyimbo zilizonibariki

  • @MargarethKisse
    @MargarethKisse7 ай бұрын

    Naupenda wimbo huu

  • @kipipakipipa5050
    @kipipakipipa5050 Жыл бұрын

    Touching song ever. Hongereni sana

  • @NdindaKioko-jv5fy
    @NdindaKioko-jv5fy2 ай бұрын

    Hizo ndizo nyimbo tunafaa kuimba barikiweni sana

  • @MargarethKisse
    @MargarethKisse7 ай бұрын

    Baba hongera sana Kwa sauti ya nne

  • @monicamwary8240
    @monicamwary824011 ай бұрын

    Very touching song i like it

  • @MartinChedy
    @MartinChedy16 күн бұрын

    Sauti ya nne ni haba sana duniani hawa wamebahatasha kuwa na mtu mmoja tu mwenye kipaji ktk sauti hiyo

  • @rahelmdoe3460
    @rahelmdoe3460 Жыл бұрын

    Hongelen sana mmenikimbusha mbali

  • @elinamnatai9990
    @elinamnatai999010 ай бұрын

    Mungu awabariki

  • @wintyapamawalla2539
    @wintyapamawalla2539 Жыл бұрын

    Mungu awabariki sana mmeimba vzuri sanaaa

  • @evajestcaemmanuel6456
    @evajestcaemmanuel645611 ай бұрын

    Hongereni sana waimbaji ....

  • @joelsamwel2580
    @joelsamwel2580 Жыл бұрын

    Uyo aliye imba na mike amezingua sanaaa alafu maneno hajashika

  • @kkktwazohill

    @kkktwazohill

    Жыл бұрын

    Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.

  • @SilasMbise-bp4ph
    @SilasMbise-bp4ph11 ай бұрын

    Jaman hyo ndo kkkt dah hakika

  • @SeaRockinvestments
    @SeaRockinvestments Жыл бұрын

    Barikiweni mno tumebarikiwa sana na wimbo huu.

  • @kkktwazohill

    @kkktwazohill

    Жыл бұрын

    Amen

  • @lameckkitiku
    @lameckkitiku2 ай бұрын

    Barikiweni sana mpo vizuri sana

  • @edwardmkaro2021
    @edwardmkaro2021 Жыл бұрын

    Hongeren kwa huduma nzuri

  • @leonardmakwela5551
    @leonardmakwela55512 ай бұрын

    😂Huyu wa Bass yuko vzr sana , ila pumzi taab kidogo😅 Congrats Umoja Choir

  • @user-ui1nl5jm2l
    @user-ui1nl5jm2l2 ай бұрын

    Hamna kitu hiyo bes ameharibu khaaa

  • @elibarikmafie7490
    @elibarikmafie7490 Жыл бұрын

    Mwenye mic jamn karibu ladha ya wimbo sana ,

  • @busaraclemence4447
    @busaraclemence444710 ай бұрын

    mmeuaa sana🤗

  • @didanitondi1158
    @didanitondi1158 Жыл бұрын

    Mbarikiwe sana

  • @didanitondi1158
    @didanitondi11587 ай бұрын

    Mbarikiwee sanaaa ❤❤❤❤❤❤

  • @georgejumaa9672
    @georgejumaa9672 Жыл бұрын

    Kwa kweli nahisi roho wa Mungu yupo mahali hapa. Wimbo huu huniletea kumbukumbu za mazishi ya shangazi yangu.......NIKIFIFIKA NITAIMBA UMENIPONYE!

  • @theodorajohn9474
    @theodorajohn94749 ай бұрын

    Halelujah

  • @user-vf5yl6yg6n
    @user-vf5yl6yg6n Жыл бұрын

    Congratulations 👍👍👍

  • @samsonmwakikuti5318
    @samsonmwakikuti5318 Жыл бұрын

    Kaharibu sana aliyepo kwenye 🎤

  • @lanesmkemwa2718
    @lanesmkemwa2718 Жыл бұрын

    Stay blessed Wazo Hill

  • @VenelandaKabura-bc8dk
    @VenelandaKabura-bc8dk Жыл бұрын

    Asante waimbaji nimeguswa

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538Ай бұрын

    Bass safi sana

  • @julietymartin1739
    @julietymartin17399 ай бұрын

    Huu Mwimbo unanikumbusha Baba yangu alivyokuwa anaimba yaan Tena huyo Baba anayeimba hapo kwa sauti ananipa Faraja ya kwamba Niko na Baba yangu mzazi kabisa Mungu endelea kumpunzisha kwa Amani Mzee Martin ameacha alama nzuri Duniani😢😢 Mkono wako unishike nisianguke najiona kuwa mnyonge Nuru mwake. ×2 Neno lako eee Yesu linanipa uzima Nikifika nitaimba umeniponya×2

  • @nelsonlugaimukamu6611

    @nelsonlugaimukamu6611

    8 ай бұрын

    Kumuenzi ni kuishika na kuitetea Imani.....

  • @happyjanuaryfusi1145
    @happyjanuaryfusi1145 Жыл бұрын

    Hongereni waimbaji mmeimba vizuri

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 Жыл бұрын

    ♥️♥️😢♥️👏🇮🇱🇹🇿 Huwa najisikia Raha sana ndani yangu wimbo huu ukipigwa Ibada I.

  • @kkktwazohill

    @kkktwazohill

    Жыл бұрын

    Share link na wengine wapate kubarikiwa Mpendwa.

  • @matendokadinde6533

    @matendokadinde6533

    Жыл бұрын

    Barikiwa Sana wahubiri kwa njia ya nyimbo

  • @vincentgodlisten1434
    @vincentgodlisten1434 Жыл бұрын

    aloshika maiki kaharibu wimbo, wengine wote waliimba sawa ila yeye aliimba anachojua yeye

  • @EuniceMalisa
    @EuniceMalisa2 ай бұрын

    Hongeren I sana 🙏🙏🙏

  • @user-fh8zr4ki4g
    @user-fh8zr4ki4gАй бұрын

    Hongeren sanaa

  • @msewelutheranchurchchoir
    @msewelutheranchurchchoir Жыл бұрын

    Amen, Mungu Awabariki

  • @kkktwazohill

    @kkktwazohill

    Жыл бұрын

    Amen

  • @innocentmassao3903
    @innocentmassao3903 Жыл бұрын

    Huyo wa mike amebaribu

  • @kkktwazohill

    @kkktwazohill

    Жыл бұрын

    Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.

  • @aminanialice4435

    @aminanialice4435

    Жыл бұрын

    Huu wimbo nikius🎉ikiliza kwa tafakari na jinsi ulivyoimbwa nabatikiwa sana maana ni kweli naona mimi siwezi peke yangu pasipo UWEZA WA YESU KRISTO KWELI NATAMANI SANA kufika kwa baba ila bado najikongoja nautafuta uso wa Bwana. YESU KRISTO NDIE MSAADA WANGU.

  • @aaronswai6935

    @aaronswai6935

    Жыл бұрын

    Mungu wabaruki KKKT WAZO HILL na kuzidi sana 🙏🙏🙏

  • @user-zi3nf8eo9g
    @user-zi3nf8eo9g8 ай бұрын

    Ni wimbo mzuri unipa ujasir

  • @noelbryson7840
    @noelbryson78405 ай бұрын

    SAUTI YA 4 , SAUTI YA 4 , IMENIBARIKI SANA SANA, WAIMBAJI WOTE PIA WAMEIMBA VIZURI SANA SANA PIA.. HII NI KATI YA NYIMBO ZITAKAZO BAKI KWENYE MOYO WANGU HAPA DUNIANI..

  • @JordanBegumisa
    @JordanBegumisaАй бұрын

  • @RevCharlesJPeter
    @RevCharlesJPeter Жыл бұрын

    Asante. Kama walivyosema wengine, kwa taaluma yetu ya muziki, mtu ambaye sauti yake ni kubwa, pana au nzito huwa hawekewi maiki. Hapo base ameonekana kama yeye ndiye Solo. Otherwise, grateful!!!

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Жыл бұрын

    Woow

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Жыл бұрын

    Katika uimbaji haitakiwi kusikia sauti ya flani. Inatakiwa kusikika sauti ya 1, 2, 3 na 4. Ukiimba usifunike sauti za wengine.

  • @Amatha_K
    @Amatha_K Жыл бұрын

    Huyo kwenye microphone🎤🎤 daaah😞😞

  • @gehartuhagile5178
    @gehartuhagile51788 ай бұрын

    Jaman kwann mlimpa mic huyo wa bass huo niuimbaj wawap sijapenda kabisa

  • @busaraclemence4447

    @busaraclemence4447

    7 ай бұрын

    ukijakujua muziki utamuelewa hahahahaaa

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 Жыл бұрын

    Epukeni kutumia mic kwenye set songs za halaiki. Jifunzeni kuimba sauti bila mic. Ona sasa utamu wote wa wimbo umemezwa na huyo jamaa anayeimba bass nadhani yupo karibu na mic. Kwenye uimbaji wa halaiki Kila sauti inatakiwa isikike kwa ratio. Otherwise hongereni kwa dressing code na utulivu wa kiibada. Ni Mimi ndugu yenu mkatolikiki

  • @akidajulius1581

    @akidajulius1581

    Жыл бұрын

    Nikweli kabisa,

  • @theodorajohn9474

    @theodorajohn9474

    Жыл бұрын

    Mpo vzr mbarikiwe

  • @istudiohimo2113
    @istudiohimo2113 Жыл бұрын

    Wimbo mzur ila aloimba sait ya nne akasikika peke yake yake kaharibu utamu wote wa wimbo

  • @blessednassary8432

    @blessednassary8432

    Жыл бұрын

    Kwa kwl kaaribu wimbo, ni kama ameforce solo ivi

  • @kkktwazohill

    @kkktwazohill

    Жыл бұрын

    Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.

  • @kwayamtgregorymkuubariadi-1940
    @kwayamtgregorymkuubariadi-1940 Жыл бұрын

    Hongereni sana kwa kuimba VIZURI

  • @lucaseben4914
    @lucaseben49142 ай бұрын

    Huyo bas kameza woote anasikika zaidi hivyo uwekeni vizuri

  • @gideons5265
    @gideons5265 Жыл бұрын

    Huyo anayeimba mwenyewe kwa mike anaharibu wimbo. Na tena haimbi sawa na noti zilivyo

  • @kkktwazohill

    @kkktwazohill

    Жыл бұрын

    Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.

  • @franklema2008

    @franklema2008

    Жыл бұрын

    Mbona kama anaimba sahihi sauti ya nne?

  • @lothawilliam7688
    @lothawilliam7688 Жыл бұрын

    Microphone huwa inawekwa kwa mbali kidogo Kama Ni nyimbo ya pamoja otherwise sound system haijakaa sawa, bass iko juu Sana inafunika sauti zingine

  • @SeaRockinvestments

    @SeaRockinvestments

    Жыл бұрын

    Haya wataalam wa mziki no eneo lenu kutoa ushauri mini kiboreshwe ili Jina la Bwana liendelee kuinuliwa

  • @kkktwazohill

    @kkktwazohill

    Жыл бұрын

    Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.

  • @maramsenga4431
    @maramsenga4431 Жыл бұрын

    Huu wimbo ukiimbwa kwa roho lazima utoe machozi una uhalisia mno

  • @kkktwazohill

    @kkktwazohill

    Жыл бұрын

    Share link na wengine wapate kubarikiwa Mpendwa.

  • @lanesmkemwa2718

    @lanesmkemwa2718

    Жыл бұрын

    Hakika

  • @SilasMbise-bp4ph

    @SilasMbise-bp4ph

    11 ай бұрын

    Mungu wabariki

  • @leslietewe5520

    @leslietewe5520

    22 күн бұрын

    Ukiwaangalia wanakwaya wenyewe wakiimba makini kiroho na wengine wanatokwa na machozi!! Umeimbwa kwa hisia kali sana!!

  • @godfreypeter4630
    @godfreypeter4630 Жыл бұрын

    Hakika wimbo unagusa mioyo ya watu,barikiweni sana!!!!🙌🙌🙌

  • @tombaroz9976
    @tombaroz9976Ай бұрын

    Good singing bt huyo Jamaa wa base pooo

  • @GenesPeter
    @GenesPeter27 күн бұрын

    Nooo kwaya lazima sauti zibalance hiyo ya 4 inakera as if yy ndo important kuliko wote!

  • @hoseaobedi7960
    @hoseaobedi79608 ай бұрын

    sauti ya nne dah

Келесі