KUTOKA NYUMBANI KWA MWIGIZAJI GABO, AFUTURISHA NA KUFUNGUKA HAYA AKIWA NA MKEWE

Hi imefanyika leo April 26, 2021 ikiwa ni siku moja baada ya mtoto wa Mwigizaji Gabo, Bill kufikisha siku arobaini ambapo Gabo aliandaa Futari ya Pamoja na Watoto Yatima, shughuli iliyofanyika nyumbani kwake.

Пікірлер: 31

  • @zedmtembezi8889
    @zedmtembezi88893 жыл бұрын

    Mkewe nzuri hongera Gabo kwa vyote

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/dK2r1taPnbrbfNo.html

  • @fatumamgeni1974
    @fatumamgeni19743 жыл бұрын

    Kiukweli nampendaga sana huyu kaka anajuaga nini anakifanya,lkn nawapa hongera sana kwa kujaliwa kupata mtoto mwenyezi mungu amkuze mtoto wenu awape pia afya nyie wazazi wake.

  • @salamanauthartanzania6301
    @salamanauthartanzania63013 жыл бұрын

    Mashaallah Gabo

  • @elizabethbwakila6078
    @elizabethbwakila60783 жыл бұрын

    Hicho kimzik Cha nn hatusikii kabisa

  • @rahimkhamis7594
    @rahimkhamis75942 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji89233 жыл бұрын

    Mashallah kila la kheri

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha80533 жыл бұрын

    Mashallahu

  • @mebakaribakari7827
    @mebakaribakari78273 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @user-db7rj4wy9o
    @user-db7rj4wy9o3 жыл бұрын

    Hongera sana kaka

  • @brazanet6916
    @brazanet69163 жыл бұрын

    Gaabooo anajielewa sanaaa sijui kwa nn haya matamthilia mapya hayampi sana shavu uyu jmaa zaid ya actor

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/dK2r1taPnbrbfNo.html

  • @salmasalim6055
    @salmasalim60553 жыл бұрын

    Mashallah

  • @aminaibrahim4148

    @aminaibrahim4148

    3 жыл бұрын

    Mashaallah katika wasanii ambayo nawa penda Gabo no1 ukimtoa

  • @faisalmohamed2746
    @faisalmohamed27463 жыл бұрын

    Unamhoji mtu halafu sauti ya muziki ndio iko juu nenda kajifunze hufai kuwa ayo

  • @suzanfelix8065
    @suzanfelix80653 жыл бұрын

    Kiukweli Mimi nimeielewa tu meza ya mmakulii🙈

  • @merinajuma6948
    @merinajuma69483 жыл бұрын

    Ongereni jmn Tifa kama Tifa kalibu kwenye chama cha wamam kipnzi

  • @aishamzava6243
    @aishamzava62433 жыл бұрын

    Hatuskii mahojiano kelele nyingi

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba29813 жыл бұрын

    Huo mziki mkubwa hata hatunsukii vizuri

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha80533 жыл бұрын

    Sasa mbona makelel tu

  • @harunakayega5531
    @harunakayega55313 жыл бұрын

    Ila tunapokwendea wanaume tunabaki nyumbani na wanawake wanaenda kazini mana saivi wanawake ndo wanapesa wanaume tunakua wasindikizaji akiwemo Gabo

  • @seifmohamed836

    @seifmohamed836

    3 жыл бұрын

    kwamana hiyo unamanisha Gabo kaolewa nayeye hana kazi?

  • @slicehamfrey3504

    @slicehamfrey3504

    3 жыл бұрын

    Amina Mungu akupe itaji la moyo wajo

  • @bekatiptop8910

    @bekatiptop8910

    3 жыл бұрын

    Inamaana ww pia umeolewa,,,ama huna kazi ya kufanya....mwanaume ni kichwa acha ujinga ww

  • @ommymehmed8880
    @ommymehmed88803 жыл бұрын

    Bado haija kidhi haja na maana halisi ya kuftarisha ....mana ni wale wale wanaojiweza ndio wahudhuriaji wa hiyo shughuli...Allahu Aalam...na mke hakuwa kwenye stara nywele wazi na Ramadhan hii....kiufupi wangetulia tu kuliko kijifakharisha kipindi hiki.

  • @khadijasulleyman3804

    @khadijasulleyman3804

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa wangesubiri Ramadan ikaisha

  • @ommymehmed8880

    @ommymehmed8880

    3 жыл бұрын

    @Mtanzania Halisi kwan Yatima pekee ndio maskini??

  • @jamilaabdallahsalim9284

    @jamilaabdallahsalim9284

    3 жыл бұрын

    @Mtanzania Halisi we bora unyamaze si lazma kuongea km hujui kuna baadhi ya vitu havifai hata kubisha,, moja ya nguzo ya imaan ni kuamini vitabu pia kwahiyo tunaamini mwanamke hapaswi kutembea kichwa wazi tena hasa mwezi huu na iftar si lazima mayatima tu na maskini wasiojiweza kabisa na siyo watu maarufu

Келесі