KUTOKA NYUMBANI KWA MWIGIZAJI GABO, AFUTURISHA NA KUFUNGUKA HAYA AKIWA NA MKEWE
Hi imefanyika leo April 26, 2021 ikiwa ni siku moja baada ya mtoto wa Mwigizaji Gabo, Bill kufikisha siku arobaini ambapo Gabo aliandaa Futari ya Pamoja na Watoto Yatima, shughuli iliyofanyika nyumbani kwake.
Пікірлер: 31
Mkewe nzuri hongera Gabo kwa vyote
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/dK2r1taPnbrbfNo.html
Kiukweli nampendaga sana huyu kaka anajuaga nini anakifanya,lkn nawapa hongera sana kwa kujaliwa kupata mtoto mwenyezi mungu amkuze mtoto wenu awape pia afya nyie wazazi wake.
Mashaallah Gabo
Hicho kimzik Cha nn hatusikii kabisa
Masha Allah
Mashallah kila la kheri
Mashallahu
Mashaallah
Hongera sana kaka
Gaabooo anajielewa sanaaa sijui kwa nn haya matamthilia mapya hayampi sana shavu uyu jmaa zaid ya actor
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/dK2r1taPnbrbfNo.html
Mashallah
@aminaibrahim4148
3 жыл бұрын
Mashaallah katika wasanii ambayo nawa penda Gabo no1 ukimtoa
Unamhoji mtu halafu sauti ya muziki ndio iko juu nenda kajifunze hufai kuwa ayo
Kiukweli Mimi nimeielewa tu meza ya mmakulii🙈
Ongereni jmn Tifa kama Tifa kalibu kwenye chama cha wamam kipnzi
Hatuskii mahojiano kelele nyingi
Huo mziki mkubwa hata hatunsukii vizuri
Sasa mbona makelel tu
Ila tunapokwendea wanaume tunabaki nyumbani na wanawake wanaenda kazini mana saivi wanawake ndo wanapesa wanaume tunakua wasindikizaji akiwemo Gabo
@seifmohamed836
3 жыл бұрын
kwamana hiyo unamanisha Gabo kaolewa nayeye hana kazi?
@slicehamfrey3504
3 жыл бұрын
Amina Mungu akupe itaji la moyo wajo
@bekatiptop8910
3 жыл бұрын
Inamaana ww pia umeolewa,,,ama huna kazi ya kufanya....mwanaume ni kichwa acha ujinga ww
Bado haija kidhi haja na maana halisi ya kuftarisha ....mana ni wale wale wanaojiweza ndio wahudhuriaji wa hiyo shughuli...Allahu Aalam...na mke hakuwa kwenye stara nywele wazi na Ramadhan hii....kiufupi wangetulia tu kuliko kijifakharisha kipindi hiki.
@khadijasulleyman3804
3 жыл бұрын
Kweli kabisa wangesubiri Ramadan ikaisha
@ommymehmed8880
3 жыл бұрын
@Mtanzania Halisi kwan Yatima pekee ndio maskini??
@jamilaabdallahsalim9284
3 жыл бұрын
@Mtanzania Halisi we bora unyamaze si lazma kuongea km hujui kuna baadhi ya vitu havifai hata kubisha,, moja ya nguzo ya imaan ni kuamini vitabu pia kwahiyo tunaamini mwanamke hapaswi kutembea kichwa wazi tena hasa mwezi huu na iftar si lazima mayatima tu na maskini wasiojiweza kabisa na siyo watu maarufu