No video
Kurasini SDA Choir - Nani Kama Yesu
2019 Release.. "Nani kama Yesu", Who would be like Jesus? This is a video recorded in Nairobi Kenya Featuring Githurai SDA Church Choir (Audio by Kurasini) during their camp meeting in 2018. Video hii ilirekodiwa Nairobi nchini Kenya kwa kuwashirikisha waimbaji wa Kwaya ya kanisa la Githurai mwaka 2018.
Пікірлер: 101
Kurasini SDA choir songs should be sold in pharmacies. They heal the broken hearts. God bless Kurasini.
@norahotunga8938
4 жыл бұрын
true ❤❤
@duncan4433
2 жыл бұрын
❤
@theCushiteGirl
Жыл бұрын
💯
Hakuna kama YESU ni hakika, Mbarikiwe sana Kurasini MUNGU awatie nguvu siku moja tuimbe wimbo wa Musa tukiwa na YESU pampja katika makao ya AMANI. AMINA.
Aminaaaaaaa ,Mungu awabariki ktk nyimbo nzuri sana.
Hakuna kama yesu maishani,mwamba wa kale.Mungu awainue zaidi kwa ajili ya Jina lake.
Thankyou Jesus,nilitamani sana kuskia nyimbo za kurasini,nashkuru Mungu hii kwaya imefufuka,from Kenya Mombasa....Barikiweni Jameni,niende wapi mimi bila Yesu
Uimbaji halisi was kiAfrika, no artificial dancing! Real Adventist Church choir. Keep it up! Mungu awabariki
My favorite..... The only one have never regretted listen to...always healing my soul
***Toka nimekuwa msababto kwakweli kurasini nikiwasikiliza naona hao ndio wahabiri wakuu wa injili wanaonesha usabato pure***
@atubeka9317
4 жыл бұрын
Amen
@habelkalume9011
4 жыл бұрын
Nakuunga mkono,yaani toka niko mtoto sijaona waimbaji wa kweli kama kurasini,hawa wanahubiri hawaimbi kama biashara,moyo wangu hutulizwa kila ninaposikia ujumbe wa nyimbo zao na sauti za nyuki...Mungu awabariki
@tonnsimbasportsclub7168
4 жыл бұрын
Habel Kalume ameni
Mbarikiwe, Kristo ndiye kimbilio langu!
Aaaaaaaaaamina mbarikiwe saaana ninawapenda siku zote
Mbarikiwe sana kurasini My favourite choir
Nawapenda nani kama yes I asteria nimewamisi
Hakuna kama Yesu mbarikiwe sana
Mbarikiwe sana maana mlinifany nikawapenda pia mlifanya nikapenda NYIMBO zenu hadi leo
@kurasinisdachoir
4 жыл бұрын
Barikiwa..
Kwaya hii yazidi kungaa kila uchao...naona nyuso mpya ,Bwana awajazie nguvu Siku zote
mzidi kusonga mbele,,,barikiwa marafiki zangu
kuna haja ya kujifunza kupinga vyombo sawa sawa na kanisa la SDA
My all time favorite Choir. Uzao wa Kristo ndio natafuta.
Nani kama Yesu? Hakuna.
Hakuna kama yesu hakika
Mungu awabariki sana
Wimbo Mtamu HD video, mbarikiwe sana! Tunahitaji zingine zaidi
@gracewilliam8083
4 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kurasini
Ni gressi. Nawapenda sana kwaya ya kurasini nyimbo zenu ni nzuri zinaujumbe ndani yake🙏💞💞
May God bless u kurasini this song really blesses me listening from Doha Qatar
Let mwalimu rest IN power edid what he cud do. Better
The only begotten choir
Can pls ask government to make decision if Kurasini songs can sold in chemistry around Tanzania 💊👌🙏
@norahotunga8938
4 жыл бұрын
in kenya too
So soothing.... at times like this. Keep up your standard of worship Kurasini. One group being used by God to heal the world. God bless your gifted soloists. I play this song every day!
Mbarikiwe sana Kurasini!
My all time choir. God bless you Kurasini
Waaooh great combination of my church choir Githurai central and kurasini,May God bless you all
@theCushiteGirl
Жыл бұрын
Yes, I attended this camp meeting.
***barikiwa kurasini***
@kurasinisdachoir
4 жыл бұрын
Amina!
Always my favourite Choir, ninangoja ile "Kando kando ya kiti cha enzi"!
@kurasinisdachoir
4 жыл бұрын
Subscribe to our channel, huo wombo utakuwa hewani wiki hii..
@echoesofmercy3821
4 жыл бұрын
@@kurasinisdachoir I subscribed long time ago, that's how I know whenever you post a new video
@newtonotecko1042
4 жыл бұрын
@@kurasinisdachoir waiting !
@habelkalume9011
4 жыл бұрын
@@kurasinisdachoir Hata mimi huo wimbo naungoja sanasanasanaaaaaaaaaaaaaah...Kando ya kiti cha enzi,hiyo album yote,Jameni tunakiu ya nyimbo zenu plz mupost every week new songs,,,,,uku kenya malindi izo ndo nyimbo tulikuwa tukiimba kitambo,Highschools kila shule ilkuwa ni kurasini bt now hatuwasikii tena,kama mmerudi itakuwa vyema,
Oh! Waoo! I'm very happy to see Mwl. Julius , this is really Kurasini SDA Choir
Tunasema. Amina
To god be the glory
Kurasini mmeanza lini kutia nywele dawa,🤔🤔, 🤷🏽♀️ Sitaki kuamini kibaso amekua mpole kiasi hicho Mungu wa mbinguni aendelee kuwainua 🙏👌👌👌🇹🇿🙏🙏🙏
@tonnsimbasportsclub7168
4 жыл бұрын
glorious n kuna kwaya ya kenya humo so huwezi kujuae
@gloriousn6425
4 жыл бұрын
Tony TV oooh kumbe , ningeshangaa maana ili uimbe kurasini sharti nywele zako ZIELEWEKE🤣🤣🤣🤣👌👌🙏🇹🇿
@nsibwenekaswaga6267
4 жыл бұрын
Nimeshtuka sana!!!!! Ifikie mahali tujivunie uafrika wetu kwani ndivyo Mungu alipenda tuwe. Unaenda dukani kununua dawa ili uzifanye nywele kuwa za kizungu. Naamini hii si sawa
Ifeel tears comiñg out,niende wapi bila Yesu
Be blessed Kurasin choir
@kurasinisdachoir
4 жыл бұрын
Much blessings to you..
Nikweli hakuna kama yesu,mbarikiwe sana
@josendaki2321
4 жыл бұрын
Hakuna kama yesu
@josendaki2321
4 жыл бұрын
Yes
What a powerful song.For sure it heals broken wounds.May God bless your ministry.
Barikiweni sana
@kurasinisdachoir
4 жыл бұрын
Amina
waau kurasini am blessed,,,
Wow! I was waiting for this release
Great music.. Amin
Ubeti wa pili umeanza vzr sana
naomba muweke volume25,26,27 28 you tube yaan zile nyimbo ni balaa
@gabrielnyabuta6602
4 жыл бұрын
Kurasini nawapenda Sana tangu nikiwa mtoto Bwana awabariki Sana msisahau MAADILI yetu
@theCushiteGirl
Жыл бұрын
Tafadhali.
Oooh! YES
Mbarikiwe sana
@kurasinisdachoir
4 жыл бұрын
Amina
This is soul touching. God is good
Amina
What a wonderful piece
Amen,it is only my God .
Kamwe hatuwezi bila yesu
❤❤
Ni nani Kama Yesu
Amen
Amina mbarikiwe
barikiweni sana
not Kurasini,,, hii ni githurai central sda church
wonderful
Ni nani kama yesu??????? Hakuna
Amen. Mikaeli ni mwenye uwezo. God bless your ministry
@kurasinisdachoir
4 жыл бұрын
Amen!
MLICHOHARIBU NI NYWELE ZENU
@theCushiteGirl
Жыл бұрын
Kuna choir ya Nairobi humo mchanganyiko. Ilikuwa camp meeting pale August 2019.
BWANA AWABARIKI
@kurasinisdachoir
4 жыл бұрын
Barikiwa pia!
@arnmh7435
4 жыл бұрын
@@kurasinisdachoir Nabarikiwa sana sana na nyimbo zenu,hasa hui umenipa faraja kubwa sana. Mbarikiwe sana
@arnmh7435
4 жыл бұрын
Kurasini choir hamjawahi kufeli
Nc
@harunimmewa9445
4 жыл бұрын
aa ninapoumwa magonjwa yasiyotibika niende wapi......
@kennedyawinda1614
3 жыл бұрын
Dunia Ina mwisho,lakini Mikaeli Hana mwisho, Wala mwanzo 🙏🙏
Mbarikiwe, Kristo ndiye kimbilio langu!
Hakuna kama Yesu mbarikiwe sana
Hakuna kama Yesu mbarikiwe sana