No video

Kurasini SDA Choir - Nani Kama Yesu

2019 Release.. "Nani kama Yesu", Who would be like Jesus? This is a video recorded in Nairobi Kenya Featuring Githurai SDA Church Choir (Audio by Kurasini) during their camp meeting in 2018. Video hii ilirekodiwa Nairobi nchini Kenya kwa kuwashirikisha waimbaji wa Kwaya ya kanisa la Githurai mwaka 2018.

Пікірлер: 101

  • @agapeadekto7023
    @agapeadekto70234 жыл бұрын

    Kurasini SDA choir songs should be sold in pharmacies. They heal the broken hearts. God bless Kurasini.

  • @norahotunga8938

    @norahotunga8938

    4 жыл бұрын

    true ❤❤

  • @duncan4433

    @duncan4433

    2 жыл бұрын

  • @theCushiteGirl

    @theCushiteGirl

    Жыл бұрын

    💯

  • @betterlifetv9812
    @betterlifetv98124 жыл бұрын

    Hakuna kama YESU ni hakika, Mbarikiwe sana Kurasini MUNGU awatie nguvu siku moja tuimbe wimbo wa Musa tukiwa na YESU pampja katika makao ya AMANI. AMINA.

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego72603 жыл бұрын

    Aminaaaaaaa ,Mungu awabariki ktk nyimbo nzuri sana.

  • @ruthjohns6593
    @ruthjohns65934 жыл бұрын

    Hakuna kama yesu maishani,mwamba wa kale.Mungu awainue zaidi kwa ajili ya Jina lake.

  • @habelkalume9011
    @habelkalume90114 жыл бұрын

    Thankyou Jesus,nilitamani sana kuskia nyimbo za kurasini,nashkuru Mungu hii kwaya imefufuka,from Kenya Mombasa....Barikiweni Jameni,niende wapi mimi bila Yesu

  • @sophiebaraka3938
    @sophiebaraka39384 жыл бұрын

    Uimbaji halisi was kiAfrika, no artificial dancing! Real Adventist Church choir. Keep it up! Mungu awabariki

  • @maryannsero
    @maryannsero4 жыл бұрын

    My favorite..... The only one have never regretted listen to...always healing my soul

  • @tonnsimbasportsclub7168
    @tonnsimbasportsclub71684 жыл бұрын

    ***Toka nimekuwa msababto kwakweli kurasini nikiwasikiliza naona hao ndio wahabiri wakuu wa injili wanaonesha usabato pure***

  • @atubeka9317

    @atubeka9317

    4 жыл бұрын

    Amen

  • @habelkalume9011

    @habelkalume9011

    4 жыл бұрын

    Nakuunga mkono,yaani toka niko mtoto sijaona waimbaji wa kweli kama kurasini,hawa wanahubiri hawaimbi kama biashara,moyo wangu hutulizwa kila ninaposikia ujumbe wa nyimbo zao na sauti za nyuki...Mungu awabariki

  • @tonnsimbasportsclub7168

    @tonnsimbasportsclub7168

    4 жыл бұрын

    Habel Kalume ameni

  • @stellamsemo5403
    @stellamsemo54034 жыл бұрын

    Mbarikiwe, Kristo ndiye kimbilio langu!

  • @hellenopundo1715
    @hellenopundo17154 жыл бұрын

    Aaaaaaaaaamina mbarikiwe saaana ninawapenda siku zote

  • @saimonmgeta5239
    @saimonmgeta52394 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana kurasini My favourite choir

  • @AsteriaBonphes-zv3ir
    @AsteriaBonphes-zv3ir Жыл бұрын

    Nawapenda nani kama yes I asteria nimewamisi

  • @YOMYSTUDIOS
    @YOMYSTUDIOS4 жыл бұрын

    Hakuna kama Yesu mbarikiwe sana

  • @japhethsaid4023
    @japhethsaid40234 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana maana mlinifany nikawapenda pia mlifanya nikapenda NYIMBO zenu hadi leo

  • @kurasinisdachoir

    @kurasinisdachoir

    4 жыл бұрын

    Barikiwa..

  • @nancyabura743
    @nancyabura7434 жыл бұрын

    Kwaya hii yazidi kungaa kila uchao...naona nyuso mpya ,Bwana awajazie nguvu Siku zote

  • @barackopiyo5279
    @barackopiyo52794 жыл бұрын

    mzidi kusonga mbele,,,barikiwa marafiki zangu

  • @obadiamwelela54
    @obadiamwelela543 жыл бұрын

    kuna haja ya kujifunza kupinga vyombo sawa sawa na kanisa la SDA

  • @michaelmose3522
    @michaelmose35224 жыл бұрын

    My all time favorite Choir. Uzao wa Kristo ndio natafuta.

  • @johnsonokeyo545
    @johnsonokeyo5452 жыл бұрын

    Nani kama Yesu? Hakuna.

  • @vanitete2399
    @vanitete239910 ай бұрын

    Hakuna kama yesu hakika

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego72603 жыл бұрын

    Mungu awabariki sana

  • @zachariakenyela3371
    @zachariakenyela33714 жыл бұрын

    Wimbo Mtamu HD video, mbarikiwe sana! Tunahitaji zingine zaidi

  • @gracewilliam8083

    @gracewilliam8083

    4 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana kurasini

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa48164 жыл бұрын

    Ni gressi. Nawapenda sana kwaya ya kurasini nyimbo zenu ni nzuri zinaujumbe ndani yake🙏💞💞

  • @philipchumba1074
    @philipchumba10744 жыл бұрын

    May God bless u kurasini this song really blesses me listening from Doha Qatar

  • @annenyabuto6781
    @annenyabuto67812 жыл бұрын

    Let mwalimu rest IN power edid what he cud do. Better

  • @mochu4358
    @mochu43584 жыл бұрын

    The only begotten choir

  • @gm7045
    @gm70454 жыл бұрын

    Can pls ask government to make decision if Kurasini songs can sold in chemistry around Tanzania 💊👌🙏

  • @norahotunga8938

    @norahotunga8938

    4 жыл бұрын

    in kenya too

  • @releiabby6201
    @releiabby62014 жыл бұрын

    So soothing.... at times like this. Keep up your standard of worship Kurasini. One group being used by God to heal the world. God bless your gifted soloists. I play this song every day!

  • @victormaobe1869
    @victormaobe18694 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana Kurasini!

  • @finsalltd8025
    @finsalltd80254 жыл бұрын

    My all time choir. God bless you Kurasini

  • @virginiamwangi2899
    @virginiamwangi28994 жыл бұрын

    Waaooh great combination of my church choir Githurai central and kurasini,May God bless you all

  • @theCushiteGirl

    @theCushiteGirl

    Жыл бұрын

    Yes, I attended this camp meeting.

  • @tonnsimbasportsclub7168
    @tonnsimbasportsclub71684 жыл бұрын

    ***barikiwa kurasini***

  • @kurasinisdachoir

    @kurasinisdachoir

    4 жыл бұрын

    Amina!

  • @echoesofmercy3821
    @echoesofmercy38214 жыл бұрын

    Always my favourite Choir, ninangoja ile "Kando kando ya kiti cha enzi"!

  • @kurasinisdachoir

    @kurasinisdachoir

    4 жыл бұрын

    Subscribe to our channel, huo wombo utakuwa hewani wiki hii..

  • @echoesofmercy3821

    @echoesofmercy3821

    4 жыл бұрын

    @@kurasinisdachoir I subscribed long time ago, that's how I know whenever you post a new video

  • @newtonotecko1042

    @newtonotecko1042

    4 жыл бұрын

    @@kurasinisdachoir waiting !

  • @habelkalume9011

    @habelkalume9011

    4 жыл бұрын

    @@kurasinisdachoir Hata mimi huo wimbo naungoja sanasanasanaaaaaaaaaaaaaah...Kando ya kiti cha enzi,hiyo album yote,Jameni tunakiu ya nyimbo zenu plz mupost every week new songs,,,,,uku kenya malindi izo ndo nyimbo tulikuwa tukiimba kitambo,Highschools kila shule ilkuwa ni kurasini bt now hatuwasikii tena,kama mmerudi itakuwa vyema,

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind16094 жыл бұрын

    Oh! Waoo! I'm very happy to see Mwl. Julius , this is really Kurasini SDA Choir

  • @knowledgemashonganyika7216
    @knowledgemashonganyika72164 жыл бұрын

    Tunasema. Amina

  • @johnlameckkingako975
    @johnlameckkingako9752 жыл бұрын

    To god be the glory

  • @gloriousn6425
    @gloriousn64254 жыл бұрын

    Kurasini mmeanza lini kutia nywele dawa,🤔🤔, 🤷🏽‍♀️ Sitaki kuamini kibaso amekua mpole kiasi hicho Mungu wa mbinguni aendelee kuwainua 🙏👌👌👌🇹🇿🙏🙏🙏

  • @tonnsimbasportsclub7168

    @tonnsimbasportsclub7168

    4 жыл бұрын

    glorious n kuna kwaya ya kenya humo so huwezi kujuae

  • @gloriousn6425

    @gloriousn6425

    4 жыл бұрын

    Tony TV oooh kumbe , ningeshangaa maana ili uimbe kurasini sharti nywele zako ZIELEWEKE🤣🤣🤣🤣👌👌🙏🇹🇿

  • @nsibwenekaswaga6267

    @nsibwenekaswaga6267

    4 жыл бұрын

    Nimeshtuka sana!!!!! Ifikie mahali tujivunie uafrika wetu kwani ndivyo Mungu alipenda tuwe. Unaenda dukani kununua dawa ili uzifanye nywele kuwa za kizungu. Naamini hii si sawa

  • @habelkalume9011
    @habelkalume90114 жыл бұрын

    Ifeel tears comiñg out,niende wapi bila Yesu

  • @astonelieza8375
    @astonelieza83754 жыл бұрын

    Be blessed Kurasin choir

  • @kurasinisdachoir

    @kurasinisdachoir

    4 жыл бұрын

    Much blessings to you..

  • @joantangalota6367
    @joantangalota63674 жыл бұрын

    Nikweli hakuna kama yesu,mbarikiwe sana

  • @josendaki2321

    @josendaki2321

    4 жыл бұрын

    Hakuna kama yesu

  • @josendaki2321

    @josendaki2321

    4 жыл бұрын

    Yes

  • @perezokeyo4083
    @perezokeyo40834 жыл бұрын

    What a powerful song.For sure it heals broken wounds.May God bless your ministry.

  • @victorkilahara6918
    @victorkilahara69184 жыл бұрын

    Barikiweni sana

  • @kurasinisdachoir

    @kurasinisdachoir

    4 жыл бұрын

    Amina

  • @amoncytoty5767
    @amoncytoty57674 жыл бұрын

    waau kurasini am blessed,,,

  • @stvenmartin
    @stvenmartin4 жыл бұрын

    Wow! I was waiting for this release

  • @vincentd.odillah5699
    @vincentd.odillah56994 жыл бұрын

    Great music.. Amin

  • @lothasamora8541
    @lothasamora85414 жыл бұрын

    Ubeti wa pili umeanza vzr sana

  • @katedavid5405
    @katedavid54054 жыл бұрын

    naomba muweke volume25,26,27 28 you tube yaan zile nyimbo ni balaa

  • @gabrielnyabuta6602

    @gabrielnyabuta6602

    4 жыл бұрын

    Kurasini nawapenda Sana tangu nikiwa mtoto Bwana awabariki Sana msisahau MAADILI yetu

  • @theCushiteGirl

    @theCushiteGirl

    Жыл бұрын

    Tafadhali.

  • @fastfaster2673
    @fastfaster26734 жыл бұрын

    Oooh! YES

  • @raphaelkamaga3598
    @raphaelkamaga35984 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana

  • @kurasinisdachoir

    @kurasinisdachoir

    4 жыл бұрын

    Amina

  • @sebastianroswe1649
    @sebastianroswe16494 жыл бұрын

    This is soul touching. God is good

  • @elviceomondi3191
    @elviceomondi31914 жыл бұрын

    Amina

  • @jorimsero9500
    @jorimsero95003 жыл бұрын

    What a wonderful piece

  • @ellieclasen6886
    @ellieclasen68864 жыл бұрын

    Amen,it is only my God .

  • @rodgerzwilliam9808
    @rodgerzwilliam98084 жыл бұрын

    Kamwe hatuwezi bila yesu

  • @duncan4433
    @duncan44332 жыл бұрын

    ❤❤

  • @joshwakaunda5052
    @joshwakaunda50524 жыл бұрын

    Ni nani Kama Yesu

  • @joycejoseph8632
    @joycejoseph86324 жыл бұрын

    Amen

  • @emmanuelmhina1983
    @emmanuelmhina19834 жыл бұрын

    Amina mbarikiwe

  • @murambi77
    @murambi774 жыл бұрын

    barikiweni sana

  • @victorcheprot5017
    @victorcheprot50173 ай бұрын

    not Kurasini,,, hii ni githurai central sda church

  • @oukogembo9355
    @oukogembo93554 жыл бұрын

    wonderful

  • @victormaobe1869
    @victormaobe18694 жыл бұрын

    Ni nani kama yesu??????? Hakuna

  • @pasteros
    @pasteros4 жыл бұрын

    Amen. Mikaeli ni mwenye uwezo. God bless your ministry

  • @kurasinisdachoir

    @kurasinisdachoir

    4 жыл бұрын

    Amen!

  • @richardmisogalya9499
    @richardmisogalya94993 жыл бұрын

    MLICHOHARIBU NI NYWELE ZENU

  • @theCushiteGirl

    @theCushiteGirl

    Жыл бұрын

    Kuna choir ya Nairobi humo mchanganyiko. Ilikuwa camp meeting pale August 2019.

  • @lutemahindiakaje5046
    @lutemahindiakaje50464 жыл бұрын

    BWANA AWABARIKI

  • @kurasinisdachoir

    @kurasinisdachoir

    4 жыл бұрын

    Barikiwa pia!

  • @arnmh7435

    @arnmh7435

    4 жыл бұрын

    @@kurasinisdachoir Nabarikiwa sana sana na nyimbo zenu,hasa hui umenipa faraja kubwa sana. Mbarikiwe sana

  • @arnmh7435

    @arnmh7435

    4 жыл бұрын

    Kurasini choir hamjawahi kufeli

  • @stellathilia3148
    @stellathilia31484 жыл бұрын

    Nc

  • @harunimmewa9445

    @harunimmewa9445

    4 жыл бұрын

    aa ninapoumwa magonjwa yasiyotibika niende wapi......

  • @kennedyawinda1614

    @kennedyawinda1614

    3 жыл бұрын

    Dunia Ina mwisho,lakini Mikaeli Hana mwisho, Wala mwanzo 🙏🙏

  • @stellamsemo5403
    @stellamsemo54034 жыл бұрын

    Mbarikiwe, Kristo ndiye kimbilio langu!

  • @YOMYSTUDIOS
    @YOMYSTUDIOS4 жыл бұрын

    Hakuna kama Yesu mbarikiwe sana

  • @YOMYSTUDIOS
    @YOMYSTUDIOS4 жыл бұрын

    Hakuna kama Yesu mbarikiwe sana