The Official Chanel for Kurasini SDA Church Choir - Dar es Salaam Tanzania, This is where you'll find the original Kurasini Choir Videos, Audios, Documentaries and much more.. (Chaneli Rasmi ya kwaya ya Kanisa la Waadventista wa Sabato Kurasini Dar es Salaam Tanzania, Utapata kazi zote za Kurasini kwa ubora katika video, audio na mengine mengi hapa tu!), VISIT: smarturl.it/kurasinisdachoir
Пікірлер
Nazidi kubarikiwa sana na mahubiri yako mtumishi pastor,kutoka Doha Qatar.
Nawapenda Sana kurasini from Kenya
I wish next time, reduce introduction for the benefit of Internet users.
I really love this choir akiiiiiiii 😂😂😂🙌 GOD bless you and your divine work 🙏 i will always love you and pray for you my @kurasinisdachoir …. all the love from GOFUjuusdachoir 🙏🙏
Am blessed pastor,nitakuandama kote hata hapa Doha Qatar.
Good sermon from pastor tusimame kama Daniel siku zote- kidogo sauti ya vyombo inatatiza lakini nawapata kutoka Doha Qatar.
Muko sawa
Powerful sermon... God bless you pr walwaa
Asante Pastor kwa mahubiri mazuri,kwaya ya kurasini pia nawapenda kwa nyimbo zenu,Mungu Atuzaidie tuziwe wavivu tufanye kazi kwa bidii,uvivu Mungu Hataki, South West Bay State Of Qatar.Amen.
I remember u sang this song when u came to Malawi.
Nimebarikiwa 👏👏👏👏👏
Amen pastor
Mungu awabariki kwauhimbaji
😮bwana nimwema sana hapo nzega nawapata vizur sana napia nabarkiws
Amen mungu atuwezeshe kufanya kazi kwa bidii tusiwe wavivu. Pastor na kwaya ya nyarugusu mubarikiwe.
Mungu naja kwako heri wa mtumainio bwana🧎🧎🧎🧎🧎🙏🙏🙏🙏pokea maombi yetu bwana
Good piece of music In the context of evangelism....gr eat work on the Lord's vineyard
With trousers no song is good bt luck of something
GOD BLESS U ALL
Ninaye mwanafunzi wangu asiye wezwa kulalusha amen choir nyarugusu mungu awabariki.
Haise nawapenda sana
Ameen amen
Amen... from Kenya...
Nazidi kubarikiwa kutoka Kenya
Siwezi kumsahau kibasso
Mungu awabaliki sana kambi hilo
MUNGU AWABARIKI SANA
Baraka ziwe nanyi kila wakati from kenya 🇰🇪 napenda sana nyimbo zenu hu bariki na kuinua
Msilale amkeni vumilieni tufani wimbo mtamu sanaaa
Asanteni sana... Simon Bayona sijausikia siku nyingi.....
Nasubiria Jubilee yenu kwa shauku. Kindly share the date mapema. I wanna be there Inshallah.
Amen 🙏 Karibu sana
So touching. 😢
Ooh no kumbukumbu ya the late mwalimu kibaso nimelia yangu yote 😢
Mnanitia Moyo Sana .
This song never get older
Ameen..... Mapambano ktk Vita vya Imani, Bwana Yuko na kila anaye mtegemea... Kwa Imani ....
Mungu azidi kuwabariki na kuwalinda
Mungu awabariki❤❤❤❤❤❤❤❤
Songeni mbele kwaya yetu tunawaombea sana
Nimemkumbuka rafiki yangu Kibaso
Nami nimemkumbuka hasa nikisikia baadhi ya nyimbo kinanda kikikosa vionjo Fulani hvi namiss uwepo wake yote Kwa yote Mungu ni Mwema
Pole kaka Mduma Tupo pamoja kaka
Ni nani kati ya wote atakayejibu nipo Bwana wangu nitume......mmenikumbusha mbali sana. Ninawapenda mno ..mbingu zinawapenda zaidi. Mlipo nipo - Mrs Munisi
Unao huo wimbo
❤❤
Amina
Barikiwa sana
Tena Kama mungekuwa muna towa maswali ninge uliza mahali ina andikwa watu kuche hadi mukutano wote hehe! Huu kusema Amina haitoshi
Mubarikiwe Mimi nawafata kutoka T. X tena napenda sana kwaya ya kurasine Mimi napenda sana kusoma vitabu vyaroho yaunabi unapo ubiriwatu wasisome neno lamungu ninaumiya kwasabu mutuhawe kukuwa kiroho Kama hasomi neno la Mungu hatakuwa muchungaji munasema watu wawe wamesoma hata kuhubiri watu ni lazima uwe umejifu nakutafuta nakutafuta itajiri awu kufanya kazi hayisababishiyi mutu kutolisoma neno mubarikiwe asante
Tunawapata bila shida yoyote.... Bwana na awabariki Sana....
Leo umepigilia, msumali, ubarikiwe sana, na tusipoangalia mbingu itakua mbali nasi, Kwa sababu masikini ni kiongozi wa manung'uniko.
Kuna adui wa nne naye ni RUSHWA na uongoz mbayaa,vimeongezekaa
Huu mtindo wa matangazo unaboa