*Mr. Cosmas ako sawa kabisa. "Lazima tujifunze kuyaona mambo kwa jicho la tatu na upuuzi ukiwa kwa wingi unageuka unakuwa fact. Nature haijui ujinga na umaskini."*
@niceforymgaya2905 Жыл бұрын
Mtu aliyesoma taaluma inayoendana na kipaji chake ni moto wa kuetea mbaya.
@kadmc9124 Жыл бұрын
Nmepata mtu wa kuwa anamaliza mbs zangu 😢😢
@kadmc9124 Жыл бұрын
Dah! Na mwandishi naye ni nondo .... Big up sana bro una madini.......
@user-kd9iq6zu6n9 ай бұрын
Nimepitia comments nyingi za watu hakika nyingi ktk hizo ni kuhusiano na mtangazaji kuongea sana..OK twende kazi,Iko hivi unapokuwa na vitu vingi kichwani swali huwa kama funguo kukufungua hivyo unapotoa somo hutoweza kuridhika kutoa jibu moja kwa muuliza,hivyo basi hii inaweza kusababisha kupoteza muda mwingi na kutoa hoja nyingi ktk swali moja,hali hii mtangazaji anaijua na ikumbukwe kuwa kipindi kina mipaka ya kimuda hivyo kwa faida yako msikilizaji ili upate mengi kwa muda mchache ni lazima muuliza maswali apime majibu yanatofit na akijiridhisha kuuliza mengine ill kuendana na mtiririko uliopo maana na yeye Ana muongozo wa maswali kulingana na kipindi hicho je? Mnataka akayaulize kwa nani au siku gani? Na je mnatambua kipindi kinasimamiwa na udhamini! Na je mnatambua kuwa hii sio semina bali ni meza huru?
@malkavoice2570 Жыл бұрын
Mwandishi hajakosea anafanya kazi yake vzr zaidi endapo akiacha jamaa aongee bila maswali anstupoteza na yeye mwandishi pia
@stylishgenius9886 Жыл бұрын
Cosmas the genius man
@miriammwamanda65699 ай бұрын
Hongera sana mwl wangu Cosmas .mimi mama Anna mwanafunzi wako wa Msimbazi Montesory mwl uko juu sana.
@pauloropian2367 Жыл бұрын
Mungu awabariki wanasaikolojia wote duniani naipenda Sana fani hii
@Mhandisi2008 Жыл бұрын
Ungekuta Niko zangu pale man city nacheza na halland.😂😂😂
@thelivingwordchannel9027 Жыл бұрын
Safi sana Maduhu,classmate wangu Nyakato Secondary
@ndamezerevocatus1078 Жыл бұрын
Very nice umefundisha vizuri mno
@ernestmatimba99644 күн бұрын
Taaluma iliyo connect kwenye Kipawa ni moto. Naunga mkono hoja
@ernestmatimba99644 күн бұрын
Upuuzi ukiwa mwingi unakuwa Fact
@abrahammwambije2769 Жыл бұрын
Hongera Kaka mungu akuongezee kipaji zaidi
@emmanuelmagise96259 ай бұрын
cosmass madulu, package yako iko vizur na updated
@wilsong520 Жыл бұрын
Mtangazaji ana jikuta nondo badala ya kuacha mgeni aongee
@Joekwid960
10 күн бұрын
Interview ni mahojiano ili kuwasilisha ujumbe kwa hadhira
@user-td5mk2et6f11 ай бұрын
Mtangazi unaongea sana mpaka unakera yani unamfanya m2 aongee machache wakati anamengi yakuongea
@anathjuma68136 ай бұрын
Yeah...wao ndo tatizo...upuuzi ukikubalika na wengi unageuza kuwa facts...
@sypriannjole4865 Жыл бұрын
Host unaongea mno
@emanuelmaraki9758 Жыл бұрын
Mwachee mtangazaji aongee ili mgeni ajue anamjibu nn mkisema asiongee mnakosea
@neyjohn923 Жыл бұрын
Hizo unazotaja sanguine melangolic choleric na phlegmatic hizo ni temparament sio personality.pesonality zipo tisa zikianza na perfectionist na kuishia na peace maker.
@queenandchill91
Жыл бұрын
Kabla ya kupinga au kukubaliana na jambo hebu jifunze zaidi kwa undani uelewe.
@otmarykiowi4132
Жыл бұрын
Na hiyo temparament ndiyo nini?
@IsraelKisaila
Жыл бұрын
Upo SAHIHI kabisa
@work24onme Жыл бұрын
Holy Spirit, 🙏🏼
@MarthaKussaga-bk8ds2 ай бұрын
Natamani tuwasiliane
@malkavoice2570 Жыл бұрын
Huyu mwamba akiingia Serikalini na asishikwe madikio wala akili akaitumia naturally anaweza kutufanya Tz Dubai ndani ya miaka 5 au 10 tu na tukaishi nayo miaka zaidi ya 1000
@noorbazaar9063
Жыл бұрын
Mbona Mama ameanza!!!
@malkavoice2570
Жыл бұрын
@@noorbazaar9063 mamaako au sio?
@noorbazaar9063
Жыл бұрын
@@malkavoice2570 Ndio.
@hamismabula9934
Жыл бұрын
@@noorbazaar9063 🤣🤣🤣
@kalengashoppingcenter110817 күн бұрын
😂😂😂🙏
@tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын
Hili somo alishawahi kifundisha hayati dk miti mingi mellangoli swangini hivo
Ni ukweli mtupu .Tuajie watoto kujifunza kulingana na talanta zao.
@emanuelmaraki9758 Жыл бұрын
Niko Moshi kiboriloni tunakupata hapo situdio
@salimkassim6020 Жыл бұрын
Mtangazaji unatakiwa kutangaza mpira sio interview you talk too much kuliko anaehojiwa,,,unazingua uliza swali moja acha mtu ajibu,,,angalia kwa wenzio utajifunza
@jilesjames7830
Жыл бұрын
Kweliiiiii kabisa anajifanya anjua saana
@elibarikilukasimakala5534
Жыл бұрын
Naunga mkono hoja 👆
@valeriamorand1881
Жыл бұрын
Exactly
@eliaelia8417
11 ай бұрын
Siyo kweli kila mtu nilazima ujiblandi kivyako
@user-og7yq1nn1q
11 ай бұрын
Tatizo Anataka tumuone na yeye n nondoo kumbe anaaribu
@franktiba1506 Жыл бұрын
Mtangazaji punguza kuongea tumsikilize mgeni ana madini mengi ila unatuchomea muda wetu
@Udindigwa Жыл бұрын
Point tupu
@consolatangaile3916
10 ай бұрын
Mafundisho yako ya jumapl yalinibariki mno
@christinainnocent3184 Жыл бұрын
Hayo anayoeleza huwa sisi walimu tunasoma kwenye somo au moja za course ya saikolokojia. Pia wanachukua degree za Physiology
@chiconinde8135 Жыл бұрын
Mtangazaji, huyo ni mtaalam ndio mgeni wa kipindi. Muache atuelezee ufundi alionao. Unaongea sana mzee, unataka kutuonesha kwamba na wewe unajua au? Fanya kazi yako mzee
Пікірлер: 53
*Mr. Cosmas ako sawa kabisa. "Lazima tujifunze kuyaona mambo kwa jicho la tatu na upuuzi ukiwa kwa wingi unageuka unakuwa fact. Nature haijui ujinga na umaskini."*
Mtu aliyesoma taaluma inayoendana na kipaji chake ni moto wa kuetea mbaya.
Nmepata mtu wa kuwa anamaliza mbs zangu 😢😢
Dah! Na mwandishi naye ni nondo .... Big up sana bro una madini.......
Nimepitia comments nyingi za watu hakika nyingi ktk hizo ni kuhusiano na mtangazaji kuongea sana..OK twende kazi,Iko hivi unapokuwa na vitu vingi kichwani swali huwa kama funguo kukufungua hivyo unapotoa somo hutoweza kuridhika kutoa jibu moja kwa muuliza,hivyo basi hii inaweza kusababisha kupoteza muda mwingi na kutoa hoja nyingi ktk swali moja,hali hii mtangazaji anaijua na ikumbukwe kuwa kipindi kina mipaka ya kimuda hivyo kwa faida yako msikilizaji ili upate mengi kwa muda mchache ni lazima muuliza maswali apime majibu yanatofit na akijiridhisha kuuliza mengine ill kuendana na mtiririko uliopo maana na yeye Ana muongozo wa maswali kulingana na kipindi hicho je? Mnataka akayaulize kwa nani au siku gani? Na je mnatambua kipindi kinasimamiwa na udhamini! Na je mnatambua kuwa hii sio semina bali ni meza huru?
Mwandishi hajakosea anafanya kazi yake vzr zaidi endapo akiacha jamaa aongee bila maswali anstupoteza na yeye mwandishi pia
Cosmas the genius man
Hongera sana mwl wangu Cosmas .mimi mama Anna mwanafunzi wako wa Msimbazi Montesory mwl uko juu sana.
Mungu awabariki wanasaikolojia wote duniani naipenda Sana fani hii
Ungekuta Niko zangu pale man city nacheza na halland.😂😂😂
Safi sana Maduhu,classmate wangu Nyakato Secondary
Very nice umefundisha vizuri mno
Taaluma iliyo connect kwenye Kipawa ni moto. Naunga mkono hoja
Upuuzi ukiwa mwingi unakuwa Fact
Hongera Kaka mungu akuongezee kipaji zaidi
cosmass madulu, package yako iko vizur na updated
Mtangazaji ana jikuta nondo badala ya kuacha mgeni aongee
@Joekwid960
10 күн бұрын
Interview ni mahojiano ili kuwasilisha ujumbe kwa hadhira
Mtangazi unaongea sana mpaka unakera yani unamfanya m2 aongee machache wakati anamengi yakuongea
Yeah...wao ndo tatizo...upuuzi ukikubalika na wengi unageuza kuwa facts...
Host unaongea mno
Mwachee mtangazaji aongee ili mgeni ajue anamjibu nn mkisema asiongee mnakosea
Hizo unazotaja sanguine melangolic choleric na phlegmatic hizo ni temparament sio personality.pesonality zipo tisa zikianza na perfectionist na kuishia na peace maker.
@queenandchill91
Жыл бұрын
Kabla ya kupinga au kukubaliana na jambo hebu jifunze zaidi kwa undani uelewe.
@otmarykiowi4132
Жыл бұрын
Na hiyo temparament ndiyo nini?
@IsraelKisaila
Жыл бұрын
Upo SAHIHI kabisa
Holy Spirit, 🙏🏼
Natamani tuwasiliane
Huyu mwamba akiingia Serikalini na asishikwe madikio wala akili akaitumia naturally anaweza kutufanya Tz Dubai ndani ya miaka 5 au 10 tu na tukaishi nayo miaka zaidi ya 1000
@noorbazaar9063
Жыл бұрын
Mbona Mama ameanza!!!
@malkavoice2570
Жыл бұрын
@@noorbazaar9063 mamaako au sio?
@noorbazaar9063
Жыл бұрын
@@malkavoice2570 Ndio.
@hamismabula9934
Жыл бұрын
@@noorbazaar9063 🤣🤣🤣
😂😂😂🙏
Hili somo alishawahi kifundisha hayati dk miti mingi mellangoli swangini hivo
Weee mtangazaji unazingua ww acha kujiongelea ww binafsi mpe muda mwamba ateme madini
Kufa kiume...?!!!
Mtangazaji ni mjuaji
Ni ukweli mtupu .Tuajie watoto kujifunza kulingana na talanta zao.
Niko Moshi kiboriloni tunakupata hapo situdio
Mtangazaji unatakiwa kutangaza mpira sio interview you talk too much kuliko anaehojiwa,,,unazingua uliza swali moja acha mtu ajibu,,,angalia kwa wenzio utajifunza
@jilesjames7830
Жыл бұрын
Kweliiiiii kabisa anajifanya anjua saana
@elibarikilukasimakala5534
Жыл бұрын
Naunga mkono hoja 👆
@valeriamorand1881
Жыл бұрын
Exactly
@eliaelia8417
11 ай бұрын
Siyo kweli kila mtu nilazima ujiblandi kivyako
@user-og7yq1nn1q
11 ай бұрын
Tatizo Anataka tumuone na yeye n nondoo kumbe anaaribu
Mtangazaji punguza kuongea tumsikilize mgeni ana madini mengi ila unatuchomea muda wetu
Point tupu
@consolatangaile3916
10 ай бұрын
Mafundisho yako ya jumapl yalinibariki mno
Hayo anayoeleza huwa sisi walimu tunasoma kwenye somo au moja za course ya saikolokojia. Pia wanachukua degree za Physiology
Mtangazaji, huyo ni mtaalam ndio mgeni wa kipindi. Muache atuelezee ufundi alionao. Unaongea sana mzee, unataka kutuonesha kwamba na wewe unajua au? Fanya kazi yako mzee