KRG Amchana OTILE BROWN "Bado Mtoto Mdogo/Anachezea WANAWAKE/AOMBE MSAMAHA aliowakosea"
Ойын-сауық
Hii Hapa Exclusive interview na Staa wa muziki kutoka KENYA KRG the DON. KRG amemchana OTILE BROWN baada ya kutamba kununua RANGE.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#KRGTHEDON
Пікірлер: 41
Namupa maua yake kaka mkubwa krg he always made it 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺
The best interview ever....KRG sio awa wasani wengine history zao n mapenzi Tu hakun kitu tunaez soma from them but kwa KRG tunachukua madini🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️made in Kenya
Mzee wetu Uyo big up Rick 🇰🇪☝️
Ulizeni KRG ametoa ngoma ngapi 😂
@ProGing-hl3zw
Ай бұрын
Hello iam from cape Town
Krg mnyamwezi sana Big up my brother
Krg the don mwenyewe tunamkubali tena saana
Bughaaa nakukubali kuanzia leo👍
Ukweli dada unatangaza vizr ila uache kumuiga salama jabiri tangaza the way ulivyo ww ili uunde chako mwenye ambacho wananchi watakutambua nacho
@Calabashimukeshi
4 ай бұрын
Naam ni kweli anatangaza vyema sana. akija na style yake atakuja kuwa moto wa kuotea mbali.🎉🎉🎉🎉🎉
@krg the don big up
Huyu jamaa anajua kila kitu...mtu mbishi...humuezi..
Yo ...don🇰🇪
Doniiii🔥🔥🔥🔥🔥🇰🇪
Mimi ni mkenya and I can tell you that KRG is sio msanii. Pengine tukiongelea comedy.
Krg The Don I like you bro
You are real KRG
Bughaa mwenyewe....Nairobi ndani ya mjengo
Unatafuta kiki kwa otile na kama uko tz kufanya collabo we jitafute kivyako
Huyu sio msaani ni comedian
Don 🫶🏼
Uyu ni kijana mjinga mpimbavu
Mzee bughaa ni stima na otile brown ni pole ya stima , otile anafaa kupongezaa bughaa maana ndiye amemuonesha vichochora vya town ndipoza amefika hapo amevura kichwa
Hiyo ni bugah he doesn't give shiiit pia tajiri Sana Sana magorofa anao Nagari jamani na matours kibao anaenda state house kama kwake huyo
Bughaa mwenyewe
Bughaaaaa😂😂😂😂
😂😂😂😂the don krg 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Bughaaaa😂😂😂our own ..
@moffat6803
4 ай бұрын
Bughaa ni comedian 😂😂
Unatoka home unaenda kudiss bro yako ugenini? Am sure you've played otile's songs in your cars na uko down kimziki than him, mambo ya watoto, iko time yake
Bughaaa 😅
Krg you cant trend without otile brown .Msanii wa prezida 😅😅😅😮dude you have lost
Miaka ni 650
😂😂😂650 yrs
Hili jamaa kiburi mingi 😅😅😅mali amerithi
@CapitalBInvestee-lr9vl
4 ай бұрын
Amerithi na hanamatain so kurithi sio issue issue ni kubaki nayo na kuimatain broda
@fary9472
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@Calabashimukeshi
4 ай бұрын
Huyo anahisi labda kurithi na kuiendeleza mali ni kitu easy sana@@CapitalBInvestee-lr9vl
@moffat6803
4 ай бұрын
Our own bughaa 😂 uyu ni comedian