Kontawa - Moyo (studio session) lyrics
Музыка
MOYO LYRICS
Ati Kupenda ni moyo kuskuma damu moyo
Vile vile Tunajua Kwamba Kutoa ni Moyo
Ila Moyo Hauko loyal
Unaweza fanya twaha kiduku akapigwa mapigo ya moyo
Moyo Kuna Muda Una Miss Ex
Yani Unamiss Tulivyo Kuwa Tuna Kiss Ety
Moyo mimi siku apreciate
Unaanzaje Kummiss mtu Aliyetucheat geust
Moyo Wangu jaribu kuwa Makini
Unampenda ambae hanipendi sasa ndonini.
Anaenipenda Humpendi Moyo Kwann
Kwann kazi Ya Kupenda Usimuachie Ini.
kwenye Mapenzi me naona bola unge staff
Na kam kutoa ni moyo basi kujumlisha pafu
Moyo kuna mda unacheza laffu
Ila naamua kukaa kimya kwa sababu viti vichafu
Пікірлер: 94
Asanteni wote Mnaoendelea Kuni Support🙏🏾🙏🏾🙏🏾 🫀
@hdboytz2124
2 жыл бұрын
Moyo ndio tatizo kaka....💪💪💪🔥🔥
@vanstarboy9483
2 жыл бұрын
Nice
@fantastic6591
2 жыл бұрын
GENEOUS BROO❤❤
@collinsmukaria
Жыл бұрын
Zidi na kazi safi bro, Kenya tumekubali
@blaiskanke7178
10 ай бұрын
Piya kwako 💯
Ngoma Kali sn sijawai kuona Ngoma uliyo zinguwa upo vzul sn 🔥🔥✌️
Nakukubali kontawa iyo imenigusa bro
Kali
Weee kontawaaa jamniii una nifanyaaa ni enjoy jamnii mwaaa
Nakukubali kontawa
Muda utaongeaaaa kaka mwiko kukata tamaa
@kontawa7342
2 жыл бұрын
Kabisa kaka🫀
Sikupingii Tawa!. Achiaa official, chupaaa na hile chupaa yetuuu kalii tuanzeee kushea Malinki
Kaka kontawa.... hukoseaga....?? Mkuu nakukubali kinoma kaka unajua hatar 🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥 HUU MOYO NDIO TATZO
Big up tawa
Kwel bro
Kaaaalo
Moyo siyo wanake💯
Broo broo
We mzur
Nc kaka hakika wewe ni noooooohma kbx
Ngoma kal afu nakukubar San kontaw
fuluu bro 🤳
Naqkubali Sana Mwamba Kontawa
Kweli kutoa ni moyo...ndyo ukaona utoe kipande kidogo hvyo...
KAMA KON NI TAWA BASI CREAM NI TEWE....♥️MUCH LUV THE BRAINSTORM ♥️
Moyooooo
Unajua👊👊👊
Dah huyu jamaa sanamu lake lichongwe 😀💪💪💪 isee
Champion
respect bloo ngom kali
@kontawa7342
2 жыл бұрын
Asante
I'm here after the remix with jeshi 🔥🔥🔥 eeee starting from today I'm your fan U so talented
#BLOOD...UNAJUAAAA
Cool
Kk unajua kk
TAWAA MOYO
Nataka nyimbo umalize naupenda sana Sing
Kweli kk
We unachekaga tu😅 leo unalia😏😏😓
@kontawa7342
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
Wajanja wanamuelewa sana Kontawa 💯💯 Big up bro ..unawaka Sanaa tu 💯
Kijana unaweza aiseee
Fireeeeeee
Kintawa Haujawai koseya🔥🔥🔥🔥
Noma
@kontawa7342
2 жыл бұрын
Shukran
Tawa
@kontawa7342
2 жыл бұрын
Naam🫀
Kazi mikazo
@kontawa7342
2 жыл бұрын
Maelekezo🔥🔥
Hali sana kwa kontawa
Mi nachekaga tu
I appreciate you 😎 keep on
Kaka
Moyo
@kontawa7342
2 жыл бұрын
🫀
Balaaaa
@kontawa7342
2 жыл бұрын
Kasheshe🔥
🔥
Mi nachekaga tuuuuu💥💥
@kontawa7342
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
Kontawa
@kontawa7342
2 жыл бұрын
Naam🫀
Kaka ngoma kali sana, na aina hii ya ngoma ndio unafit sana. Lakini unatutesa sana kukaa kimya
@kontawa7342
2 жыл бұрын
Sawa kaka 🙏🏾🙏🏾
I appreciate bro
@kontawa7342
2 жыл бұрын
Salute🔥
diamond zuchu mtadul
Daaaah we bro unaupiga mwingi sana , hujawah feli kwenye uandishi ... Hii ngoma ungeitoa official angalau owe na dk 4 .. umetunyima raha bro umetupa raha kiduchu daaah 😟
@salimmwakinginda3394
Жыл бұрын
Amin
🔥🔥🔥🔥🔥
@kontawa7342
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
Hakuna yenye Verse 3..
moyo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@rqueentz
Жыл бұрын
Unaatali zako namimi nimsanii nimetamani kufikia levoyako ongela sana
Respect
@kontawa7342
2 жыл бұрын
🙏🏾🙏🏾
Nimeamua kukaa kimya sababu Viti vichafu
@kontawa7342
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
Kontawa kama utaisoma hii post like ili nijue please nilitaka kukushauri kitu kimoja hiphop ni nzur ila watu wanakosea hawaipi content mtu anaimba vitu ambavyo havivutii lakin ukiimba content kama hii unavutia watu content ni nyimbo ambayo inamtririko unaoeleweka kama hii yan topic ngoja nikupe mfano wa nyimbo za content zilizopendwa sanaa chemsha bongo ndio mzee zali la mental alikufa kwa ngoma mikas na nk unakipaj cha kutunga kwa mtiririko endelea hiv hiv usianze zile za jeans yangu kali napiga kama vandame mara mimi ni simba naua kama shetan na nk
@kontawa7342
2 жыл бұрын
Nimekuelewa sana kaka
@kudoja_fish_shop9592
2 жыл бұрын
Pamoja since nimekujua ni kama mwaka hiv umepita nikasema huyu jamaa atakua msanii mkubwa tanzania namba one hiphop star mpaka prof anakupost hata sikustuka hata diamond nilipoona tu video yake ya kwanza ya nenda mwaka 2009 nilisema atakuja kua msanii mkubwa kuna vitu naviangaliaga kwa mtu nafas ni yako dont loose your focus keep it up uandish uandish uandishi
Moyo unaweza fanya twaha kiduku🤣🤣🤣
@kontawa7342
2 жыл бұрын
😂😂😂
Appreciate Bro! ❤🔥 Jitahidi Sana Ziwe Full Usituonjeshe.
@kontawa7342
2 жыл бұрын
Sawaa🙏🏾🙏🏾
🔥🔥🔥
@kontawa7342
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥