Kontawa Asimulia BABA Yake Alivyomtema | Nimelima Vibarua, Kuuza Mitumba, Udalali, Kubeba Tofali...

Ойын-сауық

Full Interview ya Kontawa Kwenye XXL, Asimulia msoto aliopitia tangu utotoni.

Пікірлер: 29

  • @stiffmenake4700
    @stiffmenake470010 ай бұрын

    Real inspiration ⭐⭐⭐⭐⭐

  • @LacsmiMigezo-oc4kc
    @LacsmiMigezo-oc4kc10 ай бұрын

    Still Champion Buddy

  • @ediofficial483
    @ediofficial4839 ай бұрын

    Life change every second stay focus

  • @VictorFranael
    @VictorFranael10 ай бұрын

    Kontawa jifunze kujieleza vizuri , sio kwa ubaya.

  • @dilanfamous9529

    @dilanfamous9529

    10 ай бұрын

    Kwamfano meme nikikuuliza kontawa umskilize nani ili ajifunze kujieleza sio kwaubaya

  • @VictorFranael

    @VictorFranael

    10 ай бұрын

    @@dilanfamous9529 Ukijifunza kuandika vizuri kwa namna ya kueleweka nitafikiria kukujibu. Wasalimie wajinga wenzio , sio kwa ubaya.

  • @bainolatino3412

    @bainolatino3412

    9 ай бұрын

    ​@@dilanfamous9529amsikilize belle 9 au babuu wakitaa na wengine kama hao

  • @okitalanta5665
    @okitalanta56659 ай бұрын

    godzila bado anaish kontawa 🔥🔥

  • @mbalaga259
    @mbalaga25910 ай бұрын

    Kontawa❤❤❤ story yako Kama yangu

  • @rashidisaidi8535
    @rashidisaidi853510 ай бұрын

    Dah tusikatae watoto jaman hatujui kesho yetu wala kesho ya watoto wao

  • @ramadhanimohamed4190

    @ramadhanimohamed4190

    10 ай бұрын

    Akuna alie kataa mtoto wala watoto ila km ujazaa alf ndio utakuja kujua kwann hii changamoto inatokea sana

  • @rashidisaidi8535
    @rashidisaidi853510 ай бұрын

    Kontawa fo life

  • @mp.MwaithesonScania11
    @mp.MwaithesonScania1110 ай бұрын

    Kontawa my blood

  • @maigajohn5828
    @maigajohn582810 ай бұрын

    Kukataa mtoto ni makosa sana

  • @josephmwema4705
    @josephmwema47059 ай бұрын

    Muulize mama yako alimfanya nn baba yako sio bure kama alianza na kukujengea hupaswi kufikiria negativity kuhusu mshua wako

  • @donaldvanjoseph8153
    @donaldvanjoseph815310 ай бұрын

    daaaah nikwa wengi san hutuish n washua

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan249910 ай бұрын

    Hakuna kukata tamaa

  • @Adeen.1
    @Adeen.110 ай бұрын

    Minanda na michiriku waliviita

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph4059 ай бұрын

    Ivi vidogo vya sasaivi bana visenge kweli ,Yani bila kumsema vibaya baba ujafanikiwa bado? We unajua mamaako alimfanya nn babaako adi akakutema ,muulize mamaako akuelezee acha umbea dogo😮😮😮

  • @bainolatino3412
    @bainolatino34129 ай бұрын

    Kontawa jielezee kama msanii yani jitambue katika marlezo wengi wanakusikiliza ujue

  • @khamisassan9556
    @khamisassan955610 ай бұрын

    Kontawa anaweza kuwa mrithi wa zilla

  • @bainolatino3412

    @bainolatino3412

    9 ай бұрын

    Unasema nn wewe????? Hivi unamjua zizi wewe

  • @mudrik1501
    @mudrik15017 ай бұрын

    Kontawa hana mpinzani

  • @munnabhaiforlife9248
    @munnabhaiforlife924810 ай бұрын

    KWA HIYO ULITAKA UMFUNDISHE BABA YAKO TABIA ZAKO UTOTO,,ILI NAE AWE MTOTO KAMA WEWE ,,,, MBONA MNA POTEZA JAMII NYINYI WASANII???????????????????????

  • @mdachiog5211
    @mdachiog521110 ай бұрын

    Kontawa anafanana na zilla

  • @hamadeddymaclayz

    @hamadeddymaclayz

    9 ай бұрын

    Hadi kuongea

  • @mbalaga259
    @mbalaga25910 ай бұрын

    Nipeni like zangu nimekuwa wakwanza

  • @barakayusuph4617

    @barakayusuph4617

    10 ай бұрын

    sasa like unazipeleka wapi na uzifanuie nin😂😂😂

Келесі