Kizazi Kipya Part 1.. By Pastor David Mmbaga

New Generation Movement

Пікірлер: 27

  • @edithmakwakwa9489
    @edithmakwakwa94893 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu

  • @piterlaiza5576
    @piterlaiza55763 жыл бұрын

    Hmmmmm!!!! Hakika na Mungu akuwezeshe maana hawapendi kabisa

  • @estherkusaga9181
    @estherkusaga91813 жыл бұрын

    Naomba Mungu akutunze maana unamwinua songa mbele unalindwa kama mboni ya jicho lake,saidia watu waokolewe

  • @richardnyakundi5895
    @richardnyakundi58953 жыл бұрын

    Simo zuri sana lakini haina picha. Ukweli huu ni mzito sana.

  • @nikitumarthinne8909
    @nikitumarthinne89096 жыл бұрын

    MUNGU akuwezeshe mtumishi maana hapo umegusa penyewe.

  • @winnieesther1423
    @winnieesther14235 жыл бұрын

    Jamani.mtumishi dunia yaelekea wapi,,,mambi mengine yaeza fanya utamani dunia ipasuke ikumeze,EE MUNGU ...nimeogopa sana,,,jamani hivi mimi nilitamani sana kwenda America sai nimeacha tamaa hiyo,,,jamani Mungu tuhepushie na mbali mabaya...mtumishi wewe imani.yako naikubali,,,Ndio maana waisilamu wanatuchukia wakristo,,,LAKINI MIMI NA MOYO WANGU NITABAKI NA KRISTO MILELE YOTE....thanx for that information pastor God bless you abundantly

  • @estherkusaga9181
    @estherkusaga91813 жыл бұрын

    Naomba Mungu akutunze maana unamwinua songa mbele unalindwa kama mboni ya jicho lake,saidia watu waokolewe

  • @pizarromwashikumbulu8055
    @pizarromwashikumbulu80552 жыл бұрын

    Great speech

  • @jaqlinemsaki7263
    @jaqlinemsaki72635 жыл бұрын

    Najua haya ya kuabudu sk moja yanakuja kwa imani yng na maoni yng kabuli ya sk hiyo Mungu w Mbinguni anipe Pumziko la kifo , ila Yeye aliyeniumba ananijua vizr zaidi ninavyojijua Eee bwana kaa Nasi utuokoe

  • @agneskatuma3573
    @agneskatuma35736 жыл бұрын

    ubarikiwe mtumishi wa bwana karibu buhongwa huhongowe roho za watu

  • @dorahnyange4826
    @dorahnyange48263 жыл бұрын

    Mchungaj nataman kuelewa

  • @bobog9732
    @bobog97325 жыл бұрын

    kimbilio nikwa Yesu tu

  • @jacquelinemahumbi7924
    @jacquelinemahumbi79245 жыл бұрын

    ubarikiwe

  • @winnieesther1423
    @winnieesther14235 жыл бұрын

    AMEN

  • @tumainvedasto

    @tumainvedasto

    9 ай бұрын

    Hi

  • @zamdasalumu9740
    @zamdasalumu97406 жыл бұрын

    barikiwa mtumishi

  • @cassandamedia_tz1551

    @cassandamedia_tz1551

    6 жыл бұрын

    habari zamda

  • @josephtarmo2838

    @josephtarmo2838

    5 жыл бұрын

    ubarikiwe sana pastor mungu akubariki

  • @pizarromwashikumbulu8055

    @pizarromwashikumbulu8055

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @mashakamkolwi7829
    @mashakamkolwi78295 жыл бұрын

    huku songea nitapata wapi cd mchungaji kwani nahitaji kukua kiroho.

  • @frankngenzi6628
    @frankngenzi66286 жыл бұрын

    Samahani nina swali nomba kujibiwa ikiwa kama mshiriki katika kanisa alirudi nyuma ki imani nakutokuwa mwaminifu katika matoleo ya zaka na sadaka nabadae aka ongoka na kuwa mwaminifu katika matoleo je ata anza kutoa zaka na sadaka pale alipo anza kuwa mwaminifu au tangia nyuma ambapo hakuwa mwaminifu inabidi atoe ??

  • @jacquelinemahumbi7924

    @jacquelinemahumbi7924

    5 жыл бұрын

    anatakiwa asonge mbele yaan aendelee kutoa

  • @samuelmussa4809

    @samuelmussa4809

    5 жыл бұрын

    unaanzia hapo hapo ulipobasirika ya kale yamepita kosa hilo umekwisha samehewa na Bwana

  • @highcalling3012

    @highcalling3012

    5 жыл бұрын

    endelea kutoa,..Mungu akubariki

  • @edwiniluther3263

    @edwiniluther3263

    Жыл бұрын

    @Frank , Mpendwa Yesu Kristo sio Sanamu ...Yeye akusamehe anaanzia pale ulipokiri maana yy amezisafisha dhambi zako Kwa Damu ya Upatanisho maana dhambi zimetengwa nawe Magharibi na Mashariki ....Unachotakiwa ni kuwa Mwaminifu!!!!

  • @edwiniluther3263

    @edwiniluther3263

    Жыл бұрын

    @Frank kutoa Zaka na Sadaka sio njia ya kuweka huru hapana ni usafi wa Moyo Wako Kwa Mwokozi.. Zaka na Sadaka ni Sheria au agizo la Mungu tumjaribu Kwa hizo Sadaka..Bali Mungu hupendezwa na Sadaka ya Moyo Wako.. Barikiwa Kaka @Frank