Hmmmmm!!!! Hakika na Mungu akuwezeshe maana hawapendi kabisa
@estherkusaga91813 жыл бұрын
Naomba Mungu akutunze maana unamwinua songa mbele unalindwa kama mboni ya jicho lake,saidia watu waokolewe
@richardnyakundi58953 жыл бұрын
Simo zuri sana lakini haina picha. Ukweli huu ni mzito sana.
@nikitumarthinne89096 жыл бұрын
MUNGU akuwezeshe mtumishi maana hapo umegusa penyewe.
@winnieesther14235 жыл бұрын
Jamani.mtumishi dunia yaelekea wapi,,,mambi mengine yaeza fanya utamani dunia ipasuke ikumeze,EE MUNGU ...nimeogopa sana,,,jamani hivi mimi nilitamani sana kwenda America sai nimeacha tamaa hiyo,,,jamani Mungu tuhepushie na mbali mabaya...mtumishi wewe imani.yako naikubali,,,Ndio maana waisilamu wanatuchukia wakristo,,,LAKINI MIMI NA MOYO WANGU NITABAKI NA KRISTO MILELE YOTE....thanx for that information pastor God bless you abundantly
@estherkusaga91813 жыл бұрын
Naomba Mungu akutunze maana unamwinua songa mbele unalindwa kama mboni ya jicho lake,saidia watu waokolewe
@pizarromwashikumbulu80552 жыл бұрын
Great speech
@jaqlinemsaki72635 жыл бұрын
Najua haya ya kuabudu sk moja yanakuja kwa imani yng na maoni yng kabuli ya sk hiyo Mungu w Mbinguni anipe Pumziko la kifo , ila Yeye aliyeniumba ananijua vizr zaidi ninavyojijua Eee bwana kaa Nasi utuokoe
@agneskatuma35736 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi wa bwana karibu buhongwa huhongowe roho za watu
@dorahnyange48263 жыл бұрын
Mchungaj nataman kuelewa
@bobog97325 жыл бұрын
kimbilio nikwa Yesu tu
@jacquelinemahumbi79245 жыл бұрын
ubarikiwe
@winnieesther14235 жыл бұрын
AMEN
@tumainvedasto
9 ай бұрын
Hi
@zamdasalumu97406 жыл бұрын
barikiwa mtumishi
@cassandamedia_tz1551
6 жыл бұрын
habari zamda
@josephtarmo2838
5 жыл бұрын
ubarikiwe sana pastor mungu akubariki
@pizarromwashikumbulu8055
2 жыл бұрын
Amen
@mashakamkolwi78295 жыл бұрын
huku songea nitapata wapi cd mchungaji kwani nahitaji kukua kiroho.
@frankngenzi66286 жыл бұрын
Samahani nina swali nomba kujibiwa ikiwa kama mshiriki katika kanisa alirudi nyuma ki imani nakutokuwa mwaminifu katika matoleo ya zaka na sadaka nabadae aka ongoka na kuwa mwaminifu katika matoleo je ata anza kutoa zaka na sadaka pale alipo anza kuwa mwaminifu au tangia nyuma ambapo hakuwa mwaminifu inabidi atoe ??
@jacquelinemahumbi7924
5 жыл бұрын
anatakiwa asonge mbele yaan aendelee kutoa
@samuelmussa4809
5 жыл бұрын
unaanzia hapo hapo ulipobasirika ya kale yamepita kosa hilo umekwisha samehewa na Bwana
@highcalling3012
5 жыл бұрын
endelea kutoa,..Mungu akubariki
@edwiniluther3263
Жыл бұрын
@Frank , Mpendwa Yesu Kristo sio Sanamu ...Yeye akusamehe anaanzia pale ulipokiri maana yy amezisafisha dhambi zako Kwa Damu ya Upatanisho maana dhambi zimetengwa nawe Magharibi na Mashariki ....Unachotakiwa ni kuwa Mwaminifu!!!!
@edwiniluther3263
Жыл бұрын
@Frank kutoa Zaka na Sadaka sio njia ya kuweka huru hapana ni usafi wa Moyo Wako Kwa Mwokozi.. Zaka na Sadaka ni Sheria au agizo la Mungu tumjaribu Kwa hizo Sadaka..Bali Mungu hupendezwa na Sadaka ya Moyo Wako.. Barikiwa Kaka @Frank
Пікірлер: 27
Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu
Hmmmmm!!!! Hakika na Mungu akuwezeshe maana hawapendi kabisa
Naomba Mungu akutunze maana unamwinua songa mbele unalindwa kama mboni ya jicho lake,saidia watu waokolewe
Simo zuri sana lakini haina picha. Ukweli huu ni mzito sana.
MUNGU akuwezeshe mtumishi maana hapo umegusa penyewe.
Jamani.mtumishi dunia yaelekea wapi,,,mambi mengine yaeza fanya utamani dunia ipasuke ikumeze,EE MUNGU ...nimeogopa sana,,,jamani hivi mimi nilitamani sana kwenda America sai nimeacha tamaa hiyo,,,jamani Mungu tuhepushie na mbali mabaya...mtumishi wewe imani.yako naikubali,,,Ndio maana waisilamu wanatuchukia wakristo,,,LAKINI MIMI NA MOYO WANGU NITABAKI NA KRISTO MILELE YOTE....thanx for that information pastor God bless you abundantly
Naomba Mungu akutunze maana unamwinua songa mbele unalindwa kama mboni ya jicho lake,saidia watu waokolewe
Great speech
Najua haya ya kuabudu sk moja yanakuja kwa imani yng na maoni yng kabuli ya sk hiyo Mungu w Mbinguni anipe Pumziko la kifo , ila Yeye aliyeniumba ananijua vizr zaidi ninavyojijua Eee bwana kaa Nasi utuokoe
ubarikiwe mtumishi wa bwana karibu buhongwa huhongowe roho za watu
Mchungaj nataman kuelewa
kimbilio nikwa Yesu tu
ubarikiwe
AMEN
@tumainvedasto
9 ай бұрын
Hi
barikiwa mtumishi
@cassandamedia_tz1551
6 жыл бұрын
habari zamda
@josephtarmo2838
5 жыл бұрын
ubarikiwe sana pastor mungu akubariki
@pizarromwashikumbulu8055
2 жыл бұрын
Amen
huku songea nitapata wapi cd mchungaji kwani nahitaji kukua kiroho.
Samahani nina swali nomba kujibiwa ikiwa kama mshiriki katika kanisa alirudi nyuma ki imani nakutokuwa mwaminifu katika matoleo ya zaka na sadaka nabadae aka ongoka na kuwa mwaminifu katika matoleo je ata anza kutoa zaka na sadaka pale alipo anza kuwa mwaminifu au tangia nyuma ambapo hakuwa mwaminifu inabidi atoe ??
@jacquelinemahumbi7924
5 жыл бұрын
anatakiwa asonge mbele yaan aendelee kutoa
@samuelmussa4809
5 жыл бұрын
unaanzia hapo hapo ulipobasirika ya kale yamepita kosa hilo umekwisha samehewa na Bwana
@highcalling3012
5 жыл бұрын
endelea kutoa,..Mungu akubariki
@edwiniluther3263
Жыл бұрын
@Frank , Mpendwa Yesu Kristo sio Sanamu ...Yeye akusamehe anaanzia pale ulipokiri maana yy amezisafisha dhambi zako Kwa Damu ya Upatanisho maana dhambi zimetengwa nawe Magharibi na Mashariki ....Unachotakiwa ni kuwa Mwaminifu!!!!
@edwiniluther3263
Жыл бұрын
@Frank kutoa Zaka na Sadaka sio njia ya kuweka huru hapana ni usafi wa Moyo Wako Kwa Mwokozi.. Zaka na Sadaka ni Sheria au agizo la Mungu tumjaribu Kwa hizo Sadaka..Bali Mungu hupendezwa na Sadaka ya Moyo Wako.. Barikiwa Kaka @Frank