High Calling

High Calling

[John 8:32] Yohana 8:32
''tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.''
[John 17:17] Yohana 17: 17
''Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli''

LEO NA MUNGU. Part 23

LEO NA MUNGU. Part 23

LEO NA MUNGU. Part 22

LEO NA MUNGU. Part 22

LEO NA MUNGU .Part 21

LEO NA MUNGU .Part 21

LEO NA MUNGU. Part 20

LEO NA MUNGU. Part 20

Пікірлер

  • @emmanuelmtui4076
    @emmanuelmtui40764 ай бұрын

    ALBAMU YAKE JAMANI TUNAOMBA

  • @naimanmsawe1382
    @naimanmsawe13824 ай бұрын

    naukubali sana huu wimbo

  • @user-ji9wf9dh8h
    @user-ji9wf9dh8h6 ай бұрын

    Pastor@ peter john tunaomba kila video ya mahubiri unayohubiri popote tunaomba uwe unatuma you tube tunafuatilia ninapkua katika kipindi kigumu Cha maisha yangu nikizikiliza mahubiri huwa napatwa nguvu na ujasili mkubwa na kuamua kuanza upya pale nilipokosea kwa nguvu za Mungu kupitia mwili na sauti yako Mungu akubariki sana sana wewe na familia yako

  • @Fx_expertmoneymaker001
    @Fx_expertmoneymaker0017 ай бұрын

    Nafunga mwaka na huu wimbo leo, baba angu alikua akiupenda sana nikiwa mdogo miaka 5, na sasa nna miaka 29. I just love the song so much, for him.

  • @FrankjamesMwakalasya
    @FrankjamesMwakalasya7 ай бұрын

    Nimependa namna ulivyosimulia, nimepata kujua mambo mengi yanayoonekana kuwa madogo madogo. Mimi yamenivutia na kunijenga. Asante sana kwa kazi nzuri.

  • @busaraclemence4447
    @busaraclemence44477 ай бұрын

    kama umeurudia huu wimbo zaidi ya maramoja kuja hapa

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj10 ай бұрын

    Lo kweli nayakumbuka sana,maneno yake yenye manukato ya kiroho na upako,mungu baba wa.mbinguni,mtunze mtu huyu Amen.

  • @navury9345
    @navury934511 ай бұрын

    Weka album yote

  • @jacksonmala6139
    @jacksonmala613911 ай бұрын

    Amen

  • @jacksonmala6139
    @jacksonmala6139 Жыл бұрын

    Amen

  • @jacksonmala6139
    @jacksonmala6139 Жыл бұрын

    Amen

  • @VailethMwazyunga-lr4qr
    @VailethMwazyunga-lr4qr Жыл бұрын

    Nabarikiwa sana na hizi nyimbo, hivi album yao inapatikana siku hizi

  • @WitinesiNyakavangala-dc8ei
    @WitinesiNyakavangala-dc8ei Жыл бұрын

    Aste Mungu ailaze pema lunta

  • @anyangueshikumo2414
    @anyangueshikumo2414 Жыл бұрын

    Mahubiri haya yanachokonoa ( mi mkenya ,kiswahili si chetu) moyo. Yani, najichunguza moyo wangu sana na ninahisi machache mazuri ambayo nimeyatenda,labda sikuyatenda kwa imani ila kwa desturi. Nitafanyaje nijue nia ya Mungu kwa maisha yangu? Nili mkristo lakini am struggling with so many challenges, When I look at other believers, they are comfortable Yani heri uwe na changamoto zote LAKINI ZA UGONJWA! Eh, ....

  • @petermdeme7635
    @petermdeme7635 Жыл бұрын

    Tunashukuru nakumpongenza kwatao kanisa kwenye mwanga wa kweli na kuteaimani

  • @lulusenzia4807
    @lulusenzia4807 Жыл бұрын

    Amen

  • @jonathanmsuya1685
    @jonathanmsuya1685 Жыл бұрын

    Mbarikiwe, nyimbo hizi zinatusogeza karibu na uwepo wa MUNGU

  • @nairrabasilonkoi4890
    @nairrabasilonkoi4890 Жыл бұрын

    Historia ya martin Luther part 5

  • @nairrabasilonkoi4890
    @nairrabasilonkoi4890 Жыл бұрын

    Historia ya martin luther

  • @dreamsuccess7187
    @dreamsuccess7187 Жыл бұрын

    Safi Sana kawimbo katamu sana, nimeupenda kweli sehemu hapo mnapotaja neno 'watu" kwenye kashino fulani, wimbo ni mfupi unahamasisha mtu kuplayback bila kuchoka hasa unafaa usiku umelala. MUNGU awabariki

  • @Luccierick
    @Luccierick2 жыл бұрын

    Purely inspired, really voices

  • @eliasmuze1828
    @eliasmuze18282 жыл бұрын

    Ninaupenda Sana wimbo huu na sichoki kuusikiliza

  • @gracejapheth3476
    @gracejapheth34762 жыл бұрын

    Nimebarikiwa mnooo wimbo mzuri sana.

  • @samuelmuhindosivamwanza4988
    @samuelmuhindosivamwanza49882 жыл бұрын

    Amina

  • @victoriajames6190
    @victoriajames61902 жыл бұрын

    Amina barikiwa

  • @frankngosha8843
    @frankngosha88432 жыл бұрын

    Unaongea vingi lakn chamsingi point muhimu atupati tafuta vyanzo vinzur

  • @ednamanji
    @ednamanji2 жыл бұрын

    Pastor I never Listen your Sermon before till this month October 21 when you where in Temeke . You made me to follow up all your sermon in KZread. And the trues you blessed me abundantly. I humbled myself after following up your sermon. You are a true God sent .Hallelujah you have changed my life . I went through heavy burden in my life I nearly give up But after your messages from last week Listening every day, I believe now I am stronger by God's Grace . God bless your ministry work. Through your experience Examples you changed my life . I have nothing to lose now.🙏🙏🙏🙏

  • @paulmugassa5203
    @paulmugassa52032 жыл бұрын

    Great poet

  • @dorisimwenda6279
    @dorisimwenda62792 жыл бұрын

    Mzee Gideon L. Mwenda kwenye miaka ya 1985 hadi 1990 wimbo huu aliuimba hivi, Tazama niko mlangoni, naomba nifungulie; Natamani,natamani ii, natamani kuingia. Naomba nifungulie, na nipate ingia kwako,; Huzuni zote zitakwisha, Natamani kuingia. Kwaya Teule Kijitonyama. Nimekumbuka mbali sana, mbarikiwe.

  • @paulojustine7494
    @paulojustine74943 жыл бұрын

    Mungu awabariki waimbaji wote wanatubariki sana

  • @pizarromwashikumbulu8055
    @pizarromwashikumbulu80553 жыл бұрын

    Great speech

  • @emelineukashu4962
    @emelineukashu49623 жыл бұрын

    I love this song very very very much.

  • @harrynyange7972
    @harrynyange79723 жыл бұрын

    nimebarikiwa na nyimbo hizi

  • @brianmartin9666
    @brianmartin96663 жыл бұрын

    Hi pastor how can I get your what's up number kindly

  • @estherkusaga9181
    @estherkusaga91813 жыл бұрын

    Naomba Mungu akutunze maana unamwinua songa mbele unalindwa kama mboni ya jicho lake,saidia watu waokolewe

  • @estherkusaga9181
    @estherkusaga91813 жыл бұрын

    Naomba Mungu akutunze maana unamwinua songa mbele unalindwa kama mboni ya jicho lake,saidia watu waokolewe

  • @amosyohana5351
    @amosyohana53513 жыл бұрын

    Kwaya ya nyumban kabisaa mbarikiwe sanaa ndugu zangu

  • @johwapili6851
    @johwapili68513 жыл бұрын

    Album yao natafuta jaman, mwenye jina la album tafadhali

  • @josephhodari200
    @josephhodari2003 жыл бұрын

    nami pia

  • @petrochengula9480
    @petrochengula94803 жыл бұрын

    Aisee post na ule mwingine unaitwa unioshe niwe safi

  • @petrochengula9480
    @petrochengula94803 жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana

  • @dorahnyange4826
    @dorahnyange48263 жыл бұрын

    Mchungaj nataman kuelewa

  • @piterlaiza5576
    @piterlaiza55763 жыл бұрын

    Hmmmmm!!!! Hakika na Mungu akuwezeshe maana hawapendi kabisa

  • @richardnyakundi5895
    @richardnyakundi58953 жыл бұрын

    Simo zuri sana lakini haina picha. Ukweli huu ni mzito sana.

  • @humphreymachume256
    @humphreymachume2563 жыл бұрын

    Amina

  • @bulashimathias9881
    @bulashimathias98813 жыл бұрын

    Kazi ya MUNGU haiwezi kushidwa kupenya mahali popote ikiwa ameamua kufanya ,

  • @johnjuvent6856
    @johnjuvent68563 жыл бұрын

    Mungu na azidi kkutumia ktk kuubili habari njema. Nimebarikiwa. Kwa ujumbe mzri

  • @luciangulube6460
    @luciangulube64603 жыл бұрын

    Powerful .Amen

  • @edithmakwakwa9489
    @edithmakwakwa94893 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu

  • @henryhaonga1027
    @henryhaonga10274 жыл бұрын

    Amina pr peter John chibago God bless you alot,🙏

  • @thejungletv493
    @thejungletv4934 жыл бұрын

    Message to think deep up on we more prayers now than ever