[John 8:32] Yohana 8:32 ''tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.'' [John 17:17] Yohana 17: 17 ''Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli''
Pastor@ peter john tunaomba kila video ya mahubiri unayohubiri popote tunaomba uwe unatuma you tube tunafuatilia ninapkua katika kipindi kigumu Cha maisha yangu nikizikiliza mahubiri huwa napatwa nguvu na ujasili mkubwa na kuamua kuanza upya pale nilipokosea kwa nguvu za Mungu kupitia mwili na sauti yako Mungu akubariki sana sana wewe na familia yako
@Fx_expertmoneymaker0017 ай бұрын
Nafunga mwaka na huu wimbo leo, baba angu alikua akiupenda sana nikiwa mdogo miaka 5, na sasa nna miaka 29. I just love the song so much, for him.
@FrankjamesMwakalasya7 ай бұрын
Nimependa namna ulivyosimulia, nimepata kujua mambo mengi yanayoonekana kuwa madogo madogo. Mimi yamenivutia na kunijenga. Asante sana kwa kazi nzuri.
@busaraclemence44477 ай бұрын
kama umeurudia huu wimbo zaidi ya maramoja kuja hapa
@daffagunda-rm3hj10 ай бұрын
Lo kweli nayakumbuka sana,maneno yake yenye manukato ya kiroho na upako,mungu baba wa.mbinguni,mtunze mtu huyu Amen.
@navury934511 ай бұрын
Weka album yote
@jacksonmala613911 ай бұрын
Amen
@jacksonmala6139 Жыл бұрын
Amen
@jacksonmala6139 Жыл бұрын
Amen
@VailethMwazyunga-lr4qr Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na hizi nyimbo, hivi album yao inapatikana siku hizi
@WitinesiNyakavangala-dc8ei Жыл бұрын
Aste Mungu ailaze pema lunta
@anyangueshikumo2414 Жыл бұрын
Mahubiri haya yanachokonoa ( mi mkenya ,kiswahili si chetu) moyo. Yani, najichunguza moyo wangu sana na ninahisi machache mazuri ambayo nimeyatenda,labda sikuyatenda kwa imani ila kwa desturi. Nitafanyaje nijue nia ya Mungu kwa maisha yangu? Nili mkristo lakini am struggling with so many challenges, When I look at other believers, they are comfortable Yani heri uwe na changamoto zote LAKINI ZA UGONJWA! Eh, ....
@petermdeme7635 Жыл бұрын
Tunashukuru nakumpongenza kwatao kanisa kwenye mwanga wa kweli na kuteaimani
@lulusenzia4807 Жыл бұрын
Amen
@jonathanmsuya1685 Жыл бұрын
Mbarikiwe, nyimbo hizi zinatusogeza karibu na uwepo wa MUNGU
@nairrabasilonkoi4890 Жыл бұрын
Historia ya martin Luther part 5
@nairrabasilonkoi4890 Жыл бұрын
Historia ya martin luther
@dreamsuccess7187 Жыл бұрын
Safi Sana kawimbo katamu sana, nimeupenda kweli sehemu hapo mnapotaja neno 'watu" kwenye kashino fulani, wimbo ni mfupi unahamasisha mtu kuplayback bila kuchoka hasa unafaa usiku umelala. MUNGU awabariki
@Luccierick2 жыл бұрын
Purely inspired, really voices
@eliasmuze18282 жыл бұрын
Ninaupenda Sana wimbo huu na sichoki kuusikiliza
@gracejapheth34762 жыл бұрын
Nimebarikiwa mnooo wimbo mzuri sana.
@samuelmuhindosivamwanza49882 жыл бұрын
Amina
@victoriajames61902 жыл бұрын
Amina barikiwa
@frankngosha88432 жыл бұрын
Unaongea vingi lakn chamsingi point muhimu atupati tafuta vyanzo vinzur
@ednamanji2 жыл бұрын
Pastor I never Listen your Sermon before till this month October 21 when you where in Temeke . You made me to follow up all your sermon in KZread. And the trues you blessed me abundantly. I humbled myself after following up your sermon. You are a true God sent .Hallelujah you have changed my life . I went through heavy burden in my life I nearly give up But after your messages from last week Listening every day, I believe now I am stronger by God's Grace . God bless your ministry work. Through your experience Examples you changed my life . I have nothing to lose now.🙏🙏🙏🙏
@paulmugassa52032 жыл бұрын
Great poet
@dorisimwenda62792 жыл бұрын
Mzee Gideon L. Mwenda kwenye miaka ya 1985 hadi 1990 wimbo huu aliuimba hivi, Tazama niko mlangoni, naomba nifungulie; Natamani,natamani ii, natamani kuingia. Naomba nifungulie, na nipate ingia kwako,; Huzuni zote zitakwisha, Natamani kuingia. Kwaya Teule Kijitonyama. Nimekumbuka mbali sana, mbarikiwe.
@paulojustine74943 жыл бұрын
Mungu awabariki waimbaji wote wanatubariki sana
@pizarromwashikumbulu80553 жыл бұрын
Great speech
@emelineukashu49623 жыл бұрын
I love this song very very very much.
@harrynyange79723 жыл бұрын
nimebarikiwa na nyimbo hizi
@brianmartin96663 жыл бұрын
Hi pastor how can I get your what's up number kindly
@estherkusaga91813 жыл бұрын
Naomba Mungu akutunze maana unamwinua songa mbele unalindwa kama mboni ya jicho lake,saidia watu waokolewe
@estherkusaga91813 жыл бұрын
Naomba Mungu akutunze maana unamwinua songa mbele unalindwa kama mboni ya jicho lake,saidia watu waokolewe
@amosyohana53513 жыл бұрын
Kwaya ya nyumban kabisaa mbarikiwe sanaa ndugu zangu
@johwapili68513 жыл бұрын
Album yao natafuta jaman, mwenye jina la album tafadhali
@josephhodari2003 жыл бұрын
nami pia
@petrochengula94803 жыл бұрын
Aisee post na ule mwingine unaitwa unioshe niwe safi
@petrochengula94803 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana
@dorahnyange48263 жыл бұрын
Mchungaj nataman kuelewa
@piterlaiza55763 жыл бұрын
Hmmmmm!!!! Hakika na Mungu akuwezeshe maana hawapendi kabisa
@richardnyakundi58953 жыл бұрын
Simo zuri sana lakini haina picha. Ukweli huu ni mzito sana.
@humphreymachume2563 жыл бұрын
Amina
@bulashimathias98813 жыл бұрын
Kazi ya MUNGU haiwezi kushidwa kupenya mahali popote ikiwa ameamua kufanya ,
@johnjuvent68563 жыл бұрын
Mungu na azidi kkutumia ktk kuubili habari njema. Nimebarikiwa. Kwa ujumbe mzri
@luciangulube64603 жыл бұрын
Powerful .Amen
@edithmakwakwa94893 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu
@henryhaonga10274 жыл бұрын
Amina pr peter John chibago God bless you alot,🙏
@thejungletv4934 жыл бұрын
Message to think deep up on we more prayers now than ever
Пікірлер
ALBAMU YAKE JAMANI TUNAOMBA
naukubali sana huu wimbo
Pastor@ peter john tunaomba kila video ya mahubiri unayohubiri popote tunaomba uwe unatuma you tube tunafuatilia ninapkua katika kipindi kigumu Cha maisha yangu nikizikiliza mahubiri huwa napatwa nguvu na ujasili mkubwa na kuamua kuanza upya pale nilipokosea kwa nguvu za Mungu kupitia mwili na sauti yako Mungu akubariki sana sana wewe na familia yako
Nafunga mwaka na huu wimbo leo, baba angu alikua akiupenda sana nikiwa mdogo miaka 5, na sasa nna miaka 29. I just love the song so much, for him.
Nimependa namna ulivyosimulia, nimepata kujua mambo mengi yanayoonekana kuwa madogo madogo. Mimi yamenivutia na kunijenga. Asante sana kwa kazi nzuri.
kama umeurudia huu wimbo zaidi ya maramoja kuja hapa
Lo kweli nayakumbuka sana,maneno yake yenye manukato ya kiroho na upako,mungu baba wa.mbinguni,mtunze mtu huyu Amen.
Weka album yote
Amen
Amen
Amen
Nabarikiwa sana na hizi nyimbo, hivi album yao inapatikana siku hizi
Aste Mungu ailaze pema lunta
Mahubiri haya yanachokonoa ( mi mkenya ,kiswahili si chetu) moyo. Yani, najichunguza moyo wangu sana na ninahisi machache mazuri ambayo nimeyatenda,labda sikuyatenda kwa imani ila kwa desturi. Nitafanyaje nijue nia ya Mungu kwa maisha yangu? Nili mkristo lakini am struggling with so many challenges, When I look at other believers, they are comfortable Yani heri uwe na changamoto zote LAKINI ZA UGONJWA! Eh, ....
Tunashukuru nakumpongenza kwatao kanisa kwenye mwanga wa kweli na kuteaimani
Amen
Mbarikiwe, nyimbo hizi zinatusogeza karibu na uwepo wa MUNGU
Historia ya martin Luther part 5
Historia ya martin luther
Safi Sana kawimbo katamu sana, nimeupenda kweli sehemu hapo mnapotaja neno 'watu" kwenye kashino fulani, wimbo ni mfupi unahamasisha mtu kuplayback bila kuchoka hasa unafaa usiku umelala. MUNGU awabariki
Purely inspired, really voices
Ninaupenda Sana wimbo huu na sichoki kuusikiliza
Nimebarikiwa mnooo wimbo mzuri sana.
Amina
Amina barikiwa
Unaongea vingi lakn chamsingi point muhimu atupati tafuta vyanzo vinzur
Pastor I never Listen your Sermon before till this month October 21 when you where in Temeke . You made me to follow up all your sermon in KZread. And the trues you blessed me abundantly. I humbled myself after following up your sermon. You are a true God sent .Hallelujah you have changed my life . I went through heavy burden in my life I nearly give up But after your messages from last week Listening every day, I believe now I am stronger by God's Grace . God bless your ministry work. Through your experience Examples you changed my life . I have nothing to lose now.🙏🙏🙏🙏
Great poet
Mzee Gideon L. Mwenda kwenye miaka ya 1985 hadi 1990 wimbo huu aliuimba hivi, Tazama niko mlangoni, naomba nifungulie; Natamani,natamani ii, natamani kuingia. Naomba nifungulie, na nipate ingia kwako,; Huzuni zote zitakwisha, Natamani kuingia. Kwaya Teule Kijitonyama. Nimekumbuka mbali sana, mbarikiwe.
Mungu awabariki waimbaji wote wanatubariki sana
Great speech
I love this song very very very much.
nimebarikiwa na nyimbo hizi
Hi pastor how can I get your what's up number kindly
Naomba Mungu akutunze maana unamwinua songa mbele unalindwa kama mboni ya jicho lake,saidia watu waokolewe
Naomba Mungu akutunze maana unamwinua songa mbele unalindwa kama mboni ya jicho lake,saidia watu waokolewe
Kwaya ya nyumban kabisaa mbarikiwe sanaa ndugu zangu
Album yao natafuta jaman, mwenye jina la album tafadhali
nami pia
Aisee post na ule mwingine unaitwa unioshe niwe safi
Wimbo mzuri sana
Mchungaj nataman kuelewa
Hmmmmm!!!! Hakika na Mungu akuwezeshe maana hawapendi kabisa
Simo zuri sana lakini haina picha. Ukweli huu ni mzito sana.
Amina
Kazi ya MUNGU haiwezi kushidwa kupenya mahali popote ikiwa ameamua kufanya ,
Mungu na azidi kkutumia ktk kuubili habari njema. Nimebarikiwa. Kwa ujumbe mzri
Powerful .Amen
Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu
Amina pr peter John chibago God bless you alot,🙏
Message to think deep up on we more prayers now than ever