| KIWEWE CHA VITA | Wanajeshi ambao hawajarejea kutoka Somalia
Jua linapochweya na kukosa kufahamu aliko mpendwa wako huleta kiwewe moyoni, na baadhi ya familia za wanajeshi zimelazimika kuishi pasi na kusikia kutoka kwa wapendwa wao kwa miaka kadhaa sasa. Mwanahabari wetu Kadzo Gunga alikutana na familia zilizosimulia miaka ya ati ati bila taarifa zozote kuhusu wapendwa wao. Hii hapa sehemu ya kwanza ya makala ya 'kiwewe cha vita'
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya
Пікірлер: 260
I see the difference btw mother love and wife love.... Mama says better to have no compensation and see his son..vs wife waiting for compensation... Mama dying because of thinking whereabouts of his son...may she rip.... No one can replace the love of a mother....hats off to all mummies....hit like if you believe mama's love is priceless.👇
@petermakori8442
5 жыл бұрын
The cry of the mother vs wife 😭😭😭😭😢😢
@joseckerambo2184
5 жыл бұрын
I think the wife was saying after they get the benefits their relationship with the army ends, therefore, they will lose the right to ask the army to look for her husband.
@topistarnelima6797
5 жыл бұрын
What do you mean you see the difference if am his wife I could sign for compensation imagine seven yrs no phone call, no nothing other soldiers came back they have not heard of him she has children they need school fees and other needs she has no otherwise she have to sign compensation to support children.she have waited enough even if she says she dont want compensation he can't come and the army will not care about his family anymore
@zaidazainab2407
5 жыл бұрын
@@topistarnelima6797 don't let my opinion consume you it's was viewed from a different perspective that differs from yours...and we all have different perspectives and that's nature. Eventually everyone is allowed to bring forth his/her own opinion in this forum.
@ekkarogie5
3 жыл бұрын
The love i have for my mum.....i just cry
a mother is an angel sent from above .....Her last words broke me down
@aliceasenwajune3530
5 жыл бұрын
Me 2
I remember for 7years consecutive went for a recruitment without success even the last year of my age gap of 26 nlikuwa nisha chukuliwa corruption ikachezwa nikatupwa nje now I know the work of God can't complain of anything any more.
Thank you so much Emma for the consideration you have to Kenya soldiers, I pray God gives the family peace that no man can give, God protect our soldiers wherever they are Amen
Ni kweli mama hata wakupe mamilioni mingi bila mwanawe ni stress 😞😞😞😞😞😞😞
Poleni Sana wafiwa mungu awape nguvu kwa wakati mngumu mnaopitia . Halafu imagine hii kazi ya jeshi ya kulinda taifa yetu wengi hutoa hongo ndio upate kazi ya jeshi. Halafu unaenda teseka huko Somali kwa kazi uliyo toa hongo . Inauma sana .
Last words of this mama has made me cry 😭😭😭😭😭 so painful.............mungu mtie uyu mama nguvu katika harakati hii ya mauchungu and let your will be done
The only genuine love in this world is mother's love.
@G9s7900
5 жыл бұрын
and there's no way i can disrespect mum because of my wife. umenena bro
@mwaoshkarish4197
3 жыл бұрын
Even a fathers love mazee sio wamama pekee
The love of the mother not even compare to the Jezebel daughter
Si kazi kabisa, hata wakirudi wengine kujitoa uhai,ama wazimu.
Poleni sana. Kwani Army hawana “broken arrow”? Ama ni negligence ya Kenya Airforce? My feelings Kenya air force neglected ground troops.
Others see see themselves being a solder like another God. Hii kazi ni shida tu
What I know is that the US, and other developed nations love love their soldiers too much, and that’s alright with me! This is so so sad for these families. It’s unacceptable and these are the areas Kenyans need to peacefully protest on and bring the country to a stand still. A chain is as strong as its weakest link. Our government has failed us big time! Let’s keep electing “mtu wetu or mwizi wetu.” I feel like we haven’t been brought to our knees yet enough to acknowledge that we deserve better from our government. Heartfelt condolences for these families! I hope the deaths are not in vain.
Mungu wasaidie kwani wanatumiwa nawakora serikalini,vita hivi ya Somalia. Ilikua ya muamerika akampatia muithopia ,muithopia nae alishindwa,museveni pia ameshindiwa. Je kenya itaweza?
Shida ya jeshi nikwamba mtu akifa vitani hawasemi yani hata kama ni mtoto wako au mume wako hutaruhusiwa kumuona wanataka tu wamzike hivyo and this is so sad, plz let this pipo know something about their son plz, they are in shock just break the news for them to be free
@puritykrishna1592
5 жыл бұрын
Ukiingia jeshi unakua mali ya serikali
@annejane1311
5 жыл бұрын
So sad 😥😥
@samueljr9105
5 жыл бұрын
@@puritykrishna1592 sawa lkn kma umekufa yr family wako na haki ya kukuona hata once hiyo ni sheria, lkn hawa hawaruhusu hata wazazi kuona mtoto wao hio sio sawa, kuna mwingine alizikwa baba alisema " am not sure if they bury my son coz i was not allow to see him" sasa hiyo ni nn? Ata kma ni mali ya serikali family members MUST BE allowed to see their son, brother, uncle bfr thry bury him
@briankenyan1799
11 ай бұрын
I think they do not want them to be traumatized due to the condition of the body
Once I wanted in my life to a soldier,..buh my mom refused me ....💕🥰..
@martinezmartoh461
Жыл бұрын
Me too😥😥❤
Poleni sana.. MUNGU awalinde wanajeshi wetu wote walipo
@jeremiahemanman6757
5 жыл бұрын
Mungu awalinde Wanajeshi wute Somalia
@theonlyfunguokeyz5638
5 жыл бұрын
@@jeremiahemanman6757 Amen
Hii sio kazi. Just risking life. Many innocent lives r sacrificed for the benefit of few.
@irenekamamie8061
5 жыл бұрын
kweli aki kurisk my son nilikua namuulixa kama anawexa taka kua police aliniambia aaiii mum beta mechanic🙊🙊🙊
Being A Millitary Personell is not A Job, it is a service.......... MAY GOD PROTECT THEIR FAMILIES
Vita Sio kitu Kizuri na Musitafute Vita Abadan Bora Amani
For real i liked this job whatever i apply they give me alot of things by Alhamdhulilah am in Saudia workin n i thnk Allah for this n wat am havin it know
"Heri hizo pesa ipotee na mtoto wangu apatikane"😭😭
Once a soldier ur a soldier
Kweli uchungu wa mwana ajuae ni MZAZI...The lovely mother made me tha fact true by saying ; " hata wanipe millions , nothing can replace my child. "
Hii ndio kazi nilikua naenda kuapply Woi ebu tusubuane na waarabu tu
@olefajohns1751
5 жыл бұрын
😂😂
@plmm7706
3 жыл бұрын
Walikua wananikataa kuingia jeshi kwa sababu Zina pesa za hongo ,Waja nikanyake gulf vilivyo Mungu anatulinda sana
@abdallakasim6027
3 жыл бұрын
Fjdureuru
@abdallakasim6027
3 жыл бұрын
@@plmm7706 y tur
@colbymackells7597
3 жыл бұрын
Wewe si mwanaume endelea kuosha vyombo za waarabu matako ya waarabu wazee
our youth run for easy pay but the price is hard to accept & expect. Its good to stay hungry than put in war front in the name of defending a country of politicians hypocracy. poleni sana, my mother rejected me to join even prison & now ended up being professional teacher. congrats
@ilevejohnijtv4466
3 жыл бұрын
The best thing Government must do to these families,although nothing equivalent to a child, husband, wife or daughter but Government must respond and axplain to the family what happened and provide all kind of support needed to the affected as they process all kind of compensation...
@bonfaceohuru2517
Жыл бұрын
Thank you...little pay but safe with your family.
I will always stand with my mum no matter what.
Na baado watakufa saana;huyo rais wenu umvuta bangi atawapeleka pabaya apunguze kuvuta vuvuzela;wasomali wana uchungu ya kaskazini wa Kenya kwa ndani ya kenya baado anataka kismayu na bahari yake kumalamaayake kenyata
Wazazi ficheni stakabadhi za watoto wasiende kwa usajili wa jeshi au polisi.
Mr,,President plz return Kenyan's back to their country,,, let those hooligans guard them selves,,, we can't see our people dying for another people interest,,, let them come and do it here in their country,,,, we have those criminals everywhere,,,
God protect our solders.
So sad...loosing our army forces
Kuliko kukuwa KDF heri kufanya kazi kwa waarabu
@mwangimuiruri6132
5 жыл бұрын
Uku msharahara even though ndogo bt n safee sana
@platumkoshy9930
5 жыл бұрын
@@mwangimuiruri6132 yes kuna salo poa..but surelly hii ni kurisk bana...
@dominicmwangi3458
5 жыл бұрын
Job no job
@kijanahodari2080
5 жыл бұрын
Tuko nao wengi uku arabuni wameacha kaz KDF
@doricaswanjiru9000
5 жыл бұрын
I agree with you
We must pray for safety of our soldiers. ..govt should pull off
Pole sana MUNGU awape amani
Dear God protect our solders
Kwa kweli, aujuae uchungu wa mwana ni mzazi!!!
Mama anaongea kwa uchungu. God bless our mothers, Amen.
Shukuru mola wewe umeketi na mpenzi wako.
Tuanzishe opereni Amani kwa watu wote na usalama kwa wote na MUNGU MKUU ATUSAIDIE SOTE. Inasikitisha sana . poleni sana wapendwa na MUNGU MKUU awape nguvu. Amen.
May God continue to comfort these families
Heroes of this nation may God's keep ur souls in a safe side
Fanyeni kazi zenu acheni uoga alikubali kazi na roho safi tokeni mumutafute kwafanya wengine watakataa kuwa jeshi jili yatisha haya yoko hai anaitaji msaada tokeni
may God give you peace mama
I will do everything in my power to make sure no child from my family will serve in KDF or KPF.
@antonymwagi4636
3 жыл бұрын
For me i would not be the wall between my childrens i would like them 2 follow their passion ...? That is the act of being a coward for u....our fore fathers died and bleed for this country to gain our independence and yet they had no guns that time?..so if the war comes 2 ur door step u urself seem 2 run away?..am not judging but guessing..
@mohamedrahoy34
3 жыл бұрын
Then you are coward
@wambuibwaweru6920
2 жыл бұрын
@@antonymwagi4636 huyu atapotea aache watoto na bibi haha
Dunia tunapita hakuna atakae ishi milele humu duniani... Poleni mliofiwa
I really pity this guys, mimi nilisema siwezi India jeshi, fighting for other people's interests, ikiwa wako genuine mtoto wa uhuru na ruto wawe kwa frontline
Sad aki uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi
Na mtu kuna anajiita Commander in Chief of the Diffence Forces.
@abdelnasseromar2729
5 жыл бұрын
Family 2 funny
Burundi🇧🇮🇧🇮 pia tuliwapoteza wengi
Kwanza poleni Sana wafiwa aki inauma Sana but kumbuka pia hawa vijana wamejitoa mhanga kwa sababu ya wakenya kwa ujumla lkn pia inauma Sana kumpoteza mpendwa God bless kenyan army kenyan heroes Kama unataka kujua nguvu ya Kenya defence forces then angalia malalamiko ya magaidi siku zote hulalamika kuhusu kdf mpaka wanakuja kuua innocent people of Kenya na watoto na wanafunzi hhh hakuna siku utaona wakilalamika na majeshi ya uganda ethiopia burundi djibouti na somalian army hapo utaamini Kenya defence forces are not weak like others hhhh kdf ni kipigo tosha kwa magaidi.. sisi Kama jamii ya kisomali tunawashukuru Sana wanajeshi wa Kenya God bless Kenya defence forces mungu awaongezee nguvu ya kuwatunza mamilioni ya watu
very sad...😥😥 may God protect our soldiers
You’re a professional journalist
Mothers love the best
Can the government just withdraw its forces there
@dominicmwangi3458
5 жыл бұрын
That is not the solution.
@hajjiyasin4255
3 жыл бұрын
I dont think they is benefits them to stay they
Its so sad,I see more than money or work in this hero,sacrifice and love for there country ...unfortunately there just important when there live and Healthy if anything happen the country they were so loyal to forget so fast and there love love ones are left full of pain and sorrow....may Almighty protect our soldiers and there families
Wanajeshi wetu wanatumiwa na serikali ambayo hawana ajenda..wanajeshi wetu wangetuchunga kwa border na ndani ya nchi...hii vita ya Somalia haishii leo wala kesho,wachache katika serikali ndio wanafaidika.
God give them peace of mind
So sad story polen sana
Poleni sana nduguzangu
Sasa kwa nn waende uko somalia na wenyewe hawataki c bora wangebakia tu mipakani kuilinda nchi yao.
Haya Yahuzunisha sana, Maulana pekee aliye na majibu.. poleni sana
wanajeshi wacheni siri bana, mkiwezwa mnasema ukweli, mwache kutesa wazazi
Waa my bro live long
so sad poleni sana
So sad...it pains my heart
Woiye mungu linda mume wangu na wanajeshi wengine.....najua fenye mtu huhisi aki 😶😶😢😢😢
@mercysimiyu6696
5 жыл бұрын
Helen Kamau mungu yu naye mummy
@daniels9835
5 жыл бұрын
Muombee kila siku na usisahau
@helenkamau5096
5 жыл бұрын
I always pray for him aki siyo rahisi
@helenkamau5096
5 жыл бұрын
Mercy simiyu thank you soo much dear be blessed
Mungu awafanyie wepesi 👪familia za hao wanajeshi
So painful😢
Poleni sana
I too wanted to be a soldier but mum refused. Unsteady she she sorted me with capital to start my own business.
Nani kama mama👏
Inahuzunisha sana dah
Vijana wataogopa kujiunga na jeshi sasa ewe molla warehemu walouliwa huko somali.
@annejane1311
5 жыл бұрын
Amina 😥😥
For those commenting about a mother remember the Father too....he wouldn't have been featured here if he didn't care about his son's whereabouts
Sad story
So sad haki mungu azidi kuwafariji
nawapenda KDF soldiers.God no mkuu wa majeshi..sio wamadaktar..mawakili etc...heri kufa Kama shujaa kuliko kuishi Kama pumbafu.wengi wanaitia nchi kwa hatari lakini KDF officers wanaweka Maisha yao kwa hatari juu yetu.mama pole...lakini jeshi huenda kwa Mungu akifa wakitupigania,
Very painful
Poleni Sana
Wooooieee soo sad hope he is fine woooieee atafutwe aki pesa hatuwezi linganisha na mtoto
HALAFU MTU ATUKAME MAMA YAKO... NKT!!!!
aky pole sanw
Ebu Wakenya kitu gani in Kenya runs smoothly?
Romeo India Papa our Officers
I respect soldiers but not police
@abdallakasim6027
3 жыл бұрын
Wereeeeee
Saindia tausi tv
oh my am shorts of words...boy child hupitia changamoto mob...may God bless this familys...
Duh so sad poleni jamani
Mother's love 🙌💖🙏
sad story
Joining the military should be a calling and not an option to earn money. Military men/women belong to government and not their families
@bonfaceohuru2517
Жыл бұрын
What do you mean a calling?? It isn't a biblical ministry!!... Hey.,that is somebody's son and daughter being slaughtered in bushes by enemies....
Poleni
Kwani kuambia family ukweli Kuna shida gani.... Kuna vijana wengi wamepotea Mpka Leo na no information.... Kifo ni cha kila mtu
So Sad
So sad
Very sad
Sio kitu ya kecheka lakini huyu mama yahwah, ati Walishtuka hadi ngo'mbe Hai, we
@ogambadivinah4333
5 жыл бұрын
Anamaanisha hata ngo'mbe hawakuipea chakula
@kimberlytv7895
5 жыл бұрын
@@ogambadivinah4333 oohh nimeelewa
May God swarp away there tears away, but how can I join army
Waaah😭😭