| KIWEWE CHA VITA | Wanajeshi ambao hawajarejea kutoka Somalia

Jua linapochweya na kukosa kufahamu aliko mpendwa wako huleta kiwewe moyoni, na baadhi ya familia za wanajeshi zimelazimika kuishi pasi na kusikia kutoka kwa wapendwa wao kwa miaka kadhaa sasa. Mwanahabari wetu Kadzo Gunga alikutana na familia zilizosimulia miaka ya ati ati bila taarifa zozote kuhusu wapendwa wao. Hii hapa sehemu ya kwanza ya makala ya 'kiwewe cha vita'
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya

Пікірлер: 260

  • @zaidazainab2407
    @zaidazainab24075 жыл бұрын

    I see the difference btw mother love and wife love.... Mama says better to have no compensation and see his son..vs wife waiting for compensation... Mama dying because of thinking whereabouts of his son...may she rip.... No one can replace the love of a mother....hats off to all mummies....hit like if you believe mama's love is priceless.👇

  • @petermakori8442

    @petermakori8442

    5 жыл бұрын

    The cry of the mother vs wife 😭😭😭😭😢😢

  • @joseckerambo2184

    @joseckerambo2184

    5 жыл бұрын

    I think the wife was saying after they get the benefits their relationship with the army ends, therefore, they will lose the right to ask the army to look for her husband.

  • @topistarnelima6797

    @topistarnelima6797

    5 жыл бұрын

    What do you mean you see the difference if am his wife I could sign for compensation imagine seven yrs no phone call, no nothing other soldiers came back they have not heard of him she has children they need school fees and other needs she has no otherwise she have to sign compensation to support children.she have waited enough even if she says she dont want compensation he can't come and the army will not care about his family anymore

  • @zaidazainab2407

    @zaidazainab2407

    5 жыл бұрын

    @@topistarnelima6797 don't let my opinion consume you it's was viewed from a different perspective that differs from yours...and we all have different perspectives and that's nature. Eventually everyone is allowed to bring forth his/her own opinion in this forum.

  • @ekkarogie5

    @ekkarogie5

    3 жыл бұрын

    The love i have for my mum.....i just cry

  • @mattehltd4179
    @mattehltd41795 жыл бұрын

    a mother is an angel sent from above .....Her last words broke me down

  • @aliceasenwajune3530

    @aliceasenwajune3530

    5 жыл бұрын

    Me 2

  • @musaamuj
    @musaamuj5 жыл бұрын

    I remember for 7years consecutive went for a recruitment without success even the last year of my age gap of 26 nlikuwa nisha chukuliwa corruption ikachezwa nikatupwa nje now I know the work of God can't complain of anything any more.

  • @Nyarsiaya2023
    @Nyarsiaya20235 жыл бұрын

    Thank you so much Emma for the consideration you have to Kenya soldiers, I pray God gives the family peace that no man can give, God protect our soldiers wherever they are Amen

  • @ogambadivinah4333
    @ogambadivinah43335 жыл бұрын

    Ni kweli mama hata wakupe mamilioni mingi bila mwanawe ni stress 😞😞😞😞😞😞😞

  • @daprince7545
    @daprince75455 жыл бұрын

    Poleni Sana wafiwa mungu awape nguvu kwa wakati mngumu mnaopitia . Halafu imagine hii kazi ya jeshi ya kulinda taifa yetu wengi hutoa hongo ndio upate kazi ya jeshi. Halafu unaenda teseka huko Somali kwa kazi uliyo toa hongo . Inauma sana .

  • @lilililian575
    @lilililian5755 жыл бұрын

    Last words of this mama has made me cry 😭😭😭😭😭 so painful.............mungu mtie uyu mama nguvu katika harakati hii ya mauchungu and let your will be done

  • @koechkane
    @koechkane5 жыл бұрын

    The only genuine love in this world is mother's love.

  • @G9s7900

    @G9s7900

    5 жыл бұрын

    and there's no way i can disrespect mum because of my wife. umenena bro

  • @mwaoshkarish4197

    @mwaoshkarish4197

    3 жыл бұрын

    Even a fathers love mazee sio wamama pekee

  • @mainakihurusia6380
    @mainakihurusia6380Күн бұрын

    The love of the mother not even compare to the Jezebel daughter

  • @naknak150
    @naknak1505 жыл бұрын

    Si kazi kabisa, hata wakirudi wengine kujitoa uhai,ama wazimu.

  • @jeffchurum1431
    @jeffchurum14315 жыл бұрын

    Poleni sana. Kwani Army hawana “broken arrow”? Ama ni negligence ya Kenya Airforce? My feelings Kenya air force neglected ground troops.

  • @theson5044
    @theson50445 жыл бұрын

    Others see see themselves being a solder like another God. Hii kazi ni shida tu

  • @jotaya
    @jotaya5 жыл бұрын

    What I know is that the US, and other developed nations love love their soldiers too much, and that’s alright with me! This is so so sad for these families. It’s unacceptable and these are the areas Kenyans need to peacefully protest on and bring the country to a stand still. A chain is as strong as its weakest link. Our government has failed us big time! Let’s keep electing “mtu wetu or mwizi wetu.” I feel like we haven’t been brought to our knees yet enough to acknowledge that we deserve better from our government. Heartfelt condolences for these families! I hope the deaths are not in vain.

  • @naknak150
    @naknak1505 жыл бұрын

    Mungu wasaidie kwani wanatumiwa nawakora serikalini,vita hivi ya Somalia. Ilikua ya muamerika akampatia muithopia ,muithopia nae alishindwa,museveni pia ameshindiwa. Je kenya itaweza?

  • @samueljr9105
    @samueljr91055 жыл бұрын

    Shida ya jeshi nikwamba mtu akifa vitani hawasemi yani hata kama ni mtoto wako au mume wako hutaruhusiwa kumuona wanataka tu wamzike hivyo and this is so sad, plz let this pipo know something about their son plz, they are in shock just break the news for them to be free

  • @puritykrishna1592

    @puritykrishna1592

    5 жыл бұрын

    Ukiingia jeshi unakua mali ya serikali

  • @annejane1311

    @annejane1311

    5 жыл бұрын

    So sad 😥😥

  • @samueljr9105

    @samueljr9105

    5 жыл бұрын

    @@puritykrishna1592 sawa lkn kma umekufa yr family wako na haki ya kukuona hata once hiyo ni sheria, lkn hawa hawaruhusu hata wazazi kuona mtoto wao hio sio sawa, kuna mwingine alizikwa baba alisema " am not sure if they bury my son coz i was not allow to see him" sasa hiyo ni nn? Ata kma ni mali ya serikali family members MUST BE allowed to see their son, brother, uncle bfr thry bury him

  • @briankenyan1799

    @briankenyan1799

    11 ай бұрын

    I think they do not want them to be traumatized due to the condition of the body

  • @cointhemoney9450
    @cointhemoney94502 жыл бұрын

    Once I wanted in my life to a soldier,..buh my mom refused me ....💕🥰..

  • @martinezmartoh461

    @martinezmartoh461

    Жыл бұрын

    Me too😥😥❤

  • @theonlyfunguokeyz5638
    @theonlyfunguokeyz56385 жыл бұрын

    Poleni sana.. MUNGU awalinde wanajeshi wetu wote walipo

  • @jeremiahemanman6757

    @jeremiahemanman6757

    5 жыл бұрын

    Mungu awalinde Wanajeshi wute Somalia

  • @theonlyfunguokeyz5638

    @theonlyfunguokeyz5638

    5 жыл бұрын

    @@jeremiahemanman6757 Amen

  • @peterkariuki9073
    @peterkariuki90735 жыл бұрын

    Hii sio kazi. Just risking life. Many innocent lives r sacrificed for the benefit of few.

  • @irenekamamie8061

    @irenekamamie8061

    5 жыл бұрын

    kweli aki kurisk my son nilikua namuulixa kama anawexa taka kua police aliniambia aaiii mum beta mechanic🙊🙊🙊

  • @josiahalela7672
    @josiahalela76723 жыл бұрын

    Being A Millitary Personell is not A Job, it is a service.......... MAY GOD PROTECT THEIR FAMILIES

  • @haliimomar1692
    @haliimomar16925 жыл бұрын

    Vita Sio kitu Kizuri na Musitafute Vita Abadan Bora Amani

  • @farhadhassansaid1297
    @farhadhassansaid12973 жыл бұрын

    For real i liked this job whatever i apply they give me alot of things by Alhamdhulilah am in Saudia workin n i thnk Allah for this n wat am havin it know

  • @promaxemweli
    @promaxemweli5 жыл бұрын

    "Heri hizo pesa ipotee na mtoto wangu apatikane"😭😭

  • @sylviaabuor9494
    @sylviaabuor94945 жыл бұрын

    Once a soldier ur a soldier

  • @mohamednagib2594
    @mohamednagib25945 жыл бұрын

    Kweli uchungu wa mwana ajuae ni MZAZI...The lovely mother made me tha fact true by saying ; " hata wanipe millions , nothing can replace my child. "

  • @kamenyag352
    @kamenyag3525 жыл бұрын

    Hii ndio kazi nilikua naenda kuapply Woi ebu tusubuane na waarabu tu

  • @olefajohns1751

    @olefajohns1751

    5 жыл бұрын

    😂😂

  • @plmm7706

    @plmm7706

    3 жыл бұрын

    Walikua wananikataa kuingia jeshi kwa sababu Zina pesa za hongo ,Waja nikanyake gulf vilivyo Mungu anatulinda sana

  • @abdallakasim6027

    @abdallakasim6027

    3 жыл бұрын

    Fjdureuru

  • @abdallakasim6027

    @abdallakasim6027

    3 жыл бұрын

    @@plmm7706 y tur

  • @colbymackells7597

    @colbymackells7597

    3 жыл бұрын

    Wewe si mwanaume endelea kuosha vyombo za waarabu matako ya waarabu wazee

  • @mahatmustafa7041
    @mahatmustafa70415 жыл бұрын

    our youth run for easy pay but the price is hard to accept & expect. Its good to stay hungry than put in war front in the name of defending a country of politicians hypocracy. poleni sana, my mother rejected me to join even prison & now ended up being professional teacher. congrats

  • @ilevejohnijtv4466

    @ilevejohnijtv4466

    3 жыл бұрын

    The best thing Government must do to these families,although nothing equivalent to a child, husband, wife or daughter but Government must respond and axplain to the family what happened and provide all kind of support needed to the affected as they process all kind of compensation...

  • @bonfaceohuru2517

    @bonfaceohuru2517

    Жыл бұрын

    Thank you...little pay but safe with your family.

  • @mcsolootv1360
    @mcsolootv13605 жыл бұрын

    I will always stand with my mum no matter what.

  • @mohamedmohamed614
    @mohamedmohamed6143 жыл бұрын

    Na baado watakufa saana;huyo rais wenu umvuta bangi atawapeleka pabaya apunguze kuvuta vuvuzela;wasomali wana uchungu ya kaskazini wa Kenya kwa ndani ya kenya baado anataka kismayu na bahari yake kumalamaayake kenyata

  • @mocua2910
    @mocua29103 жыл бұрын

    Wazazi ficheni stakabadhi za watoto wasiende kwa usajili wa jeshi au polisi.

  • @wondersmotivation5543
    @wondersmotivation55435 жыл бұрын

    Mr,,President plz return Kenyan's back to their country,,, let those hooligans guard them selves,,, we can't see our people dying for another people interest,,, let them come and do it here in their country,,,, we have those criminals everywhere,,,

  • @joycewairimu5016
    @joycewairimu50165 жыл бұрын

    God protect our solders.

  • @vitukochronicleskenya6187
    @vitukochronicleskenya61875 жыл бұрын

    So sad...loosing our army forces

  • @platumkoshy9930
    @platumkoshy99305 жыл бұрын

    Kuliko kukuwa KDF heri kufanya kazi kwa waarabu

  • @mwangimuiruri6132

    @mwangimuiruri6132

    5 жыл бұрын

    Uku msharahara even though ndogo bt n safee sana

  • @platumkoshy9930

    @platumkoshy9930

    5 жыл бұрын

    @@mwangimuiruri6132 yes kuna salo poa..but surelly hii ni kurisk bana...

  • @dominicmwangi3458

    @dominicmwangi3458

    5 жыл бұрын

    Job no job

  • @kijanahodari2080

    @kijanahodari2080

    5 жыл бұрын

    Tuko nao wengi uku arabuni wameacha kaz KDF

  • @doricaswanjiru9000

    @doricaswanjiru9000

    5 жыл бұрын

    I agree with you

  • @marylandjowaka7069
    @marylandjowaka70695 жыл бұрын

    We must pray for safety of our soldiers. ..govt should pull off

  • @margretwangari1018
    @margretwangari10185 жыл бұрын

    Pole sana MUNGU awape amani

  • @terrykarey3553
    @terrykarey35535 жыл бұрын

    Dear God protect our solders

  • @josphatkibe5032
    @josphatkibe50325 жыл бұрын

    Kwa kweli, aujuae uchungu wa mwana ni mzazi!!!

  • @faridmwinyi9462
    @faridmwinyi94623 жыл бұрын

    Mama anaongea kwa uchungu. God bless our mothers, Amen.

  • @ramenyaramenya6223
    @ramenyaramenya62235 жыл бұрын

    Shukuru mola wewe umeketi na mpenzi wako.

  • @uwezowamunguutendaokazi3043
    @uwezowamunguutendaokazi30433 жыл бұрын

    Tuanzishe opereni Amani kwa watu wote na usalama kwa wote na MUNGU MKUU ATUSAIDIE SOTE. Inasikitisha sana . poleni sana wapendwa na MUNGU MKUU awape nguvu. Amen.

  • @kipkoechdennis5201
    @kipkoechdennis52012 жыл бұрын

    May God continue to comfort these families

  • @user-by9ev5uk7c
    @user-by9ev5uk7c3 ай бұрын

    Heroes of this nation may God's keep ur souls in a safe side

  • @cinderellaamina6115
    @cinderellaamina61153 жыл бұрын

    Fanyeni kazi zenu acheni uoga alikubali kazi na roho safi tokeni mumutafute kwafanya wengine watakataa kuwa jeshi jili yatisha haya yoko hai anaitaji msaada tokeni

  • @estherkihara3787
    @estherkihara37875 жыл бұрын

    may God give you peace mama

  • @mocua2910
    @mocua29103 жыл бұрын

    I will do everything in my power to make sure no child from my family will serve in KDF or KPF.

  • @antonymwagi4636

    @antonymwagi4636

    3 жыл бұрын

    For me i would not be the wall between my childrens i would like them 2 follow their passion ...? That is the act of being a coward for u....our fore fathers died and bleed for this country to gain our independence and yet they had no guns that time?..so if the war comes 2 ur door step u urself seem 2 run away?..am not judging but guessing..

  • @mohamedrahoy34

    @mohamedrahoy34

    3 жыл бұрын

    Then you are coward

  • @wambuibwaweru6920

    @wambuibwaweru6920

    2 жыл бұрын

    @@antonymwagi4636 huyu atapotea aache watoto na bibi haha

  • @robertngari6822
    @robertngari68225 жыл бұрын

    Dunia tunapita hakuna atakae ishi milele humu duniani... Poleni mliofiwa

  • @KIM-xl6zs
    @KIM-xl6zs5 жыл бұрын

    I really pity this guys, mimi nilisema siwezi India jeshi, fighting for other people's interests, ikiwa wako genuine mtoto wa uhuru na ruto wawe kwa frontline

  • @roseirungo1950
    @roseirungo19505 жыл бұрын

    Sad aki uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi

  • @Mr.George.N
    @Mr.George.N5 жыл бұрын

    Na mtu kuna anajiita Commander in Chief of the Diffence Forces.

  • @abdelnasseromar2729

    @abdelnasseromar2729

    5 жыл бұрын

    Family 2 funny

  • @maishacenter-eastafricatv3976
    @maishacenter-eastafricatv39763 жыл бұрын

    Burundi🇧🇮🇧🇮 pia tuliwapoteza wengi

  • @fahdchannel3788
    @fahdchannel37883 жыл бұрын

    Kwanza poleni Sana wafiwa aki inauma Sana but kumbuka pia hawa vijana wamejitoa mhanga kwa sababu ya wakenya kwa ujumla lkn pia inauma Sana kumpoteza mpendwa God bless kenyan army kenyan heroes Kama unataka kujua nguvu ya Kenya defence forces then angalia malalamiko ya magaidi siku zote hulalamika kuhusu kdf mpaka wanakuja kuua innocent people of Kenya na watoto na wanafunzi hhh hakuna siku utaona wakilalamika na majeshi ya uganda ethiopia burundi djibouti na somalian army hapo utaamini Kenya defence forces are not weak like others hhhh kdf ni kipigo tosha kwa magaidi.. sisi Kama jamii ya kisomali tunawashukuru Sana wanajeshi wa Kenya God bless Kenya defence forces mungu awaongezee nguvu ya kuwatunza mamilioni ya watu

  • @fidelagala3262
    @fidelagala32625 жыл бұрын

    very sad...😥😥 may God protect our soldiers

  • @TheeMakau
    @TheeMakau5 жыл бұрын

    You’re a professional journalist

  • @Coronado-og2dk
    @Coronado-og2dk5 жыл бұрын

    Mothers love the best

  • @ghettohyutemusiq611
    @ghettohyutemusiq6115 жыл бұрын

    Can the government just withdraw its forces there

  • @dominicmwangi3458

    @dominicmwangi3458

    5 жыл бұрын

    That is not the solution.

  • @hajjiyasin4255

    @hajjiyasin4255

    3 жыл бұрын

    I dont think they is benefits them to stay they

  • @margaretkariuki2519
    @margaretkariuki25195 жыл бұрын

    Its so sad,I see more than money or work in this hero,sacrifice and love for there country ...unfortunately there just important when there live and Healthy if anything happen the country they were so loyal to forget so fast and there love love ones are left full of pain and sorrow....may Almighty protect our soldiers and there families

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv29935 жыл бұрын

    Wanajeshi wetu wanatumiwa na serikali ambayo hawana ajenda..wanajeshi wetu wangetuchunga kwa border na ndani ya nchi...hii vita ya Somalia haishii leo wala kesho,wachache katika serikali ndio wanafaidika.

  • @catewambui9528
    @catewambui95285 жыл бұрын

    God give them peace of mind

  • @ibrahimzaki2912
    @ibrahimzaki29125 жыл бұрын

    So sad story polen sana

  • @user-dg8qe9rf9h
    @user-dg8qe9rf9h5 жыл бұрын

    Poleni sana nduguzangu

  • @nafisamohamad3182
    @nafisamohamad31825 жыл бұрын

    Sasa kwa nn waende uko somalia na wenyewe hawataki c bora wangebakia tu mipakani kuilinda nchi yao.

  • @cheroshaz4703
    @cheroshaz47035 жыл бұрын

    Haya Yahuzunisha sana, Maulana pekee aliye na majibu.. poleni sana

  • @danmunesh6233
    @danmunesh62335 жыл бұрын

    wanajeshi wacheni siri bana, mkiwezwa mnasema ukweli, mwache kutesa wazazi

  • @janetkerubo7643
    @janetkerubo76435 жыл бұрын

    Waa my bro live long

  • @sarahreeves472
    @sarahreeves4725 жыл бұрын

    so sad poleni sana

  • @DrSting-vp3hd
    @DrSting-vp3hd5 жыл бұрын

    So sad...it pains my heart

  • @helenkamau5096
    @helenkamau50965 жыл бұрын

    Woiye mungu linda mume wangu na wanajeshi wengine.....najua fenye mtu huhisi aki 😶😶😢😢😢

  • @mercysimiyu6696

    @mercysimiyu6696

    5 жыл бұрын

    Helen Kamau mungu yu naye mummy

  • @daniels9835

    @daniels9835

    5 жыл бұрын

    Muombee kila siku na usisahau

  • @helenkamau5096

    @helenkamau5096

    5 жыл бұрын

    I always pray for him aki siyo rahisi

  • @helenkamau5096

    @helenkamau5096

    5 жыл бұрын

    Mercy simiyu thank you soo much dear be blessed

  • @cezzdankenya6812
    @cezzdankenya68122 жыл бұрын

    Mungu awafanyie wepesi 👪familia za hao wanajeshi

  • @aggycherry9400
    @aggycherry94005 жыл бұрын

    So painful😢

  • @mealemalika7565
    @mealemalika75655 жыл бұрын

    Poleni sana

  • @user-gv7is9oe9y
    @user-gv7is9oe9y2 ай бұрын

    I too wanted to be a soldier but mum refused. Unsteady she she sorted me with capital to start my own business.

  • @kenvolt173
    @kenvolt1735 жыл бұрын

    Nani kama mama👏

  • @kacherosimba5762
    @kacherosimba57625 жыл бұрын

    Inahuzunisha sana dah

  • @irenekambi4705
    @irenekambi47055 жыл бұрын

    Vijana wataogopa kujiunga na jeshi sasa ewe molla warehemu walouliwa huko somali.

  • @annejane1311

    @annejane1311

    5 жыл бұрын

    Amina 😥😥

  • @mwaoshkarish4197
    @mwaoshkarish41973 жыл бұрын

    For those commenting about a mother remember the Father too....he wouldn't have been featured here if he didn't care about his son's whereabouts

  • @florencenjoroge2844
    @florencenjoroge28445 жыл бұрын

    Sad story

  • @sylviajebet7093
    @sylviajebet70935 жыл бұрын

    So sad haki mungu azidi kuwafariji

  • @seinkonchelah1226
    @seinkonchelah12263 жыл бұрын

    nawapenda KDF soldiers.God no mkuu wa majeshi..sio wamadaktar..mawakili etc...heri kufa Kama shujaa kuliko kuishi Kama pumbafu.wengi wanaitia nchi kwa hatari lakini KDF officers wanaweka Maisha yao kwa hatari juu yetu.mama pole...lakini jeshi huenda kwa Mungu akifa wakitupigania,

  • @mudezzali1257
    @mudezzali12575 жыл бұрын

    Very painful

  • @rhodamakeila5924
    @rhodamakeila59245 жыл бұрын

    Poleni Sana

  • @mamakeangel3885
    @mamakeangel38855 жыл бұрын

    Wooooieee soo sad hope he is fine woooieee atafutwe aki pesa hatuwezi linganisha na mtoto

  • @omwoyoerick9274
    @omwoyoerick92743 жыл бұрын

    HALAFU MTU ATUKAME MAMA YAKO... NKT!!!!

  • @faithchalangat2664
    @faithchalangat26645 жыл бұрын

    aky pole sanw

  • @johnohando2390
    @johnohando23903 жыл бұрын

    Ebu Wakenya kitu gani in Kenya runs smoothly?

  • @mohamedswalehfumo9997
    @mohamedswalehfumo9997 Жыл бұрын

    Romeo India Papa our Officers

  • @ARTCELLENCY
    @ARTCELLENCY5 жыл бұрын

    I respect soldiers but not police

  • @abdallakasim6027

    @abdallakasim6027

    3 жыл бұрын

    Wereeeeee

  • @tausitvkenya3627
    @tausitvkenya3627 Жыл бұрын

    Saindia tausi tv

  • @denquekym9845
    @denquekym98455 жыл бұрын

    oh my am shorts of words...boy child hupitia changamoto mob...may God bless this familys...

  • @user-he4fl7md2z
    @user-he4fl7md2z5 жыл бұрын

    Duh so sad poleni jamani

  • @winslauschitechi983
    @winslauschitechi983 Жыл бұрын

    Mother's love 🙌💖🙏

  • @petal8776
    @petal87765 жыл бұрын

    sad story

  • @samsonokenye4130
    @samsonokenye41303 жыл бұрын

    Joining the military should be a calling and not an option to earn money. Military men/women belong to government and not their families

  • @bonfaceohuru2517

    @bonfaceohuru2517

    Жыл бұрын

    What do you mean a calling?? It isn't a biblical ministry!!... Hey.,that is somebody's son and daughter being slaughtered in bushes by enemies....

  • @commanderthecomedian1814
    @commanderthecomedian18145 жыл бұрын

    Poleni

  • @stevewanga957
    @stevewanga9575 жыл бұрын

    Kwani kuambia family ukweli Kuna shida gani.... Kuna vijana wengi wamepotea Mpka Leo na no information.... Kifo ni cha kila mtu

  • @samanthaali873
    @samanthaali8735 жыл бұрын

    So Sad

  • @violetmoraa3638
    @violetmoraa36385 жыл бұрын

    So sad

  • @johnmwaniki2031
    @johnmwaniki20315 жыл бұрын

    Very sad

  • @kimberlytv7895
    @kimberlytv78955 жыл бұрын

    Sio kitu ya kecheka lakini huyu mama yahwah, ati Walishtuka hadi ngo'mbe Hai, we

  • @ogambadivinah4333

    @ogambadivinah4333

    5 жыл бұрын

    Anamaanisha hata ngo'mbe hawakuipea chakula

  • @kimberlytv7895

    @kimberlytv7895

    5 жыл бұрын

    @@ogambadivinah4333 oohh nimeelewa

  • @PhilipYaa-ro1it
    @PhilipYaa-ro1it2 ай бұрын

    May God swarp away there tears away, but how can I join army

  • @edwinwanjala7812
    @edwinwanjala78123 жыл бұрын

    Waaah😭😭