Kisingeli cha Rayvanny kilivyowapagawisha viongozi CCM
Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamekaribishwa katika chakula cha mchana na Mweyekiti wa chama hicho, Dk John Magufuli ambapo shughuli hiyo iliambatana na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali.
Пікірлер: 14
Safi Kaka Rey kazi nzur
Ccm Magufuli Hoyee
J pM kiboko jamani Tanzania ya leo Ina tafauti ndogo Sana na mji wa Paris Kule ufaransa nilifika 2006, hongera Sana Mkuu Kura yangu na familia zangu zote unazo baba
Daimond
❤️❤️❤️❤️👌👍
Oyeeeeee
Kauwa
Chuiii RAVNNYN NLM piga kasi pambana
chuiii
Wasanii wanafiki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Fanya Jim rey utazeeka
Leivani kiboko
King kbx
DRC CONGO WANAVYO SAPOTI MUHESHIMIWA MAGUFULI kzread.info/dash/bejne/aHiLp8VrgqzZmLQ.html