Kinyozi anayetumia jiometria kunyoa wateja wake

Ойын-сауық

limau, basi yatengezee sharubati.’ Ni msemo anaoufahamu fika Zakaria Mwaura ambaye licha ya kukosa kukamilisha masomo yake, mapenzi yake ya hisabati na uhandishi yalimpa motisha kufungua biashara ya kipekee ya kinyozi hapa nairobi. Steve shitera anatupasha zaidi kuhusu kinyozi huyu anayetumia jiometria katika kazi yake

Пікірлер: 88

  • @kingsman7965
    @kingsman796510 ай бұрын

    wakikuyu hamtuliangi mnatafuta adi na design unpredictable unthinkable 😂😂

  • @detectivedetective4604

    @detectivedetective4604

    10 ай бұрын

    😄😄😄

  • @respectall4551
    @respectall455110 ай бұрын

    Wait until he upgrades his tools at the site. Sledge hammer, and drills 😂

  • @arnoldabok2015
    @arnoldabok201510 ай бұрын

    This is what is called thinking outside the box.

  • @stefanogizzler
    @stefanogizzler10 ай бұрын

    That's phenomenal, Applied Engineering in hair cutting, That's thinking out of the box.

  • @fredrickkyalo7995
    @fredrickkyalo799510 ай бұрын

    Hapa mwalimu wa maths hawezi laumiwa 😂😂😂

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason763010 ай бұрын

    Kenya sihami

  • @JohnOdong-yj4jd
    @JohnOdong-yj4jd10 ай бұрын

    Mwalimu wa maths akuje aone hii😂

  • @phoebeadikinyi3441

    @phoebeadikinyi3441

    10 ай бұрын

    The maths teacher did the best😂,that's why maths is compulsory, he applied maths to shave,keep up

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi370010 ай бұрын

    Pongezi kwako sana Steve kweli umejikakamua zaidi na ufahamu thamani ya elimu uliyoipata ili kuwezesha uboreshaji wa tasnia husika.👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿

  • @frunkenmuleli6002

    @frunkenmuleli6002

    10 ай бұрын

    Dufla kujia ndugu yako

  • @dylankanyubi3700

    @dylankanyubi3700

    10 ай бұрын

    @@frunkenmuleli6002 samahani, dufla ni nini?

  • @francisakamais4275
    @francisakamais427510 ай бұрын

    Kwani tulikuwa tunasoma geometry kwa nini? Ndio hii application, kongole kinyozi

  • @kingpin9713
    @kingpin971310 ай бұрын

    Living in Kenya is a hustltby itself

  • @PRINCESSNELLY254

    @PRINCESSNELLY254

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @jaymeskuriah
    @jaymeskuriah10 ай бұрын

    Creativity

  • @timamai
    @timamai10 ай бұрын

    🤝🏽👏🏾piga mboka!

  • @davidsuben4626
    @davidsuben462610 ай бұрын

    This is pure passion for engineering..gavaa impee kazi sasa

  • @stevek8318
    @stevek831810 ай бұрын

    Wasapere nakuambia

  • @haircutstyleofficial4698
    @haircutstyleofficial469810 ай бұрын

    Congratulations bro sisi pia hio ndo kazi inaotulisha kwa miaka 12 ingawa hatutumii vifaa kama hivyo vyakwako ila experience tunayo

  • @KIM-xl6zs
    @KIM-xl6zs10 ай бұрын

    Ceteris paribas Ananyoa at 1k per person na ako na bookings 10 per day, jamaa anaingiza 10k per day in a month 300k in an year 3.6 million, jamaa ako sawa

  • @raphaeloloo9641

    @raphaeloloo9641

    10 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Yani unampigia mwanamume isabu ya mwaka 😂😂😂😂

  • @dripslick44

    @dripslick44

    10 ай бұрын

    Toa expenses kama rent na pia ako na workers anawalipa. Yuko na familia anawalisha pia

  • @Bafunde

    @Bafunde

    10 ай бұрын

    You have not added earnings from TikTok.

  • @star-lz6df

    @star-lz6df

    10 ай бұрын

    Akili mtu wangu... Kenyans with brains making money 😂

  • @carollynne5943

    @carollynne5943

    10 ай бұрын

    Serikali saidia

  • @davidgathecha8546
    @davidgathecha854610 ай бұрын

    Guy is on a league of his own claps👏

  • @jkdesignstudio254.4
    @jkdesignstudio254.410 ай бұрын

    wonderful

  • @roynathaniel4415
    @roynathaniel441510 ай бұрын

    mwalimu wa maths hapa ni wapi.....

  • @leviticussaleh8330
    @leviticussaleh833010 ай бұрын

    Hustle safi 😊❤

  • @Maria-ju9by
    @Maria-ju9by10 ай бұрын

    This is funny waah 😂😂😂😂

  • @Bafunde
    @Bafunde10 ай бұрын

    Main stream media is always behind.

  • @Du-Rango

    @Du-Rango

    10 ай бұрын

    Trying to distract the masses 😂

  • @princedaniel599
    @princedaniel59910 ай бұрын

    pongezi Sana kaka

  • @selsahmwishen2981
    @selsahmwishen298110 ай бұрын

    I wonder how long that shave takes.

  • @bayokidbro1344
    @bayokidbro134410 ай бұрын

    Na Kipara je? Ama Kunyoa Jordan?

  • @johnkings7044
    @johnkings704410 ай бұрын

    Kenya is just a funny country.

  • @anastanciakerubo9016
    @anastanciakerubo901610 ай бұрын

    Congratulations bro..👏👏

  • @maxwellsimiyu2844
    @maxwellsimiyu284410 ай бұрын

    Hii ni bangi

  • @Chris-xz1ii
    @Chris-xz1ii10 ай бұрын

    X is equal to z, but Y😂😂😂 Cos Peter is reversible Tan Potter which is a Sin😂😂😂😂 Maths wewe...tusikutane😠🤣

  • @alicemalombo6813

    @alicemalombo6813

    10 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @melvinkanje
    @melvinkanje10 ай бұрын

    Naona Brayo Akinyolewa hapo

  • @maathaimaathai3395
    @maathaimaathai339510 ай бұрын

    All my sister's and all my forehead gang nawaleta pale

  • @andersonmunga624
    @andersonmunga62410 ай бұрын

    Sababu n mkikuyuu Aky Kenya Acha tuu🏃🏃🏃

  • @moseswaweru5773
    @moseswaweru577310 ай бұрын

    😮

  • @ericmuthui6549
    @ericmuthui654910 ай бұрын

    Watu wa kichwa kubwa ni 2k🤣🤣🤣🤣

  • @benjaminosura7665

    @benjaminosura7665

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @sadiquebakar9070
    @sadiquebakar907010 ай бұрын

    Kuna mkamba flani home he can shave you with both his eyes closed 😂😂😂😂😂

  • @DannyScorp-zq1sp

    @DannyScorp-zq1sp

    10 ай бұрын

    hio ni uchawi sasa

  • @domin842
    @domin84210 ай бұрын

    Nakwambia upuzi ambao upo kenya hii ni mwingi sana😂😂😂😂

  • @duncannjau9012
    @duncannjau901210 ай бұрын

    ati nilikuwa kupimwa akili!

  • @simonmaina8220
    @simonmaina822010 ай бұрын

    Haha ati nipige cut na ikue cos 30 degrees

  • @damchone9478
    @damchone94789 ай бұрын

    Iekwe kwa syllabus

  • @Kwachfundi
    @Kwachfundi10 ай бұрын

    Hakiri theri ...be unique

  • @orizon-media
    @orizon-media10 ай бұрын

    One of the places maths is well used😅😅

  • @tafsiirkisa
    @tafsiirkisa10 ай бұрын

    misusing the property

  • @macreenmichaels4164
    @macreenmichaels416410 ай бұрын

    Mwalimu wa maths ulisema sitafika mbali hapa ni wapi 😂 😂

  • @esternyange8007
    @esternyange800710 ай бұрын

    Anapiga bearings kichwa chaaa

  • @myg3400
    @myg340010 ай бұрын

    Bumbaaf sana

  • @iamjoseph795
    @iamjoseph79510 ай бұрын

    Kenya sihami hadi atakaye tokea wa kutumia ngeli kunyua😂

  • @naomymose1866
    @naomymose186610 ай бұрын

    Ukienda kwa nyumba umechorwa and umefula kwa karamu umekugwaruza

  • @bigfun6632
    @bigfun663210 ай бұрын

    You could do 30 haircuts by skipping this nonsense, but its none of my business.

  • @HappeningInKenya

    @HappeningInKenya

    10 ай бұрын

    Lol.. you are not that smart as I can see.. people are going to his baber shop because of this nonsense.. that nonsense is what his brand is all about.

  • @elizabethiradukunda1950

    @elizabethiradukunda1950

    10 ай бұрын

    yeah you can either do 30 cuts at 200 or 10 cuts at 1,000 - who has nonsense?

  • @bigfun6632

    @bigfun6632

    10 ай бұрын

    all depends where you at @@HappeningInKenya

  • @davidgathecha8546

    @davidgathecha8546

    10 ай бұрын

    30 cuts ile kuchoka utachoka, plus maintenance ya usafi utafanya haiwezi fikia hii ya huyu jamaa. This guy is on a league of his own. Because he already has clientele who are loyal to his brand. Plus loaded ones on that!

  • @sponsalfathedj8177
    @sponsalfathedj817710 ай бұрын

    Mhhhh 😂

  • @sifunajnr9907
    @sifunajnr990710 ай бұрын

    Mwalimu wa maths kuja uone apa n wapi

  • @duncastro
    @duncastro10 ай бұрын

    nkt kwani hakuna finished product haraka ni ya nini youtube citizen😢

  • @willyboss8151
    @willyboss815110 ай бұрын

    22/7 πDR² maths we aki nimekumiss😢😂😂

  • @gyangbitoz6333
    @gyangbitoz633310 ай бұрын

    Wacheni kuongeza Pesa ya kinyozi

  • @NjengaBenn
    @NjengaBenn10 ай бұрын

    engineer ogada😂

  • @amoskirui267
    @amoskirui26710 ай бұрын

    Kindly don't introduce twerking,,, shaking of matako

  • @haircutstyleofficial4698
    @haircutstyleofficial469810 ай бұрын

    Fika kwa KZread yangu pia uone jinsi tunaichapa hio kazi

  • @mek2230
    @mek223010 ай бұрын

    This is nothing new. We do use degrees in cutting hair from zero degrees to 180 degrees.

  • @shirungati6098
    @shirungati609810 ай бұрын

    mimi nimeona vihara tupu tu. but who cares😂😂😂

  • @Bragga664
    @Bragga66410 ай бұрын

    Contact yake we promote him

  • @user-bk9qt3ey4i
    @user-bk9qt3ey4i10 ай бұрын

    Pure joke!

  • @AbuMuhammad
    @AbuMuhammad10 ай бұрын

    Ananyoa na ngapi??

  • @qr130p

    @qr130p

    10 ай бұрын

    1k

  • @Annetchaile
    @Annetchaile10 ай бұрын

    Hana lolote .... Huyu mjinga kazi gani hio Sasa ..ya kuchora watu usoni

  • @DannyScorp-zq1sp

    @DannyScorp-zq1sp

    10 ай бұрын

    Wewe huwezi elewa koz umelelewa mathogothanio

  • @hannahnyambura7976

    @hannahnyambura7976

    10 ай бұрын

    Wewe mwereve umefika wapi nugu hii unafikiria na matako

  • @Annetchaile

    @Annetchaile

    10 ай бұрын

    @@hannahnyambura7976 🤣🤣🤣🤣🤣❤️ njo Zambia utanijua mm nani .we mabumbi ya kokoto 😭😭😭😭

  • @hannahnyambura7976

    @hannahnyambura7976

    9 ай бұрын

    @@Annetchaile nijue Wewe ni nani ndo nini ifanyike 😂😂

  • @kingkevin442
    @kingkevin44210 ай бұрын

    Hii ni Ujinga kama anajua hesabu hivo na ni kinyozi anafanya, it just means he's a failed engineering student looking for relevance

  • @Kwachfundi

    @Kwachfundi

    10 ай бұрын

    Fanya hesabu ya end month utaelewa he pockets not less than 150k(profits) while fellow engineer are jobless

Келесі