KIMENUKA! "Makonda Naomba Unisamehe" MWALIMU MKUU AINGIA CHAKA La MAKONDA "Sema Hela Zimeenda Wapi"
Жүктеу.....
Пікірлер: 64
@masuzahMkumbo-vs6ng25 күн бұрын
This is NICE of Makonda. Let God bless you as a leader.
@elizabethnicodemus519227 күн бұрын
Mungu akulinde mheshimiwa makonda tunaona kazi Yako nzuriii🙏🙏
@AyoubPapiy26 күн бұрын
Binadam wabaya mwenzao yupo kikaangoni wao wanafurahiya dah!!!😢
@Hilimu-qk2uw27 күн бұрын
Kama mkuu wa mkoa wa rukwa angekuwa. Kama makonda angefichua mengi sanaaaaaa MAKONDA mungu akulindee
@koroneljohnstone200925 күн бұрын
Makonda huna baya Mungu akulinde
@OmegaNelson-ho1no27 күн бұрын
Mheshimiwa makonda Mungu akulinde sana mana unasimamia haki sana
@plankschannelmushi885823 күн бұрын
Sijapenda kabisa ,I think at this point we should Grow Up and Stop Judging what brings a meal on the table
@MCNgakungaJunior25 күн бұрын
Ila Mh Makonda uko vizuri sana kichwani.Uelewa ulionao ni mkubwa kuliko wasomi wengi. Na watumishi wengi ni wabaishaji hivyo inataka kiongozi mfatiliaji kama Makonda.
@ginazngo431727 күн бұрын
Halafu mnasema mama samia anatengeneza kwao tu hahaha 😂😂😂😂😂
@plankschannelmushi885823 күн бұрын
Mwacheni Mkuu wetu Temu tunampenda Sana ,wanaofanya makosa NI wengine wanaokuja kubanwa NI wengine
@masuzahMkumbo-vs6ng25 күн бұрын
Pesa za umma! Pesa za umma! baadhi ya watumishi (kama huyu) wanarudisha nyuma juhudi za mama Samia
@Donrugi27 күн бұрын
Kwanini makonda asiwe mkuu wa mikoa yote. Akafanya ziara kote
@gregory6165
26 күн бұрын
Hawataki wanaogopa anawafunika
@joshuamwalusambo239127 күн бұрын
Duu nchii hii kumbe Kuna majizi hivi, Ona hapa Dagaa anavyo tafunwa
@daudfrank980427 күн бұрын
komaa mwalimu wangu ila pole pia mwalimu wangu
@user-cw8zn2dn6m27 күн бұрын
Hahahaha huyu jamaa anababaika jmn, kazi ni ngumu kwelikweli.
@eliakimunicolauskibasakiba396526 күн бұрын
Makonda awe mkuu wa mikoa yote tu
@jacobmakono439925 күн бұрын
😂😂😂😂nimecheka kwa sauti kuu!Hawa ukieakuta ofisini humo utafikiri Mungu..leo kanasa!
@unclegmihale45525 күн бұрын
Hahaha hatr 😊
@irenembise54127 күн бұрын
😄😄nacheka Kama mazuri Hii nchi imejaa wapigaji aky😔
@margarethpolepole743827 күн бұрын
Fukuza tu ndugu Makonda kundi zima hilo la wezi
@EsterAlex-dn1dx26 күн бұрын
Funge Hawa watu jamani wanauwa hiii nnchi jamani
@AthumanIrunde26 күн бұрын
Hahahah ila cameraman wewe umeona pengo la mama tuuu 😂😂
@TumtukuzeMbise26 күн бұрын
Shida maamuzi apa sidhani kama kuna hatua yoyote apa naona nikusikiliza kero tu sio kutatua
@maggiebrian259227 күн бұрын
Safi sana makonda
@adamzachariakinyekile694827 күн бұрын
hv watendaji wa serikali wa hovyo kama hao wanavumilikaje hata uzalendo hawana kwa nchi yao
@user-pl1qr3xr2z26 күн бұрын
Makonda bado unahitajika watakuua kama magufuli, ukiwabana Sana punguza ukali kk
@kiningashukran5177
24 күн бұрын
😂😂😂😂
@TumtukuzeMbise26 күн бұрын
Si kuwe na oda mkuu awe hakimu hapohapo?
@johnmwambasi229925 күн бұрын
Next please
@fredyjeremia707427 күн бұрын
Mkuu wa shule ana kigugumiz.haukuwa pekeako bosi.waite na wenzko wakusaidie kujbu
@mosesmwasanga7661
26 күн бұрын
😂😂 Mwanangu Naona Unampa moyo Mwalimu!!
@rajaburajabu396327 күн бұрын
Safi sana Mr Makonda unahaiba ya uongozi
@WilsonWela27 күн бұрын
Mtasema tu
@RUBENNGAYA27 күн бұрын
Safiii
@musaamos24317 күн бұрын
Ila majitu maizi yamewekwa kati
@EmmanuelNdahya-ud5nj27 күн бұрын
Tunata mkuu wa mkowa kama huyu na shinyanga tupate haki za madini
@emmanuelmollel289527 күн бұрын
Arusha imekufaa mh usije ukatoka hapa tena
@Agnesimtaitin24 күн бұрын
Safi makonda
@amisindondi454927 күн бұрын
KUMEKUCHAAAAA😂😂😂😂 DIWANI KIJIVUA
@user-ze9vz7up8g27 күн бұрын
Kazi unayo baba kigan
@VeredianaKalembi-gs4vs26 күн бұрын
Uongozi ni kazi
@deogratiusmichael918827 күн бұрын
Ruger
@danielshauri639027 күн бұрын
Kumeanza kuchangamka 😂😂
@koroneljohnstone200925 күн бұрын
Makonda huna baya kiongozi wa watu
@TumtukuzeMbise26 күн бұрын
Ila hawa majambazi wanaoiba pesa za uma si ni maccm haohao
@user-uw4pu9nm1u26 күн бұрын
Yaan hapo Bado mpk mseme
@user-gx4vx5ru2u27 күн бұрын
Makonda ww jembe baba chimbua wezi baba wa wanyonge
@JosephMchaki-fy5te25 күн бұрын
Awa viongoz izi kaz wanapate
@eddytheophil762626 күн бұрын
Piga chini Hao wezi poul
@user-hl4bn8fr3i27 күн бұрын
Piga kaz wa kukaya
@alphoncewilliam432527 күн бұрын
,😂😂😂
@mathayomwashambwa123827 күн бұрын
Tumepokea pesa kutoka serikalini...sio kutoka kwa Dr Samia...jamani au mimi sijasikia?
@zezeshort
26 күн бұрын
Ni serikari inatoa pesa siyo samia bunge ndiyo lina ldhinisha au na kosea
@mathayomwashambwa1238
25 күн бұрын
@@zezeshort wao wanalazimisha kampeni KILA mahali...MBONA KATIBA YETU HAIHITAJI HATA KUJISUMBUA, UKITANGAZWA HATA KAMA HUJASHINDA HAKUNA KAHAKAMA ITATANGUA HILO...MBONA MAGUFULI ALIPITISHA WABUNGE WOTE, MADIWANI, WENYEVITI MITAA, NANI ALIMUULIZA? WALIISHIA KUMSIFIA TU,
@JosephEmmanuel-eb7gj26 күн бұрын
Huyu alilala amechok
@alphoncewilliam432527 күн бұрын
18 anajichanganya😂
@user-yl8td2om2y27 күн бұрын
Kwakwer
@EpifaniaMasawe26 күн бұрын
Yaan kiufupi hii shule bana tutafuteni tuliomaliza shule apo ndo mcheke vizuri Hakuna miundombinu mizuri hata kidog yaan dah 🥺🥺 maji hakuna mabweni hakuna jaman vyooo haaaakunaaaaaaa tuko 1700 wasichana then matundu ya vyoo ni 😢😢😢😢 jaman ebu shuughuliken tu wadogo zetu wapone
@fredyjeremia7074
26 күн бұрын
Toilet mliendaga wapi🤔
@EpifaniaMasawe
26 күн бұрын
@@fredyjeremia7074 wee ni Siri tu maana nisije Nika letewa shida
@twilight8928
26 күн бұрын
Hiyo inayozungumziwa ni shule mpya ya wasichana inayojengwa..Mkuu wa shule Longido ndiye msimamizi
@miseyekikashiro-ty6qb
25 күн бұрын
Chamna ww ni shule mpya imejengwa oltepesi temu ndo alikuwa msimamiz mkuu mm nimemalza mwaka huu hapo tulikuwa tunaenda kupafanyia usafi an pazur balaaaa
Пікірлер: 64
This is NICE of Makonda. Let God bless you as a leader.
Mungu akulinde mheshimiwa makonda tunaona kazi Yako nzuriii🙏🙏
Binadam wabaya mwenzao yupo kikaangoni wao wanafurahiya dah!!!😢
Kama mkuu wa mkoa wa rukwa angekuwa. Kama makonda angefichua mengi sanaaaaaa MAKONDA mungu akulindee
Makonda huna baya Mungu akulinde
Mheshimiwa makonda Mungu akulinde sana mana unasimamia haki sana
Sijapenda kabisa ,I think at this point we should Grow Up and Stop Judging what brings a meal on the table
Ila Mh Makonda uko vizuri sana kichwani.Uelewa ulionao ni mkubwa kuliko wasomi wengi. Na watumishi wengi ni wabaishaji hivyo inataka kiongozi mfatiliaji kama Makonda.
Halafu mnasema mama samia anatengeneza kwao tu hahaha 😂😂😂😂😂
Mwacheni Mkuu wetu Temu tunampenda Sana ,wanaofanya makosa NI wengine wanaokuja kubanwa NI wengine
Pesa za umma! Pesa za umma! baadhi ya watumishi (kama huyu) wanarudisha nyuma juhudi za mama Samia
Kwanini makonda asiwe mkuu wa mikoa yote. Akafanya ziara kote
@gregory6165
26 күн бұрын
Hawataki wanaogopa anawafunika
Duu nchii hii kumbe Kuna majizi hivi, Ona hapa Dagaa anavyo tafunwa
komaa mwalimu wangu ila pole pia mwalimu wangu
Hahahaha huyu jamaa anababaika jmn, kazi ni ngumu kwelikweli.
Makonda awe mkuu wa mikoa yote tu
😂😂😂😂nimecheka kwa sauti kuu!Hawa ukieakuta ofisini humo utafikiri Mungu..leo kanasa!
Hahaha hatr 😊
😄😄nacheka Kama mazuri Hii nchi imejaa wapigaji aky😔
Fukuza tu ndugu Makonda kundi zima hilo la wezi
Funge Hawa watu jamani wanauwa hiii nnchi jamani
Hahahah ila cameraman wewe umeona pengo la mama tuuu 😂😂
Shida maamuzi apa sidhani kama kuna hatua yoyote apa naona nikusikiliza kero tu sio kutatua
Safi sana makonda
hv watendaji wa serikali wa hovyo kama hao wanavumilikaje hata uzalendo hawana kwa nchi yao
Makonda bado unahitajika watakuua kama magufuli, ukiwabana Sana punguza ukali kk
@kiningashukran5177
24 күн бұрын
😂😂😂😂
Si kuwe na oda mkuu awe hakimu hapohapo?
Next please
Mkuu wa shule ana kigugumiz.haukuwa pekeako bosi.waite na wenzko wakusaidie kujbu
@mosesmwasanga7661
26 күн бұрын
😂😂 Mwanangu Naona Unampa moyo Mwalimu!!
Safi sana Mr Makonda unahaiba ya uongozi
Mtasema tu
Safiii
Ila majitu maizi yamewekwa kati
Tunata mkuu wa mkowa kama huyu na shinyanga tupate haki za madini
Arusha imekufaa mh usije ukatoka hapa tena
Safi makonda
KUMEKUCHAAAAA😂😂😂😂 DIWANI KIJIVUA
Kazi unayo baba kigan
Uongozi ni kazi
Ruger
Kumeanza kuchangamka 😂😂
Makonda huna baya kiongozi wa watu
Ila hawa majambazi wanaoiba pesa za uma si ni maccm haohao
Yaan hapo Bado mpk mseme
Makonda ww jembe baba chimbua wezi baba wa wanyonge
Awa viongoz izi kaz wanapate
Piga chini Hao wezi poul
Piga kaz wa kukaya
,😂😂😂
Tumepokea pesa kutoka serikalini...sio kutoka kwa Dr Samia...jamani au mimi sijasikia?
@zezeshort
26 күн бұрын
Ni serikari inatoa pesa siyo samia bunge ndiyo lina ldhinisha au na kosea
@mathayomwashambwa1238
25 күн бұрын
@@zezeshort wao wanalazimisha kampeni KILA mahali...MBONA KATIBA YETU HAIHITAJI HATA KUJISUMBUA, UKITANGAZWA HATA KAMA HUJASHINDA HAKUNA KAHAKAMA ITATANGUA HILO...MBONA MAGUFULI ALIPITISHA WABUNGE WOTE, MADIWANI, WENYEVITI MITAA, NANI ALIMUULIZA? WALIISHIA KUMSIFIA TU,
Huyu alilala amechok
18 anajichanganya😂
Kwakwer
Yaan kiufupi hii shule bana tutafuteni tuliomaliza shule apo ndo mcheke vizuri Hakuna miundombinu mizuri hata kidog yaan dah 🥺🥺 maji hakuna mabweni hakuna jaman vyooo haaaakunaaaaaaa tuko 1700 wasichana then matundu ya vyoo ni 😢😢😢😢 jaman ebu shuughuliken tu wadogo zetu wapone
@fredyjeremia7074
26 күн бұрын
Toilet mliendaga wapi🤔
@EpifaniaMasawe
26 күн бұрын
@@fredyjeremia7074 wee ni Siri tu maana nisije Nika letewa shida
@twilight8928
26 күн бұрын
Hiyo inayozungumziwa ni shule mpya ya wasichana inayojengwa..Mkuu wa shule Longido ndiye msimamizi
@miseyekikashiro-ty6qb
25 күн бұрын
Chamna ww ni shule mpya imejengwa oltepesi temu ndo alikuwa msimamiz mkuu mm nimemalza mwaka huu hapo tulikuwa tunaenda kupafanyia usafi an pazur balaaaa
Ikii chumaaa