Kijana Wa Miaka 13 Amuuwa Kakake
Kijana wa umri wa miaka 13 anazuiliwa na polisi baada ya kumuua ndugu yake wa kambo wa miaka 17 katika kaunti ya Transnzoia. Hii ni baada ya wawili hao kuzozania malazi usiku wa kuamkia leo.
Kijana wa umri wa miaka 13 anazuiliwa na polisi baada ya kumuua ndugu yake wa kambo wa miaka 17 katika kaunti ya Transnzoia. Hii ni baada ya wawili hao kuzozania malazi usiku wa kuamkia leo.
Пікірлер: 184
😭😭 it's very painful Aki Kama mwenye kuuliwa ndiye mkubwa that's means Ni yy alikuwa na makosa
Poleni nyote. Tudumishe Maombi ndiyo silaa pekee ya kuepuaha mabaya kwa jamii. MUNGU MKUU aturehemu sote. Amen.
Itakuwa kuna mchezo mbaya marehem alikuwa akimfanyia mwenzake na hakupendezewa nao ndo kaamua kumpiga hatma yake kamuuwa watoto wa kiume mbaya sana kuwalaza chumba kimoja ila ndo hali za kiuchumi hatuna jinsi
he didnt expect, it's hurt alot😭
It was written 2000yrs ago... Brother against brother... Mother against daughter... Father against son... Family will be separated.... Time has come.... Soon the nights shall be dark and full of terror, and the crows shall come... Give your lives to Jesus Christ... Time is very short
Inauma sana ila nakuonea huruma sana mdogo wangu sijuw hukumu gan utaewa
Hakutarajia kumuua jamani alidhani anampa adabu huyu bado mtoto
@salmasaidi2875
4 жыл бұрын
Wasikia alimfata na nyundo huyu so mtoto ni pepo
Akiamungu shetani ni real nahisi hakutarajia kumuua wazazi tuwaombee watoto wetu
@annastaziajakobokwaslema2001
4 жыл бұрын
Kabisa jamani inauma
mbon anasema uwaga anamsumbua mwezie au uwenda anakuwa anamtaka kinyume mumuoji vizuri jamn nayy alichukulia asila maan uwend kila siku anamkatalia napiy uwend siku iyo alitka kumkamat kinguv ndip na yy akajiami kivyo ila naisi akutegemea kumuuw ndiyo ivyo bahat mbay hebu jalibuni kumuoji kwa upend atasema msitumie nguvy uweda akaogop jap inauma akunajis
Ni miaka mitano imepita sasa, lakini ukweli upo wazi, huyo marehemu alikuwa na tabia za kuruka ukuta. Utamlaliaje mvulana mwenzio mgongoni. Afe tuu.
7 years ago soo painful
Kwa masikio yangu huyo kk alikua anamfanya vibaya mwenziwe
Ooooh maskini hakukusudia hakujua yatatokea hayo ooooh so sad msameheni.😔😔😪😪
2021
he didn't mean it ...its all over his face...kakake alikuwa anataka kumrape I guess
very sad ni kama mhusika hakukusudia kumuua kwani ameshtuka hata akachanganikiwa
@rasterwangu9708
5 жыл бұрын
kwa nn amfata chooni
Ime niuma mara mbili uyo alo fariki😭😭na uyu alo mpiga bado mdogo wooiye ni kama bahati mbaya jamani... I dunia ina mambo mazito Mungu tunaomba utufanyie wepesi.
Allah atupe salama yaani huyu mtoto atakua kivipi km ana ujasiri uo hatari sana
Hatutami wafiraji huyo mtt Hana hatia
Hana hatia je angemfira mngesemaje? Mungu akutetee mdogo wangu.
@jacksonmjafanja1512
5 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😁 Ila ww jamaa una laana
@joycemwankusye7108
4 жыл бұрын
Emen huyo ni mbakaji
@husseinchea5524
4 жыл бұрын
Kweli kabisa kaka
so sad to the family
Ama alikua anamlungla mbna analalia mwenzake kwa mgongo
Woi mtoto huyu hakukusadia jamani na nikama ndugu yake alikuwa nataka kumuingilia kinyume na maumbile 😭
diamond
Allah tuongoze waja wako
@addoolaph7848
5 жыл бұрын
DAWA ZA MIFUGO YA KUKU
Woi kanakaa innocent huyo boy labda alikuwa anamsumbua kwa mda ndio akashikwa na hasira forgive that boy ishatokea
Uyo mtoto wamuachee tu maana uyo kaka alitaka kufanya kitendo cha kishetani
Wooi mungu saidia watoto wetu,mtoto hakua amepaga ni hasira, ndungu alimuchokosha
Ayo
Mungu hswajalie
Safi hio
hana makosa jee ange firwa munge semaje achaneni na huyo kijana hiyo ni andabu ya watu wenye tabiya hiyo yakujeuza wezao wanawake
@abedibyaese1183
5 жыл бұрын
Nuru Hussein
@salehpirlo398
5 жыл бұрын
Mnauhakika kama alimpanda kweli mgongoni au mnashtumu tu mujuwe nae muuwaji anajitetea ili aweze kujikwamua katika hali aliyonayo kwenye kipindi chake kigumu alichonacho Juu ya yte roho ni roho
@fauziaisma1335
5 жыл бұрын
Nuru Hussein kumbuka ni ndugu wa kambo
@sakeenakenya6110
5 жыл бұрын
Hahahahaha, staghafiru,hahahaha, wui mungu nisamehe, but umenimaliza dada.
@patrokiltadei7419
5 жыл бұрын
Nuru Hussein
Sub hanallah
Hasira ya kitoto jmn daar
Inalilah wainailehimrajim
Sad😭😭😭
God we... just need your help
Huyo marehemu alikua anatabia mbaya atamlaliaje mtoto wakiume nakila siku anamsumbua uenda huyu kachoka kulawatiwa kila siku kajioko
Dah
Labda huwa anamrawiti akajihami ebu mfanyien vipimo kwanza
Ths boy he's innocent uez sumbua mtu kila tym
Ana mapepo
😥😥
Mmm
Ivi shetan Kwan anatusumbuw sana Aki 😨Huyo Mtot anaroho ngumu Wallah Alafu hana hata uwog ona usowake ulivyo kaaa
Nc
Uyu dogo inaonekana kunakitu alikua akifanyiwa na kaka yake nakilikua kinamuumiza wala hajaua kwa bahati mbaya alikua machoka. Na matendo ya kinyama.
Kama hivyo ndo ametaka kumuingilia basi anadeserve
John
Msamehe jaman
😭😭😭😭😭. The devil 👿 is at large. Let the Law take its cause but Kenya 🇰🇪 God knows.
Kosa ni la marehemu
It so sad
Ooh ata Mimi sister yangu alkuwa ananipiga wazazi kama wametoka juu nilikuwa dada kambo but alkuwa mkubwa wangu oh taabu
Hata mimi nikiwa usingizi sipendi mchezo
@rasterwangu9708
5 жыл бұрын
hupendi mchezo upi
@dullavoice2763
5 жыл бұрын
Assumpta Vyenna habari
@abditajir4048
5 жыл бұрын
Mchezo gani usio upenda
@victoriaadhiambo1021
4 жыл бұрын
@@rasterwangu9708,mashambulizi.😂😂😂😂😂😂
@rasterwangu9708
4 жыл бұрын
@@victoriaadhiambo1021 umeonaeh
imenishida mungu tusaidie sasa how devol is at work kumgonga mara hayo yote nahakusikia uzito wa blood huyo akonaroho haieleweki kabisa
@omanimujsa9756
4 жыл бұрын
Serilal ina kazi sana pole kwapolis maana apo atasjui kesi itakuaje maskin yamungu daaaaah
Tufikirie kwa kina juu ya huyo kijana hana hatia
@tatianamnyiamba6416
4 жыл бұрын
Ndyo maana kasema alichoshwa na hyo tabia.
Mungu wangu!!! Aende jera to
kaeli na Abeli...
😢😢😢😢😢😢Woishe
Mi nasema wote wana roho mbaya.alotaka mpandia mwenzie anaroho mbaya na alomwua mwenzie ana roho mbaya.
Kaka mtu alitaka kumfanyia kitendo kibaya kumuingia nyuma ndo kitu nim gundua mimi
@sakeenakenya6110
5 жыл бұрын
Imajine na marehemu ako na miaka kumi na saba, woi!
@joycemwankusye7108
4 жыл бұрын
Sawa kabisa
YaaRabbiii
@patrokiltadei7419
5 жыл бұрын
he! Hugo mganga nomaaaaaaaaa
Allah akbar
@wanjikuwanjiku
4 жыл бұрын
Huyo kijana alikuwaanamudhulumu,napengine sio mara ya kwanza ,ati kwasababu yeye nimkubwa wake, huyo kijana alifika breaking point, wako wapi wanaotetea boychild ?
Aki pole ni msukumo wa familia
Jmn we mtt
Sidhani kama kweli watakua wamemtengenezea maneno ya kusema...lkn pia sidhan kama ni yeye ndo kaua
Hiyo ni satain
So sad
Maskini akukusudia uyo mtt msameheni aky nimtt ajui anacho tenda yuajuta pia yy
Inasikitisha sana lakini muuwaji akukusudia kuuwa hicho ndio kifo chake mungu alichompangia
Msameheni bado mdg .ni ubinadamu tu kukwazana ss wote tumepitia hayo ivo mungu alipelekea tu afe siku iyo lkn iwe chanzo ni hiko lkn nina imani hakuwa na nia ya kuuwa
Daaaah
Hata Mimi Ningeuwa Fasta Tena Ningemnyofoa Viungo Vyote Atakama Yeye Ni Ndugu Gani Kwangu Angekufa Kifo Cha Ajabu Duniani Mana Sio Mtu Mzuri Tena Uyo
Jamani tuwaombee watoto wetu
OH my Jesus Christ...
Alitaka kumfira
kaka alitaka kumfanyia ndg yake mchezo wa amba ruti.
Nielewa kama dugu yake juu nyuma nikama ilitaka kumbaka. May be
Hana kosa anastahili kuuliwa alimtaka kumfira kumamae fisadi
hana kosa mwaachieni adhabu ya wauni ni rungu tu ya kichwa tupa kule angefi+?#!,-)=je
Duuh mungu wangu inaonekana uyo marehemu alikuwa mkorofi coz mtu huwezi kuanza kupiga tu
Laiti angemuuwa kwa kukusidia hata shule asingeenda angekimbia,Ila ni jinsi gan hakujua Kama ameuwa ndo Mana anaenda shule Kama kawaida na hajakana hata alipoulizwa,huyu marehemu alikuwa mbakaji apumzike salama tu kwanini ampa ndie mwenzie
Anaenda jela ya watt mpk maika 18 anafungwa jela ya wakubwa sema shetani tu alisimama juu yao hawezi kuwa huyo mtt
Duuh!
Mi naombeni asamehewe huyo kijana juu ni kama c kawaida! Kuna pepo Fulani imemjia ndani yke....
@mushishamimu6954
4 жыл бұрын
Apewe adhabu kidogo iwe fundisho kwa wenzie
@mushishamimu6954
4 жыл бұрын
Apewe adhabu inayoendana na umri wake ili iwe fundisho kwa jamii
so sad muhusika anakaa mtoto tena kuchanganyikiwa.ameshtuka
Mtoto lakini ni mkatili sana.kitendo cha kuchukua nyundo kinadhihitisha.Apewe adhabu iwr fundisho pia kwa watoto wenzie
Sheitwani
Huyo apewe kazi ya KDF atamaliza Al-Shabaab wote
huyo marehem ni kissnga sijawai on a labda kaacha family yake na utajiri alafu wanamzika kimaskin
Sio kusudi lake kwan alikua anajitetea uyo alie kufa ndo mbaya
Alafu hata akaelewi
arisitairi kifo yabia arikua natabia mbaya sana
Duuuu
This shit begun when children got freedom. ...freedom of choice ,freedom of speech. ....children rights mara mtoto asichapwe.wee niletee upuzi mtoto. ..nikukanyage ushangaye
why the poor people do not have lawyers? bcz whatever the boy says can be used against him in the court of law
Yawa😧😧😧😧
Mtoto mdogo lakini roho mbaya tu kama sura yake shame on you
@edinahbahati5420
5 жыл бұрын
Ghai
@maryalexiskanyeri8867
5 жыл бұрын
Hehehe woi
@tracy3355
5 жыл бұрын
😅😅😂😂😂
@irenekish7551
5 жыл бұрын
Sheitan wewe labda ujazaa.. taza
@neefguys9208
4 жыл бұрын
@@irenekish7551 shetani is u coz watoto ni watoto tu,so don't say bad thing about them.anyway sithan kama umezaa coz huwrzi ogea hivyo, Shem on u
😳😳😳😳😳🙆🙆🙆🙆😫🙊🙊