Kibonge Wa Yesu Ft Walter Chilambo - Waambie Remix (Official Music Video)
Музыка
Yapo Mambo mengi ambayo Adui mwovu anayafanya ili kutufarakanisha na Mungu wetu lakini Mungu anatambua wenye haki na ndio walio wake hivyo anawapigania na kuwalinda dhidi ya yule Mwovu. Mungu anatupenda na anatubariki kwa kila hatua tunazopiga haijalishi ni wangapi wanasimama kinyume na Ndoto na maono yetu lakini bado tunapiga Hatua.
Kumb 11:24
"Kila mahali mtakapokanyaga kwa nyayo za miguu yenu patakuwa penu; tokea hilo jangwa, na Lebanoni, na tokea mto wa Frati, mpaka bahari ya magharibi, itakuwa ndiyo mipaka yenu."
Audio produced by @ClickMaster
Video Directed by @xniper_cg
Kibonge Wa Yesu Ft Walter Chilambo - Waambie Remix (Official Music Video)
Get it on ALL DIGITAL PLATFORMS
👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
li.sten.to/waambie
Listen to WAAMBIE by Kibonge Wa Yesu
©2024KiboMelodies. All rights Reserved.
#Kibongewayesu #WalterChilambo #Waambie #Gospel #trending
Пікірлер: 329
Mungu akubariki unapotazama Video ya wimbo wetu pendwa wa "WAAMBIE REMIX" ni maombi yangu kwako Mpendwa wangu Mungu akuongezee hatua na kukufadhili kwa kila jambo jema Maana bado anatupenda. Ubarikiwe sana kwa Sapoti yako kusambaza habari hii njema kwa wengine🙏 @Kibongewayesu
@ayoubgwasa8122
14 күн бұрын
Wimbo unagusa sana. Hasa ukitazama nyuma kisha ukatazama ulipo
@isayadickson325
14 күн бұрын
Nyimbo ni kubwa kaka,
@paschalkiniofficial123
14 күн бұрын
Kaka MUNGU AENDELEE KUTWAA UTUKUFU WAKE kwako kwa kazi hii
@abigaelmussa5183
14 күн бұрын
Ameeen Ameen🙏🏻🙏🏻🙏🏻🔥🔥🔥🙌🏿🙌🏿
@user-tw9td1qy6l
13 күн бұрын
Amen 🙏
Kama unaaamini Mungu Yuko gonga likes yako hapa🔥🔥🔥
Music mzury utaongea kaz nzury kaka mungu akusimamie katika kaz zako 💪💪💪💪💯💯💥💥💥
Tushajua kuwa wameimba vizul nani kapendeza hapo kati ya hao wawil naitaji like
From Kenya 🇰🇪 with love, this tune is on repeat, niliipata kupitia advert...naipenda sana,kwanza mahali walitegea mitego,mipaka wakaweka, matambiko wakafanya...yoote Mungu akanipigania.👏 kazi nzuri sana.
From Kenya, Mungu akubariki kibonge wa Yesu na Walter ....🎉🎉🎉🎉kweli Mungu anatupenda ❤wapi like yao 🎉🎉🎉🎉🎉
@KibongeWaYesu
13 күн бұрын
Amen ameen🙏🙏
Unajua unajuaaaa Tena Mungu azidi kukupa kibarii dunia nzima na ukunarikiwe mbinguni mpaka duniani🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏
@KibongeWaYesu
Күн бұрын
Ameen ameen
Nyimbo nzuriii imenibarikii sanaa🔥🔥
Ubarikiwe sanaa kaka kibonge
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen ubarikiwe zaidi
We kibonge wa yesu utatuu kwa kisukri daaaah
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Ubarikiwe ndugu yangu
Nimekuja tenaaa🔥🔥🔥🔥
@KibongeWaYesu
13 күн бұрын
🙏🙏
Kaka MUNGU AENDELEE KUTWAA UTUKUFU WAKE kwako kwa kazi hii🎉🎉🎉🎉
@KibongeWaYesu
13 күн бұрын
Ameen ameeen
Neendaaaa waaambiiieee kaka kuwa Mungu anakupenda hiiiii🔥🔥🔥🔥🔥
Mungu Ananipenda🤝
Mungu akuinue zaidi na zaidi
@KibongeWaYesu
15 күн бұрын
Ameen ameen kaka🙏🙏
wimbo pendwa kwangu waambie 🎉
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Mungu akubariki sana
Mungu awabariki sana kwa kazi njema!!
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen Sana
🎵 ameniongeza hatua.. mbele nasongea..
Congraa🎉
@KibongeWaYesu
13 күн бұрын
🙏🙏🙏
Kibooooo! morodz 🔥🔥🔥 like zangu Kwa pamoja
@GLOBALMUSICNEWS-p6o
14 күн бұрын
Merodies sio morodz😂😂😂😂
@happynesslaurance6448
14 күн бұрын
Melodies sio merodies@@GLOBALMUSICNEWS-p6o
@MasanjaMasanja-mz3ll
11 күн бұрын
Sio merodies ni melodies😂😂
Wazeee wangu Mungu awatunzeeeeee
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen sana, Mungu akutunze pia na kukubariki
Ubarikiwe sana wimbo Mzuri sana.🎉🎉🎉
@KibongeWaYesu
11 күн бұрын
ameen
Hatari sana kaka❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥
Wimbo wetu wa Taifa #WAMBIE 🇹🇿🇹🇿🔥🔥
@KibongeWaYesu
13 күн бұрын
kaka kaka🙏🙏🙏
Naenda waambie me Niko kwaza kabia NAOMBA like zangu 🥰🤗❤
@KibongeWaYesu
15 күн бұрын
ameen
Somi waambiee 🎉
@KibongeWaYesu
11 күн бұрын
🙏🙏
Utukufu kwa Mungu Hakika Mungu ananipenda, Mungu akubariki sana kaka Kibo
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen Amen, Mungu akubariki pia
Kibooo mmoja tuu .....🎉🎉🎉my jam my jam
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen Kaka angu, Mungu akubariki sana🙏
#WAAMBIE.🔥🔥........Mola ndo mpaji wa mafanikio yanatoka kwake akisema ndio
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Oh Yes🤲
Ameniongeza hatua 🙏
Kubabakee oyooooooo kakaaaaaaaaaaa kibooooooooo imba imbaaaaaaa🙌🙌🙌🙌🙌👐🤛🤜🤛
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
🙌
Good Good Kijana wangu
#molandompaji #Nendawambie ❤
#NENDA WAAMBIE 🔥🔥🔥
Hiii imeeeendraaa Mbaliiiii🔥🔥🔥🙌
🎉barikiwa sana kaka kazi nzuri
Straight outer kenya 254 ❤❤❤❤ Kitu kali Brazza
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Blessed Brother
@edenbettnasibuziege
14 күн бұрын
@@KibongeWaYesu tuzidi kuvunja mipaka na nira
Moja ya Song inanigusa na Mungu awabariki.
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen sana zidi kubarikiwa na Yesu
hii ni Barakaa Sana kaka🔥🔥
Mekaaaaa unyamaaa sanaaaa blood🎉🎉🎉
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Bless sana ndugu yangu
Blessed song
Hongera Sana kaka nazidi kubarikiwa na huu wimbo 🎉
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen Kaka Mungu akubariki zaidi
waambie is waiting 🔥 video
@KibongeWaYesu
15 күн бұрын
🙌🙌🙌
God love me do much ❤❤❤❤
Yoooh Kiboooo🔥🔥🔥 Congratulations My Brother Unyama Ni Mwingi Humu Ndani 🎉🎉🎉 Brother Walter Once Again Ni Balaaaaa Sanaa God Bless You All🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Ameniongeza hatua, mbele nasogea 😊Mungu wetu ni Mungu wa maongezeko hajawahi punguza speed❤..... Keep it up familia n bro walter
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Shukran sana, barikiwa mno
Let's go familia
@KibongeWaYesu
13 күн бұрын
🙏🙏🙏
Naipendaa sana hii song kila nikiplay mtu akisikiaa lazima aulize nani kaimbaa anaitakaa ❤❤❤❤
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Oh glory be to God🙏😓
Ayeeee🔥🔥🔥
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
TG🙌
Kaka MUNGU AKU BLESS SANAAAAA ❤❤❤❤....Unatubariki sana
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen sana ndugu yangu, Mungu akubariki pia zaidi
Hongera kaka❤❤
Love from Kenya ❤🇰🇪-🇦🇪, waiting for a collabo with guardian Angel🎉😂🎉🎉
kibo na walter.mungu awabariki sana
@KibongeWaYesu
13 күн бұрын
Ameen ameeen
Kwa kweli Mungu ananipenda kisawasawa
@KibongeWaYesu
11 күн бұрын
ameeen
Hii imeenda kiroho na kimwili🎉❤
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Ubarikiwe sana
Kaka mimi nawambia🎉🎉🎉
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Bless sana
Kompa kompaa🙌🙌🔥🔥
@KibongeWaYesu
13 күн бұрын
🙏🙏
🔥🔥vijana wa mbeya on this again
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
🔥
MY 2024 SONG,BE BLESSED
Eeeh buana a eeh
Like kwa Kibo na Wart
Waambie🙏🙏
Nice Video A lot❤🔥❤🔥❤🔥
@KibongeWaYesu
13 күн бұрын
Thanks 🔥
Utukufu juu ya utukufu
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Oh halleluya🙌
Amina kaka tuta waambia
@KibongeWaYesu
11 күн бұрын
🙏🙏
MUNGU MWEMA Uuuiuuhhuuuuuuu bro kama bro ubarikiweee sana
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen Amen, barikiwa zaidi Dada
Tunafurahi kwawimbowenu
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen barikiwa sana
Wimbo wangu pendwa❤❤🔥🔥
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Mungu azidi kukubariki sana🙏
Hakika Kibonge ni msanii pekee kwenye muziki wa injili ambaye anaweza kubadilika kwa milindimo tofauti mwaka huu ametuletea classical Christian Kizomba hizi ni miongoni mwa kazi bora za gospel kwa mwaka 2024. Ushiriki wa Walter umeendana na melody za kibo hakika wimbo huu ni tiba kiroho na kisaikolojia pia.
@KibongeWaYesu
13 күн бұрын
🙏🙏🙏
Wawoooh Wawoooh wonderful song 🎵 my family brother Mungu amekupa kitu cha tofauti Sanaa na watu wengine endelea kuwa na huo huo moyo my brother utafika mbali na utatajwa miongoni ya watu wakuu hapa duniani be blessed ❤
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen sana Kaka yangu napokea Baraka hizi🙏 Mungu akubariki na kukupa haja ya moyo wako pia
You killed it Kibo💪
@KibongeWaYesu
13 күн бұрын
🙏🙏🙏
Napenda huu wimbo sana, the melody, the lyrics, the rhyme and not to mention the production is on point👌. It's a master piece.
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Endelea kubarikiwa zaidi🙏
Kibooooooo🔥🔥🔥
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Kaka🙌
Nenda wajue aisee bro hiii kitu Niii noma God katugea kama zawad🎉🎉🎉
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen Kaka, endelea kubarikiwa zaidi usisahau ku share na watu wengine
Video Kali sana
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
🙏
Nasubiria saana. Ameniongeza hatua,Mbele nasonga👑
@KibongeWaYesu
15 күн бұрын
ubarikiwe sana
🔥🔥🙌
Mungu ananipenda wambie
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Halleluya🙏
Kibooooo🔥🔥🔥💥
MUNGU NITETEE KATIKA CHANGAMOTO ZA MAISHA NAZOPITIA.MAADUI WAMEKUWA WENGI KWANGU.USINIACHE MUNGU WANGU.❤
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen Mungu akutie nguvu kupitia neno hili "Kutoka 14:14" BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya🙏
Hongera sana kaka Yangu🎉🎉
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Shukran sana ndugu yangu
Umeniongeza atua mbele nasogea
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
🙏
My brother 💥💥💥💥✈️✈️✈️
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Let's push it kaka
quality video
always hamjawahi niangusha katika kazi ya bwana hongereni sana mwimbo mzuri sana mbarikiwe🔥
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen Amen🙏
Kazi Nzuri 🫡🫡
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Ahsante sana
Go kibooooo
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
🙌
Go My Daddy make us Proud 👏
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Thanks so much son, stay blessed
Iyi moja ni kali, Yeah Mungu ni wa ajabu , wala ata mimi siji elewi
Director khasi seen it aaaah brother
Kudos guys more grace
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🏿🙌🏿🙌🏿
🔥🔥🔥🔥🔥 MUNGU awabariki sana kaka mkubwa
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen sana Kaka
Noma sana homie 🔥🔥
Kubwa sana hii
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen kaka, ubarikiwe sana
Nic songs🎉🎉
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Thanks so much, be blessed
💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾😁
Nice san
Nenda kibo kawaambiwe waliokata tamaa kwamba Mungu anawapenda❤️❤️❤️❤️ ❤❤❤❤ ameniongeza hatua mbele nasogea🫶🏿 dis song wallah…
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen Amen, ubarikiwe sana
@AnifaAyoub-k3q
14 күн бұрын
❤❤❤❤❤ melodizerrrr✍🏽✍🏽✍🏽✍🏽✍🏽
Awesome classic video Amazing and powerful message
@KibongeWaYesu
14 күн бұрын
Amen, Glory to God🙏