KESHO YANGU PART 33 | Final Episode 💞 Love Story

Ойын-сауық

#keshoyangu #episode33 #finalepisode

Пікірлер: 1 100

  • @Dontatv255
    @Dontatv25516 күн бұрын

    Habari zenu wafatiliaji wa donta tv? Natumai mko poa kabisa 🥰 Hatimae leo Tumefika Tamati Ya series yetu ya #KESHOYANGU tunashukuru sana kwa kuwa pamoja na sisi mwanzo mpaka mwisho, Tunajua kunasehemu ambazo tumewakwaza Tunaomba Radhi kwa maana aikuwa kusudio letu kuwakosea kila siku tunajifunza zaidi kupitia maoni yenu msituchoke endeleeni kutusaport kwenye kazi zetu zifuatazo 🙏❤️

  • @rodgersmwagu239

    @rodgersmwagu239

    16 күн бұрын

    Sawa tumevumilia kwa hari na Mali lakini mna deni la kutuambia jina la wimbo aise

  • @josurenjoyo6371

    @josurenjoyo6371

    16 күн бұрын

    🙌🙌

  • @user-pj4ii7wx7f

    @user-pj4ii7wx7f

    16 күн бұрын

    Sawa kaka kevi lakintupo pamoja mwisho mwema mwazo mwema kwa nyingine ijayo🙏

  • @aminaabdalla-uo9zq

    @aminaabdalla-uo9zq

    16 күн бұрын

    Penda bure

  • @rodgersmwagu239

    @rodgersmwagu239

    16 күн бұрын

    Kusema ukwel msipotuambia. Jina la wimbo. Mm kuanzia Leo naacha kuangalia movie zenu sitofatilia tena. , tumevumilia sana na mliahidi kabisa wenyewe mtatuambia. , na huu ND mwisho ila mbn atuoni kitu aise nin shda

  • @hassanmoh6601
    @hassanmoh660116 күн бұрын

    Kama we ni mfuatiliaji wa kesho yangu kuanzia EP 1 mpk finally gonga like kama zote

  • @PiliShabani-cg6wd

    @PiliShabani-cg6wd

    13 күн бұрын

    Nmeipenda xana

  • @kipaton001tv

    @kipaton001tv

    Күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @judithpendo9985
    @judithpendo998516 күн бұрын

    Walioanza kesho yangu kwanzo mwsho like zangu apa please love from team strong 🇰🇪🇸🇦🔥🔥💞💞💞💞💕💕💕💕💕💞💞💞💞💕💕💕team nyuki kelvin wapi like zangu ♥️♥️

  • @TabiaMwaisumo-ss7pz
    @TabiaMwaisumo-ss7pz16 күн бұрын

    Police anaweza kukufunga,mwalimu anaweza kukufelisha,hakimu anaweza kukuweka jela na daktari anauwezo wa kukuua lkn ashukuriwe MUNGU kwa NEEMA NA REHEMA ZAKE hutupigania katika hali zote🙏

  • @Angelsalum-er3lm

    @Angelsalum-er3lm

    13 күн бұрын

    Nimeipenda hiyo I like it

  • @exaverymakoye6026

    @exaverymakoye6026

    13 күн бұрын

    😂😂

  • @tha_lyrics01
    @tha_lyrics0116 күн бұрын

    Finally part yenye tumewait Sana Alf pia mm mnipe likes zangu🙏

  • @IssaJaphe
    @IssaJaphe16 күн бұрын

    Dah nimekuwa wa tatu lakn sio mbaya like kwa DONTA TV

  • @OzanaMtwangi

    @OzanaMtwangi

    14 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @JohnMwiguru

    @JohnMwiguru

    13 күн бұрын

    ❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹

  • @Brother-moses2vs7bi1v
    @Brother-moses2vs7bi1v16 күн бұрын

    Hakuna watu wenye wanabow kama waombaji likes all the way from Kenya 🇰🇪 wapy likes zangu NAMI🤣🤣🤣🤣

  • @user-if7rb1su9j

    @user-if7rb1su9j

    16 күн бұрын

    Yan mim huwa wananiuzi sanaaa tena snaaa

  • @user-rn3su5tr9p

    @user-rn3su5tr9p

    16 күн бұрын

    Hahaha

  • @MarianaMwakatoga

    @MarianaMwakatoga

    16 күн бұрын

    Wanaboa sana

  • @KhamisiMumbo
    @KhamisiMumbo16 күн бұрын

    Wana donta move zenu nyingi huwa nazfuatilia lakini maranyingi siwapi like polen ndugu zangu kuanzia sasa tuko pamoja hii move imenigusa

  • @MwanaiddMasoud-qk4hb

    @MwanaiddMasoud-qk4hb

    15 күн бұрын

    Umekosea ungesema shida Zina likizo kila ckuu sii maumivu wew umesema Kila CK ni maumivu happy lekebisha kirevin

  • @user-zg7yv2bm6z
    @user-zg7yv2bm6z16 күн бұрын

    Waoooo🎉🎉🎉 Mungu azidi kukuongoza akupe nguvu mpya uzidi kuwa na afya njema Dr Kevin Khan,kila laheri kwenye Kaz zako unazidi kutuelimisha hata tuliolewa

  • @MartinEmmanuel-eh7fu
    @MartinEmmanuel-eh7fu16 күн бұрын

    Congratulations to kelvin and his team ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 kama umefurahishwa na hii serious gonga like❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @janetkithi775

    @janetkithi775

    16 күн бұрын

    Hii movie imekia tamu Sana. Yaan sitaisahau.

  • @khafidamkambeKhafidamk-dq7nj

    @khafidamkambeKhafidamk-dq7nj

    2 күн бұрын

    Hii move imekua tamu sana next

  • @Kailasjr178
    @Kailasjr17816 күн бұрын

    😮Finally hii kituu imetokaa tenaa Likes kwa wale tulioanzaa mwanzo mwishoo😊😊

  • @StephanoDaud-do5ge

    @StephanoDaud-do5ge

    16 күн бұрын

    Hereeeee😂😂🎉

  • @mobastian5050
    @mobastian505016 күн бұрын

    Hiyo nyimbo ya kesho yangu mtuwekee KZread bhana❤❤🎉

  • @JaydenNaftal-zz7ew

    @JaydenNaftal-zz7ew

    16 күн бұрын

    Haya

  • @user-cl8lf1qb6v
    @user-cl8lf1qb6v16 күн бұрын

    Hua naliaga kweny movie za kihindi Leo yamenitokea kweny movie ya kibongo kweli hawa jamaa wanatosha 🔥🔥🔥

  • @AgnesZubedah-zs2xd

    @AgnesZubedah-zs2xd

    14 күн бұрын

    ❤sana

  • @Angelsalum-er3lm

    @Angelsalum-er3lm

    13 күн бұрын

    Hahahahahahaha pole

  • @Brother-moses2vs7bi1v
    @Brother-moses2vs7bi1v16 күн бұрын

    Wangapi tunafurahia kumwona JAFFARY

  • @AgnesZubedah-zs2xd

    @AgnesZubedah-zs2xd

    14 күн бұрын

    😂😂Mimi hapa

  • @Almostaphiq
    @Almostaphiq16 күн бұрын

    Wakwanza mm like 20 from🇿🇲🇿🇲🇿🇲

  • @FemiahJamesMbewepiston
    @FemiahJamesMbewepiston16 күн бұрын

    Wakwanza mm like zangu

  • @aishaabeid8106
    @aishaabeid810616 күн бұрын

    Jmn ndio final tushushe comment zakushato... Mungu aibarik sana Kaz ya mikono yenuuu me nimeipenda sanaa hii mpk nlishawish na rafk zangu waitizame

  • @MwanaiddMasoud-qk4hb

    @MwanaiddMasoud-qk4hb

    15 күн бұрын

    Maisha Yana likizo kila CKu c maumivu maana unampana na mwisho unatombo sas Kila CK si maumivu kilevin badilisha hapo Zanzibar hapa

  • @user-xq7fy2pp3y

    @user-xq7fy2pp3y

    13 күн бұрын

    Hongera sana kelvin khan nakuombea kwa Mungu akuongezee akili na uelewa ktk utunzi wa muv nakutumia kila la heri

  • @FatmakhamisHamad-pj6bm
    @FatmakhamisHamad-pj6bm16 күн бұрын

    Wa kwanz Leo kuangalia

  • @user-lk1dc7pf5v
    @user-lk1dc7pf5v16 күн бұрын

    Like zangu jmn wakwanza

  • @marygorethtemu4959

    @marygorethtemu4959

    16 күн бұрын

    Acha ushamba.. likes zinakusaidia nini wew

  • @user-ih9nd1yt8s

    @user-ih9nd1yt8s

    14 күн бұрын

    Za nn

  • @user-yw4wv9wq7q
    @user-yw4wv9wq7q16 күн бұрын

    allah awape maisha marefu tumejifunza mengi natumefaidika sana nimimi Sadam niko lubumbashi kwasasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 asante sana mungu awabariki tana sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AllySaidy-tn4iu
    @AllySaidy-tn4iu16 күн бұрын

    Wakwanza movie mzuri sana

  • @PIERETV501
    @PIERETV50116 күн бұрын

    Nimechelewa leo lakin naombeni like hata 20 kutoka south❤❤

  • @user-tq7gp3ue7g
    @user-tq7gp3ue7g16 күн бұрын

    Pia mim nimewahi jamn nawapend nyote mlikua mnasubir kesho yangu km mm❤❤❤ from kenya 🎉🎉

  • @SelemaniAbdulMadjid
    @SelemaniAbdulMadjid16 күн бұрын

    Yaani hadi nimetoa machozi😭 mtu mzima kuona goma linaisha ham bado yote kwakweli big up sana kwa NYUKI NA NA KELVIN kwa mashairi nimejifunza kitu kupitia maneno yenu yana busara ndaniake,pia na ujumbe,nakubali kitu kizuri

  • @user-tw2ut4xi9b

    @user-tw2ut4xi9b

    16 күн бұрын

    Kazi nzuri kweli❤

  • @user-xy1qn6ib3f
    @user-xy1qn6ib3f16 күн бұрын

    Nilikasirika mpka sikufatilia hizo vipindi vingine Nina furaha Leo😚😚

  • @HappyCorgi-le5lp
    @HappyCorgi-le5lp16 күн бұрын

    Am in ,congratulations kelvin and Loveness am very happy listening your creativity..my favorite characters of the year

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki16 күн бұрын

    Jamani jamani njooni kesho yangu imewasili njoooni tuzidi kujifunza kitu❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-hm6hy6rr1h

    @user-hm6hy6rr1h

    16 күн бұрын

    Tumefik mway tumefurah tuangalie mwisho wak keshaingia chakike uyu bwan hhhhhh

  • @user-pq4rv4jm3j

    @user-pq4rv4jm3j

    16 күн бұрын

    Tumelejea 🎉

  • @RizikiZiki

    @RizikiZiki

    16 күн бұрын

    Asanteni ❤

  • @josptsaruni-gi5tx
    @josptsaruni-gi5tx16 күн бұрын

    Am the first in kenya more likes🎉🎉

  • @richardelieza1001
    @richardelieza100116 күн бұрын

    Number one naomba like za final

  • @OmaryGandi
    @OmaryGandi16 күн бұрын

    Wakwanza jamani anzeni apa in 🇿🇦 😢😢😢😢

  • @user-te6qu3fx9z
    @user-te6qu3fx9z16 күн бұрын

    Hongereni watunzi mahiri. Movie yenu nzuri sana na mafunzo pia. Twaomba nyengine nzuri zaidi.

  • @stephenrobert7899
    @stephenrobert789916 күн бұрын

    Wakwanza leo

  • @valentineonyoni9065
    @valentineonyoni906516 күн бұрын

    40:35 Wow 😊. Thanks guys for your update 🎉. Tulikuwa tumengoja sana. Representing Mombasa Kenya❤. Kwanzia episode 1 mpaka episode 33.❤🎉🎉🎉 Congrats guys 😘💕💕😘

  • @TeddyAmos-go9qq
    @TeddyAmos-go9qq16 күн бұрын

    Hii movie inamafunzo sana ukiifuatilia vizuri utajua namna nzuri ya kuishi maisha yoyote yale

  • @malickberry4563
    @malickberry456316 күн бұрын

    Number 1 🔥

  • @MaulidAmri-zt2gv
    @MaulidAmri-zt2gv16 күн бұрын

    Sijachelewa jamani naombeni like zangu from tabora tz❤❤❤❤

  • @Norah-dee
    @Norah-dee16 күн бұрын

    Wakwanza from oman naomba like hata kumi guys kwa kaz nzuri ya donta tv 🎉🎉wanaotaka nyimbo ya kesho yangu iachiwe tujuaje hapa guys 🎉

  • @Heiskmb
    @Heiskmb16 күн бұрын

    Tulio hanza kufuatilia ep 1 mpaka final weka like hapa 🎉🎉🎉

  • @user-po4jx2dl9x
    @user-po4jx2dl9x16 күн бұрын

    Bravo kwa wenye tumemaliza tamthilia kuanzia mwanzo hadi tamati❤

  • @MussaHaule-tn3xw
    @MussaHaule-tn3xw16 күн бұрын

    Waooooo Kelvin wangapi tuna mkubali kelv gonga like hapa😂😂😂😂

  • @HamisErnest
    @HamisErnest16 күн бұрын

    Kaz nzur San police kama nyie ndo mnataikiwa vp nimekuwa wa kwanza like mbili tu

  • @user-gm6sc8qu7e
    @user-gm6sc8qu7e16 күн бұрын

    Wakwaza Leo 🎉🎉🎉🎉🎉kutoka kenya

  • @vonpizzoychapuu6
    @vonpizzoychapuu616 күн бұрын

    Jamni coment taratibu kunamtu kanikanyaga huku nyuma Yani nimetoka kotee na faino episode ata like ndugu zangu hamna LEO ZAMU YANGU♥️💙

  • @KomboSaid-fz2ky
    @KomboSaid-fz2ky16 күн бұрын

    Team donta tugonge like

  • @Collokenya
    @Collokenya16 күн бұрын

    Kelvin pokea salamu zangu kutoka Kenya, mjomba umeweza kiukweli nakukubali sana bro, big up for what you have done and may God grant you more years #shalom 🙏

  • @avekikibombo6559

    @avekikibombo6559

    16 күн бұрын

    kesho ysngu

  • @puritynzilaniofficial
    @puritynzilaniofficial16 күн бұрын

    Wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mpo ndani ya nyumba 💕💞💕💞

  • @user-ly5pg4ot1s
    @user-ly5pg4ot1s16 күн бұрын

    Mwenyezimungu awabariki sanaaa KATIKA kazi zunu Kila mnapo achia bhasi ziwe ni zenye kufanikiwa kupenya KATIKA ulimwengu nawakubali sanaa na ninawapenda sana WOTE MLIOSHIRIKI KATIKA STORI YA KESHO YANGU ASANTENI

  • @mishikesi7882
    @mishikesi788216 күн бұрын

    Am the first naomba like waugwana❤

  • @user-ok5qg1ig6x
    @user-ok5qg1ig6x16 күн бұрын

    Mashallah nawakubali san wanangu like ata tano tu jamn❤❤❤🎉🎉🎉

  • @user-zc8bk5tu4i
    @user-zc8bk5tu4i16 күн бұрын

    😂😂wakwanzaaa kabisaaa

  • @user-pq4rv4jm3j
    @user-pq4rv4jm3j16 күн бұрын

    Tulikuw pamoja mbk mwisho good work🎉❤

  • @user-ew5ur2nj4d
    @user-ew5ur2nj4d16 күн бұрын

    Kazi Bomba kabisa. Barikiwa sana Kevin. Nampenda sana Vicky.

  • @TBrownMusic-uw2ut
    @TBrownMusic-uw2ut16 күн бұрын

    Donta family yang

  • @samsonlazaro2590
    @samsonlazaro259016 күн бұрын

    Wakwanz nipeni likes jmn ya mwisho hii

  • @UkhtyShemsa
    @UkhtyShemsa16 күн бұрын

    Ni nzurii sana tunawashukuru kwa kutuletea tamthilia nzuri kama hii tunawaomba mtuletee nyingine nzuri. Zaidi ya hii ❤❤❤

  • @BeatriceMukakabanda
    @BeatriceMukakabanda16 күн бұрын

    Mungu awabariki sana kwa mafundisho mazuri , muendelee kutuelimisha

  • @user-nn3mo1kg4q
    @user-nn3mo1kg4q16 күн бұрын

    Wa kwanza leo nipeni like zangu😢😢😢,,,halafu hongereni kwa kazi safi❤❤❤❤❤❤

  • @EsdrasKambale
    @EsdrasKambale16 күн бұрын

    Mi wakwanza,like zangu badii

  • @user-rl4ii9xj5n
    @user-rl4ii9xj5n16 күн бұрын

    Much love from DRC 🇨🇩🇿🇦🇨🇩🇨🇩 yanamengi yakujifunza kwaiy story ❤

  • @clariszawadi2010
    @clariszawadi201016 күн бұрын

    Kesho yangu umekua series nzuri sana na ina mafunzo mazuri acha Mungu aendelee kuwapa uwezo mkubwa

  • @SPORAJACKSONMWINUKA
    @SPORAJACKSONMWINUKA16 күн бұрын

    Wa kwaza jaman like

  • @furahakenga6619
    @furahakenga661916 күн бұрын

    Asanten Sana kwa kazi nzur sana kwakwel hii movi imenifunza kitu Asanten Sana Team Kelvin ❤❤❤🇰🇪

  • @AmosMbiko
    @AmosMbiko16 күн бұрын

    Mwisho wa leo nimejifunza kitu nashukuru sanaa kwa hiii mungu haishii kuwaweka kabisa Kelvin moyo wako mungu hasimame kwa kila jambo nimekupenda sanaa na moyo wangu wote Akh paka nimetamani kua karibu na ww ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-tx7je4wp9d
    @user-tx7je4wp9d16 күн бұрын

    Waoooo raha sn wana donta TV hongereni jamani nawapend niko Burundi 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula16 күн бұрын

    Wimbo wa keshooo mtuangushie basi ndo tuzidi kufurahia zaidi,Nawapenda sana nikiwa kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @aymyalsadyaymyalsady884
    @aymyalsadyaymyalsady88416 күн бұрын

    Na mimi swali izi like ua mtu yuwalipwa na mimi nipewe like piya nilipwe kidogo mahana mimi nafyatilia donta tv😂

  • @MahadMfiyome
    @MahadMfiyome15 күн бұрын

    Since day one, imeanza kuruka hatimaye leo tumemaliza, five Kwa wote walio husika kuiandaa hii kazi na waendeleee kutuletea kazi Kali kama hizi, congratulations kwa wote tuliokua tukiifatilia🎉hall🖐🏾

  • @JustinBonaneharerimana-zg1td
    @JustinBonaneharerimana-zg1td16 күн бұрын

    nimefurai sana tena sana kwa movie hii ambao munamafunzo mengi sana mungu azidi kukubariki sana Kelvin akuongeze maisha marefu 🙏🙏

  • @aishaabeid8106
    @aishaabeid810616 күн бұрын

    Namkubali sana brother Nyuki❤❤

  • @avekikibombo6559
    @avekikibombo655916 күн бұрын

    mpaka leo nafurahi kufuatilia hii series mpaka mwisho

  • @MarkoLaandare
    @MarkoLaandare16 күн бұрын

    Wakwanza leo❤❤❤

  • @sikunzallah4843
    @sikunzallah484316 күн бұрын

    Congrats hii ilkua kali sana,,,leteni nyngne

  • @user-zc8bk5tu4i
    @user-zc8bk5tu4i16 күн бұрын

    Nilitaman iendelee sana daah

  • @princekillian3640
    @princekillian364016 күн бұрын

    Much love from kenya 🇰🇪 ❤️

  • @user-td6tc4jo1h
    @user-td6tc4jo1h16 күн бұрын

    Nimefurah Leo mmemaliza kesho yangu nilikuwa naisubr Kwa hamu shukran donta tv🙏nawapenda Sana🥰🥰😘😘😘

  • @sikujuakigwada3146
    @sikujuakigwada314616 күн бұрын

    Wahoooooooooo kazi nzur sana,endeleeni kutupa vitu vizur,kelvin bigup🎉🎉🎉

  • @user-gz1ke3tl8l
    @user-gz1ke3tl8l16 күн бұрын

    nilijua tuu ilivyochelewa n final

  • @godnhohenry7779
    @godnhohenry777916 күн бұрын

    Wakwanza dadeq like jamaniii 🎉🎉

  • @kokenye9003
    @kokenye900316 күн бұрын

    Yakwaza kabisa waja mm niwashukuru sana ogereni sana movie safi sana waaah nani aliogopa kaa mm nirifikilia kizeja atauliwa mle ndani lakini poa sana 🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SmilingBreadLoaf-pi8sb
    @SmilingBreadLoaf-pi8sb16 күн бұрын

    Kz njema

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg16 күн бұрын

    Kiukwl hii movie n nzr na inamafunzo mengi sana, au bas

  • @EvelineMungele-sr5tw
    @EvelineMungele-sr5tw16 күн бұрын

    James Leo anayakanyaga yaan anajitumbukiza mwenyewe kwenye mudomo ya Simba,,, hongera kwako mwanasheria upo vzr mnoo❤️❤️❤️

  • @methodnkundumukiza6367
    @methodnkundumukiza636716 күн бұрын

    Asanteni sna waigizaji wazuri twawapenda sna mno.i'm from 🇧🇮

  • @MathewSupeet-nn1by
    @MathewSupeet-nn1by15 күн бұрын

    Kesho yangu ni film nzuri sana imenifundisha mengi sana 🙏🙏🙏 naamini mtatoa nzuri zaidi

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg16 күн бұрын

    Jaman kwnn nyuki anahasira na kunambi,,,

  • @user-dj3fz6bz7s
    @user-dj3fz6bz7s16 күн бұрын

    Mmechelewesha sana bwana

  • @neemakarisa6117
    @neemakarisa611716 күн бұрын

    Wow❤❤❤kesho yangu....Mungu awabariki sana nyote mlioshiriki❤❤❤

  • @user-co5ed6xr5c
    @user-co5ed6xr5c16 күн бұрын

    Walioanza kesho yangu adi mwisho gonga like hapa tumejifunza kitu kikubwa sana congratulations 🎊 🎉🎉 Kelvin and your time ❤❤❤

  • @eliasisack7351
    @eliasisack735116 күн бұрын

    Jamn wa pili like zangu ❤❤❤

  • @user-ox1rt3lc6e
    @user-ox1rt3lc6e16 күн бұрын

    Namba 28

  • @NdayisabaJeanClaude-mp8gg

    @NdayisabaJeanClaude-mp8gg

    14 күн бұрын

    Kevin tunagupenda sana kabis hongera na Rwanda huku tugufatilia San hongera San sarimia nyuki

  • @user-er3cb9mb9m
    @user-er3cb9mb9m5 күн бұрын

    Much love from Kenya guys like back wapi like za Kevin na nyuki ❤❤❤❤ nimejifunza Sana ❤

  • @aminahissaa5551
    @aminahissaa555115 күн бұрын

    Hii movie nzuri sana inamafunzo Sana mpk na mm nimelia kwakwel dunia hii

  • @user-jv8xd6kg7z
    @user-jv8xd6kg7z16 күн бұрын

    Mas força aí irmão kelvy gostou muito dos teus episódios

  • @BarakaChacha-xo7gw
    @BarakaChacha-xo7gw16 күн бұрын

    Bonge LA season km umeguswa gong 👍

  • @emiliapasco
    @emiliapasco16 күн бұрын

    nzuri sana wema ni akiba

  • @SHAURI_JR
    @SHAURI_JR9 күн бұрын

    Watubaada yaku jifunza kutoa ushauri kushukuru kwa darasa nzuri kazi nikuonba like😂 ziwapeleke wapi

  • @user-ml8id4po2n
    @user-ml8id4po2n16 күн бұрын

    Wakwanza leo wap like zangu 😅

  • @Yahyaali-dg8eu
    @Yahyaali-dg8eu16 күн бұрын

    ❤❤wa kwaza leo

  • @HalimaMasudi-kn1gf
    @HalimaMasudi-kn1gf16 күн бұрын

    Nimejifunza pia mimi kaka shukran Allah akupe uwezo wakufikiria na kubuni zaidi inshallah❤love from kenya

  • @RehemaMataka-vf1oh
    @RehemaMataka-vf1oh16 күн бұрын

    Good job from the beginning till the end all the best on the upcoming works i love you so much all donta tv members ❤❤❤❤❤❤❤❤

Келесі