Habari zenu wafatiliaji wa donta tv? Natumai mko poa kabisa 🥰 Hatimae leo Tumefika Tamati Ya series yetu ya #KESHOYANGU tunashukuru sana kwa kuwa pamoja na sisi mwanzo mpaka mwisho, Tunajua kunasehemu ambazo tumewakwaza Tunaomba Radhi kwa maana aikuwa kusudio letu kuwakosea kila siku tunajifunza zaidi kupitia maoni yenu msituchoke endeleeni kutusaport kwenye kazi zetu zifuatazo 🙏❤️
@rodgersmwagu239
16 күн бұрын
Sawa tumevumilia kwa hari na Mali lakini mna deni la kutuambia jina la wimbo aise
@josurenjoyo6371
16 күн бұрын
🙌🙌
@user-pj4ii7wx7f
16 күн бұрын
Sawa kaka kevi lakintupo pamoja mwisho mwema mwazo mwema kwa nyingine ijayo🙏
@aminaabdalla-uo9zq
16 күн бұрын
Penda bure
@rodgersmwagu239
16 күн бұрын
Kusema ukwel msipotuambia. Jina la wimbo. Mm kuanzia Leo naacha kuangalia movie zenu sitofatilia tena. , tumevumilia sana na mliahidi kabisa wenyewe mtatuambia. , na huu ND mwisho ila mbn atuoni kitu aise nin shda
@hassanmoh660116 күн бұрын
Kama we ni mfuatiliaji wa kesho yangu kuanzia EP 1 mpk finally gonga like kama zote
@PiliShabani-cg6wd
13 күн бұрын
Nmeipenda xana
@kipaton001tv
Күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@judithpendo998516 күн бұрын
Walioanza kesho yangu kwanzo mwsho like zangu apa please love from team strong 🇰🇪🇸🇦🔥🔥💞💞💞💞💕💕💕💕💕💞💞💞💞💕💕💕team nyuki kelvin wapi like zangu ♥️♥️
@TabiaMwaisumo-ss7pz16 күн бұрын
Police anaweza kukufunga,mwalimu anaweza kukufelisha,hakimu anaweza kukuweka jela na daktari anauwezo wa kukuua lkn ashukuriwe MUNGU kwa NEEMA NA REHEMA ZAKE hutupigania katika hali zote🙏
@Angelsalum-er3lm
13 күн бұрын
Nimeipenda hiyo I like it
@exaverymakoye6026
13 күн бұрын
😂😂
@tha_lyrics0116 күн бұрын
Finally part yenye tumewait Sana Alf pia mm mnipe likes zangu🙏
@IssaJaphe16 күн бұрын
Dah nimekuwa wa tatu lakn sio mbaya like kwa DONTA TV
@OzanaMtwangi
14 күн бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@JohnMwiguru
13 күн бұрын
❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹
@Brother-moses2vs7bi1v16 күн бұрын
Hakuna watu wenye wanabow kama waombaji likes all the way from Kenya 🇰🇪 wapy likes zangu NAMI🤣🤣🤣🤣
@user-if7rb1su9j
16 күн бұрын
Yan mim huwa wananiuzi sanaaa tena snaaa
@user-rn3su5tr9p
16 күн бұрын
Hahaha
@MarianaMwakatoga
16 күн бұрын
Wanaboa sana
@KhamisiMumbo16 күн бұрын
Wana donta move zenu nyingi huwa nazfuatilia lakini maranyingi siwapi like polen ndugu zangu kuanzia sasa tuko pamoja hii move imenigusa
@MwanaiddMasoud-qk4hb
15 күн бұрын
Umekosea ungesema shida Zina likizo kila ckuu sii maumivu wew umesema Kila CK ni maumivu happy lekebisha kirevin
@user-zg7yv2bm6z16 күн бұрын
Waoooo🎉🎉🎉 Mungu azidi kukuongoza akupe nguvu mpya uzidi kuwa na afya njema Dr Kevin Khan,kila laheri kwenye Kaz zako unazidi kutuelimisha hata tuliolewa
@MartinEmmanuel-eh7fu16 күн бұрын
Congratulations to kelvin and his team ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 kama umefurahishwa na hii serious gonga like❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@janetkithi775
16 күн бұрын
Hii movie imekia tamu Sana. Yaan sitaisahau.
@khafidamkambeKhafidamk-dq7nj
2 күн бұрын
Hii move imekua tamu sana next
@Kailasjr17816 күн бұрын
😮Finally hii kituu imetokaa tenaa Likes kwa wale tulioanzaa mwanzo mwishoo😊😊
@StephanoDaud-do5ge
16 күн бұрын
Hereeeee😂😂🎉
@mobastian505016 күн бұрын
Hiyo nyimbo ya kesho yangu mtuwekee KZread bhana❤❤🎉
@JaydenNaftal-zz7ew
16 күн бұрын
Haya
@user-cl8lf1qb6v16 күн бұрын
Hua naliaga kweny movie za kihindi Leo yamenitokea kweny movie ya kibongo kweli hawa jamaa wanatosha 🔥🔥🔥
@AgnesZubedah-zs2xd
14 күн бұрын
❤sana
@Angelsalum-er3lm
13 күн бұрын
Hahahahahahaha pole
@Brother-moses2vs7bi1v16 күн бұрын
Wangapi tunafurahia kumwona JAFFARY
@AgnesZubedah-zs2xd
14 күн бұрын
😂😂Mimi hapa
@Almostaphiq16 күн бұрын
Wakwanza mm like 20 from🇿🇲🇿🇲🇿🇲
@FemiahJamesMbewepiston16 күн бұрын
Wakwanza mm like zangu
@aishaabeid810616 күн бұрын
Jmn ndio final tushushe comment zakushato... Mungu aibarik sana Kaz ya mikono yenuuu me nimeipenda sanaa hii mpk nlishawish na rafk zangu waitizame
@MwanaiddMasoud-qk4hb
15 күн бұрын
Maisha Yana likizo kila CKu c maumivu maana unampana na mwisho unatombo sas Kila CK si maumivu kilevin badilisha hapo Zanzibar hapa
@user-xq7fy2pp3y
13 күн бұрын
Hongera sana kelvin khan nakuombea kwa Mungu akuongezee akili na uelewa ktk utunzi wa muv nakutumia kila la heri
@FatmakhamisHamad-pj6bm16 күн бұрын
Wa kwanz Leo kuangalia
@user-lk1dc7pf5v16 күн бұрын
Like zangu jmn wakwanza
@marygorethtemu4959
16 күн бұрын
Acha ushamba.. likes zinakusaidia nini wew
@user-ih9nd1yt8s
14 күн бұрын
Za nn
@user-yw4wv9wq7q16 күн бұрын
allah awape maisha marefu tumejifunza mengi natumefaidika sana nimimi Sadam niko lubumbashi kwasasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 asante sana mungu awabariki tana sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@AllySaidy-tn4iu16 күн бұрын
Wakwanza movie mzuri sana
@PIERETV50116 күн бұрын
Nimechelewa leo lakin naombeni like hata 20 kutoka south❤❤
@user-tq7gp3ue7g16 күн бұрын
Pia mim nimewahi jamn nawapend nyote mlikua mnasubir kesho yangu km mm❤❤❤ from kenya 🎉🎉
@SelemaniAbdulMadjid16 күн бұрын
Yaani hadi nimetoa machozi😭 mtu mzima kuona goma linaisha ham bado yote kwakweli big up sana kwa NYUKI NA NA KELVIN kwa mashairi nimejifunza kitu kupitia maneno yenu yana busara ndaniake,pia na ujumbe,nakubali kitu kizuri
@user-tw2ut4xi9b
16 күн бұрын
Kazi nzuri kweli❤
@user-xy1qn6ib3f16 күн бұрын
Nilikasirika mpka sikufatilia hizo vipindi vingine Nina furaha Leo😚😚
@HappyCorgi-le5lp16 күн бұрын
Am in ,congratulations kelvin and Loveness am very happy listening your creativity..my favorite characters of the year
Hongereni watunzi mahiri. Movie yenu nzuri sana na mafunzo pia. Twaomba nyengine nzuri zaidi.
@stephenrobert789916 күн бұрын
Wakwanza leo
@valentineonyoni906516 күн бұрын
40:35 Wow 😊. Thanks guys for your update 🎉. Tulikuwa tumengoja sana. Representing Mombasa Kenya❤. Kwanzia episode 1 mpaka episode 33.❤🎉🎉🎉 Congrats guys 😘💕💕😘
@TeddyAmos-go9qq16 күн бұрын
Hii movie inamafunzo sana ukiifuatilia vizuri utajua namna nzuri ya kuishi maisha yoyote yale
@malickberry456316 күн бұрын
Number 1 🔥
@MaulidAmri-zt2gv16 күн бұрын
Sijachelewa jamani naombeni like zangu from tabora tz❤❤❤❤
@Norah-dee16 күн бұрын
Wakwanza from oman naomba like hata kumi guys kwa kaz nzuri ya donta tv 🎉🎉wanaotaka nyimbo ya kesho yangu iachiwe tujuaje hapa guys 🎉
@Heiskmb16 күн бұрын
Tulio hanza kufuatilia ep 1 mpaka final weka like hapa 🎉🎉🎉
@user-po4jx2dl9x16 күн бұрын
Bravo kwa wenye tumemaliza tamthilia kuanzia mwanzo hadi tamati❤
@MussaHaule-tn3xw16 күн бұрын
Waooooo Kelvin wangapi tuna mkubali kelv gonga like hapa😂😂😂😂
@HamisErnest16 күн бұрын
Kaz nzur San police kama nyie ndo mnataikiwa vp nimekuwa wa kwanza like mbili tu
@user-gm6sc8qu7e16 күн бұрын
Wakwaza Leo 🎉🎉🎉🎉🎉kutoka kenya
@vonpizzoychapuu616 күн бұрын
Jamni coment taratibu kunamtu kanikanyaga huku nyuma Yani nimetoka kotee na faino episode ata like ndugu zangu hamna LEO ZAMU YANGU♥️💙
@KomboSaid-fz2ky16 күн бұрын
Team donta tugonge like
@Collokenya16 күн бұрын
Kelvin pokea salamu zangu kutoka Kenya, mjomba umeweza kiukweli nakukubali sana bro, big up for what you have done and may God grant you more years #shalom 🙏
@avekikibombo6559
16 күн бұрын
kesho ysngu
@puritynzilaniofficial16 күн бұрын
Wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mpo ndani ya nyumba 💕💞💕💞
@user-ly5pg4ot1s16 күн бұрын
Mwenyezimungu awabariki sanaaa KATIKA kazi zunu Kila mnapo achia bhasi ziwe ni zenye kufanikiwa kupenya KATIKA ulimwengu nawakubali sanaa na ninawapenda sana WOTE MLIOSHIRIKI KATIKA STORI YA KESHO YANGU ASANTENI
@mishikesi788216 күн бұрын
Am the first naomba like waugwana❤
@user-ok5qg1ig6x16 күн бұрын
Mashallah nawakubali san wanangu like ata tano tu jamn❤❤❤🎉🎉🎉
@user-zc8bk5tu4i16 күн бұрын
😂😂wakwanzaaa kabisaaa
@user-pq4rv4jm3j16 күн бұрын
Tulikuw pamoja mbk mwisho good work🎉❤
@user-ew5ur2nj4d16 күн бұрын
Kazi Bomba kabisa. Barikiwa sana Kevin. Nampenda sana Vicky.
@TBrownMusic-uw2ut16 күн бұрын
Donta family yang
@samsonlazaro259016 күн бұрын
Wakwanz nipeni likes jmn ya mwisho hii
@UkhtyShemsa16 күн бұрын
Ni nzurii sana tunawashukuru kwa kutuletea tamthilia nzuri kama hii tunawaomba mtuletee nyingine nzuri. Zaidi ya hii ❤❤❤
@BeatriceMukakabanda16 күн бұрын
Mungu awabariki sana kwa mafundisho mazuri , muendelee kutuelimisha
@user-nn3mo1kg4q16 күн бұрын
Wa kwanza leo nipeni like zangu😢😢😢,,,halafu hongereni kwa kazi safi❤❤❤❤❤❤
@EsdrasKambale16 күн бұрын
Mi wakwanza,like zangu badii
@user-rl4ii9xj5n16 күн бұрын
Much love from DRC 🇨🇩🇿🇦🇨🇩🇨🇩 yanamengi yakujifunza kwaiy story ❤
@clariszawadi201016 күн бұрын
Kesho yangu umekua series nzuri sana na ina mafunzo mazuri acha Mungu aendelee kuwapa uwezo mkubwa
@SPORAJACKSONMWINUKA16 күн бұрын
Wa kwaza jaman like
@furahakenga661916 күн бұрын
Asanten Sana kwa kazi nzur sana kwakwel hii movi imenifunza kitu Asanten Sana Team Kelvin ❤❤❤🇰🇪
@AmosMbiko16 күн бұрын
Mwisho wa leo nimejifunza kitu nashukuru sanaa kwa hiii mungu haishii kuwaweka kabisa Kelvin moyo wako mungu hasimame kwa kila jambo nimekupenda sanaa na moyo wangu wote Akh paka nimetamani kua karibu na ww ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-tx7je4wp9d16 күн бұрын
Waoooo raha sn wana donta TV hongereni jamani nawapend niko Burundi 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
@Phoebenafula16 күн бұрын
Wimbo wa keshooo mtuangushie basi ndo tuzidi kufurahia zaidi,Nawapenda sana nikiwa kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@aymyalsadyaymyalsady88416 күн бұрын
Na mimi swali izi like ua mtu yuwalipwa na mimi nipewe like piya nilipwe kidogo mahana mimi nafyatilia donta tv😂
@MahadMfiyome15 күн бұрын
Since day one, imeanza kuruka hatimaye leo tumemaliza, five Kwa wote walio husika kuiandaa hii kazi na waendeleee kutuletea kazi Kali kama hizi, congratulations kwa wote tuliokua tukiifatilia🎉hall🖐🏾
@JustinBonaneharerimana-zg1td16 күн бұрын
nimefurai sana tena sana kwa movie hii ambao munamafunzo mengi sana mungu azidi kukubariki sana Kelvin akuongeze maisha marefu 🙏🙏
@aishaabeid810616 күн бұрын
Namkubali sana brother Nyuki❤❤
@avekikibombo655916 күн бұрын
mpaka leo nafurahi kufuatilia hii series mpaka mwisho
@MarkoLaandare16 күн бұрын
Wakwanza leo❤❤❤
@sikunzallah484316 күн бұрын
Congrats hii ilkua kali sana,,,leteni nyngne
@user-zc8bk5tu4i16 күн бұрын
Nilitaman iendelee sana daah
@princekillian364016 күн бұрын
Much love from kenya 🇰🇪 ❤️
@user-td6tc4jo1h16 күн бұрын
Nimefurah Leo mmemaliza kesho yangu nilikuwa naisubr Kwa hamu shukran donta tv🙏nawapenda Sana🥰🥰😘😘😘
@sikujuakigwada314616 күн бұрын
Wahoooooooooo kazi nzur sana,endeleeni kutupa vitu vizur,kelvin bigup🎉🎉🎉
@user-gz1ke3tl8l16 күн бұрын
nilijua tuu ilivyochelewa n final
@godnhohenry777916 күн бұрын
Wakwanza dadeq like jamaniii 🎉🎉
@kokenye900316 күн бұрын
Yakwaza kabisa waja mm niwashukuru sana ogereni sana movie safi sana waaah nani aliogopa kaa mm nirifikilia kizeja atauliwa mle ndani lakini poa sana 🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SmilingBreadLoaf-pi8sb16 күн бұрын
Kz njema
@JullianaEmmanuel-tm5xg16 күн бұрын
Kiukwl hii movie n nzr na inamafunzo mengi sana, au bas
@EvelineMungele-sr5tw16 күн бұрын
James Leo anayakanyaga yaan anajitumbukiza mwenyewe kwenye mudomo ya Simba,,, hongera kwako mwanasheria upo vzr mnoo❤️❤️❤️
@methodnkundumukiza636716 күн бұрын
Asanteni sna waigizaji wazuri twawapenda sna mno.i'm from 🇧🇮
@MathewSupeet-nn1by15 күн бұрын
Kesho yangu ni film nzuri sana imenifundisha mengi sana 🙏🙏🙏 naamini mtatoa nzuri zaidi
@JullianaEmmanuel-tm5xg16 күн бұрын
Jaman kwnn nyuki anahasira na kunambi,,,
@user-dj3fz6bz7s16 күн бұрын
Mmechelewesha sana bwana
@neemakarisa611716 күн бұрын
Wow❤❤❤kesho yangu....Mungu awabariki sana nyote mlioshiriki❤❤❤
@user-co5ed6xr5c16 күн бұрын
Walioanza kesho yangu adi mwisho gonga like hapa tumejifunza kitu kikubwa sana congratulations 🎊 🎉🎉 Kelvin and your time ❤❤❤
@eliasisack735116 күн бұрын
Jamn wa pili like zangu ❤❤❤
@user-ox1rt3lc6e16 күн бұрын
Namba 28
@NdayisabaJeanClaude-mp8gg
14 күн бұрын
Kevin tunagupenda sana kabis hongera na Rwanda huku tugufatilia San hongera San sarimia nyuki
@user-er3cb9mb9m5 күн бұрын
Much love from Kenya guys like back wapi like za Kevin na nyuki ❤❤❤❤ nimejifunza Sana ❤
@aminahissaa555115 күн бұрын
Hii movie nzuri sana inamafunzo Sana mpk na mm nimelia kwakwel dunia hii
@user-jv8xd6kg7z16 күн бұрын
Mas força aí irmão kelvy gostou muito dos teus episódios
@BarakaChacha-xo7gw16 күн бұрын
Bonge LA season km umeguswa gong 👍
@emiliapasco16 күн бұрын
nzuri sana wema ni akiba
@SHAURI_JR9 күн бұрын
Watubaada yaku jifunza kutoa ushauri kushukuru kwa darasa nzuri kazi nikuonba like😂 ziwapeleke wapi
@user-ml8id4po2n16 күн бұрын
Wakwanza leo wap like zangu 😅
@Yahyaali-dg8eu16 күн бұрын
❤❤wa kwaza leo
@HalimaMasudi-kn1gf16 күн бұрын
Nimejifunza pia mimi kaka shukran Allah akupe uwezo wakufikiria na kubuni zaidi inshallah❤love from kenya
@RehemaMataka-vf1oh16 күн бұрын
Good job from the beginning till the end all the best on the upcoming works i love you so much all donta tv members ❤❤❤❤❤❤❤❤
Пікірлер: 1 100
Habari zenu wafatiliaji wa donta tv? Natumai mko poa kabisa 🥰 Hatimae leo Tumefika Tamati Ya series yetu ya #KESHOYANGU tunashukuru sana kwa kuwa pamoja na sisi mwanzo mpaka mwisho, Tunajua kunasehemu ambazo tumewakwaza Tunaomba Radhi kwa maana aikuwa kusudio letu kuwakosea kila siku tunajifunza zaidi kupitia maoni yenu msituchoke endeleeni kutusaport kwenye kazi zetu zifuatazo 🙏❤️
@rodgersmwagu239
16 күн бұрын
Sawa tumevumilia kwa hari na Mali lakini mna deni la kutuambia jina la wimbo aise
@josurenjoyo6371
16 күн бұрын
🙌🙌
@user-pj4ii7wx7f
16 күн бұрын
Sawa kaka kevi lakintupo pamoja mwisho mwema mwazo mwema kwa nyingine ijayo🙏
@aminaabdalla-uo9zq
16 күн бұрын
Penda bure
@rodgersmwagu239
16 күн бұрын
Kusema ukwel msipotuambia. Jina la wimbo. Mm kuanzia Leo naacha kuangalia movie zenu sitofatilia tena. , tumevumilia sana na mliahidi kabisa wenyewe mtatuambia. , na huu ND mwisho ila mbn atuoni kitu aise nin shda
Kama we ni mfuatiliaji wa kesho yangu kuanzia EP 1 mpk finally gonga like kama zote
@PiliShabani-cg6wd
13 күн бұрын
Nmeipenda xana
@kipaton001tv
Күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
Walioanza kesho yangu kwanzo mwsho like zangu apa please love from team strong 🇰🇪🇸🇦🔥🔥💞💞💞💞💕💕💕💕💕💞💞💞💞💕💕💕team nyuki kelvin wapi like zangu ♥️♥️
Police anaweza kukufunga,mwalimu anaweza kukufelisha,hakimu anaweza kukuweka jela na daktari anauwezo wa kukuua lkn ashukuriwe MUNGU kwa NEEMA NA REHEMA ZAKE hutupigania katika hali zote🙏
@Angelsalum-er3lm
13 күн бұрын
Nimeipenda hiyo I like it
@exaverymakoye6026
13 күн бұрын
😂😂
Finally part yenye tumewait Sana Alf pia mm mnipe likes zangu🙏
Dah nimekuwa wa tatu lakn sio mbaya like kwa DONTA TV
@OzanaMtwangi
14 күн бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@JohnMwiguru
13 күн бұрын
❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹
Hakuna watu wenye wanabow kama waombaji likes all the way from Kenya 🇰🇪 wapy likes zangu NAMI🤣🤣🤣🤣
@user-if7rb1su9j
16 күн бұрын
Yan mim huwa wananiuzi sanaaa tena snaaa
@user-rn3su5tr9p
16 күн бұрын
Hahaha
@MarianaMwakatoga
16 күн бұрын
Wanaboa sana
Wana donta move zenu nyingi huwa nazfuatilia lakini maranyingi siwapi like polen ndugu zangu kuanzia sasa tuko pamoja hii move imenigusa
@MwanaiddMasoud-qk4hb
15 күн бұрын
Umekosea ungesema shida Zina likizo kila ckuu sii maumivu wew umesema Kila CK ni maumivu happy lekebisha kirevin
Waoooo🎉🎉🎉 Mungu azidi kukuongoza akupe nguvu mpya uzidi kuwa na afya njema Dr Kevin Khan,kila laheri kwenye Kaz zako unazidi kutuelimisha hata tuliolewa
Congratulations to kelvin and his team ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 kama umefurahishwa na hii serious gonga like❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@janetkithi775
16 күн бұрын
Hii movie imekia tamu Sana. Yaan sitaisahau.
@khafidamkambeKhafidamk-dq7nj
2 күн бұрын
Hii move imekua tamu sana next
😮Finally hii kituu imetokaa tenaa Likes kwa wale tulioanzaa mwanzo mwishoo😊😊
@StephanoDaud-do5ge
16 күн бұрын
Hereeeee😂😂🎉
Hiyo nyimbo ya kesho yangu mtuwekee KZread bhana❤❤🎉
@JaydenNaftal-zz7ew
16 күн бұрын
Haya
Hua naliaga kweny movie za kihindi Leo yamenitokea kweny movie ya kibongo kweli hawa jamaa wanatosha 🔥🔥🔥
@AgnesZubedah-zs2xd
14 күн бұрын
❤sana
@Angelsalum-er3lm
13 күн бұрын
Hahahahahahaha pole
Wangapi tunafurahia kumwona JAFFARY
@AgnesZubedah-zs2xd
14 күн бұрын
😂😂Mimi hapa
Wakwanza mm like 20 from🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Wakwanza mm like zangu
Jmn ndio final tushushe comment zakushato... Mungu aibarik sana Kaz ya mikono yenuuu me nimeipenda sanaa hii mpk nlishawish na rafk zangu waitizame
@MwanaiddMasoud-qk4hb
15 күн бұрын
Maisha Yana likizo kila CKu c maumivu maana unampana na mwisho unatombo sas Kila CK si maumivu kilevin badilisha hapo Zanzibar hapa
@user-xq7fy2pp3y
13 күн бұрын
Hongera sana kelvin khan nakuombea kwa Mungu akuongezee akili na uelewa ktk utunzi wa muv nakutumia kila la heri
Wa kwanz Leo kuangalia
Like zangu jmn wakwanza
@marygorethtemu4959
16 күн бұрын
Acha ushamba.. likes zinakusaidia nini wew
@user-ih9nd1yt8s
14 күн бұрын
Za nn
allah awape maisha marefu tumejifunza mengi natumefaidika sana nimimi Sadam niko lubumbashi kwasasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 asante sana mungu awabariki tana sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wakwanza movie mzuri sana
Nimechelewa leo lakin naombeni like hata 20 kutoka south❤❤
Pia mim nimewahi jamn nawapend nyote mlikua mnasubir kesho yangu km mm❤❤❤ from kenya 🎉🎉
Yaani hadi nimetoa machozi😭 mtu mzima kuona goma linaisha ham bado yote kwakweli big up sana kwa NYUKI NA NA KELVIN kwa mashairi nimejifunza kitu kupitia maneno yenu yana busara ndaniake,pia na ujumbe,nakubali kitu kizuri
@user-tw2ut4xi9b
16 күн бұрын
Kazi nzuri kweli❤
Nilikasirika mpka sikufatilia hizo vipindi vingine Nina furaha Leo😚😚
Am in ,congratulations kelvin and Loveness am very happy listening your creativity..my favorite characters of the year
Jamani jamani njooni kesho yangu imewasili njoooni tuzidi kujifunza kitu❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-hm6hy6rr1h
16 күн бұрын
Tumefik mway tumefurah tuangalie mwisho wak keshaingia chakike uyu bwan hhhhhh
@user-pq4rv4jm3j
16 күн бұрын
Tumelejea 🎉
@RizikiZiki
16 күн бұрын
Asanteni ❤
Am the first in kenya more likes🎉🎉
Number one naomba like za final
Wakwanza jamani anzeni apa in 🇿🇦 😢😢😢😢
Hongereni watunzi mahiri. Movie yenu nzuri sana na mafunzo pia. Twaomba nyengine nzuri zaidi.
Wakwanza leo
40:35 Wow 😊. Thanks guys for your update 🎉. Tulikuwa tumengoja sana. Representing Mombasa Kenya❤. Kwanzia episode 1 mpaka episode 33.❤🎉🎉🎉 Congrats guys 😘💕💕😘
Hii movie inamafunzo sana ukiifuatilia vizuri utajua namna nzuri ya kuishi maisha yoyote yale
Number 1 🔥
Sijachelewa jamani naombeni like zangu from tabora tz❤❤❤❤
Wakwanza from oman naomba like hata kumi guys kwa kaz nzuri ya donta tv 🎉🎉wanaotaka nyimbo ya kesho yangu iachiwe tujuaje hapa guys 🎉
Tulio hanza kufuatilia ep 1 mpaka final weka like hapa 🎉🎉🎉
Bravo kwa wenye tumemaliza tamthilia kuanzia mwanzo hadi tamati❤
Waooooo Kelvin wangapi tuna mkubali kelv gonga like hapa😂😂😂😂
Kaz nzur San police kama nyie ndo mnataikiwa vp nimekuwa wa kwanza like mbili tu
Wakwaza Leo 🎉🎉🎉🎉🎉kutoka kenya
Jamni coment taratibu kunamtu kanikanyaga huku nyuma Yani nimetoka kotee na faino episode ata like ndugu zangu hamna LEO ZAMU YANGU♥️💙
Team donta tugonge like
Kelvin pokea salamu zangu kutoka Kenya, mjomba umeweza kiukweli nakukubali sana bro, big up for what you have done and may God grant you more years #shalom 🙏
@avekikibombo6559
16 күн бұрын
kesho ysngu
Wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mpo ndani ya nyumba 💕💞💕💞
Mwenyezimungu awabariki sanaaa KATIKA kazi zunu Kila mnapo achia bhasi ziwe ni zenye kufanikiwa kupenya KATIKA ulimwengu nawakubali sanaa na ninawapenda sana WOTE MLIOSHIRIKI KATIKA STORI YA KESHO YANGU ASANTENI
Am the first naomba like waugwana❤
Mashallah nawakubali san wanangu like ata tano tu jamn❤❤❤🎉🎉🎉
😂😂wakwanzaaa kabisaaa
Tulikuw pamoja mbk mwisho good work🎉❤
Kazi Bomba kabisa. Barikiwa sana Kevin. Nampenda sana Vicky.
Donta family yang
Wakwanz nipeni likes jmn ya mwisho hii
Ni nzurii sana tunawashukuru kwa kutuletea tamthilia nzuri kama hii tunawaomba mtuletee nyingine nzuri. Zaidi ya hii ❤❤❤
Mungu awabariki sana kwa mafundisho mazuri , muendelee kutuelimisha
Wa kwanza leo nipeni like zangu😢😢😢,,,halafu hongereni kwa kazi safi❤❤❤❤❤❤
Mi wakwanza,like zangu badii
Much love from DRC 🇨🇩🇿🇦🇨🇩🇨🇩 yanamengi yakujifunza kwaiy story ❤
Kesho yangu umekua series nzuri sana na ina mafunzo mazuri acha Mungu aendelee kuwapa uwezo mkubwa
Wa kwaza jaman like
Asanten Sana kwa kazi nzur sana kwakwel hii movi imenifunza kitu Asanten Sana Team Kelvin ❤❤❤🇰🇪
Mwisho wa leo nimejifunza kitu nashukuru sanaa kwa hiii mungu haishii kuwaweka kabisa Kelvin moyo wako mungu hasimame kwa kila jambo nimekupenda sanaa na moyo wangu wote Akh paka nimetamani kua karibu na ww ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Waoooo raha sn wana donta TV hongereni jamani nawapend niko Burundi 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
Wimbo wa keshooo mtuangushie basi ndo tuzidi kufurahia zaidi,Nawapenda sana nikiwa kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Na mimi swali izi like ua mtu yuwalipwa na mimi nipewe like piya nilipwe kidogo mahana mimi nafyatilia donta tv😂
Since day one, imeanza kuruka hatimaye leo tumemaliza, five Kwa wote walio husika kuiandaa hii kazi na waendeleee kutuletea kazi Kali kama hizi, congratulations kwa wote tuliokua tukiifatilia🎉hall🖐🏾
nimefurai sana tena sana kwa movie hii ambao munamafunzo mengi sana mungu azidi kukubariki sana Kelvin akuongeze maisha marefu 🙏🙏
Namkubali sana brother Nyuki❤❤
mpaka leo nafurahi kufuatilia hii series mpaka mwisho
Wakwanza leo❤❤❤
Congrats hii ilkua kali sana,,,leteni nyngne
Nilitaman iendelee sana daah
Much love from kenya 🇰🇪 ❤️
Nimefurah Leo mmemaliza kesho yangu nilikuwa naisubr Kwa hamu shukran donta tv🙏nawapenda Sana🥰🥰😘😘😘
Wahoooooooooo kazi nzur sana,endeleeni kutupa vitu vizur,kelvin bigup🎉🎉🎉
nilijua tuu ilivyochelewa n final
Wakwanza dadeq like jamaniii 🎉🎉
Yakwaza kabisa waja mm niwashukuru sana ogereni sana movie safi sana waaah nani aliogopa kaa mm nirifikilia kizeja atauliwa mle ndani lakini poa sana 🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kz njema
Kiukwl hii movie n nzr na inamafunzo mengi sana, au bas
James Leo anayakanyaga yaan anajitumbukiza mwenyewe kwenye mudomo ya Simba,,, hongera kwako mwanasheria upo vzr mnoo❤️❤️❤️
Asanteni sna waigizaji wazuri twawapenda sna mno.i'm from 🇧🇮
Kesho yangu ni film nzuri sana imenifundisha mengi sana 🙏🙏🙏 naamini mtatoa nzuri zaidi
Jaman kwnn nyuki anahasira na kunambi,,,
Mmechelewesha sana bwana
Wow❤❤❤kesho yangu....Mungu awabariki sana nyote mlioshiriki❤❤❤
Walioanza kesho yangu adi mwisho gonga like hapa tumejifunza kitu kikubwa sana congratulations 🎊 🎉🎉 Kelvin and your time ❤❤❤
Jamn wa pili like zangu ❤❤❤
Namba 28
@NdayisabaJeanClaude-mp8gg
14 күн бұрын
Kevin tunagupenda sana kabis hongera na Rwanda huku tugufatilia San hongera San sarimia nyuki
Much love from Kenya guys like back wapi like za Kevin na nyuki ❤❤❤❤ nimejifunza Sana ❤
Hii movie nzuri sana inamafunzo Sana mpk na mm nimelia kwakwel dunia hii
Mas força aí irmão kelvy gostou muito dos teus episódios
Bonge LA season km umeguswa gong 👍
nzuri sana wema ni akiba
Watubaada yaku jifunza kutoa ushauri kushukuru kwa darasa nzuri kazi nikuonba like😂 ziwapeleke wapi
Wakwanza leo wap like zangu 😅
❤❤wa kwaza leo
Nimejifunza pia mimi kaka shukran Allah akupe uwezo wakufikiria na kubuni zaidi inshallah❤love from kenya
Good job from the beginning till the end all the best on the upcoming works i love you so much all donta tv members ❤❤❤❤❤❤❤❤