Napenda pale wanapoxema ''umeniweza babaaaaa umeniweza mamaaa" kama uko nami gonga like chini hapa
@salmamalale1222
3 жыл бұрын
Sana
@umojaumoja9201
Жыл бұрын
Saf
@lilianmukiri-vf9ny
Жыл бұрын
Together 🙌🙌
@mohamediabdi3604
Жыл бұрын
Tupo wengi kumbe
@valentinenjoroge9557
10 ай бұрын
Napenda zaidi
@fellaanikulapo47124 ай бұрын
Ila kusema ukwel linnah anajua sana
@SamuelOtieno-qc3kj4 ай бұрын
I love this song that's why nimeamua kuisikiliza Tena 2024
@allyntima9090
3 ай бұрын
Aisemi inanikumbushagambar
@frankmhoja2460
Ай бұрын
Fund wa love songs...
@ErnestinaLucas
7 сағат бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤@@allyntima9090
@imanivard11274 жыл бұрын
Hii nyimbo ni kwa wale wote wenye mapenzi ya kweli kwa wenzi wao sio wale viruka njia. Like kwa kayumba na linah kwa kazi nzuri 💥🔥💪
@asuminaallykorogwe2264
4 жыл бұрын
Kama unamkubali kayumba weka like twende sawaa
@shtatsalfa1668
4 жыл бұрын
Nikweli, kama Riyama Ally na Lio
@eunicej8804
4 жыл бұрын
Iman Mhagama 😅😅😅😅
@febroniajackson9617
4 жыл бұрын
Nakukubali hasa ngoma hii umeniweza piaah ,,, kama unamkubali kayumba gonga like twende zetu uu
@johnmsuha7082
4 жыл бұрын
Umenena
@julithamasanja3948 Жыл бұрын
Linah mwanamzik mahiri sn! Kila wimbo wake una mvuto fulani na nyimbo zake haziishi hamu!
@faridamohamed81354 жыл бұрын
huyu kijana nilimpendaga tangu enzi za bss. mbaka leo anafanya mawonders big up to kayumba
@thuwaibamusa3164
Жыл бұрын
Shida ni vile Tanzania wanamziki wazuri kama Kayumba hawapesi support
@magdalenajoel44095 ай бұрын
Tunaotazama wimbo huu mwezi wa wapendanao😂😂❤️🙌
@khadijakhadija62124 жыл бұрын
Ooh nimechelewa jmn like za kayumba mlivokuwa na roh mbay sipatii hat moja unajua kunichombeza hodar wa kubembeleza♥️♥️💕💕💕😘😘
@nassybingo4364
Жыл бұрын
Mremb
@user-qb6zd2ug8e
Жыл бұрын
Heshima kwa kayumba yan kama kuna ngoma napenda nizayumba💪💪💪 respect kaymba✌
@allyselemani4214 жыл бұрын
oa uyuu jamaa anakuja sana kama unakubaliana nam gonga like tutembee no 1 treeding.. ..
@shadyamonero6463
4 жыл бұрын
Hatar Sana kayumba
@jescamoshi5731
4 жыл бұрын
kwili tens sana
@angerapasco2179
4 жыл бұрын
Napenda san
@msegejumwarabu6112
3 жыл бұрын
@@angerapasco2179 Jana huyu mdogo wangu anajua sio siri
@peterblessing79684 жыл бұрын
From kenya🇰🇪🇰🇪 umeniweza linah jaman
@hadassahmaina44862 жыл бұрын
Woooow this song is owesome can't stop listening who is agreeing with me
@Ezradaniely4 жыл бұрын
Jaman mistal ya linah ni konk kama umeikubal gonga like hapa twende sawa
@winfridamawila5623
4 жыл бұрын
Mistari imenyooka
@pashaisaya5311
4 жыл бұрын
Ezra Jr konk
@mamafahad2782
4 жыл бұрын
Maashallh
@sophiaally3749
4 жыл бұрын
Wote ni konki
@ndayisengafrorence8461
4 жыл бұрын
💞💞👌
@amselkelechi50582 жыл бұрын
May God bless Kayumba and Linah,unajua kunichombeza ooohoooooo
@tausirayamba65594 жыл бұрын
Tabasamu mpenz wangu nataka tujenge family Sasa uwe baba wa wanangu nikuzalie mapacha🥰😍napenda huu mstalii kinomaa
@rhodakafugugu6875
3 жыл бұрын
Naupnd sn huu mstalii hata mm
@gracekanyi9073
3 жыл бұрын
Nomaaaa sanaaa 🔥🔥🔥🔥🔥
@samdecrast9686
3 жыл бұрын
Umepend uu msital
@saralusinde53
3 жыл бұрын
mi zaidi
@pivothimself11644 жыл бұрын
Umeniweza kama lilivo jina la wimbo @kayumbaossie ft @linah keep it up.
@TreyBlaise4 жыл бұрын
Oyoo like kama una mkubali Kayumba 🇹🇿🇹🇿🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@Pascal1122
4 жыл бұрын
Faster
@LIGAErnestVEVO
4 жыл бұрын
J'adore la chanson si broda . J'écoutais l'audio presque toutes le nuits quand je partais au lit. Finally the video is out
@leonardhizza686
4 жыл бұрын
Treyz Palzuria %100
@chrisbujastar2204
4 жыл бұрын
this is a good song check this song here kzread.info/dash/bejne/naqNy6lumpucZLA.html
@rayanalhabsi8029
4 жыл бұрын
kayumba na penda kazi zake good
@mathiaswambua76434 жыл бұрын
Nashangaa Huyu Kijana Kwanini hana Sponsor Anaeleweka Hadi Sasa @So Talented Sana @Kayumba 💪💪
@pendochalagwa8293
4 жыл бұрын
Nakubali mzee huyu dogo ni moto hata kina mariooo wanaobebwa na clouds wanasubrii
@yahyamasoud612
4 жыл бұрын
Heshma pia bro muhimu .....lazma ajishushe ili afike mbali ila kiukweli anajua*
@dixoncyprian8633
4 жыл бұрын
Sponsor wa kazi gani sasa
@shanishany8041
4 жыл бұрын
Sana
@angelapius7526
3 жыл бұрын
Mond angekachukuwa ingekuwa pow
@AllyTingi7 ай бұрын
❤❤❤penda sana uyu jamaa❤❤❤
@caroline_odipo Жыл бұрын
I love 💕 this song so much,I keep coming back here every now and then it's like it's made for me😘😘😘🥰🥰🥰🥰
@user-mg9ih7cr6q
9 ай бұрын
Ni wimbo mzuri mno
@maimamood70334 жыл бұрын
Unajuwa kunichombeza, umeniweza baba"""" nyimbo taaam sana,, NIJIVUNIE NANI KM SIO BABA WEE,,,
@officialdee7226
4 жыл бұрын
nimeipenda
@kingcali52374 жыл бұрын
Kayumba is so underrated, this guy can sing
@kennedyanunda5650
8 ай бұрын
No that can sing anaweza mbaaya
@user-zb4ui9sw7e
5 ай бұрын
Úñàksuk😅
@tonymwenyew68494 жыл бұрын
naipeda hii ngoma tamu love From Kenya huyu kayumba hajaskika huku kenya lakini ako fiti sana ata nilikuwa nafikiria ni barnaba,ameweza nipeni like wakenya na watanzania
@itzunison19103 жыл бұрын
Naipenda saana hii..big up bro🤩🤩
@monicaswai81664 жыл бұрын
Unajua kunichombeza ma favorite song
@peninahmuthoni4863 жыл бұрын
Ndo naingia uku kayumba kayumba Aminia bro ngoma zako poa sana keep it up
@softrock71554 жыл бұрын
Wimbo mzr sana, aliyeusikiliza zaidi ya mara mbili agonge like twende sawa.
@elizabethkira3024
4 жыл бұрын
Nikiusikiza huu wimbo unanikumsha mbali
@softrock7155
4 жыл бұрын
@@elizabethkira3024 nn tena Beth
@patrickwambua96574 жыл бұрын
Kayumba mistari yako mizito kuliko ya wasanii wengine wanaoitwa wakubwa sitawataja!!!!!
@sylivanusnyitwe8561
4 жыл бұрын
Patrick Wambua wataje tu kama alikiba amna kitu
@sylivanusnyitwe8561
4 жыл бұрын
Patrick Wambua wataje tu kama alikiba amna kitu
@leahnamoyo6475
4 жыл бұрын
Nkweli
@mursallusinde9189
3 жыл бұрын
Dogo yupo vzr sna tatizo mziki wake hauna promo mzee baba mziki mzuri utakuta ndo hausapotiwi ila ile unga unga mwana dah 😂
@mariamjohn2813
3 жыл бұрын
@@sylivanusnyitwe85618cfe waaaqqeqf8ba7ac8sxfs
@abzuckyree93463 жыл бұрын
Kayumba Ni msanii mkubwa Sana, Hawa mafala wengine ni label tu zinawabeba..... Big up Sana.... Unanikumbusha luge mutahaba aliposema "Kuna tofaut Kati ya superstar na maarufu, maarufu Ana muda wa kuvuma, superstar anavuma na alichonacho kila muda"
@erickojembajemba4333
2 жыл бұрын
Hahaha walai
@bridgitwillyspace4893
2 жыл бұрын
Exactly
@EvalineKelvin-wg7up
9 ай бұрын
😂😂 et mafala
@Unknown_junction. Жыл бұрын
Just got to know this wonderful song 3 years later....I love everything about it
@user-em6wo4ch3x3 жыл бұрын
Huu wimbo naupenda Sana yaaani Hadi sielewiii kazi nzuri kwa waimbaji nawapenda Sana munajua good song sichoki kuisikiliza yaani Kama nimeimbiwa mie hahahaaaaa
@kassimmohd54924 жыл бұрын
Kayumba for a life, I swear this man has a naturally talent.!
@cristiankinyanta7340
Жыл бұрын
vio
@fellaanikulapo4712
5 ай бұрын
True ana kitu na kusema kweli akiacha maisha ya inzi huyu atatengeza asali❤
@chefamos44224 жыл бұрын
Mi mkenya napenda huu mziki wapi like za Mimi mkenya hapa please!!
@mafinamaizez2514
4 жыл бұрын
Like kaa zote my dear Kayumba alishinda bongo staa sachi kwa halali aeleweka sana
@chefamos4422
4 жыл бұрын
Kizazi Sana🎷🎶
@selemanhamiss9945
4 жыл бұрын
Mambo
@chefamos4422
4 жыл бұрын
@@selemanhamiss9945 poa mambo,..
@yusufkarisa3552
4 жыл бұрын
Iko juu hii nyimbo jamaa anajua kutunga nyimbo sio siri
@remmysweetbert77024 жыл бұрын
Ngoma ya Kizazi xana, bonge la ngoma, Lyrics kari kinouma, Xaut za kivita, chemistry imekubari xana Dah jamaa #Kayumba #Lina mnajua xaaaanaaaaa
@jackselvester8749
4 жыл бұрын
remmy Sweetbert ni heli wewe usie omba like
@remmysweetbert7702
4 жыл бұрын
@@jackselvester8749 😹 😹 😹 ctakag hyo tabia
@fidiarehani5823
4 жыл бұрын
mko vinzuri sana
@frankgenga3173
3 жыл бұрын
Kayumba
@deejaytripletv61674 жыл бұрын
I just can't do without this song, aki kwa kweli imeniweza sana..... big up sana kayumba x linah for the good job kama wakubali wimbo huu gonga like
@evalynmedson26332 жыл бұрын
Hongera dogo..Safi Bss nilikua nakufatilia sana ww na farida amani nilifurah mlivotoka fresh keep up
@mettybee61524 жыл бұрын
Nice song🔥🔥🔥,, wapi likes za kayumba and linah
@jeremianalaila5952
4 жыл бұрын
💥💥💥💥
@edwarobeto6126
4 жыл бұрын
Kayumba anatsha
@frankmsonde540
4 жыл бұрын
Daah mme Tisha sanaaa😘😘
@nicotv4162
4 жыл бұрын
Ngoma kali sana, yeah u did gud, let me much concu u
@maxwellwamta3059
4 жыл бұрын
Song poa
@bilha_nyawera3 жыл бұрын
Kayumba is so underrated. Guy so talented jamani. Much love from 🇰🇪
@comfort6848 Жыл бұрын
Siezi lala bila kusikiza huu wimbo wapi likes za team strong
@elizabethmutheu61004 жыл бұрын
Song tamu sana .... My everyday song😍😍😍 #umeniwezaaa👏👏👏👏💋♥️♥️ . Sauti mlipewa tamu sana aki 💋💋💋
@bashiramohammed6060 Жыл бұрын
Always watching his songs with English subtitles coz I don’t understand Swahili but his lyrics r superb 👍love all his songs so much ❤
@bilvillix
Жыл бұрын
Me too bro
@johnchitete
Жыл бұрын
How do you watch with subtitles?
@mbokachawe96574 жыл бұрын
Wen my darl send me this song... bas am like....😍😍😍😍😍😍🤩🤩🤩
@zawadimunisi17123 жыл бұрын
Aisee umejua kunikosha moyo hii nyimb naipenda daima sichok kuisikilza Kam unamkubali kayumba gonga like hpa
@afritales_ Жыл бұрын
2022 still enjoying this jam... Kayumba is a legend of swahili love songs❤️❤️🔥
@sarahnusra63134 жыл бұрын
Wow i was waiting for video thank you so much we love you so much 😍😍❤❤🇱🇷 kamauna mkubali like yako hapo chini👇
@rickysamuel47544 жыл бұрын
Bongo artists r the best, 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@bonfacekambona52664 жыл бұрын
Kayumbaaaaa weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee it's good music 🎶 arive mziki mzuri unaishi na melody kichwani
@celinamgundoi56014 жыл бұрын
Jaman huu wimbo ninavyo upenda yn hand naumwa kayukba hongera sana kwa kazi zako tam yn hua unanikosshaga moyo wangu
@zuuhxtarcode24124 жыл бұрын
Nawapendah nyiiee watyuu bonge la nyimboo na video kalii piiaah
@simbilaelison73224 жыл бұрын
Hii ngoma kali maudhui ni yenyewe kabisa baada ya uno inafaata hii
@charlesmwita5291
4 жыл бұрын
Hii ngoma imenibamba yani nnatamani kuiskiliza muda wote especially muda wa night
@conradjunior59404 жыл бұрын
Linah umeitendea haki hii ngoma big up Sana kwenu
@rukiamussa24014 жыл бұрын
Kama unawakubali lina na kayumba gonga like hapa
@shakiraamri8446
4 жыл бұрын
Yaani huyu mtu niatali👏👏👏👏👏👏
@anetmoris6521
4 жыл бұрын
Nawapenda xn
@aliwaziri8578
4 жыл бұрын
Nakukubal san lina na kayumb
@mustafamnape9808
4 жыл бұрын
RUKIA MUSSA mambo best uko poaw
@oswadydaudy8197
4 жыл бұрын
🏃🏃🏃🏃kimbia Kaka nakukubal
@elexperto35234 жыл бұрын
Approval from Congo, we feel it 👏👏👏👏👏👏
@kbtv36214 жыл бұрын
Yani nyimbo za isiya tunakuachiya wewe kwasasa like kama una mkubali kayumba
@pendomrosso3197
4 жыл бұрын
kaka benja jmn kayumba anajua hadi basi
@kbtv3621
4 жыл бұрын
Iyo Kweli
@habibakirungikirungihabiba9407
4 жыл бұрын
Kweli kabisa kaka
@michaelmb92373 жыл бұрын
Nakubali sana bro wimbo wako umetulia sana 💯 🔥🔥🔥🔥
@sophiaally37494 жыл бұрын
Duh the voices are killing me 🙌🙌🙌🙌🙌🙌 kweli mmejua kunichombeza ,nyie hodari wa kubembeleza ,kweli mmeniweza....😘😘😘😍
@ezdonarex54124 жыл бұрын
Kama nawewe nishabiki wa kayumba kwanini usinipe like yako jamn!
@hagerhager1472
4 жыл бұрын
Nam kubali sanaa
@shakeuabuu8851
4 жыл бұрын
Kama mboga nakombeleza
@mwanaishaiddi2272
4 жыл бұрын
Nawakubalia wote
@shakeuabuu8851
4 жыл бұрын
@@mwanaishaiddi2272 umeniweza mwanaisha 🧡
@mwanaishaiddi2272
4 жыл бұрын
@@shakeuabuu8851 haya
@AmosBPeter4 жыл бұрын
Dah iv mm nilikuwa wap nmechelew ngoma kali kichupa kikal .....twende sawa apa
@michaelnyabuto41093 жыл бұрын
This song makes me feel proud and appreciate her still rocking kayumba🤗🤗
@marthajohn5262 жыл бұрын
Kayumba namuelewaga sana Yani bigap kaka
@armandoleonardo36434 жыл бұрын
Gostei MUITO dessa dupla vozes nomeadamente Kayumba ft Linah,parabens a voces
@almasiyusuph12754 жыл бұрын
Linah+kayumba nawashauri endeleeni kufanya collabo, nice voice......daaaaaaah I always watch dis lovely song!!!big up My sister Linnah (aluta continue
@prayeranchor4902 Жыл бұрын
Its reminds how he always calm me down......still holding for you
@julyramadhan76714 жыл бұрын
Mhhh hadi Ku comment naogopa coz like hata sipati🇹🇿🇹🇿🎶
@GloriaGloria-yz3hl
4 жыл бұрын
Bahati bukuku
@chimamyjrdb9040
4 жыл бұрын
Mwaaaaaaaaaaaaaaah
@ramadhanishabani2618
4 жыл бұрын
Kelechi
@issalagha3148
4 жыл бұрын
ngoma nimeikubali
@abdallahmasumbuko3739
4 жыл бұрын
Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@charleslivini97604 жыл бұрын
Kayumba wataelew magom yote makali so Kama madogo wengine nakubal san
@sekelamwaipopo72444 жыл бұрын
Kayumba umetisha kinyamaa jaman like Kama zooote dondosha apo chin
@sophiamtulia3254
4 жыл бұрын
Wanapenda nyote
@leahnamoyo6475
4 жыл бұрын
Salutiii
@madalanasri2226
3 ай бұрын
Nimeipenda Sana 2
@josephinesiril95212 жыл бұрын
I like this song, mi mtu badi💪🔥 very talented 😘
@khadijasaid67474 жыл бұрын
nimeioenda sana nyimbo hii uko juu kayumba&linah
@hemedtunu59463 жыл бұрын
My all time favorite jam!!! Linah never disappoint
@georginaayisi18433 жыл бұрын
The song issa vibe....shout out linah,love you
@patrickmuriuki69164 жыл бұрын
Kanyumba Yu have potential to passthrough to Yu goal.good music small bro..I loveyousongtill times of colaboration of you na yamoto band..keep fire burning....success all I wish you.
@aghathamathias2864 жыл бұрын
Kayumba your my GOAT( greatest of all time)
@samairahassan82203 жыл бұрын
Wewe pekee umeniweza ukinishika najilegeza so sweet song god bless all of you guys
@edusde4stage1984 жыл бұрын
Km uko in love bas hii nyimbo imebeba hisia nzur sn sana za mapenz is the best dedication song Km unakubaliana na Mimi gonga like twende pamoja
@sandrandai6180
4 жыл бұрын
Haki kabsa ila kama upo kama mimi kwenye mahusiano machungu unaishia kuwish tu
@faithachinga3574 жыл бұрын
hey, naipenda sauti yako mdada, waimba vizuri....then it sounds the same with that of Ibraah
Пікірлер: 1 600
Tunao angalia huu wimbo 2024 gonga like ❤😅
Napenda pale wanapoxema ''umeniweza babaaaaa umeniweza mamaaa" kama uko nami gonga like chini hapa
@salmamalale1222
3 жыл бұрын
Sana
@umojaumoja9201
Жыл бұрын
Saf
@lilianmukiri-vf9ny
Жыл бұрын
Together 🙌🙌
@mohamediabdi3604
Жыл бұрын
Tupo wengi kumbe
@valentinenjoroge9557
10 ай бұрын
Napenda zaidi
Ila kusema ukwel linnah anajua sana
I love this song that's why nimeamua kuisikiliza Tena 2024
@allyntima9090
3 ай бұрын
Aisemi inanikumbushagambar
@frankmhoja2460
Ай бұрын
Fund wa love songs...
@ErnestinaLucas
7 сағат бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤@@allyntima9090
Hii nyimbo ni kwa wale wote wenye mapenzi ya kweli kwa wenzi wao sio wale viruka njia. Like kwa kayumba na linah kwa kazi nzuri 💥🔥💪
@asuminaallykorogwe2264
4 жыл бұрын
Kama unamkubali kayumba weka like twende sawaa
@shtatsalfa1668
4 жыл бұрын
Nikweli, kama Riyama Ally na Lio
@eunicej8804
4 жыл бұрын
Iman Mhagama 😅😅😅😅
@febroniajackson9617
4 жыл бұрын
Nakukubali hasa ngoma hii umeniweza piaah ,,, kama unamkubali kayumba gonga like twende zetu uu
@johnmsuha7082
4 жыл бұрын
Umenena
Linah mwanamzik mahiri sn! Kila wimbo wake una mvuto fulani na nyimbo zake haziishi hamu!
huyu kijana nilimpendaga tangu enzi za bss. mbaka leo anafanya mawonders big up to kayumba
@thuwaibamusa3164
Жыл бұрын
Shida ni vile Tanzania wanamziki wazuri kama Kayumba hawapesi support
Tunaotazama wimbo huu mwezi wa wapendanao😂😂❤️🙌
Ooh nimechelewa jmn like za kayumba mlivokuwa na roh mbay sipatii hat moja unajua kunichombeza hodar wa kubembeleza♥️♥️💕💕💕😘😘
@nassybingo4364
Жыл бұрын
Mremb
@user-qb6zd2ug8e
Жыл бұрын
Heshima kwa kayumba yan kama kuna ngoma napenda nizayumba💪💪💪 respect kaymba✌
oa uyuu jamaa anakuja sana kama unakubaliana nam gonga like tutembee no 1 treeding.. ..
@shadyamonero6463
4 жыл бұрын
Hatar Sana kayumba
@jescamoshi5731
4 жыл бұрын
kwili tens sana
@angerapasco2179
4 жыл бұрын
Napenda san
@msegejumwarabu6112
3 жыл бұрын
@@angerapasco2179 Jana huyu mdogo wangu anajua sio siri
From kenya🇰🇪🇰🇪 umeniweza linah jaman
Woooow this song is owesome can't stop listening who is agreeing with me
Jaman mistal ya linah ni konk kama umeikubal gonga like hapa twende sawa
@winfridamawila5623
4 жыл бұрын
Mistari imenyooka
@pashaisaya5311
4 жыл бұрын
Ezra Jr konk
@mamafahad2782
4 жыл бұрын
Maashallh
@sophiaally3749
4 жыл бұрын
Wote ni konki
@ndayisengafrorence8461
4 жыл бұрын
💞💞👌
May God bless Kayumba and Linah,unajua kunichombeza ooohoooooo
Tabasamu mpenz wangu nataka tujenge family Sasa uwe baba wa wanangu nikuzalie mapacha🥰😍napenda huu mstalii kinomaa
@rhodakafugugu6875
3 жыл бұрын
Naupnd sn huu mstalii hata mm
@gracekanyi9073
3 жыл бұрын
Nomaaaa sanaaa 🔥🔥🔥🔥🔥
@samdecrast9686
3 жыл бұрын
Umepend uu msital
@saralusinde53
3 жыл бұрын
mi zaidi
Umeniweza kama lilivo jina la wimbo @kayumbaossie ft @linah keep it up.
Oyoo like kama una mkubali Kayumba 🇹🇿🇹🇿🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@Pascal1122
4 жыл бұрын
Faster
@LIGAErnestVEVO
4 жыл бұрын
J'adore la chanson si broda . J'écoutais l'audio presque toutes le nuits quand je partais au lit. Finally the video is out
@leonardhizza686
4 жыл бұрын
Treyz Palzuria %100
@chrisbujastar2204
4 жыл бұрын
this is a good song check this song here kzread.info/dash/bejne/naqNy6lumpucZLA.html
@rayanalhabsi8029
4 жыл бұрын
kayumba na penda kazi zake good
Nashangaa Huyu Kijana Kwanini hana Sponsor Anaeleweka Hadi Sasa @So Talented Sana @Kayumba 💪💪
@pendochalagwa8293
4 жыл бұрын
Nakubali mzee huyu dogo ni moto hata kina mariooo wanaobebwa na clouds wanasubrii
@yahyamasoud612
4 жыл бұрын
Heshma pia bro muhimu .....lazma ajishushe ili afike mbali ila kiukweli anajua*
@dixoncyprian8633
4 жыл бұрын
Sponsor wa kazi gani sasa
@shanishany8041
4 жыл бұрын
Sana
@angelapius7526
3 жыл бұрын
Mond angekachukuwa ingekuwa pow
❤❤❤penda sana uyu jamaa❤❤❤
I love 💕 this song so much,I keep coming back here every now and then it's like it's made for me😘😘😘🥰🥰🥰🥰
@user-mg9ih7cr6q
9 ай бұрын
Ni wimbo mzuri mno
Unajuwa kunichombeza, umeniweza baba"""" nyimbo taaam sana,, NIJIVUNIE NANI KM SIO BABA WEE,,,
@officialdee7226
4 жыл бұрын
nimeipenda
Kayumba is so underrated, this guy can sing
@kennedyanunda5650
8 ай бұрын
No that can sing anaweza mbaaya
@user-zb4ui9sw7e
5 ай бұрын
Úñàksuk😅
naipeda hii ngoma tamu love From Kenya huyu kayumba hajaskika huku kenya lakini ako fiti sana ata nilikuwa nafikiria ni barnaba,ameweza nipeni like wakenya na watanzania
Naipenda saana hii..big up bro🤩🤩
Unajua kunichombeza ma favorite song
Ndo naingia uku kayumba kayumba Aminia bro ngoma zako poa sana keep it up
Wimbo mzr sana, aliyeusikiliza zaidi ya mara mbili agonge like twende sawa.
@elizabethkira3024
4 жыл бұрын
Nikiusikiza huu wimbo unanikumsha mbali
@softrock7155
4 жыл бұрын
@@elizabethkira3024 nn tena Beth
Kayumba mistari yako mizito kuliko ya wasanii wengine wanaoitwa wakubwa sitawataja!!!!!
@sylivanusnyitwe8561
4 жыл бұрын
Patrick Wambua wataje tu kama alikiba amna kitu
@sylivanusnyitwe8561
4 жыл бұрын
Patrick Wambua wataje tu kama alikiba amna kitu
@leahnamoyo6475
4 жыл бұрын
Nkweli
@mursallusinde9189
3 жыл бұрын
Dogo yupo vzr sna tatizo mziki wake hauna promo mzee baba mziki mzuri utakuta ndo hausapotiwi ila ile unga unga mwana dah 😂
@mariamjohn2813
3 жыл бұрын
@@sylivanusnyitwe85618cfe waaaqqeqf8ba7ac8sxfs
Kayumba Ni msanii mkubwa Sana, Hawa mafala wengine ni label tu zinawabeba..... Big up Sana.... Unanikumbusha luge mutahaba aliposema "Kuna tofaut Kati ya superstar na maarufu, maarufu Ana muda wa kuvuma, superstar anavuma na alichonacho kila muda"
@erickojembajemba4333
2 жыл бұрын
Hahaha walai
@bridgitwillyspace4893
2 жыл бұрын
Exactly
@EvalineKelvin-wg7up
9 ай бұрын
😂😂 et mafala
Just got to know this wonderful song 3 years later....I love everything about it
Huu wimbo naupenda Sana yaaani Hadi sielewiii kazi nzuri kwa waimbaji nawapenda Sana munajua good song sichoki kuisikiliza yaani Kama nimeimbiwa mie hahahaaaaa
Kayumba for a life, I swear this man has a naturally talent.!
@cristiankinyanta7340
Жыл бұрын
vio
@fellaanikulapo4712
5 ай бұрын
True ana kitu na kusema kweli akiacha maisha ya inzi huyu atatengeza asali❤
Mi mkenya napenda huu mziki wapi like za Mimi mkenya hapa please!!
@mafinamaizez2514
4 жыл бұрын
Like kaa zote my dear Kayumba alishinda bongo staa sachi kwa halali aeleweka sana
@chefamos4422
4 жыл бұрын
Kizazi Sana🎷🎶
@selemanhamiss9945
4 жыл бұрын
Mambo
@chefamos4422
4 жыл бұрын
@@selemanhamiss9945 poa mambo,..
@yusufkarisa3552
4 жыл бұрын
Iko juu hii nyimbo jamaa anajua kutunga nyimbo sio siri
Ngoma ya Kizazi xana, bonge la ngoma, Lyrics kari kinouma, Xaut za kivita, chemistry imekubari xana Dah jamaa #Kayumba #Lina mnajua xaaaanaaaaa
@jackselvester8749
4 жыл бұрын
remmy Sweetbert ni heli wewe usie omba like
@remmysweetbert7702
4 жыл бұрын
@@jackselvester8749 😹 😹 😹 ctakag hyo tabia
@fidiarehani5823
4 жыл бұрын
mko vinzuri sana
@frankgenga3173
3 жыл бұрын
Kayumba
I just can't do without this song, aki kwa kweli imeniweza sana..... big up sana kayumba x linah for the good job kama wakubali wimbo huu gonga like
Hongera dogo..Safi Bss nilikua nakufatilia sana ww na farida amani nilifurah mlivotoka fresh keep up
Nice song🔥🔥🔥,, wapi likes za kayumba and linah
@jeremianalaila5952
4 жыл бұрын
💥💥💥💥
@edwarobeto6126
4 жыл бұрын
Kayumba anatsha
@frankmsonde540
4 жыл бұрын
Daah mme Tisha sanaaa😘😘
@nicotv4162
4 жыл бұрын
Ngoma kali sana, yeah u did gud, let me much concu u
@maxwellwamta3059
4 жыл бұрын
Song poa
Kayumba is so underrated. Guy so talented jamani. Much love from 🇰🇪
Siezi lala bila kusikiza huu wimbo wapi likes za team strong
Song tamu sana .... My everyday song😍😍😍 #umeniwezaaa👏👏👏👏💋♥️♥️ . Sauti mlipewa tamu sana aki 💋💋💋
Always watching his songs with English subtitles coz I don’t understand Swahili but his lyrics r superb 👍love all his songs so much ❤
@bilvillix
Жыл бұрын
Me too bro
@johnchitete
Жыл бұрын
How do you watch with subtitles?
Wen my darl send me this song... bas am like....😍😍😍😍😍😍🤩🤩🤩
Aisee umejua kunikosha moyo hii nyimb naipenda daima sichok kuisikilza Kam unamkubali kayumba gonga like hpa
2022 still enjoying this jam... Kayumba is a legend of swahili love songs❤️❤️🔥
Wow i was waiting for video thank you so much we love you so much 😍😍❤❤🇱🇷 kamauna mkubali like yako hapo chini👇
Bongo artists r the best, 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kayumbaaaaa weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee it's good music 🎶 arive mziki mzuri unaishi na melody kichwani
Jaman huu wimbo ninavyo upenda yn hand naumwa kayukba hongera sana kwa kazi zako tam yn hua unanikosshaga moyo wangu
Nawapendah nyiiee watyuu bonge la nyimboo na video kalii piiaah
Hii ngoma kali maudhui ni yenyewe kabisa baada ya uno inafaata hii
@charlesmwita5291
4 жыл бұрын
Hii ngoma imenibamba yani nnatamani kuiskiliza muda wote especially muda wa night
Linah umeitendea haki hii ngoma big up Sana kwenu
Kama unawakubali lina na kayumba gonga like hapa
@shakiraamri8446
4 жыл бұрын
Yaani huyu mtu niatali👏👏👏👏👏👏
@anetmoris6521
4 жыл бұрын
Nawapenda xn
@aliwaziri8578
4 жыл бұрын
Nakukubal san lina na kayumb
@mustafamnape9808
4 жыл бұрын
RUKIA MUSSA mambo best uko poaw
@oswadydaudy8197
4 жыл бұрын
🏃🏃🏃🏃kimbia Kaka nakukubal
Approval from Congo, we feel it 👏👏👏👏👏👏
Yani nyimbo za isiya tunakuachiya wewe kwasasa like kama una mkubali kayumba
@pendomrosso3197
4 жыл бұрын
kaka benja jmn kayumba anajua hadi basi
@kbtv3621
4 жыл бұрын
Iyo Kweli
@habibakirungikirungihabiba9407
4 жыл бұрын
Kweli kabisa kaka
Nakubali sana bro wimbo wako umetulia sana 💯 🔥🔥🔥🔥
Duh the voices are killing me 🙌🙌🙌🙌🙌🙌 kweli mmejua kunichombeza ,nyie hodari wa kubembeleza ,kweli mmeniweza....😘😘😘😍
Kama nawewe nishabiki wa kayumba kwanini usinipe like yako jamn!
@hagerhager1472
4 жыл бұрын
Nam kubali sanaa
@shakeuabuu8851
4 жыл бұрын
Kama mboga nakombeleza
@mwanaishaiddi2272
4 жыл бұрын
Nawakubalia wote
@shakeuabuu8851
4 жыл бұрын
@@mwanaishaiddi2272 umeniweza mwanaisha 🧡
@mwanaishaiddi2272
4 жыл бұрын
@@shakeuabuu8851 haya
Dah iv mm nilikuwa wap nmechelew ngoma kali kichupa kikal .....twende sawa apa
This song makes me feel proud and appreciate her still rocking kayumba🤗🤗
Kayumba namuelewaga sana Yani bigap kaka
Gostei MUITO dessa dupla vozes nomeadamente Kayumba ft Linah,parabens a voces
Linah+kayumba nawashauri endeleeni kufanya collabo, nice voice......daaaaaaah I always watch dis lovely song!!!big up My sister Linnah (aluta continue
Its reminds how he always calm me down......still holding for you
Mhhh hadi Ku comment naogopa coz like hata sipati🇹🇿🇹🇿🎶
@GloriaGloria-yz3hl
4 жыл бұрын
Bahati bukuku
@chimamyjrdb9040
4 жыл бұрын
Mwaaaaaaaaaaaaaaah
@ramadhanishabani2618
4 жыл бұрын
Kelechi
@issalagha3148
4 жыл бұрын
ngoma nimeikubali
@abdallahmasumbuko3739
4 жыл бұрын
Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kayumba wataelew magom yote makali so Kama madogo wengine nakubal san
Kayumba umetisha kinyamaa jaman like Kama zooote dondosha apo chin
@sophiamtulia3254
4 жыл бұрын
Wanapenda nyote
@leahnamoyo6475
4 жыл бұрын
Salutiii
@madalanasri2226
3 ай бұрын
Nimeipenda Sana 2
I like this song, mi mtu badi💪🔥 very talented 😘
nimeioenda sana nyimbo hii uko juu kayumba&linah
My all time favorite jam!!! Linah never disappoint
The song issa vibe....shout out linah,love you
Kanyumba Yu have potential to passthrough to Yu goal.good music small bro..I loveyousongtill times of colaboration of you na yamoto band..keep fire burning....success all I wish you.
Kayumba your my GOAT( greatest of all time)
Wewe pekee umeniweza ukinishika najilegeza so sweet song god bless all of you guys
Km uko in love bas hii nyimbo imebeba hisia nzur sn sana za mapenz is the best dedication song Km unakubaliana na Mimi gonga like twende pamoja
@sandrandai6180
4 жыл бұрын
Haki kabsa ila kama upo kama mimi kwenye mahusiano machungu unaishia kuwish tu
hey, naipenda sauti yako mdada, waimba vizuri....then it sounds the same with that of Ibraah
Unakisu kikali kula nyama usijali❤❤😂,mstari umeweza😅
Umeniweza babaaaaaa, umeniweza mamaaaa😍
Huyu kayumba akishikwa mkono na Mond aise atakua tishio africa nzima
We peke umeweza unaniweze ukinishika nalegeeza ai penda apo sana
Yaani hii nyimbo naangalia karibu kila siku maana ni🔥🔥🔥
Hata kam ujapata like ila ni bonge la nyimbo htrrr
Special song for the all beautiful woman..❤
Linnah has a beautiful feminine voice💖💖
Sauti zinaendana mpaka raha jamani,unajua kunichombeza Kama mboga nakombeleza woooooooooo
Bonge la ngoma...🙌🙌🙌🙌
Haaaa!!!! Hiii ilitakiwa iwe na views milioni tano kiukweli, mziki babkubwa linah we konki nakuaminia, duh dude hatareeeeeeee!!!👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥
Oh yeah, nice song.we pekee umeniweza.ukinishika najilegeza
my wedding 💒💒song now I found it 😍😍😍💯💯💯💯kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@emmanuelmkeba7901
3 жыл бұрын
Ujivunie nani Kama siyo huyo
Ngoma Kali xanaa mzee wa bss🤗🙌
more likely dears💖💖💖💖🙏
Hapa mwanzo ty ndo patamu tlivuka viuz pamoja kwakushikan mkono daaah
Nice song guys. Inatuliza tena unaweza kucheza pia
Walio angalia hiki kichupa mara mbil mbili like zao hapaa
@elizabethmhagama6798
4 жыл бұрын
sio mbili tatu
@joycechaz2840
4 жыл бұрын
Tupo hapa👆
@marynyella431
4 жыл бұрын
Kichupa kikal 🇹🇿 😘😘😘😘
@mariammapendo6074
3 жыл бұрын
Nipo ap
Daaaah uyu kayumba hapa umetuweza huu utaweka record aie asante sanaaa kayumba and linah💟💟💟
@jacklinembilinyi912
4 жыл бұрын
Jaman
Kayumba💖💖 Minembwe 🇨🇩
🔥🔥🔥, watched her kwa Cooking with Wema and searched her here. This collabo is 🔥
If you know you are going to make it before the end of 2019, let me see your hand up......🇪🇸🇪🇸🇪🇸
@telesiamkumbwa8888
4 жыл бұрын
Rapha Meck kaka wenimot
@veronicahpaschal3630
2 жыл бұрын
Amazing xanaaa
Ilike this song😘😘😍😍😍
Daah Kenya tuna miaka kibao kuwafikia bongo kwa uimbaji🤫 hii ngoma ndiyo❤
Hapo Kwa mwenye kisu kikali ndo hula nyama......🤩🤩