Vijana Tuamke Sote twendeni ulimwenguni kote tukieneza Injili yake Bwana
Жүктеу.....
Пікірлер: 27
@ezramogaka30118 ай бұрын
I remember listening to this song 2005, still am on it 2023
@simonkabuchojudiciary5 ай бұрын
Nikikua nikiwa Narok hizi ndizo zilikuwa the best. Napenda sana.
@heatherrutto8692 Жыл бұрын
2022 still here
@danadon67828 ай бұрын
2023, powerful and perfect message
@nesmoskanyuto67159 жыл бұрын
Jamaa wamepiga vyombo utafikiri roho wa Mungu anashuka.good luck siro
@user-cn7ji4kl7g3 ай бұрын
Kazi mzurii nawapenda sanaa Hawa ulyankuru
@frolahenry65714 жыл бұрын
Hii nyimbo zenu zinanikumbusha mbali,sana,mpka leo 2020 nazikubali sana
@julesngama25084 жыл бұрын
Mungu baba njo utu saidiye kwa kweli duniya mutihani.Mu barikiwe saaaaaaana ndugu yangu katika Yesu kristo
@faithndanu66302 жыл бұрын
I love the song it makes me feel I have a job to do that God wants me to
@godfreydionis56569 жыл бұрын
This song were blessing me alot!!
@maryhenry73513 жыл бұрын
Nimebarikiwa nyimbo nzuri
@misemoyahekima82045 ай бұрын
Nakumbuka mwaka 2014 wimbo unapigwa nipo majita/musoma 😥😥😥. Now nimekuwa mkubwa sana 😔😔
@SiroJack11 жыл бұрын
Napenda huu sana maana unazungumzia vijana. Halafu vyombo vimechezwa kwa uhodari mkubwa sana.
@julesngama25082 жыл бұрын
Iyi nyimbo ni ufunuo walipata, vijana wa sasa ni bala . Muna Ona aho wa Mama wana suka nwele aho wana vala suruwali. Wana ishi gisi Neno la Mungu lina sema .
@moseskapyuku1143 жыл бұрын
Nyimbo imenitoa machoz nimemkumbuka mama yangu alikuwa akiniimbia wimbo huu
@aristotledemartinez21492 жыл бұрын
Karibu KILA siku nasikiliza nyimbo za ulyankulu kwa muda wa miaka zaidi ya ishirini. Nyimbo zimeimbwa katika roho na kweli. Mungu awabariki Sana. Waimbaji wengi sasahivi wamekengeuka wanaimba nyimbo kibiashara. Ole wao jehanum inawasubiri wasipotubu. Neno la Mungu so biashara. Tumepewa bure tutor bure.
@InnocentKisangaTZ7 жыл бұрын
Old is gold. Bless and Love. You blessed my childhood. I remember seeing this video for the first time in 1996.
@patricesekanyambo2844 жыл бұрын
Eeh Mungu wangu, je kweli wahimbaji wa leo weko na ma sikio ya kusikia na macho ya kuona wahimbaji wa zamani? Ona kwanza gisi wanavaa mavazi yawo.
@priscillahkioko51613 жыл бұрын
Still fresh in 2020
@Mw3ndwa Жыл бұрын
The great commission
@albertmulugu64154 жыл бұрын
Hakika waimbaji na kwaya zilikuwepo mpaka miaka ya 90,,
@gamc773
3 жыл бұрын
Kabisa brow nakubuka mbali sana miaka ya 1996 nilikuwa nalia nikisikia hizi nyimbo
@gwamakamwakyambiki396310 жыл бұрын
MUNGU awabariki jamani!
@matesojeanette68423 жыл бұрын
ok ✅ will
@BizimanaNdaishimiye-hb4lg9 ай бұрын
Udyankuru
@albertmulugu64154 жыл бұрын
Hakika waimbaji na kwaya zilikuwepo mpaka miaka ya 90,,
Пікірлер: 27
I remember listening to this song 2005, still am on it 2023
Nikikua nikiwa Narok hizi ndizo zilikuwa the best. Napenda sana.
2022 still here
2023, powerful and perfect message
Jamaa wamepiga vyombo utafikiri roho wa Mungu anashuka.good luck siro
Kazi mzurii nawapenda sanaa Hawa ulyankuru
Hii nyimbo zenu zinanikumbusha mbali,sana,mpka leo 2020 nazikubali sana
Mungu baba njo utu saidiye kwa kweli duniya mutihani.Mu barikiwe saaaaaaana ndugu yangu katika Yesu kristo
I love the song it makes me feel I have a job to do that God wants me to
This song were blessing me alot!!
Nimebarikiwa nyimbo nzuri
Nakumbuka mwaka 2014 wimbo unapigwa nipo majita/musoma 😥😥😥. Now nimekuwa mkubwa sana 😔😔
Napenda huu sana maana unazungumzia vijana. Halafu vyombo vimechezwa kwa uhodari mkubwa sana.
Iyi nyimbo ni ufunuo walipata, vijana wa sasa ni bala . Muna Ona aho wa Mama wana suka nwele aho wana vala suruwali. Wana ishi gisi Neno la Mungu lina sema .
Nyimbo imenitoa machoz nimemkumbuka mama yangu alikuwa akiniimbia wimbo huu
Karibu KILA siku nasikiliza nyimbo za ulyankulu kwa muda wa miaka zaidi ya ishirini. Nyimbo zimeimbwa katika roho na kweli. Mungu awabariki Sana. Waimbaji wengi sasahivi wamekengeuka wanaimba nyimbo kibiashara. Ole wao jehanum inawasubiri wasipotubu. Neno la Mungu so biashara. Tumepewa bure tutor bure.
Old is gold. Bless and Love. You blessed my childhood. I remember seeing this video for the first time in 1996.
Eeh Mungu wangu, je kweli wahimbaji wa leo weko na ma sikio ya kusikia na macho ya kuona wahimbaji wa zamani? Ona kwanza gisi wanavaa mavazi yawo.
Still fresh in 2020
The great commission
Hakika waimbaji na kwaya zilikuwepo mpaka miaka ya 90,,
@gamc773
3 жыл бұрын
Kabisa brow nakubuka mbali sana miaka ya 1996 nilikuwa nalia nikisikia hizi nyimbo
MUNGU awabariki jamani!
ok ✅ will
Udyankuru
Hakika waimbaji na kwaya zilikuwepo mpaka miaka ya 90,,