KANUNI HII ITAKULINDA KILA UENDAPO - PR DAVID MMBAGA
Жүктеу.....
Пікірлер: 160
@MahubiriPrMmbaga2 ай бұрын
HII NAMBA NI KWAAJILI YA MAOMBI NA SHUHUDA +255755932283
@Daud48
2 ай бұрын
Namba ya kuongea na pasta ni ipi maana Kuna mtu anahitaji kuongea na pasta kwa msaaada tusaidie no
@PendoOscar
2 ай бұрын
Mm ninasumbuliwa na mawazo mabaya pamoja na fikra lakin mumgu ni mwema naendelea kupambana kwa maombi naitaji na nguvu zawengine ili nisonge mbole
@beatricemageka0708
2 ай бұрын
Bwana ni mwema,naomi mkumbuke mamangu Abigail ambaya afya yake imedhoofika vibaya kwa ugonjwa ambao haupo. Ikiwa kuna nguvu za giza zinachangia,zishindwe nakuharibiwa kwa jina la Yesu na mum aweze kurudi kumtumikia Mungu kwa choir. Naamini Mungu wetu ni mkuu amemponya. Amina
@BeatriceKingeli
2 ай бұрын
Kupitia maombi ya pastor mmbaga mum ametembea hivyo ameongeswa siku kama Ezekia Amen
@user-gw9cs8km3o
2 ай бұрын
Amen
@Mapenzi2635Ай бұрын
Nakuomba afya njema na maisha marefu. God bless you Pastor Mmbaga
@feadamagessa8892 ай бұрын
Namshukuru Mungu sana katika maisha yangu, mtoto wangu wa mwisho amebatizwa yupo fomu six alikuwa anakusikiliza mafunzo haya unayoyatoa mara kwa mara, Mungu akusaidie sana
@judithonsomu4472Ай бұрын
Asante mchungaji kwa neno, Mungu azidi kukupa hekima ya neno.
@zachariahonga2 ай бұрын
I now have a better understanding of that verse in John 15. Thank you pr., May God keep you humble always before Him
@leonidasbzzojoyhatung31182 ай бұрын
❤❤somo la leo ni kwa ajili yangu kweliiii.sitokuwa mateka tena popote .barikiwa sana.
@leontinebinlydi94592 ай бұрын
Mungu hakubariki mtumishi. Nimebarikiwa Na mafundisho yako👏
@anchillakagombola93Ай бұрын
Asante Mchungaji kwa neno.Nimebarikiwa sana.Najisikia furaha moyoni.Naendelea kusambaza neno la Mungu kwa familia yangu ili nao wakombolewe kiroho na kifikra.Hakika Mungu ni kila kitu kwa maisha na uzima wetu.Mungu akubariki uendelee kutufunulia maono ya Kristo .
@AnnaMwailenge-hy3xg2 ай бұрын
Asante Sana kwamafundisho mazuri mungu akubariki Sana ,
@user-jw2er4tt1r2 ай бұрын
Pr Mungu akubariki sana, kweli fungu hilo leo ndo nimelielewa nilidhani ninatupwa kumbe ninanyanyuliwa
@JosephMpangala-wd5mp2 ай бұрын
Pr ninashukuru sana kwa hubiri lako, kimenipa tumaini jipya, Mungu akubariki sana.
@abigaelmwadena22622 ай бұрын
Mungu wangu nisadie nizdi kukujua katika maisha yangu na uniondolee kila mawazo mabaya🎉
@paulmmbaga6238Ай бұрын
Mungu azidi kukutumia shambani mwake! Tunabarikiwa sana na mafundisho haya!
@user-zs4mb1oe9k2 ай бұрын
Amina mtumishi kweli nimeona mkono wa Bwana tangu nilipoanza kufuatilia mafunzo yako imani yangu imeimalika sifa zimrudie Abba wetu mbinguni, ninaamini atanivusha katika kiwango kingine maishani sifa na utukufu zimrudie yeye. Barikiwa sana mtumishi pamoja na familia yako. Nakufuatilia kutoka qatar.
@marynasyieki37832 ай бұрын
Amen amen barikiwa Sana mchungaji Kwa Maelezo Mazuri nmeolewa maana y lifting and moving kutokakwa kitabu cha Yohana 4 5 6,May God bless you 🙌🙌🙏🙏🙏🙏
@rhinakiza2 ай бұрын
God bless you pastor with camera man for posting videos every time and make us to follow you guys 👏🏻👏🏻👏🏻🙏
@speciozakaloli2 ай бұрын
Shule kweli Asante mtumishi wa Mungu
@omankadara64182 ай бұрын
Amina mtumishi ubarikiwe sana
@danielmwakatumaakimu10502 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi.nimekuelews.
@christinamdingi83732 ай бұрын
Pr. Mungu akubariki sana pamoja na Familia yako. Akulinde uingiapo na utokapo, fadhili zake ziambatane nawe, akupe neema katika dunia hii na maisha ya baadae.katika Jina la Yesu kristo amen amen.
@user-be5zz3qg9qАй бұрын
Pr. ubarikiewe sana kwa somo zuri. by zephania muyinga
@IbrahimNyanghuraАй бұрын
Mchungaji Asante sana Kwa ujumbe mzuri umenigusa kabisa na nimepona
@marymokaya2020Ай бұрын
Aminaa, amazing for the message
@MamaSamu-ro8zj2 ай бұрын
Amen mch ,ila mch mi ninamatatizo kwenye ndoa angv
@everlynekaringa3790Ай бұрын
God bless you so much infact thro you now am anew creature in christ
@raheljose95242 ай бұрын
Bwana endelea kuniinua niweze kuzaa tunda la kiroho🙏🏼
@TinahItindeАй бұрын
Mungu akubariki sana
@geophylinekerubo84522 ай бұрын
Ninatamani kukaandani yake bwana hili ninuliwe ,nitengenezwe kwa utukufu wake . Pastor pray for me and family
@IsayaManasd
2 ай бұрын
Usikate tamaa wakati ukifika mungu atakutumia
@EllenKihandaАй бұрын
Barikiea e mchungaji🙏🏿🙏🏿
@ombenijuma49862 ай бұрын
Mie ni miongoni mwa watu ambao nilikuwa nalielewa tofauti hilo fungu ila leo nmelielewa MUNGU azidi kukubariki Pr. Mmbaga
God bless you so much pastor ,we are learning everyday ,I have grown so much I only thank God .
@MeryKiangi-rp2zgАй бұрын
Tuombe mungu sana atuwezeshe hatuwezi peke yetu
@beatricenyiro59132 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa neno hili nimelielewa na nimejifunza mengi
@veronicawilsonmbwambo1054Ай бұрын
Barikiwa
@deborahtengan2072 ай бұрын
Amen Amen I'm blessed watching from middle East,
@franciscamoshi76712 ай бұрын
Havache mtani wakwa Mungu akubariki sana.Unatuinjilisha vizuri sana Ni lazima tumepokea Yesu na kumcha na kumjua sana Yesu na kulishika neno lake moyoni.
@user-nd3rd3xo7x2 ай бұрын
Waiting let the holy spirit help us to understand
@user-tg9zb6jp8zАй бұрын
Amène pasta asante kwamafundisho
@HabyGeorgeАй бұрын
Asante sana mchungaji
@mlishohadija69232 ай бұрын
Amen ubarikiwe Mtumishi kwa somo vizuri 🙏🙏
@shaniachanceline27512 ай бұрын
Amen, amen, amen mubarikiwe Sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@sylviesaidi5740Ай бұрын
Nimebarikiwa sn na ilisomo ubarikiwa sn pastor
@user-cl7yl2in7e2 ай бұрын
Pr. Barikiwa sana na Mungu akupe haja ya moyo wako. Mwanangu Grace alianza kusumbuliwa na usingizi mzito wakati wa masomo. Kwasasa Yuko chuo lakini hiyo Hali inamfanya anatamani kuacha chuo aendelee mwaka ujao. Ni tangu dalasa la 5 hadi sasa
@MeryKiangi-rp2zgАй бұрын
Mungu na akubariki pr mbaga kwa masomo haya
@user-kf9wh9jj6z2 ай бұрын
Pastor nimebarikiwa sana mungu aendelee kututia nguvu
@MeryKiangi-rp2zgАй бұрын
Kumbe tunda la roho ni la muhimu sana katika maisha ya ukristo ohh yes tusaidie
@YonaMshimi26 күн бұрын
Amen
@rechaelnjeri32992 ай бұрын
Am really blessed to learn
@NtaweAndre-lv9sb2 ай бұрын
Asante Mungu kwa majibu sahihi kupitia mtumishi wako
@lucykihara46382 ай бұрын
Amina Mtumish.Being blessd nikiwa Nbi
@PhinaNGMАй бұрын
Kwa kweli nimepata kitu kupitia hili somo, Mungu anibariki Tu nitoke katika jaribu hili nililoingia mwenyewe Kwa ujinga wangu na sasa nimekuwa mateka Ila NEEMA ya Mungu itaniokoa.
@user-ou4un3gs9d2 ай бұрын
Amina nimelielewa somo Mungu aendelee kuku bariki mchungaji
@user-kf3pq5ur1s2 ай бұрын
AMINA ASANTE SANA MTUMISHI KWA NENO HAKIKA UJUMBE MZURI UMENIFUNGUA KTK MAJARIBU.
@DismasPaulo2 ай бұрын
Nasema amein ktk Bwana
@HildaOlomi2 ай бұрын
Nimekuelewa sana Paster, Hakika tunabarikiwa sana.
@christinamafuru47842 ай бұрын
Mungu akubariki pamoja na familia yako, masomo yako yamekuwa faraja kwangu yamekuwa yakinibariki sana naomba uniombee nipate mtoto,
@YuniceLameck2 ай бұрын
Kwakweli pr, nabalikiwa sana na mahubiri yako yananipa faraja barikiwa sana
@mwambakibucheche11192 ай бұрын
Nimebarikiwa sana Mungu akubariki sana
@SalahChoya2 ай бұрын
Asanteni
@jamesndanzi2 ай бұрын
kutoka Dododma...nimekuelewa vizuri mchungaji . barikiwa sana.
@MariamBusele2 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji nawoote wamahubiri tv MUNGU awabariki 🙏🙏
@alonmusse47292 ай бұрын
Nabarikiwa sana.lakini naomba mchungaji niombee naumwa madonda ya tumbo yananisumbua sanaa
@AngelineSaidi24 күн бұрын
Nimekuelewa
@ndetitave4662 ай бұрын
Amina nimekuelewa mungu akubaliki Leo ndo nimeelewa
@MichaelKaingu-pf3vn2 ай бұрын
Hapo umesema pr nmekuelewa sio kutolewa ni kuinuliwa be blessed pr
@tsongonadine3862 ай бұрын
Amena
@user-jn8th1tw8h2 ай бұрын
Pr nashukuru kwa somo nimebarikiwa sana naomba uniombee biashara. yangu niliweka wakfu sasa inazidi kupotea naitwa haward muyinga njombe
@roydzilah73292 ай бұрын
Amen amen
@user-ps7fy2oj7i2 ай бұрын
Mchùngaji Mungu akubariki sans tunabarikiwa kuroka Burundi tunabalikiwa sana
@ElizabethMasambe2 ай бұрын
Nikumbuke kwenye maombi ninasumbuliwa na miguu pia nashukuru SoMo hili Lina nibariki asante mchungaji Kwa SoMo zuri
@ElizabethMasambe
2 ай бұрын
Nimeomba Kwa ajili ya kuponywa miguu nimeamini nimeponywa Kwa jina la Bwana Amina😅
@user-wg2gd2nl6c2 ай бұрын
Nimeelewa. Vizuri barikiwa sana
@GideonSulle2 ай бұрын
Nabarikiwa pr nipo ngorongoro
@onditifam.11882 ай бұрын
Amen!!!🙏
@mbelemmunga-ps4df2 ай бұрын
Mungu akubariki.
@ahaziamtemela-ys5et2 ай бұрын
Amina mungu akubariki
@user-of9kh1dg5nАй бұрын
Songa mbele pr
@DotiFwihiro2 ай бұрын
Barikiwa Mtumishi,mafunzo yako yamenikuza sana kiroho
@catherinendaro46702 ай бұрын
Ñi kweli kabisa barikiwa.
@rigobertciza53902 ай бұрын
Ameeen
@user-fg4ro8ts2o2 ай бұрын
Nashukulu mahubili mimi niko zambia naomba ya mbaga kunawagonjwa
@rechaelnjeri32992 ай бұрын
Mungu nimwaminifu kila wakati nashukuru maana amenitedea kazini maishani kifamilia nashukuru Mungu sanaa amenitedea pia anaweza kutedea pia
@RoseMshana-mn9zm
2 ай бұрын
Asante kwa somo ambalo linanipa amani moyoni
@EllenKihandaАй бұрын
nimekuelewa
@user-qw1wp7vc5i2 ай бұрын
Pr . Mimi ni Eunice from Kenya naomba uniombe nimevamiwa na nguvu za Giza mtoto wangu aliingia Kwa luminati naimetuanga for so long pr. naomba uniombe Kwa uchumi yangu imevamiwa ikiendatu kusimama kuna matukio inatokea na biashara inarudi from zero niombe MTU wa mungu nimekutafuta sana
@AmosPatrick-ng6nq2 ай бұрын
Amina
@mussacharles53112 ай бұрын
Pr divd mmbaga, nisaidie mimi sitaki kuaguliwa ila mama angu analazimisha niaguliwe na wa ganga wa kienyeji.
Пікірлер: 160
HII NAMBA NI KWAAJILI YA MAOMBI NA SHUHUDA +255755932283
@Daud48
2 ай бұрын
Namba ya kuongea na pasta ni ipi maana Kuna mtu anahitaji kuongea na pasta kwa msaaada tusaidie no
@PendoOscar
2 ай бұрын
Mm ninasumbuliwa na mawazo mabaya pamoja na fikra lakin mumgu ni mwema naendelea kupambana kwa maombi naitaji na nguvu zawengine ili nisonge mbole
@beatricemageka0708
2 ай бұрын
Bwana ni mwema,naomi mkumbuke mamangu Abigail ambaya afya yake imedhoofika vibaya kwa ugonjwa ambao haupo. Ikiwa kuna nguvu za giza zinachangia,zishindwe nakuharibiwa kwa jina la Yesu na mum aweze kurudi kumtumikia Mungu kwa choir. Naamini Mungu wetu ni mkuu amemponya. Amina
@BeatriceKingeli
2 ай бұрын
Kupitia maombi ya pastor mmbaga mum ametembea hivyo ameongeswa siku kama Ezekia Amen
@user-gw9cs8km3o
2 ай бұрын
Amen
Nakuomba afya njema na maisha marefu. God bless you Pastor Mmbaga
Namshukuru Mungu sana katika maisha yangu, mtoto wangu wa mwisho amebatizwa yupo fomu six alikuwa anakusikiliza mafunzo haya unayoyatoa mara kwa mara, Mungu akusaidie sana
Asante mchungaji kwa neno, Mungu azidi kukupa hekima ya neno.
I now have a better understanding of that verse in John 15. Thank you pr., May God keep you humble always before Him
❤❤somo la leo ni kwa ajili yangu kweliiii.sitokuwa mateka tena popote .barikiwa sana.
Mungu hakubariki mtumishi. Nimebarikiwa Na mafundisho yako👏
Asante Mchungaji kwa neno.Nimebarikiwa sana.Najisikia furaha moyoni.Naendelea kusambaza neno la Mungu kwa familia yangu ili nao wakombolewe kiroho na kifikra.Hakika Mungu ni kila kitu kwa maisha na uzima wetu.Mungu akubariki uendelee kutufunulia maono ya Kristo .
Asante Sana kwamafundisho mazuri mungu akubariki Sana ,
Pr Mungu akubariki sana, kweli fungu hilo leo ndo nimelielewa nilidhani ninatupwa kumbe ninanyanyuliwa
Pr ninashukuru sana kwa hubiri lako, kimenipa tumaini jipya, Mungu akubariki sana.
Mungu wangu nisadie nizdi kukujua katika maisha yangu na uniondolee kila mawazo mabaya🎉
Mungu azidi kukutumia shambani mwake! Tunabarikiwa sana na mafundisho haya!
Amina mtumishi kweli nimeona mkono wa Bwana tangu nilipoanza kufuatilia mafunzo yako imani yangu imeimalika sifa zimrudie Abba wetu mbinguni, ninaamini atanivusha katika kiwango kingine maishani sifa na utukufu zimrudie yeye. Barikiwa sana mtumishi pamoja na familia yako. Nakufuatilia kutoka qatar.
Amen amen barikiwa Sana mchungaji Kwa Maelezo Mazuri nmeolewa maana y lifting and moving kutokakwa kitabu cha Yohana 4 5 6,May God bless you 🙌🙌🙏🙏🙏🙏
God bless you pastor with camera man for posting videos every time and make us to follow you guys 👏🏻👏🏻👏🏻🙏
Shule kweli Asante mtumishi wa Mungu
Amina mtumishi ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana mtumishi.nimekuelews.
Pr. Mungu akubariki sana pamoja na Familia yako. Akulinde uingiapo na utokapo, fadhili zake ziambatane nawe, akupe neema katika dunia hii na maisha ya baadae.katika Jina la Yesu kristo amen amen.
Pr. ubarikiewe sana kwa somo zuri. by zephania muyinga
Mchungaji Asante sana Kwa ujumbe mzuri umenigusa kabisa na nimepona
Aminaa, amazing for the message
Amen mch ,ila mch mi ninamatatizo kwenye ndoa angv
God bless you so much infact thro you now am anew creature in christ
Bwana endelea kuniinua niweze kuzaa tunda la kiroho🙏🏼
Mungu akubariki sana
Ninatamani kukaandani yake bwana hili ninuliwe ,nitengenezwe kwa utukufu wake . Pastor pray for me and family
@IsayaManasd
2 ай бұрын
Usikate tamaa wakati ukifika mungu atakutumia
Barikiea e mchungaji🙏🏿🙏🏿
Mie ni miongoni mwa watu ambao nilikuwa nalielewa tofauti hilo fungu ila leo nmelielewa MUNGU azidi kukubariki Pr. Mmbaga
Nazid kukua kiimani ,mungu azid kukufungulia mafundish tofaut 🙏🙏
Amen hallelujah
Nabarikiwa sana
Ubarikiwe sana mchungaji
God bless you so much pastor ,we are learning everyday ,I have grown so much I only thank God .
Tuombe mungu sana atuwezeshe hatuwezi peke yetu
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa neno hili nimelielewa na nimejifunza mengi
Barikiwa
Amen Amen I'm blessed watching from middle East,
Havache mtani wakwa Mungu akubariki sana.Unatuinjilisha vizuri sana Ni lazima tumepokea Yesu na kumcha na kumjua sana Yesu na kulishika neno lake moyoni.
Waiting let the holy spirit help us to understand
Amène pasta asante kwamafundisho
Asante sana mchungaji
Amen ubarikiwe Mtumishi kwa somo vizuri 🙏🙏
Amen, amen, amen mubarikiwe Sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nimebarikiwa sn na ilisomo ubarikiwa sn pastor
Pr. Barikiwa sana na Mungu akupe haja ya moyo wako. Mwanangu Grace alianza kusumbuliwa na usingizi mzito wakati wa masomo. Kwasasa Yuko chuo lakini hiyo Hali inamfanya anatamani kuacha chuo aendelee mwaka ujao. Ni tangu dalasa la 5 hadi sasa
Mungu na akubariki pr mbaga kwa masomo haya
Pastor nimebarikiwa sana mungu aendelee kututia nguvu
Kumbe tunda la roho ni la muhimu sana katika maisha ya ukristo ohh yes tusaidie
Amen
Am really blessed to learn
Asante Mungu kwa majibu sahihi kupitia mtumishi wako
Amina Mtumish.Being blessd nikiwa Nbi
Kwa kweli nimepata kitu kupitia hili somo, Mungu anibariki Tu nitoke katika jaribu hili nililoingia mwenyewe Kwa ujinga wangu na sasa nimekuwa mateka Ila NEEMA ya Mungu itaniokoa.
Amina nimelielewa somo Mungu aendelee kuku bariki mchungaji
AMINA ASANTE SANA MTUMISHI KWA NENO HAKIKA UJUMBE MZURI UMENIFUNGUA KTK MAJARIBU.
Nasema amein ktk Bwana
Nimekuelewa sana Paster, Hakika tunabarikiwa sana.
Mungu akubariki pamoja na familia yako, masomo yako yamekuwa faraja kwangu yamekuwa yakinibariki sana naomba uniombee nipate mtoto,
Kwakweli pr, nabalikiwa sana na mahubiri yako yananipa faraja barikiwa sana
Nimebarikiwa sana Mungu akubariki sana
Asanteni
kutoka Dododma...nimekuelewa vizuri mchungaji . barikiwa sana.
Ubarikiwe sana mchungaji nawoote wamahubiri tv MUNGU awabariki 🙏🙏
Nabarikiwa sana.lakini naomba mchungaji niombee naumwa madonda ya tumbo yananisumbua sanaa
Nimekuelewa
Amina nimekuelewa mungu akubaliki Leo ndo nimeelewa
Hapo umesema pr nmekuelewa sio kutolewa ni kuinuliwa be blessed pr
Amena
Pr nashukuru kwa somo nimebarikiwa sana naomba uniombee biashara. yangu niliweka wakfu sasa inazidi kupotea naitwa haward muyinga njombe
Amen amen
Mchùngaji Mungu akubariki sans tunabarikiwa kuroka Burundi tunabalikiwa sana
Nikumbuke kwenye maombi ninasumbuliwa na miguu pia nashukuru SoMo hili Lina nibariki asante mchungaji Kwa SoMo zuri
@ElizabethMasambe
2 ай бұрын
Nimeomba Kwa ajili ya kuponywa miguu nimeamini nimeponywa Kwa jina la Bwana Amina😅
Nimeelewa. Vizuri barikiwa sana
Nabarikiwa pr nipo ngorongoro
Amen!!!🙏
Mungu akubariki.
Amina mungu akubariki
Songa mbele pr
Barikiwa Mtumishi,mafunzo yako yamenikuza sana kiroho
Ñi kweli kabisa barikiwa.
Ameeen
Nashukulu mahubili mimi niko zambia naomba ya mbaga kunawagonjwa
Mungu nimwaminifu kila wakati nashukuru maana amenitedea kazini maishani kifamilia nashukuru Mungu sanaa amenitedea pia anaweza kutedea pia
@RoseMshana-mn9zm
2 ай бұрын
Asante kwa somo ambalo linanipa amani moyoni
nimekuelewa
Pr . Mimi ni Eunice from Kenya naomba uniombe nimevamiwa na nguvu za Giza mtoto wangu aliingia Kwa luminati naimetuanga for so long pr. naomba uniombe Kwa uchumi yangu imevamiwa ikiendatu kusimama kuna matukio inatokea na biashara inarudi from zero niombe MTU wa mungu nimekutafuta sana
Amina
Pr divd mmbaga, nisaidie mimi sitaki kuaguliwa ila mama angu analazimisha niaguliwe na wa ganga wa kienyeji.
AMEN INISAIDIE LEO
Nakuelewa sana TU, Bwana akurehemu tutaendelea kunywa maziwa taratibu tutashiba TU.
🤔uimidiwe bwana wa majeshi 🙏🙏 nashukuru saana mtumishi wa mungu 👋
Nimebarikiwa🙏🏾
Nimeelewa ubarikiwe muchungaji
Nimekuelewa Pr wakulima wakiona pia limelalia mchanga analiinua na kuweka mti uegemee ili lipate nafasi ya kuzaa
Ameen
Mimi ndio nnapambana nahasira niombee yesu anitoe kwenye huo uchafu
Bwana atusaidie tuweze kuzaa matunda
Mungu akubariki Pastor, nipo Canada
Amina Amina Amina Amina