KANUNI HII ITAKULINDA KILA UENDAPO - PR DAVID MMBAGA

Пікірлер: 160

  • @MahubiriPrMmbaga
    @MahubiriPrMmbaga2 ай бұрын

    HII NAMBA NI KWAAJILI YA MAOMBI NA SHUHUDA +255755932283

  • @Daud48

    @Daud48

    2 ай бұрын

    Namba ya kuongea na pasta ni ipi maana Kuna mtu anahitaji kuongea na pasta kwa msaaada tusaidie no

  • @PendoOscar

    @PendoOscar

    2 ай бұрын

    Mm ninasumbuliwa na mawazo mabaya pamoja na fikra lakin mumgu ni mwema naendelea kupambana kwa maombi naitaji na nguvu zawengine ili nisonge mbole

  • @beatricemageka0708

    @beatricemageka0708

    2 ай бұрын

    Bwana ni mwema,naomi mkumbuke mamangu Abigail ambaya afya yake imedhoofika vibaya kwa ugonjwa ambao haupo. Ikiwa kuna nguvu za giza zinachangia,zishindwe nakuharibiwa kwa jina la Yesu na mum aweze kurudi kumtumikia Mungu kwa choir. Naamini Mungu wetu ni mkuu amemponya. Amina

  • @BeatriceKingeli

    @BeatriceKingeli

    2 ай бұрын

    Kupitia maombi ya pastor mmbaga mum ametembea hivyo ameongeswa siku kama Ezekia Amen

  • @user-gw9cs8km3o

    @user-gw9cs8km3o

    2 ай бұрын

    Amen

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635Ай бұрын

    Nakuomba afya njema na maisha marefu. God bless you Pastor Mmbaga

  • @feadamagessa889
    @feadamagessa8892 ай бұрын

    Namshukuru Mungu sana katika maisha yangu, mtoto wangu wa mwisho amebatizwa yupo fomu six alikuwa anakusikiliza mafunzo haya unayoyatoa mara kwa mara, Mungu akusaidie sana

  • @judithonsomu4472
    @judithonsomu4472Ай бұрын

    Asante mchungaji kwa neno, Mungu azidi kukupa hekima ya neno.

  • @zachariahonga
    @zachariahonga2 ай бұрын

    I now have a better understanding of that verse in John 15. Thank you pr., May God keep you humble always before Him

  • @leonidasbzzojoyhatung3118
    @leonidasbzzojoyhatung31182 ай бұрын

    ❤❤somo la leo ni kwa ajili yangu kweliiii.sitokuwa mateka tena popote .barikiwa sana.

  • @leontinebinlydi9459
    @leontinebinlydi94592 ай бұрын

    Mungu hakubariki mtumishi. Nimebarikiwa Na mafundisho yako👏

  • @anchillakagombola93
    @anchillakagombola93Ай бұрын

    Asante Mchungaji kwa neno.Nimebarikiwa sana.Najisikia furaha moyoni.Naendelea kusambaza neno la Mungu kwa familia yangu ili nao wakombolewe kiroho na kifikra.Hakika Mungu ni kila kitu kwa maisha na uzima wetu.Mungu akubariki uendelee kutufunulia maono ya Kristo .

  • @AnnaMwailenge-hy3xg
    @AnnaMwailenge-hy3xg2 ай бұрын

    Asante Sana kwamafundisho mazuri mungu akubariki Sana ,

  • @user-jw2er4tt1r
    @user-jw2er4tt1r2 ай бұрын

    Pr Mungu akubariki sana, kweli fungu hilo leo ndo nimelielewa nilidhani ninatupwa kumbe ninanyanyuliwa

  • @JosephMpangala-wd5mp
    @JosephMpangala-wd5mp2 ай бұрын

    Pr ninashukuru sana kwa hubiri lako, kimenipa tumaini jipya, Mungu akubariki sana.

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena22622 ай бұрын

    Mungu wangu nisadie nizdi kukujua katika maisha yangu na uniondolee kila mawazo mabaya🎉

  • @paulmmbaga6238
    @paulmmbaga6238Ай бұрын

    Mungu azidi kukutumia shambani mwake! Tunabarikiwa sana na mafundisho haya!

  • @user-zs4mb1oe9k
    @user-zs4mb1oe9k2 ай бұрын

    Amina mtumishi kweli nimeona mkono wa Bwana tangu nilipoanza kufuatilia mafunzo yako imani yangu imeimalika sifa zimrudie Abba wetu mbinguni, ninaamini atanivusha katika kiwango kingine maishani sifa na utukufu zimrudie yeye. Barikiwa sana mtumishi pamoja na familia yako. Nakufuatilia kutoka qatar.

  • @marynasyieki3783
    @marynasyieki37832 ай бұрын

    Amen amen barikiwa Sana mchungaji Kwa Maelezo Mazuri nmeolewa maana y lifting and moving kutokakwa kitabu cha Yohana 4 5 6,May God bless you 🙌🙌🙏🙏🙏🙏

  • @rhinakiza
    @rhinakiza2 ай бұрын

    God bless you pastor with camera man for posting videos every time and make us to follow you guys 👏🏻👏🏻👏🏻🙏

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli2 ай бұрын

    Shule kweli Asante mtumishi wa Mungu

  • @omankadara6418
    @omankadara64182 ай бұрын

    Amina mtumishi ubarikiwe sana

  • @danielmwakatumaakimu1050
    @danielmwakatumaakimu10502 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi.nimekuelews.

  • @christinamdingi8373
    @christinamdingi83732 ай бұрын

    Pr. Mungu akubariki sana pamoja na Familia yako. Akulinde uingiapo na utokapo, fadhili zake ziambatane nawe, akupe neema katika dunia hii na maisha ya baadae.katika Jina la Yesu kristo amen amen.

  • @user-be5zz3qg9q
    @user-be5zz3qg9qАй бұрын

    Pr. ubarikiewe sana kwa somo zuri. by zephania muyinga

  • @IbrahimNyanghura
    @IbrahimNyanghuraАй бұрын

    Mchungaji Asante sana Kwa ujumbe mzuri umenigusa kabisa na nimepona

  • @marymokaya2020
    @marymokaya2020Ай бұрын

    Aminaa, amazing for the message

  • @MamaSamu-ro8zj
    @MamaSamu-ro8zj2 ай бұрын

    Amen mch ,ila mch mi ninamatatizo kwenye ndoa angv

  • @everlynekaringa3790
    @everlynekaringa3790Ай бұрын

    God bless you so much infact thro you now am anew creature in christ

  • @raheljose9524
    @raheljose95242 ай бұрын

    Bwana endelea kuniinua niweze kuzaa tunda la kiroho🙏🏼

  • @TinahItinde
    @TinahItindeАй бұрын

    Mungu akubariki sana

  • @geophylinekerubo8452
    @geophylinekerubo84522 ай бұрын

    Ninatamani kukaandani yake bwana hili ninuliwe ,nitengenezwe kwa utukufu wake . Pastor pray for me and family

  • @IsayaManasd

    @IsayaManasd

    2 ай бұрын

    Usikate tamaa wakati ukifika mungu atakutumia

  • @EllenKihanda
    @EllenKihandaАй бұрын

    Barikiea e mchungaji🙏🏿🙏🏿

  • @ombenijuma4986
    @ombenijuma49862 ай бұрын

    Mie ni miongoni mwa watu ambao nilikuwa nalielewa tofauti hilo fungu ila leo nmelielewa MUNGU azidi kukubariki Pr. Mmbaga

  • @chugawestnews2002
    @chugawestnews200226 күн бұрын

    Nazid kukua kiimani ,mungu azid kukufungulia mafundish tofaut 🙏🙏

  • @eunicenyandiko1389
    @eunicenyandiko1389Ай бұрын

    Amen hallelujah

  • @EllenKihanda
    @EllenKihandaАй бұрын

    Nabarikiwa sana

  • @HabyGeorge
    @HabyGeorgeАй бұрын

    Ubarikiwe sana mchungaji

  • @rodahadhiambo3637
    @rodahadhiambo36372 ай бұрын

    God bless you so much pastor ,we are learning everyday ,I have grown so much I only thank God .

  • @MeryKiangi-rp2zg
    @MeryKiangi-rp2zgАй бұрын

    Tuombe mungu sana atuwezeshe hatuwezi peke yetu

  • @beatricenyiro5913
    @beatricenyiro59132 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa neno hili nimelielewa na nimejifunza mengi

  • @veronicawilsonmbwambo1054
    @veronicawilsonmbwambo1054Ай бұрын

    Barikiwa

  • @deborahtengan207
    @deborahtengan2072 ай бұрын

    Amen Amen I'm blessed watching from middle East,

  • @franciscamoshi7671
    @franciscamoshi76712 ай бұрын

    Havache mtani wakwa Mungu akubariki sana.Unatuinjilisha vizuri sana Ni lazima tumepokea Yesu na kumcha na kumjua sana Yesu na kulishika neno lake moyoni.

  • @user-nd3rd3xo7x
    @user-nd3rd3xo7x2 ай бұрын

    Waiting let the holy spirit help us to understand

  • @user-tg9zb6jp8z
    @user-tg9zb6jp8zАй бұрын

    Amène pasta asante kwamafundisho

  • @HabyGeorge
    @HabyGeorgeАй бұрын

    Asante sana mchungaji

  • @mlishohadija6923
    @mlishohadija69232 ай бұрын

    Amen ubarikiwe Mtumishi kwa somo vizuri 🙏🙏

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline27512 ай бұрын

    Amen, amen, amen mubarikiwe Sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740Ай бұрын

    Nimebarikiwa sn na ilisomo ubarikiwa sn pastor

  • @user-cl7yl2in7e
    @user-cl7yl2in7e2 ай бұрын

    Pr. Barikiwa sana na Mungu akupe haja ya moyo wako. Mwanangu Grace alianza kusumbuliwa na usingizi mzito wakati wa masomo. Kwasasa Yuko chuo lakini hiyo Hali inamfanya anatamani kuacha chuo aendelee mwaka ujao. Ni tangu dalasa la 5 hadi sasa

  • @MeryKiangi-rp2zg
    @MeryKiangi-rp2zgАй бұрын

    Mungu na akubariki pr mbaga kwa masomo haya

  • @user-kf9wh9jj6z
    @user-kf9wh9jj6z2 ай бұрын

    Pastor nimebarikiwa sana mungu aendelee kututia nguvu

  • @MeryKiangi-rp2zg
    @MeryKiangi-rp2zgАй бұрын

    Kumbe tunda la roho ni la muhimu sana katika maisha ya ukristo ohh yes tusaidie

  • @YonaMshimi
    @YonaMshimi26 күн бұрын

    Amen

  • @rechaelnjeri3299
    @rechaelnjeri32992 ай бұрын

    Am really blessed to learn

  • @NtaweAndre-lv9sb
    @NtaweAndre-lv9sb2 ай бұрын

    Asante Mungu kwa majibu sahihi kupitia mtumishi wako

  • @lucykihara4638
    @lucykihara46382 ай бұрын

    Amina Mtumish.Being blessd nikiwa Nbi

  • @PhinaNGM
    @PhinaNGMАй бұрын

    Kwa kweli nimepata kitu kupitia hili somo, Mungu anibariki Tu nitoke katika jaribu hili nililoingia mwenyewe Kwa ujinga wangu na sasa nimekuwa mateka Ila NEEMA ya Mungu itaniokoa.

  • @user-ou4un3gs9d
    @user-ou4un3gs9d2 ай бұрын

    Amina nimelielewa somo Mungu aendelee kuku bariki mchungaji

  • @user-kf3pq5ur1s
    @user-kf3pq5ur1s2 ай бұрын

    AMINA ASANTE SANA MTUMISHI KWA NENO HAKIKA UJUMBE MZURI UMENIFUNGUA KTK MAJARIBU.

  • @DismasPaulo
    @DismasPaulo2 ай бұрын

    Nasema amein ktk Bwana

  • @HildaOlomi
    @HildaOlomi2 ай бұрын

    Nimekuelewa sana Paster, Hakika tunabarikiwa sana.

  • @christinamafuru4784
    @christinamafuru47842 ай бұрын

    Mungu akubariki pamoja na familia yako, masomo yako yamekuwa faraja kwangu yamekuwa yakinibariki sana naomba uniombee nipate mtoto,

  • @YuniceLameck
    @YuniceLameck2 ай бұрын

    Kwakweli pr, nabalikiwa sana na mahubiri yako yananipa faraja barikiwa sana

  • @mwambakibucheche1119
    @mwambakibucheche11192 ай бұрын

    Nimebarikiwa sana Mungu akubariki sana

  • @SalahChoya
    @SalahChoya2 ай бұрын

    Asanteni

  • @jamesndanzi
    @jamesndanzi2 ай бұрын

    kutoka Dododma...nimekuelewa vizuri mchungaji . barikiwa sana.

  • @MariamBusele
    @MariamBusele2 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mchungaji nawoote wamahubiri tv MUNGU awabariki 🙏🙏

  • @alonmusse4729
    @alonmusse47292 ай бұрын

    Nabarikiwa sana.lakini naomba mchungaji niombee naumwa madonda ya tumbo yananisumbua sanaa

  • @AngelineSaidi
    @AngelineSaidi24 күн бұрын

    Nimekuelewa

  • @ndetitave466
    @ndetitave4662 ай бұрын

    Amina nimekuelewa mungu akubaliki Leo ndo nimeelewa

  • @MichaelKaingu-pf3vn
    @MichaelKaingu-pf3vn2 ай бұрын

    Hapo umesema pr nmekuelewa sio kutolewa ni kuinuliwa be blessed pr

  • @tsongonadine386
    @tsongonadine3862 ай бұрын

    Amena

  • @user-jn8th1tw8h
    @user-jn8th1tw8h2 ай бұрын

    Pr nashukuru kwa somo nimebarikiwa sana naomba uniombee biashara. yangu niliweka wakfu sasa inazidi kupotea naitwa haward muyinga njombe

  • @roydzilah7329
    @roydzilah73292 ай бұрын

    Amen amen

  • @user-ps7fy2oj7i
    @user-ps7fy2oj7i2 ай бұрын

    Mchùngaji Mungu akubariki sans tunabarikiwa kuroka Burundi tunabalikiwa sana

  • @ElizabethMasambe
    @ElizabethMasambe2 ай бұрын

    Nikumbuke kwenye maombi ninasumbuliwa na miguu pia nashukuru SoMo hili Lina nibariki asante mchungaji Kwa SoMo zuri

  • @ElizabethMasambe

    @ElizabethMasambe

    2 ай бұрын

    Nimeomba Kwa ajili ya kuponywa miguu nimeamini nimeponywa Kwa jina la Bwana Amina😅

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c2 ай бұрын

    Nimeelewa. Vizuri barikiwa sana

  • @GideonSulle
    @GideonSulle2 ай бұрын

    Nabarikiwa pr nipo ngorongoro

  • @onditifam.1188
    @onditifam.11882 ай бұрын

    Amen!!!🙏

  • @mbelemmunga-ps4df
    @mbelemmunga-ps4df2 ай бұрын

    Mungu akubariki.

  • @ahaziamtemela-ys5et
    @ahaziamtemela-ys5et2 ай бұрын

    Amina mungu akubariki

  • @user-of9kh1dg5n
    @user-of9kh1dg5nАй бұрын

    Songa mbele pr

  • @DotiFwihiro
    @DotiFwihiro2 ай бұрын

    Barikiwa Mtumishi,mafunzo yako yamenikuza sana kiroho

  • @catherinendaro4670
    @catherinendaro46702 ай бұрын

    Ñi kweli kabisa barikiwa.

  • @rigobertciza5390
    @rigobertciza53902 ай бұрын

    Ameeen

  • @user-fg4ro8ts2o
    @user-fg4ro8ts2o2 ай бұрын

    Nashukulu mahubili mimi niko zambia naomba ya mbaga kunawagonjwa

  • @rechaelnjeri3299
    @rechaelnjeri32992 ай бұрын

    Mungu nimwaminifu kila wakati nashukuru maana amenitedea kazini maishani kifamilia nashukuru Mungu sanaa amenitedea pia anaweza kutedea pia

  • @RoseMshana-mn9zm

    @RoseMshana-mn9zm

    2 ай бұрын

    Asante kwa somo ambalo linanipa amani moyoni

  • @EllenKihanda
    @EllenKihandaАй бұрын

    nimekuelewa

  • @user-qw1wp7vc5i
    @user-qw1wp7vc5i2 ай бұрын

    Pr . Mimi ni Eunice from Kenya naomba uniombe nimevamiwa na nguvu za Giza mtoto wangu aliingia Kwa luminati naimetuanga for so long pr. naomba uniombe Kwa uchumi yangu imevamiwa ikiendatu kusimama kuna matukio inatokea na biashara inarudi from zero niombe MTU wa mungu nimekutafuta sana

  • @AmosPatrick-ng6nq
    @AmosPatrick-ng6nq2 ай бұрын

    Amina

  • @mussacharles5311
    @mussacharles53112 ай бұрын

    Pr divd mmbaga, nisaidie mimi sitaki kuaguliwa ila mama angu analazimisha niaguliwe na wa ganga wa kienyeji.

  • @RahimaShujaa
    @RahimaShujaa2 ай бұрын

    AMEN INISAIDIE LEO

  • @stevensamwel4854
    @stevensamwel48542 ай бұрын

    Nakuelewa sana TU, Bwana akurehemu tutaendelea kunywa maziwa taratibu tutashiba TU.

  • @user-ep9by3ui1v
    @user-ep9by3ui1v2 ай бұрын

    🤔uimidiwe bwana wa majeshi 🙏🙏 nashukuru saana mtumishi wa mungu 👋

  • @tatuzuberi2233
    @tatuzuberi22332 ай бұрын

    Nimebarikiwa🙏🏾

  • @rizikimakupe-tw2sj
    @rizikimakupe-tw2sj2 ай бұрын

    Nimeelewa ubarikiwe muchungaji

  • @angelnziajose7655
    @angelnziajose765512 күн бұрын

    Nimekuelewa Pr wakulima wakiona pia limelalia mchanga analiinua na kuweka mti uegemee ili lipate nafasi ya kuzaa

  • @user-uj4rg1xo1h
    @user-uj4rg1xo1h2 ай бұрын

    Ameen

  • @MariamBusele
    @MariamBusele2 ай бұрын

    Mimi ndio nnapambana nahasira niombee yesu anitoe kwenye huo uchafu

  • @MeryKiangi-rp2zg
    @MeryKiangi-rp2zgАй бұрын

    Bwana atusaidie tuweze kuzaa matunda

  • @joynaiponaipasoi1335
    @joynaiponaipasoi13352 ай бұрын

    Mungu akubariki Pastor, nipo Canada

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa48162 ай бұрын

    Amina Amina Amina Amina

Келесі