KANISA LA UONGO, Mch Mmbaga,

Utawezaje kutambua kanisa la kweli kati ya makanisa mengi ambayo kila moja hudai ni la kweli?

Пікірлер: 148

  • @joycemugaka3039
    @joycemugaka30392 ай бұрын

    Mungu aKubariki muchungaji baada ya kusikiliza somo hili nimejifunza jambo jipya kirohomm ni mkenya na kufuatilia kutoka qatar neno la Mungu ni taa na kiongozi kwa maisha yangu

  • @mossesjoseph2202
    @mossesjoseph22023 жыл бұрын

    Kwa uwezo wa Roho Mtakatifu leo hii nimejifunza na kuelewa mambo mengi magumu kupitia mafundisho yako, hakika wewe ni mtumishi wa Mungu aliye hai.

  • @robinedson
    @robinedson6 жыл бұрын

    Wakati Fulani nikiwa katika mafunzo ya Kijeshi katika chuo cha Mafunzo ya Kijeshi katika Mkoa mmoja hapa Tanzania tulikua tukikusanyika wakati wa jioni kujifunza neno la Mungu pamoja na kutiana Moyo ili tuzidi kua wavumilivu wa kiroho na kimwili....nilikua na redio yangu ndogo ambayo Nlikua naweka memory card ambayo nilikua nimejaza mafundisho ya Roho na Unabii....wanafunzi wenzangu walikua wakisikia mahubiri haya walikua wakinisihi tujifunze zaidi kuelewa maana ya Unabii.....hakika Nlikua najiona mwenye furaha kwa sababu ya kueneza injili katika maeneo magumu kama pale tulipokua.... Changamoto kubwa tuliyokutana nayo ilikua ni kuzuiwa kufanya ibada siku ya Sabato pmj na kukutana kila siku jioni....mkuu wa mafunzo alitufata akatuonya huku tukiitwa watu wenye machafuko ya kidini....wachache walisimama na kukubali kuendelea kueneza neno...tulizidi kukutana chini ya miti tukilisifu neno la Mungu....wakati mwingine tulikua tukienda kwenye makanisa ya kipentekosti tukilihubiri neno kupitia nyimbo..... Namshukuru Mungu tulifanikiwa kumaliza mafunzo Salama..... Asante sana Mchungaji Mmbaga kwa mafundisho yako.... Amina

  • @lusanikaseke4117

    @lusanikaseke4117

    2 жыл бұрын

    Mungu anaweza yote hakika

  • @jeikary8767

    @jeikary8767

    3 ай бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @philipomasatu-lr9hf
    @philipomasatu-lr9hf26 күн бұрын

    mungu aendelee kukutumia tuzidi kubarikiwa

  • @moseskayan3705
    @moseskayan37056 жыл бұрын

    Hakika si wewe unaefundisha Bali mungu aliye ndani yako

  • @AminaMwachise
    @AminaMwachise12 күн бұрын

    Barikiwa pastor

  • @mwakasamuelnyiro6559
    @mwakasamuelnyiro65595 жыл бұрын

    Amina na Asante sana Mtumishi wa Mungu kwa haya MAFUNZO uliyotumwa na MUNGU kunena nami. Nimeguswa sana na nimebarikiwa.Nimefunzika na kuonyeka sana. Ni ombi langu,NEEMA YA MUNGU INITOSHE

  • @evaanthony8106
    @evaanthony81066 жыл бұрын

    Pastor Mmbaga karibu sana Udom cive kwa mafundisho, maana ulinipa nguvu ya kumtumaini Bwana toka kipindi kile.... ( kuokolewa kwa neema)

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    6 жыл бұрын

    Eva Anthony ubarikiwe sana

  • @barakamtabwigwa1726

    @barakamtabwigwa1726

    3 жыл бұрын

    @@MahubiriPrMmbaga mchungajii naomba namba zako tafadhalii

  • @clarencemushi7602
    @clarencemushi76023 жыл бұрын

    Bwana Yesu akupe nguvu daima cku zote za maisha yako pastor kwa kuwa unatembea na roho mtakatifu kwa uaminivu

  • @user-bq4nk4sg1w
    @user-bq4nk4sg1wАй бұрын

    Amina

  • @hezekiamhapa7395
    @hezekiamhapa73954 жыл бұрын

    Kanisa la kweli la Mwenyezi MUNGU lipo tuyachunguze maandiko !! Asante mchungaji

  • @elimikasauti9tv247
    @elimikasauti9tv2476 жыл бұрын

    very interesting sermon ubarikiwe pastor,, Mungu akuhifadhi umalize jukumu alilokusudia la wewe kuumbwa ktk ulimwengu huu wa Dhambi

  • @maureenjovial6237
    @maureenjovial62374 жыл бұрын

    So powerful amen amen nabarikiwa sana kutoka Saudi Arabia God bless you mchungaji

  • @samueljr9105
    @samueljr91055 жыл бұрын

    Kanisa hizo za kuabudu dhahabu zina wenyewe kina "(DEVI)" MAY GOD OPEN THEIR MIND IN JESUS NAME

  • @estharlovely6202
    @estharlovely62022 жыл бұрын

    Ubarikiwe mchungaji na Mwenzi MUNGU akulinde

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina43965 ай бұрын

    Amen

  • @waryobanyansambo1977
    @waryobanyansambo19774 жыл бұрын

    Mwenyez mungu watie nguvu wale wasio jua wajue walete kwenye njia ya kwel

  • @mikeruwa3598
    @mikeruwa35984 жыл бұрын

    Wewe si pastor wa kawaida....Ur annointed by God

  • @marysteven3543
    @marysteven35432 жыл бұрын

    Mungu akutangulie pasita,unatufundisha mambo mazito 🙏🙏🙏

  • @masungasitta7470
    @masungasitta74706 жыл бұрын

    Pastor mungu akubariki sana kwa mafundisho yako mazur niko kwenye pumziko Jema yaan sabato karibu tufurahie sabato njema

  • @mlebingechamcham9631
    @mlebingechamcham96316 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu maana unanibariki

  • @zacharianziku360
    @zacharianziku3605 жыл бұрын

    Nabarikiwa San juuu ya mafundisho yako naomba umiombee walau na mm niwe km wewe Maan Nina huduma hy mwalim na mch. Mmbaga

  • @ovidiokibuga1086

    @ovidiokibuga1086

    4 жыл бұрын

    Kuwa kama yeye haiwezekani ndg,hata kama utakuwa Mchungaji utafikia Edge yako na yeye PR atafikia kwenye edge yake

  • @dadarehema
    @dadarehema6 жыл бұрын

    Mungu atusaidie somo limeeleweka ipasavyo,Barikiwa mchungaji Mbaga!

  • @augustinokaguotv2245
    @augustinokaguotv22455 жыл бұрын

    wewe kama huamini amri kumi za Mungu kwenu dhambi ni ruksa ufunuo 14:12 hapo ndipo penye subira ya watakatifu washikao amri za Mungu na imani ya yesu Ufunuo 12: 17; joka akamkasirikia mwanamke akaenda zake afanye vita juu ya wazao wake washikao amri za Mungu na ushuhuda wa yesu naye akasimama juu ya mchanga wa bahari wewe shupaza shingo

  • @almabeatrice2082
    @almabeatrice20826 жыл бұрын

    Oh Mungu wangu tuende wapi sisi tuangalie maana kimbilio letu ni wewe. Ubarikiwe sana mchungaji nimeguswa sana ... Eee bwana niangalie na mimi.

  • @alexamos9299

    @alexamos9299

    6 жыл бұрын

    .ubalikiw past umenia nguvu zaimani

  • @magnifiquentkrtmna320
    @magnifiquentkrtmna3205 жыл бұрын

    Asante unanifundisha kbs wametufica sana. Kwanini hawasemi ukweri jmeni

  • @winnieesther1423
    @winnieesther14235 жыл бұрын

    Nimfurai sana mchungaji ni siku yangu ya kwanza kukuskia ila nimebarikiwa,,,watching from Saudi Arabia 2019

  • @mathayofelix3235

    @mathayofelix3235

    4 жыл бұрын

    Winnie Esther barikiwa Sana

  • @barakamtabwigwa1726

    @barakamtabwigwa1726

    3 жыл бұрын

    @@mathayofelix3235 unaweza nipatia namba ya mchungajii mbaga

  • @judithcherono2595
    @judithcherono25956 жыл бұрын

    Asante sana pastor, nimebarikiwa sana Mungu akubariki,Amina

  • @dorcasmkasiti5312
    @dorcasmkasiti53126 жыл бұрын

    AMEN mchungaji ninawafuatilia sana nikiwa hapa Oman, nabarikiwa sana na haya mafundisho songambele mtu wa Mungu

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    6 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana. wasalimie watu wa Oman

  • @dorcasmkasiti5312

    @dorcasmkasiti5312

    6 жыл бұрын

    hapa Oman kinaeleweka lazima falme za warabu ziwe falme za mwanakondoo

  • @denismodest1540

    @denismodest1540

    4 жыл бұрын

    @@dorcasmkasiti5312 piga kazi ya Mungu huko oman

  • @yusuphkishegena596

    @yusuphkishegena596

    4 жыл бұрын

    Amina wasalimie huko oman

  • @barakamtabwigwa1726

    @barakamtabwigwa1726

    3 жыл бұрын

    @@MahubiriPrMmbaga mchungajii naomba namba zako

  • @janetkahada5206
    @janetkahada52064 жыл бұрын

    Amen ubarikiwa muchungaji

  • @arogiusprosper7760
    @arogiusprosper77606 жыл бұрын

    pastor nabarikiwa sana na mahubiri yako Mungu akutie nguvu

  • @deone728
    @deone7286 жыл бұрын

    Barikiwa Sana Pastor

  • @monniekevin9303
    @monniekevin93032 жыл бұрын

    Asante mtumishi nimefahamika zaidi

  • @peterkinysi1843
    @peterkinysi18432 жыл бұрын

    Hayo mafundisho nayaelewa vizuri kuhusu utabiri wa kinabii kuhusu mpinga kristo. Mimi ni muanglikana na history kuhusu makanisa naijua vizuri. Mimi nipo tofauti nkuulize swali, kwa imani yako, je wasio wasabato wataenda motoni, na walio wasabato ndio watakao enda peponi. Matendo yetu ndio yata hukumiwa dhehebu halitupeleki peponi au motoni. Kwhiyo ninyi ndo mpo safi.

  • @lugembezenzele6555

    @lugembezenzele6555

    2 жыл бұрын

    Ushajijibu mwenyewe,kuwa msabato sio ticket ya kwenda mbinguni

  • @miriamquite7665
    @miriamquite76655 жыл бұрын

    Thank you pastor 🙏🙏

  • @agneskatuma3573
    @agneskatuma35735 жыл бұрын

    hongera sana mchungaji uko na hekima sana

  • @gracezunda8804
    @gracezunda88045 жыл бұрын

    Njoo musoma uongoe waliorudi nyuma nawengine pia pastor please please njoo kanisa la pwani

  • @joshuamartin691
    @joshuamartin6916 жыл бұрын

    Amen By Peter Japheth Ngulu

  • @osianamwambisi6467
    @osianamwambisi64675 жыл бұрын

    Kweli kabisa mchungaji! Mi ndo msabato kwa sababu nakubali biblia yote ya ukweli amri kumi za MUNGU na imani ya Yesu kristo

  • @calebumanganyu7278
    @calebumanganyu72786 жыл бұрын

    Nabarikiwa Sana'a na mahubiri haya

  • @MahubiriPrMmbaga
    @MahubiriPrMmbaga6 жыл бұрын

    lilikua linsemaje

  • @magdaelisa1120
    @magdaelisa11203 жыл бұрын

    vipaji tulivyo pewa tuvitumie. Mwenye

  • @JohnJoseph-my2zq
    @JohnJoseph-my2zq6 жыл бұрын

    hongera sana mchungaji

  • @moseskayan3705
    @moseskayan37056 жыл бұрын

    nimelewa safi kabisa umenifanya nimjue jesu mpaka nalia nikiandika coment hii mungu akuongezee ujasiri

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    6 жыл бұрын

    Mungu akubariki saaaana,uendelee kukua katika neema

  • @moseskayan3705

    @moseskayan3705

    6 жыл бұрын

    Amina na iwe hivyo kama mungu atakavyo yeye

  • @hopeuwera2947
    @hopeuwera29475 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana

  • @mapendoimani2462
    @mapendoimani24625 жыл бұрын

    Salvation is more what is in your heart than what is your Head.

  • @mashishangahumbuyu5378
    @mashishangahumbuyu53786 жыл бұрын

    Pr ubarikiwe sana

  • @medsonmgallah6760
    @medsonmgallah67605 жыл бұрын

    mungu anaona mi mkatholiki pyua

  • @vitalesikagi3475
    @vitalesikagi34754 жыл бұрын

    Ubarikiwe wewe na BWANA

  • @sadickmponyamili7070
    @sadickmponyamili70706 жыл бұрын

    KUNA SOMO NILILISIKIA JUZ KAMA TAREHE 25 AU 26 AGUST NILKUWA USINGIZINI KUTOKA REDIONI SIJUI NDIO HILI ILA SILKUMBUKI LKN NALPENDA SANA KM MKILIPATA NDG KTK KRISTO NAOMBENI KULPATA PIA #MUNGU ATUSAIDIE SANA WAPENDWA

  • @tumainvedasto
    @tumainvedasto7 ай бұрын

    Ni kweli lakini watu vichwa havina nywele yaani akili

  • @kelvinnyagah2494
    @kelvinnyagah24946 жыл бұрын

    Be blessed Amen

  • @maitretv7603
    @maitretv76036 жыл бұрын

    Mungu yupo kazini kwani tunaishi wakati wa udanganyifu kuu; kama vile ulimwenguni kila mtu anataka awe rais wa Jamhuri, kanisani pia kila mtu ana huduma. Unabii, ndoto, na maono zatokea huko na kule kwa kugawa huduma. Wanaongeza kazi ya wanawake hadi mimbarini. Jina la Bwana Yesu Kristo linafanywa kuwa biashara, makesha za maombi zimepangwa mwisho wa kila mwezi. Watu waliyo anguka kutoka neema, wanao ngojea jehanamu wao ni watumishi wa Mungu. Wana wa mapepo! Kuna mambo mawili ya kufanya: Ao muonyeshe wazi wazi kwamba mimi ni katika kosa na ninajiunga nanyi wala basi muyatambue makosa yenu mbele ya watu wote na nifute masinagogi zenu. Kila mara ninaona mambo namna hii. #ProphetKacouPhilippe www.philippekacou.org goo.gl/s1X3WY

  • @jamessiwakwi4695
    @jamessiwakwi46956 жыл бұрын

    Amina! Sana

  • @jimmylukas1209
    @jimmylukas12096 жыл бұрын

    nabarikiwa mno

  • @augustinokaguotv2245
    @augustinokaguotv22455 жыл бұрын

    Barikiwa poster

  • @Diana-qx5qf
    @Diana-qx5qf Жыл бұрын

    Mimi ni rhoda niko saudia neno lako linanipa kufu god bless you pastor

  • @nezerinejuma5510
    @nezerinejuma551010 ай бұрын

    Amen 🙏🏾

  • @user-bx5nc8ge6r
    @user-bx5nc8ge6r8 ай бұрын

    👀🤔🙏

  • @samuelpeter6964
    @samuelpeter69644 жыл бұрын

    Vipi kuhusu hicho kisanamu sijakielewa

  • @japhetkabogo1610
    @japhetkabogo16106 жыл бұрын

    Hizo DVD zinapatikana wapi kwa hapa mwanza

  • @princesegilolasamo2776
    @princesegilolasamo27763 жыл бұрын

    Mwalimu nakukubari sana sana sema kuna tatizo! Na sina uhakika kama ujui kweli au la! unafanya makusudi, jua kwamba wewe ni mwalimu na unafundisha wengi sana karibia wasabato wa dunia nzima waelewa kiswahiri wanasikiliza mafundisho yako na hata ambao siyo wasabato wanatarajia ukweli tofauti na uongo waliowai usikia huko walipohukataa, sasa mwalimu unawafundisha watu kuhusu jehova na unawaombea kwa jina lake je, ni kweli ujui nini maana ya jina jehova? Au kwa sababu imeandikwa kwenye biblia basi na sisi tumtaje tu bila kuoji? Unawafundisha watu kuhusu yesu na mitume PAMOJA NA WANAFUNZI wake ni weupe je, ni kweli ujui kuhusu historia ya maraika 19 waliomuasi MUNGU na kuja kufanya machukizo hapa duniani? Ninamaswali mengi sana naitaji kukuhuliza mwalimu sema kwanza nilikuwa naomba unijibu aya machache tu kutokana naitaji ufahamu zaidi kuhusu hili. ......thxs

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    3 жыл бұрын

    Pangilia maswali yako vizuri. Swali kwanza la pili na kuendelea ndipo nianze kujibu

  • @mjeshiayubu7858
    @mjeshiayubu78584 жыл бұрын

    Nic iko poa

  • @mapendoimani2462
    @mapendoimani24625 жыл бұрын

    Bibilia ni moja tu Tafsiri ndiyo ipo tofauti kulingana na tamaduni na lugha iliyo tafsariwa na walio Tafsiri.sasa watu wengi sasa wanawasikiliza viongozi wao wa Dini kuliko kumsikiliza Roho Mtakatifu.

  • @lusanikaseke4117

    @lusanikaseke4117

    2 жыл бұрын

    we unaielewa vipi

  • @ibrahimthabit6187
    @ibrahimthabit61875 жыл бұрын

    Paster nahitaji kubatizwa

  • @amanimwidowe9408
    @amanimwidowe94085 жыл бұрын

    Mbaga Mungu akupe umri mrefu uinue na walio lala amina

  • @gloriakiangi5807

    @gloriakiangi5807

    4 жыл бұрын

    Amina mungu azidi kukutumia

  • @amanimwidowe9408
    @amanimwidowe94085 жыл бұрын

    unasema ukweli

  • @drostaflorian7970
    @drostaflorian79705 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @davisrotich116
    @davisrotich1164 жыл бұрын

    somo limenijenga mno

  • @kisoimunyithya3893
    @kisoimunyithya38932 жыл бұрын

    Pastor can you teach about the doctrine of trinity?

  • @fortnataangelo4805
    @fortnataangelo48054 жыл бұрын

    Jamani naomba kujua ,sasa huyo kahaba, anazaa mabinti wastaarabu, au makahaba kama yeye,,,

  • @angelinakessi1992

    @angelinakessi1992

    4 жыл бұрын

    Anakuwa na tabia sawa na huyo kahaba,

  • @amanimwidowe9408
    @amanimwidowe94085 жыл бұрын

    amina

  • @laurentieliasi2496
    @laurentieliasi24963 жыл бұрын

    Mchungaji kama utauona ujumbe huu tafadhali naomba unieleweshe au kama yeyote anafahamu naomba anijuze kuna tofauti gani kati ya zaka na fungu la kumi?

  • @samoramagafu5161
    @samoramagafu51616 жыл бұрын

    msisitizo uliowekwa kuhusu sabato katika agano la kale na vzito wa hoja yako hiyo bado ni dhafu sana.

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    6 жыл бұрын

    Ipi hasa?

  • @drostaflorian7970
    @drostaflorian79705 жыл бұрын

    AMINA

  • @cishahayoeliemoses6359
    @cishahayoeliemoses63594 жыл бұрын

    Apa mimi ninaswali,mbona makanisa mengine kuna ucaguzi unafanyika

  • @jonasjoe3623
    @jonasjoe36236 жыл бұрын

    Mch mbona nyuma yako kuna sanamu kama limeshika mkuki,kwani haulisafishagi?

  • @frozahjulius3581

    @frozahjulius3581

    6 жыл бұрын

    Hahhahahha hahhahahhahaha hahhahaha Hahhahahha hahhahahhahaha hahhahaha Hahhahahha

  • @nicholausrutayuga4570

    @nicholausrutayuga4570

    5 жыл бұрын

    Maskini swali lako halikuwahi kujibiwa!!!!

  • @lusanikaseke4117

    @lusanikaseke4117

    2 жыл бұрын

    hiyo sio sanamu ni picha iliyobeba ujumbe wa vita tazama kwa makini utaona mkono ulioshika kombeo na jiwe kwenye kombeo na fimbo mkono mwingine halafu yachunguze maandiko upate neno

  • @adventisthope2454
    @adventisthope24546 жыл бұрын

    Naomba maendelezo ya mitume walivyofariki

  • @eliadajustus555
    @eliadajustus5555 жыл бұрын

    pastor naomba unisaidie fungu linalosema tuimbe bila kucheza

  • @denismodest1540

    @denismodest1540

    4 жыл бұрын

    isay 65:5na uangalie referenc chini ya biblia kwenye ukurasa huohuo

  • @matthewglory2877
    @matthewglory28775 жыл бұрын

    Mchungaji unapatikana wapi??

  • @janetkahada5206
    @janetkahada52064 жыл бұрын

    Mbona hata siku ya MUNGU alitakaza hukuangali kwa mandiko?

  • @mo-zillah5683
    @mo-zillah56835 жыл бұрын

    pastor mmbaga, mi nataka kuwa pastor nami napenda sana kufundisha.unaweza kunisaidia mtumishe wa Mungu-namba yangu 0743054879 na 0743774573 nisaidie tafadhali

  • @edwardmamuya8066

    @edwardmamuya8066

    5 жыл бұрын

    Kanisa la Mungu ni moyo wa Mwanadamu. Makanisa mengi unayotaja hayajaacha kutekeleza amri 10 za Mungu.

  • @leonardkayolo7314
    @leonardkayolo73145 жыл бұрын

    Samahani sana mchungaji, naomba kama utaipata SMS hii, naomba unitumie namba yako kwa email hii. leonard.kayolo@gmail.com

  • @samoramagafu5161
    @samoramagafu51616 жыл бұрын

    asante kwa mahubiri lakini ukweli utabakia ukweli tu Yesu ambaye ndiye neno la Mungu hakutuambia tushike sabato, Mt 17:5, ujuzi huo wote wa maandiko ni porojo tu 2 kor 3:6. na kichwa cha kanisa ni Yesu, weak doptrine pastor mbaga.

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    6 жыл бұрын

    Samora Magafu Mathayo : Mlango 24 20 Ombeni, ili kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi, wala siku ya sabato. Unaweza kunisaidia andiko hilo lina maaana gani?

  • @kabaranamaganga6646

    @kabaranamaganga6646

    5 жыл бұрын

    Yesu anaposema Mimi ndie Bw wa sabato ana maana gani? Na alipomwambia yule alietaka uzima wa milele kwamba je wazijua sheria alimaanisha nn?

  • @annastaziamaternus1373
    @annastaziamaternus13735 жыл бұрын

    Ukitafakari kwa kina ninyi wasabato mmekalia kiti cha Musa kuwahukumu wenzenu ,mafarisayo wanaishi. mmezikazania sharia lakini hamzishiki, sabato za miezi na miaka mnazitunza? kwa washika amri inatakiwa Kama ni mkulima ulime miaka sita, ila mwaka wa saba upumzike, wasabato hii mnaishika? au ndo sheria kidogo na neema kidogo.

  • @geofreymsigala9181

    @geofreymsigala9181

    5 жыл бұрын

    Ukitafakari kwa kina nikweli.....lakini ukisoma biblia kwa kina utabaini hayo unayoyasema si kweli, Mungu akubariki uwe msomaji mzuri wa maandiko bila kutetea msimamo au dini yako!

  • @richardcastro2386
    @richardcastro23866 жыл бұрын

    Hua Nashangaa Uki like post ina futika

  • @myself4128
    @myself41283 жыл бұрын

    Hivi Nyie mnang'ang'ania mafundisho ya sheria zilizowahusu wayahudi mpaka lini???kabla.Yesu hajafa msalabani Tulikuwa tunaishi chini ya sheria lakini ALIPOFUFUKA HATUPO TENA CHINI YA SHERIA,SOMA WAGALATIA 3:24..Sheria ilikuwa ikituongoza kabla ya Yesu kuja, soma WARUMI(ROMANS) 6:14 FOR SIN HAS NO POWER OVER YOU,Hatupo tena chini ya sheria!! Biblia inasema mtu na asiwahukumu kwa SABATO(WAKOLOSAI 2:16) sikukuu wala mwandamo wa mwezi, Tumche Mungu kila siku tuishi kitakatifu kilasiku ila lazima tuwe na SIKU YA MAPUMZIKO WEEKEND!YESU NDIYE BWANA WA SABATO,BIBLIA INASEMA HAKUNA ANAYEWEZA KUHESABIWA HAKI MBELE ZA MUNGU KWA KUFUATA SHERIA HAKUNA!!!!!!!!!!!Wagalatia 3: 11 ni kwa imani Tu tutamwona Mungu!!!

  • @lusanikaseke4117

    @lusanikaseke4117

    2 жыл бұрын

    Mungu akusaidie utambue kua Ufunuo pia ni kitabu cha agano jipya ba kilisimuliwa na kuandikwa na mtume na nabii yohana aliye kua mwanafunzi wa Yesu na pia ufunuo huo aliupokea kutoka kwa malaika ambae alipewa na Bwana wetu Yesu kristo ilitupate kutambua mambo yaliyopo sasa. Mafungu uliyosoma ni sahihi lakini Roho mtakatifu akufunulie uyaelewe kwa kina na kumbuka hili; Njia ni nyembamba nayo imesonga iendayo uzimani waionao ni wachache, lakini pia njia ni pana iendayo upotevuni waionao ni wengi. hivyo tafuta kuzishika sheria ukiwa na imani ya Yesu, isikuchanganye; hatuokolewi kwa sheria ila kwa neema.

  • @lusanikaseke4117

    @lusanikaseke4117

    2 жыл бұрын

    kama sabato yaani pumziko takatifu sio dhambi vp kuhusu kua na miungu mingine na kujifanyia sanamu na kjziabudu??? habari gani kuhusu kuzini na kuua na kushuhudia uongo??? nukuu maneno ya Yesu katika Mathayo 5:17... alisema: msidhani ya kua nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kuitangua, bali kuitimiliza 18 kwa maana, amini, nawambia, mpaka mbingu na nchi zitapoondoka, yodi moja au nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie. 19 basi mtu yeyote atakaye vunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni.) basi uelewe Yesu hakuipinga sabato bali alitufundisha kuitunza yana kutenda mema na kusaidia, pia kuponya na kuinua siku ya sabato na ndo ulikua mgogoro wake na wayahudi. na pia Yeye ndiye Bwana wa sabato yani aliye atoa amri na katika yeye tunapata pumziko la kweli na uponyaji. basi

  • @JohnJoseph-my2zq
    @JohnJoseph-my2zq6 жыл бұрын

    paster nitapataje hicho kitabu cha papa?

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    6 жыл бұрын

    John Joseph Kipi?

  • @barakamtabwigwa1726

    @barakamtabwigwa1726

    3 жыл бұрын

    @@MahubiriPrMmbaga naomba namba yako mchungajii

  • @grace-angeleplasseu1381
    @grace-angeleplasseu13816 жыл бұрын

    Swali: Mtume KACOU Philippe ni nani? Jibu: Kacou Philippe ni Mtume ambaye Bwana wetu Yesu Kristo aliwapelekea wote dunia kama manabii wa Biblia kulingana na Mathayo 23: 34-35. Maneno yake yana thamani sawa kuliko wale wa manabii wa Biblia. Yeye ni kama Nuhu leo. Ikiwa unakataa, wewe wamemkataa Yesu Kristo na kumtumikia na kumwabudu shetani bila kujua. www. philippekacou. org

  • @madolaclassic9247
    @madolaclassic92475 жыл бұрын

    Wapendwa katika Kristu, ukweli utabaki kuwa ukweli tu! Yesu ndiye mwazilishi wa kanisa na yeye ndiye kichwa cha kanisa.kanisa haliwezi kumzaa Yesu,na Yesu mwenyewe aliacha kanisa moja tu! Nalo ni kanisa takatifu katoliki la mitume na alimchagua petro kuwa kiongozi wa kanisa.mengine ni madhehebu Tu! ambayo watu wenyewe wameyanzisha,soma biblia vizuri utaujua ukweli.

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    5 жыл бұрын

    madola classic Wapi imeandikwa?

  • @kabaranamaganga6646

    @kabaranamaganga6646

    5 жыл бұрын

    Je kabla ya ujio wa yesu akina yohana walifundisha na kubatiza wao walikuwa wa kanisa gani? Leta ushahidi wa maandiko ya kile unachokisema

  • @bahatiomenda5371

    @bahatiomenda5371

    5 жыл бұрын

    pole sana mpendwa

  • @notbulgajohn4082

    @notbulgajohn4082

    4 жыл бұрын

    Duuu bado upo mbali Sana na maandiko matakatifu,waomba Mapadri wakuonyeshe ushahidi kutoka Bible . Mungu akusaidie.tunaombea .

  • @DottoBazil-nx2cd

    @DottoBazil-nx2cd

    2 ай бұрын

    Tusome kitabu Gani ili tuthibitishe hayo unayoyadai?

  • @annastaziamaternus1373
    @annastaziamaternus13735 жыл бұрын

    majigambo 100 100,waadventista ninyi injili yenu imejikita Sana katika sheria , siku na kuwatoa waliokwishamwamini Kristo katika makanisa yao, ila injili ya kumfanya mtu ambaye hamjui Bwana amjue mmeshitupilia mbali, yaani mnavua samaki Katina madiaba ya wenzenu na kuwaamishia kwenu, why msiende baharini mkavue ,huu ujanja utawapeleka jehanamu Ohoooo

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    5 жыл бұрын

    Annastazia Maternus Pole sana. Nadhani umetuelewa vibaya. Angalia masomo mengine pia

  • @donaldmwahalende4841

    @donaldmwahalende4841

    4 жыл бұрын

    Wewe beba maswali yako tukusaidie fuata ukweli

  • @danielmkama4636

    @danielmkama4636

    4 жыл бұрын

    Annastazia Maternus dada hili somo haujalielewa ukielewa na ukasoma biblia utapata nuru ya kweli mchungaji anatumia mafungu ndani ya biblia uongo wake uko wapi

  • @yusuphkishegena596

    @yusuphkishegena596

    4 жыл бұрын

    Acha kuhamak hayo n. Mafundisho2

  • @yusuphkishegena596

    @yusuphkishegena596

    4 жыл бұрын

    Na inaonekana huyo dada biblia hua haisom au kama anaisoma Kama Gazet lakin akiskiliza vizur ataelewa hapo hakuna uongo

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha40304 жыл бұрын

    Kuna jambo linanichanganya kidogo kutokana namahubiri za namna nyingi ambazo tunahubiriwa jambo LA kwanza je mtu anampenda Mungu yesu roho mtakatifu au kanisa lake kwa sababu kwakweli kila kanisa linamsimamo wake na ina mahali fulan imeshikilia kwenye biblia na ukiangalia msingi wakila kanisa ni mwanadamu amepata maono akasambaza kwa watu akaisemea akawapata wafuasi wengi basi ikawa imani ,katoliki ukiwauliza swali watajibu kwa maandiko Lutheran ivyo ivyo waingilikana nao ivyo Pentecostal ivyo wasabato wa Jehovah nao sasa nani mkweli .

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    4 жыл бұрын

    WAPIME KAMA WANACHOKISEMA KINAUNGWA MKONO NA BIBLIA AU WANA LAZIMISHA BIBLIA IUNGE MKONO MAWAZO YAO?

  • @kelvinkimeu9974
    @kelvinkimeu99746 жыл бұрын

    Sheria za Musa hazina maana tens ata kidogo,,,Yesu alijumlisha sheria zote katika upendo,,,wasaboto wamelaaniwa kwa sababu wanakiburi wanajiona wao ndio watakatifu pekeao,,,Siku wala ndini hazimpeleki mtu mbinguni mbali imani aliyo nayo katika Yesu,,,punguzeni majigambo. May God forgive you and show you correct way to even is not day but believing that Jesus died for your sins.

  • @kabaranamaganga6646

    @kabaranamaganga6646

    5 жыл бұрын

    Unahitaji msaada zaidi nakusihi soma vitabu upate maarifa

  • @kabaranamaganga6646

    @kabaranamaganga6646

    5 жыл бұрын

    Umesema vema juu ya sheria za Mussa je amri kumi za Mungu nazo zilifutwa? Ambazo ndani yke mna amri ya 4 ya kuitunza sabato?

  • @kabaranamaganga6646

    @kabaranamaganga6646

    5 жыл бұрын

    Bw Yesu anasema sikuja kuitangua torati Bali kuitimiliza dunia na vyote vilivyomo vitapita lakini hakuna hata yodi 1 ya torati itakayo ondolewa na tena yesu ndie Bw wa Sabato

  • @kabaranamaganga6646

    @kabaranamaganga6646

    5 жыл бұрын

    Mtu 1 alimwendea yesu akamwuliza nifanyeje nipate kurithi ufalme wa mbinguni akaambiwa je wazijua amri ?akajibu ndio nimezishika toka utoto wng !yesu kwann alimuuliza juu ya amri kabla ya mambo mengine yote ?Amri 10 za mungu hazikufutwa na zilikaa ndani ya sanduku la agano Bali sheria za Mussa zilizokaa juu ya sanduku la agano ndo zilizofutwa nakukaribisha uende popote lilipo kanisa la waadvetista wasabato na maswali yote ulionayo upate tiba ya kiroho

  • @notbulgajohn4082

    @notbulgajohn4082

    4 жыл бұрын

    Pole Sana Bwana Yesu akutetee na kukuonyesha kuwa ndiye Bwana wa Sabato

  • @elimikasauti9tv247
    @elimikasauti9tv2476 жыл бұрын

    very interesting sermon ubarikiwe pastor,, Mungu akuhifadhi umalize jukumu alilokusudia la wewe kuumbwa ktk ulimwengu huu wa Dhambi

  • @japhetngarama5711

    @japhetngarama5711

    5 жыл бұрын

    Florence Mellitusi

  • @mashishangahumbuyu5378
    @mashishangahumbuyu53786 жыл бұрын

    Pr ubarikiwe sana

  • @geraldjozee7813
    @geraldjozee78135 жыл бұрын

    Amen

  • @zahaljamal4520
    @zahaljamal45204 жыл бұрын

    Amen