KAMANDA AMBANA MAMA MWENYE MTOTO MVUTA BANGI "TUNAWAPELEKA MAHAKAMANI,WATAPATA UPELE WOTE"
Жүктеу.....
Пікірлер: 21
@hassanmpemba57472 жыл бұрын
Kamanda umempa ukweli pongezi kwakwo
@janetdaniely79452 жыл бұрын
Good sana kamanda God bless you 🙏
@zaujiajuma82602 жыл бұрын
Kamanda hapo umenigusa wazazi wengi hawana tabia ya kusikiliza shida za watoto wao
@mwana45992 жыл бұрын
Safi sana Mchungaji.
@aminaomary55672 жыл бұрын
RPC GOOD
@aminaally76222 жыл бұрын
Duh mtihani
@salustiashayo34862 жыл бұрын
That's a big big true
@salustiashayo34862 жыл бұрын
Mungu niepushe
@bakarikayugwa32952 жыл бұрын
Kwa gari hiii hao ni panya rod tu
@radhiasalum71562 жыл бұрын
Kamanda kamanda hatari
@fatmaabdallah77092 жыл бұрын
Jamani mi nimeshapata huo upele unawasha lakini mi sio muovu kwanini nimepata?
@samsunggalax8258
2 жыл бұрын
Iyo ni pese uchawi wa congo ndoo anataka kuwa rushiya watu
@ladyt1471
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@samsunggalax8258
2 жыл бұрын
@@ladyt1471 🤣🤣🤣
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Wapelekeni na ikiwezekana wauweni tu hao ni wahalifu
@neemazee1864
2 жыл бұрын
Umefika mbl
@aishaamwalimu2887
2 жыл бұрын
Kundi 1 tu lingeuliwa hazarani wasingerudia Tena.
@bellatrixblack4491
2 жыл бұрын
Kama vile utaishi milele, aibu
@Worldunite
2 жыл бұрын
Ndugu, tafadhali ongea km mzazi, usiropoke ropoke hovyo, wewe km ni mwanao unaweza kumuua??? Acha kuongea hivyo ndugu, shida hawa watoto wanaanza kuharibika kitambo hadi mzazi uje ugundue tayari mtoto hashikiki tena hapo tena piga ua hutomuweza hata km angali bado mdogo
@margarethpolepole7438
2 жыл бұрын
@@Worldunite simu yangu inachezewa na wajukuu na vilembwe kama hao sijui lolote hata ukiona sura yangu utakubali siwezi kuweka password kusahau kwangu kama kazi nami ni mpenda taarifa ya habari na siasa nikimaliza hapo hao ndiyo wanaichezea pole
Пікірлер: 21
Kamanda umempa ukweli pongezi kwakwo
Good sana kamanda God bless you 🙏
Kamanda hapo umenigusa wazazi wengi hawana tabia ya kusikiliza shida za watoto wao
Safi sana Mchungaji.
RPC GOOD
Duh mtihani
That's a big big true
Mungu niepushe
Kwa gari hiii hao ni panya rod tu
Kamanda kamanda hatari
Jamani mi nimeshapata huo upele unawasha lakini mi sio muovu kwanini nimepata?
@samsunggalax8258
2 жыл бұрын
Iyo ni pese uchawi wa congo ndoo anataka kuwa rushiya watu
@ladyt1471
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@samsunggalax8258
2 жыл бұрын
@@ladyt1471 🤣🤣🤣
Wapelekeni na ikiwezekana wauweni tu hao ni wahalifu
@neemazee1864
2 жыл бұрын
Umefika mbl
@aishaamwalimu2887
2 жыл бұрын
Kundi 1 tu lingeuliwa hazarani wasingerudia Tena.
@bellatrixblack4491
2 жыл бұрын
Kama vile utaishi milele, aibu
@Worldunite
2 жыл бұрын
Ndugu, tafadhali ongea km mzazi, usiropoke ropoke hovyo, wewe km ni mwanao unaweza kumuua??? Acha kuongea hivyo ndugu, shida hawa watoto wanaanza kuharibika kitambo hadi mzazi uje ugundue tayari mtoto hashikiki tena hapo tena piga ua hutomuweza hata km angali bado mdogo
@margarethpolepole7438
2 жыл бұрын
@@Worldunite simu yangu inachezewa na wajukuu na vilembwe kama hao sijui lolote hata ukiona sura yangu utakubali siwezi kuweka password kusahau kwangu kama kazi nami ni mpenda taarifa ya habari na siasa nikimaliza hapo hao ndiyo wanaichezea pole