KAKOLANYA; SINA UTOVU WA NIDHAMU / NATAMANI KURUDI YANGA
Спорт
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Пікірлер: 38
Camera ni 🔥
🧠 crown tupo visuri
Akacheze anakochezaga yanga syo sehem ya kuja kumalizia ujana alf yanga tunakuwaga na aleji na mtu msalit na tunakuwaga na misimamo kama pilato
@aisha.abdallah.3979
14 күн бұрын
😊😊
Crown 👑 ❤😊
Beni Yuko vizuri, tumchukue yanga
Akacheze Dodoma fc yanga wameshavuka hio hatua ya kufqnyakaz na malimbukeni
@beatusrutaserwa2745
17 күн бұрын
Sure
I’m the first one pull up ⬆️
❤
🔥🔥
Nakufahamu sana,nmesoma na Dada Yako Emma David Kakolanya wewe ni last born kwenu.
🔥🔥🔥
Mic zvarixhen tag la #crown
🎉🎉🎉❤❤
Nouma sana
✌️
🎉🎉🎉
Akili kubwa sana. 👏🏽👏🏽👏🏽
🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sijasikia akisema anatamani kurudi Yanga. Msianze kuishushia hadhi média hii mpya.
Nataman sana huyu mwamba kulud asante sana beno
#Hapaninyumbani
Mwandishi jitahidi kuwa na maswali mazuri,mpe nafasi unayemuhoji..usimkatishe..
Caption za uyu anaeweka izi interview za uongo dadek namind sana
Hizi kamera hatar san
Unya
Beny amefanana na Gerson msingwa mtupu
Almas unapomuhoji mtu tulia basi sio na ww unaelezea
Camera ni hatare
👑👑👑👑
Mwandishi muache mtu pia ajieleze usimwingilie kumwambia story ambayo anatuhadisia
Mbona kwa Manula ukufulukuta mjingawewe
Kulikuwa na maswali mazito kuhusiana na usaliti wake pale Yanga,lakini mwandishi umeshindwa kuyauliza,maswali yako ni mepesi mno ---- Huyo kwasasa Yanga hatumtaki hata kama atakuwa tayari kucheza Bure ( bila kulipwa ) na kama watathubutu kumsajiki,fans tuta andamana kupinga huo usajili.
Hapa ni nyumbani. kzread.info/dash/bejne/fKaTp9prftPOj5s.htmlsi=0AN-cNqpX0rCmvE8
❤
🎉🎉🎉🎉