KAKA YAKE MWIJAKU AKIELEZA ALIVYOMCHANGIA TAA MWIJAKU/SIPENDI TABIA YA KUCHEZA NA KUVUA NGUO

Ойын-сауық

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZread channel yetu kwa videos nyinginezo
KAKA YAKE MWIJAKU AKIELEZA ALIVYOMCHANGIA TAA MWIJAKU/SIPENDI TABIA YA KUCHEZA NA KUVUA NGUO
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 48

  • @user-xc4or2vp6l
    @user-xc4or2vp6l6 ай бұрын

    Wasanii kwa maisha ya kugezana, nimelipenda hili zoezi la wasanii kuanza kuonesha nyumba walizojenga, bora muanze kugezana manbo ya maana. Waja mna maneno 'kaongea uongo jamani', hata kama wewe utasemaje hizi taa kaka yangu kanipa. Kaka yake mwenyewe kasema amembariki. Alivyosema ni sawa tu. Ni aina ya mtu alivyo, hata alivyokuwa anawataja wengine ktk maelezo ya nyumba yake sio sawa, unafikiri ana shida nao. Nyumba iwe ya kheri na familia yake, na Mungu amsaidie.

  • @Fx_expertmoneymaker001
    @Fx_expertmoneymaker0016 ай бұрын

    😂😂😂😂Et anavyocheza ndo broo anachukia. Na mm ndo napendaga nimuone anavyoingia ofisin akicheza, hata kipind nisiposkiliza ila nimuone mwijaku anacheza 🤣🤣.

  • @joycekalago532
    @joycekalago5326 ай бұрын

    Waha wengi wakichoka maisha kigoma wanakimbilia morogoro😂😂😂

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania97436 ай бұрын

    Kaka yuko vizuri

  • @user-fi9gm2et5r
    @user-fi9gm2et5r6 ай бұрын

    Kumbe taa zimetoka kwa broo 😂😂😂

  • @user-nz4lx1hr2w
    @user-nz4lx1hr2w6 ай бұрын

    Jaman kuhusu taa msishangae huyu jamaaa kila angle yupo kazin sema nyny hamuelewi, iyo taa zmetoka china bas iyo china ndio uyo kaka yke😂😂😂😂

  • @rizikiabdalla2501

    @rizikiabdalla2501

    6 ай бұрын

    Anatangazaaa bisha yake watu waajuwee kuwa morogoro kunadukaa zuri la taa ni nzuri sana

  • @user-nz4lx1hr2w
    @user-nz4lx1hr2w6 ай бұрын

    Inamaana mkiziitaji hizo taa kaka yke atawauzia apo pia keshakuwa chawa wa brother ake

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu14036 ай бұрын

    Nawe Kaka Umezingua Bola Ukae Kimia Mambo Mengine

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim79306 ай бұрын

    Kasema taa amenunua china moja laki7😂😂

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi63786 ай бұрын

    Huyu ndio kasema ukweli sasa😂😂😂

  • @hidayamotto7210
    @hidayamotto72106 ай бұрын

    😂sasa Mwijaku kwann atudanganyee woi

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah77486 ай бұрын

    Kaka ni handsome hebu tueleze unafanya kaz wap?😊

  • @samiramohamed5925
    @samiramohamed59256 ай бұрын

    Bro handsome MaashaAllah

  • @rahimaaaaa5682

    @rahimaaaaa5682

    6 ай бұрын

    Kbs yupo vzr😝

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh6 ай бұрын

    Saleh mimi nataka taa ya mzee wa ngenga nimeilewa na feni humo humo 😂

  • @fahadfahmy

    @fahadfahmy

    6 ай бұрын

    hata mimi nimepanda lile feni pamoja nataa

  • @user-fi9gm2et5r

    @user-fi9gm2et5r

    6 ай бұрын

    Mm pia ni nzuri mno

  • @nigamo9645

    @nigamo9645

    6 ай бұрын

    Na mziki pia mwenyewe nimelipenda

  • @MariaSengo-cn5bx
    @MariaSengo-cn5bx6 ай бұрын

    Nakuona Nuba Batton hongereni

  • @Aiisha901
    @Aiisha9016 ай бұрын

    na kafanana nae kila kitu mpaka simama yake kutotulia

  • @rashidkatundu9674

    @rashidkatundu9674

    6 ай бұрын

    Siyo kila kitu uyu anakoremeo

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya65976 ай бұрын

    Kaka nae yaleyale tupigieni picha tuwape bei ya hizo taaa

  • @moriscollins4494
    @moriscollins44946 ай бұрын

    Taa za China mwana anaongea mnoo kumbe taa za msamvu

  • @StellarmamottoFlowersMam-ms1nz

    @StellarmamottoFlowersMam-ms1nz

    6 ай бұрын

    Wemeshanza kujichanganya. Mara taa zitoke china mara zitoke morogoro.....suala la muda tu

  • @kizegakizega8073
    @kizegakizega80736 ай бұрын

    wadogo zangu hao mtaa wa uhuru

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud5656 ай бұрын

    Wow! Brother handsome ❤

  • @aliaden5512

    @aliaden5512

    6 ай бұрын

    hata mimi handsome

  • @samiramohamed5925

    @samiramohamed5925

    6 ай бұрын

    Very handsome

  • @aliaden5512

    @aliaden5512

    6 ай бұрын

    Am more hansome than him try me you will know what i meant

  • @alexjosephmambo6990
    @alexjosephmambo69906 ай бұрын

    Kaka yake Yuko sahihi Hana Kona kona

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour6766 ай бұрын

    Ka ka ushaharibu mwenyewe kajigamba kanunua pesa si kidogo atachambwa ndugu yako

  • @bennymochiwa4800

    @bennymochiwa4800

    6 ай бұрын

    Huyo atakae mchamba stakua fala km ww, we mjumba unatisha ule alfu ufungue domo lako!!!??😂😂

  • @kadibebe7128
    @kadibebe71286 ай бұрын

    Izo Etage hamtiye njia ya watu wenye matatizo ya migu, siku weye mwenye nyumba utakuwa na shida ya migu, utapanda aje? Utahama awo utaishia cini. 😂😂, swimming ya ju 😂😂 tia njia ata kilema aweze kupanda. Nyumba utayikimbia we mwenyewe.

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy6 ай бұрын

    yule Mwemba (Mwijaku) kaongea uongo alipoulizwa kuhusu taa,kumbe karibia zote amepewa bure na Brother wake.

  • @rizikiabdalla2501

    @rizikiabdalla2501

    6 ай бұрын

    Sasa hata kama kapewaa Bure lakin brother kanunua ndioo maanaa Katia Hisabu nyote

  • @fahadfahmy

    @fahadfahmy

    6 ай бұрын

    @@rizikiabdalla2501 Uongo kiisilamu nimbaya kuliko zinaa

  • @Official83640

    @Official83640

    6 ай бұрын

    ​@@rizikiabdalla2501ulimsikia lkn alivyosema kachagua china taa gani anunue akanunua badae kapewa huyu kanunua yy elewa maneno yao 😂😂😂

  • @user-qz2sk3is9c

    @user-qz2sk3is9c

    6 ай бұрын

    Hawa jamaa wasikuumize kichwa

  • @halimaamani8958

    @halimaamani8958

    6 ай бұрын

    Uongo upi? Maana hata huyo alompa kasema zimetoka china na bei ni laki7 kama alivyosema mwijaku

  • @andrewmachage9102
    @andrewmachage91026 ай бұрын

    Kaka taa za 30,000 zpi tn taa mwijaku kanunua china moja 700k ww tn unasema umemubark tn ambazo zpo out of time?😂

  • @princekarani7836

    @princekarani7836

    6 ай бұрын

    Bro kuna taa kampatia mdogo wake za laki saba,kuna za laki nane,na nyingine ndogo ndogo za elfu 30,

  • @halimaamani8958

    @halimaamani8958

    6 ай бұрын

    Na wala hajasema out of time Bali kasema ni taa za kisasa ambazo zimekaa muda mrefu dukani kwake sababu watu wameshindwa kununua kutokana na gharama za hzo taa kuwa kubwa

Келесі