KAJALA AKAA KANDO HARMONIZE ALIVYOWASILI KWA LAMATA /AJIBANZA PEMBENI KUMKWEPA AKAA NA LULUDIVA
Ойын-сауық
Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Пікірлер: 65
Maze Kenya tunamkubali Temboooooo for life meeen
Dorah first born wa Lamata, huwezi kuona amemuweka mbali hata kidogo wakiwa kwenye shughuli yeyote ❤
Harmonize kammis kajala kaamua akamsapot shemej yake lamata😅😅😅
Tembo popo jeshiiii mnyama 🐘🐘🐘💥💥💥💥💥
Naombeni munipe jina ya hiyo ngoma iliyo kuwa ikipiga hapo. Na kama niya msanii gani please
Safi sana kwa upendo❤
Dora yupo na mama yake pemben 🥰😘
💥🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘👏👏👏
Akuna mweusi wote ni warembo tz mashallah
@itsjustagame4178
4 ай бұрын
Jamani!!!weusi ni urembo tena zaidi...
Nice
😮
haya mapara lkn 🌚🌚
Tuma fulani imekuwa dira ufupi raha 😂😂
Mim nashangaa tu mbona vipara vingi🤣🤣🤣
@RaiswaPwani
4 ай бұрын
Hao ni watu wako na kensa ya nywele ikiwemo kajala😂
Harmonize nakupenda bure kaka angu❤
Hamo ana mpango nae kaja kimsapoet lamata
JAmani mad zangu na kaka zangu Mimi na tafu ta kaza za ndan
@user-qp7mm3gv2r
3 ай бұрын
Njoo nikupe
Bupe nakuona
Ila konde😂😂
Ongera sana mtoto wa masanja kuwa mbali na huyo mmakonde unajiepusha na vingi
@mayrose9772
4 ай бұрын
Kajiepupuaha vingi kma vp
Doraa t-shirt lake hana habari
Konde bwayyyy
😂😂😂
Allah AKUONGOZENI ktk haki
Mungu baba naomba kikombe hicho nikiepuke nikiumwa nisije kuongezwa damu ya hamonize na diamond 😂😂😂
@john_1trader
4 ай бұрын
.....Utaaza mziki papoapo
@MAJChannel-01
4 ай бұрын
Hata haiwez kutokea kwahyo kaa tu kwa kutulia mwaya😂😂😂😂
@yusternyirenda7231
4 ай бұрын
@@MAJChannel-01 itatoka tu niko paleeeeeee, dunia inazunguka hujafa hujaumbika katika maisha usije kuapa eti kitu flan hakiwezi kukutokea kwenye maisha yako hahaha pole yako kikubwa ni kuomba mungu tu
@user-pi5rz5hp2t
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂@@yusternyirenda7231
Shangazi asichangie damu. Please
@user-yc6hg3tt5s
4 ай бұрын
Anna na siket yake ya kijani anaboa
Kichwa chahabari eti al8jiweja pembeni😂😂😂
@user-qq6mv6vh3e
4 ай бұрын
😂😂😂watangazaji bwana
Hivi Lamatah alishajifungua au mbona sielewi niliona baby shower tu mtoto sijasikia kabisa?
@faidhacute
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 WAbongo bhna mnavisa sana duh nmecheka sana
@user-ug8tj6vk9r
4 ай бұрын
C ndo uyo anaye tamba naye kajala
Wapendw me nataft kaz za ndani
Nataka titre ya iyo nyimbo iliyo pigwa , harmonize alivyo chuka kwa gari please
@FrestersRecords
4 ай бұрын
Ni wimbo wa kwaya unaaitwa Permanent..... NEEMA GOSPEL CHOIR
Mbona kama shughuli niya wana wake thu
Kajala hanamtamani konde Hadi raha mbusu bas
Sai maex viroho vyaongea😂😂 rajabu na Freda🤣🤣🤲
Lamata anampenda Dora hadi natamani Mimi niwe Dora
@ngwacahnyagwaswa9979
4 ай бұрын
Yaan had wivu 😢 raha sana❤❤
Kajala asiongee nae
Nimejickia vibaya kutomuona simba wanngu
Hiyo nyimbo inaimbwa hapo mwishon inaitwaje
@user-fm6ho9gd9z
4 ай бұрын
Nami naitamani
@FrestersRecords
4 ай бұрын
Inaitwa Permanent - Imeimbwa na Neema Gospel Choir.
Hermonise tafuta msichana mdogo huyu ametombwa nyota ikachafuka
Jaman yule mtoto kavaa gauni au tshert
Wanawake kunyoa mipara haipendezi
Konde Boy
Wnachangia damu wamepima ukimwi musituogezee damu zilizo asilika wapime kwanza
@ashaali7154
4 ай бұрын
@zainabmartin Lugha unayotumia sio nzuri. Mbona unaonyesha una chuki sana? Watu wanajitahidi kuelimisha kuhusu maradhi ya Cancer wewe unawakatisha tamaa kwa upumbavu wako. Hujui matatizo wanayopitia wagonjwa wa cancer Mungu akusamehe.
@husenimagembe2330
3 ай бұрын
@@ashaali7154🎉❤
Sasa kondeboy anachangia damu vipi na mitatoo hiyo
@mariamshadia4974
4 ай бұрын
Sio hD damu hadi pesa pia mwenye tattoo haihusian na damu
@user-vy2bc6xg3i
4 ай бұрын
😂😂😂😂kwahiyo mwenye tatoo damu yk imeharibika au wakati iko juu ya ngozi
@SmilingDreamCatcher-bs1bl
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@husenimagembe2330
3 ай бұрын
@@user-vy2bc6xg3i😂🎉