Kısa kilichomkuta Askofu Gwajima akiwa Tanga | Je, baraka zako zimeunganishwa na nini?
Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Пікірлер: 94
Askofu Gwajima ni Mwalimu mzuri sana was Neno la Mungu
GWAJI BOY MUNGU WAKO NI MKUBWA SANA MNO NI MKUBWAAAAAAAA MNOOOOOOOO AMEEEEEEEEEEN
Baba yangu, Jasusi toka Mbinguni, sikuachilii mpaka unibarikiiii! Hallelujah hallelujah praise God! Mpaka unibariki!!! Amen.
@johnkasulamemba9702
2 жыл бұрын
Amina
Amen, amen 🙏 glory to the most high, wonderful gospel 🔥🔥
Ww ni mtu wa Injili ya kweli daima. Bwana Yesu akutie nguvu.
Iam not your church member but your among of my great mentor
We we ndiyo mfariji wawatanzania chapa kazi baba kama navyoongozwa na roho mungu akubariki mtuishi wetu
Amen Baba Askofu gwajima Ubarikiwe kwakweli 🙏💪
Sawasawa mzee nimecheka Sana mama sarehe good mungu AKUINUE kigoma TUPO pamoja
Baba Gwajima,Mtu na nusu barikiwa sana
Mifano hai ya Askofu Gwanjima yatia nguvu sana kiroho
Barikiwa sana. Kazi yako njema
Mungu baba azid kukutumia mchungaji
Safi Askofu kwa kumtangaza Mama bikira maria kwa waumini wako.
Pamoja Sana gwajboy, usinyamaze, wewe ni sauti ya waafrica wote
I love so much when watch it
Ilove you son of God be blessed forever and ever amen
Aminaaa mtumishi wa Mungu, na Mungu wa mbinguni kama aishivyo anibariki mbaka watesi wangu washangae, nakuelewa sana mtumishi
Mungu akubariki mtumish ........hakika maneno yako ni kwel
Amina sana baba
Amen amen amen Daddy
Askofu mungu akujalie maisha marefu.
Ameeen
Sikuachilii mpaka umenibariki Baba yangu. Amen 🙏
Amen mtumixhi
Amina na ubarikiwe sana
Amen.
Nimekuerewa sana mtumishi wa mungu
Kweli kbs mtumish wa Mungu
Amen Amen Amen!
Appreciate Good lesson 🙏🙏🙏
Barikiwa Sanaa 🖐️
Amen Amen Amen
Mungu akubariki kwenye huduma yako
@nurumigeyo4625
2 жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu, na Mimi Mungu wangu wa mbinguni anibariki mpaka watu washangae
AmenAmen
Nakupenda sana mtumish wa Mungu alie hai na sio Mungu mfu
AMEN,AMEN
Amina ubalikiwe mtumishi wa mungu
Ameeen daddy
Asikufu nakipata vizuri Sana tupatie chakula chakiroho
Hatari aisee kumbe jaman
@abuuramadhan8093
2 жыл бұрын
Huyu mropokaji anawanunua waumini wake ili wamsifie
Amen
Amina Amina
Gwajima wewe ni Zawadi ya Mungu kwetu watanzania
Amen Amen!🙏💞💞💞💞💞💞💞💞
Haleluya 😅😅❤
Kweli gwajima
Aminaaaa
Josephat Gwajima huku wamerudi na Corona njoo uwanyooshe
AMEN
Sema tupona babaa
Ameen
Ukovizuri mtumishi
Hakikaaaa
Ninaamini kuna sku tutakutana mtumishi
Hamna ajal kwenye kuzaa
hatari
8i
Kweli kabisa
Naomba namba yako naitwa richard
Jamani gwajima kanisa lako liko sehemu ganiii
@francismhilu2936
2 жыл бұрын
Liko ukitoka ubungo mataa mita chache kama unaenda kimara..lipo njiani mkono wa kushoto ukiwa unaenda kimara na mkono wa kulia ukiwa unatoka kimara
@edwinlugata1105
2 жыл бұрын
Au wewe uko mkoa gan?
@baydaabel1974
2 жыл бұрын
amen
@scolakalindu8077
2 жыл бұрын
Ubungo maji mamy kalibu sana mtu wa Mungu
Najihisi kama nilinyunyiziwa kuharibiwa ila mungu ananiongoza taratibu,nachelewa chelewa nachekwachekwa sieleweki,je naweza nikaishinda hii kitu ingawa huwa najipa moyo nitashinda nahitaji uokozi je naweza nikaishinda?
@noelpaul640
2 жыл бұрын
Ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. Ndani yake Kristo tunaishi tunakwenda na kuwa na uhai wetu. Ushindi wako uko kwenye kinywa chako. Make positive declaration ( Anza kujitamkia ushindi )
Yaani kama mgonjwa vile
sikuachii bishop mpaka unibariki
Huyu mnafiki mkubwa anunua online tv z msifie na kununua waumini wake ili wamsifie mitandaoni
@rukiamale6644
2 жыл бұрын
na wewe nunua waumini na ufungue oline tv ili usifiwe sawa
@hellenkusaga1932
2 жыл бұрын
Na wewe nunua usifiwe shida nn
@kelvinjasson5538
2 жыл бұрын
Huyu mtu anasema amenunu waumini kannuwe nawewe Kama unaona sipo kunnua watu
@winfridalazaro296
2 жыл бұрын
Akili ndogo
Wewe shida yako ni stori nyingine ni za uongo
@faustinemavere1450
2 жыл бұрын
Gilbert za kwako za kweli ni zipi acha wivu wa kijinga kama hujapewa karama nyamaza mweee
@ibunbikate3917
2 жыл бұрын
@@faustinemavere1450 amen
@augustabisetsa5007
2 жыл бұрын
We Gilbert , acha zako , hili kitu la mbinguni , linato mustakabali wa maisha ya kiroho na kimwili, anaongea kwa maslahi ya wa tz na watanzania , wewe acha kuponda bila point acha pumba zako mshamba mkubwa wewe, achana na gwajboy , jasus la mbinguni , Tena Shona mdomo , ukifanya shingo ngumu ,litavinjoka ghafla, achana na baba yetu , take your time
@gilbertvicent4229
2 жыл бұрын
Huyu ni moja ya manabii wa uongo hata bible ilitueleza
@winiflidamathias6187
2 жыл бұрын
@@gilbertvicent4229 herI yule aisikiae sauti hii.
Ameeen
Amen
Amen
Amen