JPM alipoongea kwa majonzi akielezea jinsi Mkapa alivyokuwa shujaa wake
“Bila #MzeeMkapa huenda nisingekuwepo hapa nilipo, itoshe tu kusema #Mkapa ni shujaa wangu…hata nilipopatwa na shida ama kupambana na changamoto mbalimbali, #MzeeMkapa hakuniacha,” - Rais John Magufuli
#RIPMzeeMkapa #RIPBenjaminMkapa #AzamTVUpdates #AzamNews
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Пікірлер: 28
Pole Sana mkuu Mwenyezi Mungu akitie nguvu baba
Pole sana mh. Rais
Pole sana Mh Raisi nami nimeumia pia
Dah! Hadi nmelia 😭😭😭pole Sana baba magufuri
Pole Sana Mh Rais
Pole sana mh Rais
Inauma sana
Duuh pole sana rais wangu kweli umeumia sana
Daaaa mgufuli mwisho ameniliza asee daah ameumia sana asee
Pole sana mkuu wngu wa nchi
Pole sana baba
Mungu akupe wepes rais wang
Pole Rais wangu 😥😥
Pole sana mkuu
Pole Mheshimiwa Rais na pole kwetu sote
Pole Sanaa mkuuuu wetuu
Daaaah RIP Big Ben .Rip our father 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole
Tuwe pole Watanzania wote
Viongozi wangu nawapenda
Rip Mzee Magufuli shujaa
Pole jpm
Mazishi ya mkapa
Mazishi ya raisi mkapa
So sorry mr President
Rais umeongea ukweli mtupu pole sana pia watanzania wengi tumeumia sana
HISTORIA YA HAYATI BENJAMIN W. MKAPA KUZALIWA MPAKA KUFARIKI (gusa link👇👇👇 kutazama) kzread.info/dash/bejne/kZaK0ZOTk8fffbQ.html
Pole Sana Mh Rais