JOSHUA MUTARE APOOZA MACHUNGU YA SIMBA ULAYA | ALLY KAMWE AMEYATIMBA KWA CHAMA.

Спорт

JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Пікірлер: 7

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli2 күн бұрын

    Binafsi nimependa sana chama kuondoka mana wakati wake umeisha,,huku kwetu kama dodoki tu

  • @felixmalima3024
    @felixmalima30242 күн бұрын

    Leo chama kuondoka Simba Kawa na majipu kweli muungwana na vitendo

  • @jumamakame3978
    @jumamakame3978Күн бұрын

    Izo mbwembwe tutazizima ngao ya hisani

  • @felixmalima3024
    @felixmalima30242 күн бұрын

    Kwani Simba hamuwezi kukubali viongozi wako walitanganza chama hauwezi kuondoka pls heshimuni maamuzi ya mtu

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala65692 күн бұрын

    Eti wachezaji wangu fala kweli ,ww una wachezaji juzi na dynamos ya Zambia yy alifunga magoli yote mailing mkaingia makundi keo mbovu unaleta wanaliaza

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe65042 күн бұрын

    Chama kama ni hitaji la Simba angebaki, ila toka Muungano tulishatema na ndo mana hajapewa nafasi tena

  • @jaekatwahil8649
    @jaekatwahil86492 күн бұрын

    Mshabiki gani wanaumia chama kaachwa sio kivipi tuumie

Келесі