JOSHUA MUTARE APOOZA MACHUNGU YA SIMBA ULAYA | ALLY KAMWE AMEYATIMBA KWA CHAMA.
Спорт
JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Пікірлер: 7
Binafsi nimependa sana chama kuondoka mana wakati wake umeisha,,huku kwetu kama dodoki tu
Leo chama kuondoka Simba Kawa na majipu kweli muungwana na vitendo
Izo mbwembwe tutazizima ngao ya hisani
Kwani Simba hamuwezi kukubali viongozi wako walitanganza chama hauwezi kuondoka pls heshimuni maamuzi ya mtu
Eti wachezaji wangu fala kweli ,ww una wachezaji juzi na dynamos ya Zambia yy alifunga magoli yote mailing mkaingia makundi keo mbovu unaleta wanaliaza
Chama kama ni hitaji la Simba angebaki, ila toka Muungano tulishatema na ndo mana hajapewa nafasi tena
Mshabiki gani wanaumia chama kaachwa sio kivipi tuumie