JOL MASTER - KINYOZI / UNATAKA STYLE GANI / MASHINE YANGU INAUMIZA? | CHEKA TU
Ойын-сауық
JOL MASTER - KINYOZI / UNATAKA STYLE GANI / MASHINE YANGU INAUMIZA? | CHEKA TU
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 161
Huyu kijana ana uwezo wa kutawala jukwaa na kushirikisha hadhira yake Changamoto: ame focus kwa vijana zaidi (lugha anazotumia zimewalenga vijana lk sio na wazee) USHAUERI: Anaoojiandaa awe anawaza kwamba ucheshi wake *utatazamwa na wazazi na vijana wakiwa pamoja* Hapo atajua jinsi ya kuji tune
@chrystiankagasheckjr.5287
2 жыл бұрын
Kwel kabsa apo ndipo anapokosea Ukijarbu ku campare na zaman wakati anaanza alikuwa na content nzur sana
Huyu jamaa hajui kuchekesha,,,matusi mengi 🤯🤯
@saahtinnoh6421
2 жыл бұрын
REAL JOH
kaz nzuri👏....shida moja tu.. hizii sanaa kwingine zinafuatiliwa na familia yaaani wazazi na watoto wao kwa pamoja....jaribu kubalance ujumbe wako kwa rika zote kwa wakati mmja
@daveme9180
2 жыл бұрын
Upo sahihi mkuu
Huyuu jamaa simuelewagii anatumia nguvuu nyingii Sana kuwachekesha watu .... yaaan halilax
@lusekelocharles8066
2 жыл бұрын
Mmmmmh uongoooo yuko frexbal
@mungatanamedia5157
2 жыл бұрын
Kabisa,,ana force sana
@salhamrisho8138
2 жыл бұрын
Acha wivu mwehu weye nenda weye kama waweza chekesha watu nyooo roho mbaya iyo mbona siye tumecheka
@mastermwakyembe1093
2 жыл бұрын
Sawa kabisa anajichosha Sana hawezi kuchekesha
@joellameck2110
2 жыл бұрын
Kachekeshe wewe
Jol Master unajua saaana.. Keep goin bro
Jol master Big Big Biiiiiiiig Up!
Upo vizuri sana kaka,ila soma vitu vya kutosha njoo kwa steji,maana ukitumia uzoefu tu Muda utakutupa.
@ilomogold1715
2 жыл бұрын
Fact
@daveme9180
2 жыл бұрын
Sure
Kinachosaidia kwake ni kumiliki jukwaa hachoshi
Unajua sema punguza matusi..jarbu kufuata nyendo za Leonardo..harudii mara mbilimbili neno na inapendeza...ww unakazia neno sana
He is my favourate tanzanian comedian. Ila hii show for the first time amefanya chini ya kiwango chake i know he can do better than this
Uyu mwamba hajui kiivo knachomsaidia ana confidence mno lakn material ajitahd sana idea mpya naona kama n mzito kuzipata
Uwakika sana kumbe ushaona eeeh 🎉🎉🎉
GENIOUS
so creative
Matusi Mnoo, huwez angalia ukiwa na wazaz. Au watoto
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daaaaaah
Show nzur matus meng
Umeua sana mwanang
Umeua😂😂😂👏👏
Jol master 😎 umetisha kinoma
Matusi mengi
Nakubali
Joe respect unajua sanaaa
😀😀😀😀😀😀😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sina neno na hichi kipaji
Mwanangu sana ✌✌✌
Unatisha bro big ap oyoooooo
Katika watu wasiojua kuchekesha wewenambari one HUJUI JOMASTER TAFUTA KAZI NYINGINE
Amazing comedian
King
Yukoooo juuuu sana
hawa wasenge wanao kukatisha tamaa hapa me siwasapoti kabisa kitu unacho kifanya ni kikubwa sana mwnangu jol
Big up sana wewe ni hatariii sana.....
Punguza Matusi bro, ila big up sana
Ila uyu kaka anajuw kwel😂😂😂🥰🥰🥰
Kw cheka two huyu kijanah ndie namkubali sanah
Nomaaa san jol hatar
Unajua saan
Dah namkbl xana mwamb
iko pw san
noma huyu
tishaa shaana jol master lakin upangiliaji wako wa kudeliver inakua changamoto kidogo kwa sisi tunaongalia tv seblen tukiwa na familia..! Sanaaa ni pana ila usiipanue hadi ikapanuka
Dah umeua
🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈
😁unajua sana
Namuona deo ndani yako yani
Mbwembwe nyingi sana huyu kijana😂😂
Leo nilikwa na stress but iyi moja imeniondolea udhaufu wote
🤣🤣🤣🤣hiv ana nini huyu kaka 😂😂😂
Unazinguwa tu matusi kibao Kama wasafi tu
Tunajua jol anajua ila anatumia nguvu sana tofaut na Leonardo anatumia akili sana japo stand up comedy sio easy✌✌✌✌
Jol master kanipa confidence kumbe ata mie nikikaza naweza imba singeli 😂😂😂
Umeua
Daaah nilisha wai muuliza mtu ivo mashine inaumiza afu kumbe alikua shoga nilipata tabu sana iyo cku
Ubunifu mdogo
Jol master nakukubali but sikuhiz unaongelea matusi tu dah
@moureennasrah5327
2 жыл бұрын
sanaaaaa
unazingua badirika
Kaumiza sana jana sikucheka nilianzia hapa
kipaji kizur shdaaaa lughaa ni ya matusi kila clip nnayoiona ya kwakoo ikooo hvooo
Hahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sema kukata miuno miuno anazinguaga
Doh kwishney. Amna kitu
Mshkaji simkubali hata siku moja,kwanza the way anaigiza as if anatuchamba bhana...anatubania sauti mara nyingi
Naomba like zangu ahaaaaaa
Nampenda huyu kk jmn😂😂😂😂
😅
Hahahahaha😂😂😂😂
Leonardo wakawaid snaa kw huyu kichaa Jol kanitoa mpk machozi sjy coz ni shabiki yke
😂💥
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Levels, umeua mbaya hahahahahah
Huyo kijana hana adabu anafosi tu kuwa mchekeshaji lakini uwezo wa kuchekesha watu kwa maneno matamu ambayo unaweza kumsikiliza hata ukiwa na familia hana! Ajifunze kwa wadogo zake akina dogo Sele; Sele na utoto wake anaongeaga point watu wote wanacheka bila kulazimishwa sio huyo.
@frankkalanda872
2 жыл бұрын
Anajua sana yupo vzr!
@sumaiyamunisi5228
2 жыл бұрын
Ndo dunia ilivo saiv
@georgeigogo9259
2 жыл бұрын
Nikweli hajui kuchesha
@boniphaceantony4807
2 жыл бұрын
Sipinganii na wew man anatumia nguvuu nyingii Sana koforce wachekeee
@superherotv1750
2 жыл бұрын
Smat umenunua Jana ee
Sipend kupotezewa muda
Kipaji
😂😂😂😂😂😂 ni entertainer
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Comedy za matusi sana ,hata familia inakua ngumu kusikiliza au kuangalia nayo pamoja
@complexjackal2782
2 жыл бұрын
Ili mradi watu wanacheka...na hakuna tusi hapo ni eewe ndo unawaza matusi
@khadifayna4093
2 жыл бұрын
Ww ndio umeelewa ivo ila sisi tumecheka bala 💯
daah nimecheka leo
Tik tok
Kuna uchesh na kuna upumbavu uyu anaongea upumbavu
jamaa anatumia sana nguvu kuchekesha kipaji hana
Joel master chizi hahahahahhahaa
😂😂😂😂
Vinyoz ndo zet
Used hii
huyu kaishiwa siku hizi
Yuko poa
😂😂😂
😄😄😄😂😂😂😂
🤣🤣🤣daah
Ushaishiwa unaparfom matusi😭😭
Hahahhahajhjja
daaH ila Utumie tafsida
Matusi ndio mengi tu hapa
haka kajamaa me skaelewg Kwanz pgo zake kam xhog vile
Amesha ishiwa huyu.
Hamnaga comedian hapa ni chupri chupri tu
Nouma mzee😂😂😂😂
Uchafu tupu hakuna mtu hapa!
Hahahhahahaha mashine yangu inaumiza??