JOL MASTER - KINYOZI / UNATAKA STYLE GANI / MASHINE YANGU INAUMIZA? | CHEKA TU

Ойын-сауық

JOL MASTER - KINYOZI / UNATAKA STYLE GANI / MASHINE YANGU INAUMIZA? | CHEKA TU
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 161

  • @highvoltages4169
    @highvoltages41692 жыл бұрын

    Huyu kijana ana uwezo wa kutawala jukwaa na kushirikisha hadhira yake Changamoto: ame focus kwa vijana zaidi (lugha anazotumia zimewalenga vijana lk sio na wazee) USHAUERI: Anaoojiandaa awe anawaza kwamba ucheshi wake *utatazamwa na wazazi na vijana wakiwa pamoja* Hapo atajua jinsi ya kuji tune

  • @chrystiankagasheckjr.5287

    @chrystiankagasheckjr.5287

    2 жыл бұрын

    Kwel kabsa apo ndipo anapokosea Ukijarbu ku campare na zaman wakati anaanza alikuwa na content nzur sana

  • @mossesgadiye2200
    @mossesgadiye22002 жыл бұрын

    Huyu jamaa hajui kuchekesha,,,matusi mengi 🤯🤯

  • @saahtinnoh6421

    @saahtinnoh6421

    2 жыл бұрын

    REAL JOH

  • @wilsonedger1298
    @wilsonedger12982 жыл бұрын

    kaz nzuri👏....shida moja tu.. hizii sanaa kwingine zinafuatiliwa na familia yaaani wazazi na watoto wao kwa pamoja....jaribu kubalance ujumbe wako kwa rika zote kwa wakati mmja

  • @daveme9180

    @daveme9180

    2 жыл бұрын

    Upo sahihi mkuu

  • @boniphaceantony4807
    @boniphaceantony48072 жыл бұрын

    Huyuu jamaa simuelewagii anatumia nguvuu nyingii Sana kuwachekesha watu .... yaaan halilax

  • @lusekelocharles8066

    @lusekelocharles8066

    2 жыл бұрын

    Mmmmmh uongoooo yuko frexbal

  • @mungatanamedia5157

    @mungatanamedia5157

    2 жыл бұрын

    Kabisa,,ana force sana

  • @salhamrisho8138

    @salhamrisho8138

    2 жыл бұрын

    Acha wivu mwehu weye nenda weye kama waweza chekesha watu nyooo roho mbaya iyo mbona siye tumecheka

  • @mastermwakyembe1093

    @mastermwakyembe1093

    2 жыл бұрын

    Sawa kabisa anajichosha Sana hawezi kuchekesha

  • @joellameck2110

    @joellameck2110

    2 жыл бұрын

    Kachekeshe wewe

  • @naitwachilipo892
    @naitwachilipo8922 жыл бұрын

    Jol Master unajua saaana.. Keep goin bro

  • @angelangelica5342
    @angelangelica53422 жыл бұрын

    Jol master Big Big Biiiiiiiig Up!

  • @mahuvesebastian1916
    @mahuvesebastian19162 жыл бұрын

    Upo vizuri sana kaka,ila soma vitu vya kutosha njoo kwa steji,maana ukitumia uzoefu tu Muda utakutupa.

  • @ilomogold1715

    @ilomogold1715

    2 жыл бұрын

    Fact

  • @daveme9180

    @daveme9180

    2 жыл бұрын

    Sure

  • @munasaid1429
    @munasaid14292 жыл бұрын

    Kinachosaidia kwake ni kumiliki jukwaa hachoshi

  • @reganuisso1256
    @reganuisso12562 жыл бұрын

    Unajua sema punguza matusi..jarbu kufuata nyendo za Leonardo..harudii mara mbilimbili neno na inapendeza...ww unakazia neno sana

  • @kenedymwamagemo1066
    @kenedymwamagemo10662 жыл бұрын

    He is my favourate tanzanian comedian. Ila hii show for the first time amefanya chini ya kiwango chake i know he can do better than this

  • @musason1680
    @musason16802 жыл бұрын

    Uyu mwamba hajui kiivo knachomsaidia ana confidence mno lakn material ajitahd sana idea mpya naona kama n mzito kuzipata

  • @user-eo1qy1zh7r
    @user-eo1qy1zh7r2 ай бұрын

    Uwakika sana kumbe ushaona eeeh 🎉🎉🎉

  • @ibrahimzuberi1029
    @ibrahimzuberi10292 жыл бұрын

    GENIOUS

  • @mwljei.k3094
    @mwljei.k30942 жыл бұрын

    so creative

  • @cloneltv
    @cloneltv2 жыл бұрын

    Matusi Mnoo, huwez angalia ukiwa na wazaz. Au watoto

  • @chybuwagwantaz8054
    @chybuwagwantaz80542 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @johnsaidy1677
    @johnsaidy16772 жыл бұрын

    Daaaaaah

  • @vestinathobias1698
    @vestinathobias16982 жыл бұрын

    Show nzur matus meng

  • @realymg545
    @realymg5452 жыл бұрын

    Umeua sana mwanang

  • @user-wr6lc3jz6g
    @user-wr6lc3jz6g2 жыл бұрын

    Umeua😂😂😂👏👏

  • @jevuofficial5266
    @jevuofficial52662 жыл бұрын

    Jol master 😎 umetisha kinoma

  • @eliudkwesigabo9321
    @eliudkwesigabo93212 жыл бұрын

    Matusi mengi

  • @mkadinali_ent.
    @mkadinali_ent.2 жыл бұрын

    Nakubali

  • @mackmtata8277
    @mackmtata82772 жыл бұрын

    Joe respect unajua sanaaa

  • @mboyamwamba2591
    @mboyamwamba25912 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀😀😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sina neno na hichi kipaji

  • @dismasjumanne4646
    @dismasjumanne46462 жыл бұрын

    Mwanangu sana ✌✌✌

  • @edsonjrtz7676
    @edsonjrtz76762 жыл бұрын

    Unatisha bro big ap oyoooooo

  • @mastermwakyembe1093
    @mastermwakyembe10932 жыл бұрын

    Katika watu wasiojua kuchekesha wewenambari one HUJUI JOMASTER TAFUTA KAZI NYINGINE

  • @sultanprime6840
    @sultanprime68402 жыл бұрын

    Amazing comedian

  • @edwardmdee2002
    @edwardmdee20022 жыл бұрын

    King

  • @moseshandsam1865
    @moseshandsam18652 жыл бұрын

    Yukoooo juuuu sana

  • @exarakimay8490
    @exarakimay84902 жыл бұрын

    hawa wasenge wanao kukatisha tamaa hapa me siwasapoti kabisa kitu unacho kifanya ni kikubwa sana mwnangu jol

  • @ramaalmas8118
    @ramaalmas81182 жыл бұрын

    Big up sana wewe ni hatariii sana.....

  • @deusdeodavid5360
    @deusdeodavid53602 жыл бұрын

    Punguza Matusi bro, ila big up sana

  • @azibossladykenny2455
    @azibossladykenny24552 жыл бұрын

    Ila uyu kaka anajuw kwel😂😂😂🥰🥰🥰

  • @shakaramoskeone1087
    @shakaramoskeone10872 жыл бұрын

    Kw cheka two huyu kijanah ndie namkubali sanah

  • @snashbwaii170
    @snashbwaii1702 жыл бұрын

    Nomaaa san jol hatar

  • @davido-scooper9471
    @davido-scooper94712 жыл бұрын

    Unajua saan

  • @Donebyresbees
    @Donebyresbees2 жыл бұрын

    Dah namkbl xana mwamb

  • @marrymwalongo
    @marrymwalongo4 ай бұрын

    iko pw san

  • @nassprincetz
    @nassprincetz2 жыл бұрын

    noma huyu

  • @iemsunnah5517
    @iemsunnah55172 жыл бұрын

    tishaa shaana jol master lakin upangiliaji wako wa kudeliver inakua changamoto kidogo kwa sisi tunaongalia tv seblen tukiwa na familia..! Sanaaa ni pana ila usiipanue hadi ikapanuka

  • @elizabethopere2784
    @elizabethopere27842 жыл бұрын

    Dah umeua

  • @meshack3266
    @meshack32662 жыл бұрын

    🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈

  • @trumptz6821
    @trumptz68212 жыл бұрын

    😁unajua sana

  • @ibrahimabdallah2874
    @ibrahimabdallah28742 жыл бұрын

    Namuona deo ndani yako yani

  • @davisonlema538
    @davisonlema5382 жыл бұрын

    Mbwembwe nyingi sana huyu kijana😂😂

  • @kweturaha439
    @kweturaha4392 жыл бұрын

    Leo nilikwa na stress but iyi moja imeniondolea udhaufu wote

  • @hasnajuma5567
    @hasnajuma55672 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣hiv ana nini huyu kaka 😂😂😂

  • @tuesdaymeli8458
    @tuesdaymeli84582 жыл бұрын

    Unazinguwa tu matusi kibao Kama wasafi tu

  • @njoroboihustla125
    @njoroboihustla1252 жыл бұрын

    Tunajua jol anajua ila anatumia nguvu sana tofaut na Leonardo anatumia akili sana japo stand up comedy sio easy✌✌✌✌

  • @Young9John
    @Young9John2 жыл бұрын

    Jol master kanipa confidence kumbe ata mie nikikaza naweza imba singeli 😂😂😂

  • @edsonjrtz7676
    @edsonjrtz76762 жыл бұрын

    Umeua

  • @chingychingy2066
    @chingychingy20662 жыл бұрын

    Daaah nilisha wai muuliza mtu ivo mashine inaumiza afu kumbe alikua shoga nilipata tabu sana iyo cku

  • @malickkasuga4805
    @malickkasuga48052 жыл бұрын

    Ubunifu mdogo

  • @winndelule2302
    @winndelule23022 жыл бұрын

    Jol master nakukubali but sikuhiz unaongelea matusi tu dah

  • @moureennasrah5327

    @moureennasrah5327

    2 жыл бұрын

    sanaaaaa

  • @smilemediatz
    @smilemediatz2 жыл бұрын

    unazingua badirika

  • @lusekelocharles8066
    @lusekelocharles80662 жыл бұрын

    Kaumiza sana jana sikucheka nilianzia hapa

  • @gaudencekanut902
    @gaudencekanut902 Жыл бұрын

    kipaji kizur shdaaaa lughaa ni ya matusi kila clip nnayoiona ya kwakoo ikooo hvooo

  • @msalikemedia
    @msalikemedia2 жыл бұрын

    Hahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala9272 жыл бұрын

    Sema kukata miuno miuno anazinguaga

  • @godfreyathumani9912
    @godfreyathumani99122 жыл бұрын

    Doh kwishney. Amna kitu

  • @martineemmanuel1613
    @martineemmanuel16132 жыл бұрын

    Mshkaji simkubali hata siku moja,kwanza the way anaigiza as if anatuchamba bhana...anatubania sauti mara nyingi

  • @spensa86djtz61
    @spensa86djtz612 жыл бұрын

    Naomba like zangu ahaaaaaa

  • @kadegashibani5934
    @kadegashibani59342 жыл бұрын

    Nampenda huyu kk jmn😂😂😂😂

  • @salim02tv24
    @salim02tv242 жыл бұрын

    😅

  • @zaynabiddy3843
    @zaynabiddy38432 жыл бұрын

    Hahahahaha😂😂😂😂

  • @ferouzfernandes3162
    @ferouzfernandes31622 жыл бұрын

    Leonardo wakawaid snaa kw huyu kichaa Jol kanitoa mpk machozi sjy coz ni shabiki yke

  • @paulmgoli4853
    @paulmgoli48532 жыл бұрын

    😂💥

  • @chybuwagwantaz8054
    @chybuwagwantaz80542 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @yessekindi4625
    @yessekindi46252 жыл бұрын

    Levels, umeua mbaya hahahahahah

  • @EliakimuCharles
    @EliakimuCharles2 жыл бұрын

    Huyo kijana hana adabu anafosi tu kuwa mchekeshaji lakini uwezo wa kuchekesha watu kwa maneno matamu ambayo unaweza kumsikiliza hata ukiwa na familia hana! Ajifunze kwa wadogo zake akina dogo Sele; Sele na utoto wake anaongeaga point watu wote wanacheka bila kulazimishwa sio huyo.

  • @frankkalanda872

    @frankkalanda872

    2 жыл бұрын

    Anajua sana yupo vzr!

  • @sumaiyamunisi5228

    @sumaiyamunisi5228

    2 жыл бұрын

    Ndo dunia ilivo saiv

  • @georgeigogo9259

    @georgeigogo9259

    2 жыл бұрын

    Nikweli hajui kuchesha

  • @boniphaceantony4807

    @boniphaceantony4807

    2 жыл бұрын

    Sipinganii na wew man anatumia nguvuu nyingii Sana koforce wachekeee

  • @superherotv1750

    @superherotv1750

    2 жыл бұрын

    Smat umenunua Jana ee

  • @shabaniramadhani8891
    @shabaniramadhani88912 жыл бұрын

    Sipend kupotezewa muda

  • @hassansozigwa3475
    @hassansozigwa34752 жыл бұрын

    Kipaji

  • @Juli-ep9dn
    @Juli-ep9dn11 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂 ni entertainer

  • @mariellerashidi4649
    @mariellerashidi46492 жыл бұрын

    🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

  • @kingmicky1002
    @kingmicky10022 жыл бұрын

    Comedy za matusi sana ,hata familia inakua ngumu kusikiliza au kuangalia nayo pamoja

  • @complexjackal2782

    @complexjackal2782

    2 жыл бұрын

    Ili mradi watu wanacheka...na hakuna tusi hapo ni eewe ndo unawaza matusi

  • @khadifayna4093

    @khadifayna4093

    2 жыл бұрын

    Ww ndio umeelewa ivo ila sisi tumecheka bala 💯

  • @sizonitvtz1028
    @sizonitvtz10282 жыл бұрын

    daah nimecheka leo

  • @mwljuliuskiwovele223
    @mwljuliuskiwovele2232 жыл бұрын

    Tik tok

  • @mussamussa8181
    @mussamussa81812 жыл бұрын

    Kuna uchesh na kuna upumbavu uyu anaongea upumbavu

  • @pettersongrouptz8419
    @pettersongrouptz84192 жыл бұрын

    jamaa anatumia sana nguvu kuchekesha kipaji hana

  • @rizoibrahimovich8297
    @rizoibrahimovich82972 жыл бұрын

    Joel master chizi hahahahahhahaa

  • @muniramohammed2328
    @muniramohammed23282 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @davido-scooper9471
    @davido-scooper94712 жыл бұрын

    Vinyoz ndo zet

  • @naimunaimu2312
    @naimunaimu23122 жыл бұрын

    Used hii

  • @msukuma1
    @msukuma12 жыл бұрын

    huyu kaishiwa siku hizi

  • @abuuabdul1792
    @abuuabdul17922 жыл бұрын

    Yuko poa

  • @tantinebettynduwimana380
    @tantinebettynduwimana3802 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @josiahlukondy7855
    @josiahlukondy78552 жыл бұрын

    😄😄😄😂😂😂😂

  • @Swahili_Nation_Studios
    @Swahili_Nation_Studios2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣daah

  • @issackmaduhu3737
    @issackmaduhu37372 жыл бұрын

    Ushaishiwa unaparfom matusi😭😭

  • @thelastking5180
    @thelastking51802 жыл бұрын

    Hahahhahajhjja

  • @mwljuliuskiwovele223
    @mwljuliuskiwovele2232 жыл бұрын

    daaH ila Utumie tafsida

  • @alverztv6272
    @alverztv62722 жыл бұрын

    Matusi ndio mengi tu hapa

  • @frans_dede
    @frans_dede2 жыл бұрын

    haka kajamaa me skaelewg Kwanz pgo zake kam xhog vile

  • @piusphilip307
    @piusphilip3072 жыл бұрын

    Amesha ishiwa huyu.

  • @dansonnjile6010
    @dansonnjile60102 жыл бұрын

    Hamnaga comedian hapa ni chupri chupri tu

  • @yohanajoseph6948
    @yohanajoseph69482 жыл бұрын

    Nouma mzee😂😂😂😂

  • @richardkonzo5717
    @richardkonzo57172 жыл бұрын

    Uchafu tupu hakuna mtu hapa!

  • @deejulesdonatha4107
    @deejulesdonatha41072 жыл бұрын

    Hahahhahahaha mashine yangu inaumiza??

Келесі