DAKIKA 7 ZA ELIUD MLIMANI CITY

Комедия

Пікірлер: 83

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu2394 ай бұрын

    Eliudi ni comedian ambae anachekesha vitu vinavyoendelea mda huo huo hajiandai na point Wala vikalatasi , ni kipaji kutoka kwa mungu kabisa automatic, aminia sana

  • @PauloFlorence
    @PauloFlorence4 ай бұрын

    Eliud best comedian wa mda wote....alafu hatukani wala hadhihaki, anamtanguliza Mungu. 😊

  • @clementbonifasi3515
    @clementbonifasi35154 ай бұрын

    ila Eliud jamani. The best talented comedian. Mungu kakubariki sana Kwa hicho kipaji chako. Kufanya watu zaidi 200 wacheke si kazi ndogo. BIGUP TO U

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo62364 ай бұрын

    Elliud is the best comedian. Nimeishi Mbeya kwahiyo nikisikia anaongea nakumbuka Mbeya Tukuyu,Kyela, Ipinda, Masoko,Ushirika, Kiwira huko.

  • @simonngailo
    @simonngailo2 ай бұрын

    Bro eliud akika mungu kakubaliki sana na ndio maana kakupa kipaji unaiwakilisha mbeya yetu kaka

  • @benardmapuga4737

    @benardmapuga4737

    2 ай бұрын

    Sio mbeya yenu tu Tz nzima tunamfuatilia na kumkubali

  • @user-gy3wo2ez4d
    @user-gy3wo2ez4d4 ай бұрын

    Kwenye tunasuburia lifti tunanyanyasika sana ata aturelax mda wote macho yapo kw mwenye gari 😂😂😂 ... eee mungu tuone na sisi❤

  • @alonijoseph5466
    @alonijoseph54664 ай бұрын

    Nimekuwa wa kwanza naomben like Zang 🔥🔥🔥

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer87064 ай бұрын

    Jamani nimekuwa wa 9 Naombeni like Zenu kwa niaba ya Eliud samweli ❤

  • @user-vy2fc5nc5u
    @user-vy2fc5nc5u4 ай бұрын

    Waomba like sijui niwatukane kidogo maana mnakela kweli kweli kama hizo like zinafaida si bora mseme tufaidike wote na sio kukaa mnaomba like kila muda

  • @dolveyzabdi4261

    @dolveyzabdi4261

    4 ай бұрын

    Sasa wew zinakusaidia nn😏

  • @barakakusa7606

    @barakakusa7606

    4 ай бұрын

    Haya chukua hizo uone kama zinafaida😅

  • @freystar2684

    @freystar2684

    4 ай бұрын

    Baada ya m2 kutona maon yake baada yakuona kituflan yeye anataka like😊

  • @agripinagaudence7744

    @agripinagaudence7744

    4 ай бұрын

    Siipendi comment ya kuomba like

  • @macdonaldmassawe6277

    @macdonaldmassawe6277

    4 ай бұрын

    Mi sielewagi mtu akiwa wakwanza labda kuangalia au kucomment anaomba like sasa sijui huwa wanalipwa kutokana na like nyingi 😅😅

  • @MartinGaitan-nj9ef
    @MartinGaitan-nj9ef2 ай бұрын

    Kaka mungu aibilik Kaz ya mikono yako ❤

  • @Egon-rg6go
    @Egon-rg6go4 ай бұрын

    God bless you bro unajuaa sanaa

  • @rizspecial4669
    @rizspecial46693 ай бұрын

    Ila huyu jamaa anapiga story tu hakulazimishi kucheka ila utacheka tu🔥🔥🔥😀

  • @tiopherysanga2934
    @tiopherysanga29342 ай бұрын

    umetisha home boy mtoa lift uwe naye makini japo ana vits

  • @FanyJimmy
    @FanyJimmy4 ай бұрын

    😂😂😂😂et mmekalili nyimbo week mbili 😀😀😀😀 ila eliiiii

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx30434 ай бұрын

    Eliud ndmaan halis ya StandUp comedy

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob4 ай бұрын

    Msanii anaonekana kwa mbaaaaaaali sasa sijui unataka tuone nini

  • @PASTORELIYANGILANGWA
    @PASTORELIYANGILANGWA4 ай бұрын

    Mko vizuri

  • @hilaryroberts7466
    @hilaryroberts74664 ай бұрын

    Brother Unajua Sanaa

  • @user-tv1do5fb8r
    @user-tv1do5fb8r4 ай бұрын

    Amen 🙏

  • @neemasamwel9545
    @neemasamwel95454 ай бұрын

    Uwiii nimecheka kama mwehu Eliud🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mathiaslyimo9373
    @mathiaslyimo93734 ай бұрын

    Aisee hii kiboko, nimecheka hatari 😂😂😂😂

  • @LastyBonyshoka
    @LastyBonyshoka4 ай бұрын

    Apo Safi sana kaka

  • @triceta1234
    @triceta12344 ай бұрын

    Eliud the best🙌🙌🙌

  • @tycoon9540
    @tycoon95404 ай бұрын

    Eliud natambua kwamba hapo upo tukio la mziki/injili ya dini Ila jitahidi unapokuwa kwenye kumbi zingine ujue kwamba mashabk waliopo ni wa dini tofauti,, hvyo toa salamu zinazogusa dini zote Mara kwa mara nimekuona ukitoa salama za kuegemea upande mmoja ilhali unakuta upo ktk kumbi yenye kuhudhuriwa na watu wa dini tofauti tofauti

  • @nathanielmpalila567

    @nathanielmpalila567

    4 ай бұрын

    Hyo ni ibada ..iliyoambatana na praise and worship.... Kwa hyo lazima asalimie kutokana na ibada ..

  • @evasilaa9064

    @evasilaa9064

    4 ай бұрын

    Ulishawahi kuona waislam wameenda mahali wakasema Bwana Yesu asifiwe? Sisi wakristo tunajifanyaga siyo wa kirohoo yaani uonekane mzurii wewe fanya research popote Waislamu wakisimama mahali salamu yao ni moja tu sasa kwa nini sisi tusiwe na salamu moja itaka usiitike hiyo ndo salam

  • @tycoon9540

    @tycoon9540

    4 ай бұрын

    @@nathanielmpalila567 najua hilo ndo maana sentensi yangu ya kwanza nimerealize hilo Ila nimempa angalizo pale anapokuwa kwenye kumbi zenye kukusanya watu wa dini tofauti azingatie nilichoshauri just for his prosperity growth SANAA ni pamoja na kutambua hadhira unayoenda kuiburudisha

  • @tycoon9540

    @tycoon9540

    4 ай бұрын

    @@evasilaa9064 Hayo pía ni mapungufu ya hao wanaoshindwa kuaddress hilo Ila Mamá Samia, PM Majaliwa Kabudi nishasikia wakisalimia kwa salamu zote mbili

  • @anjelmoses624

    @anjelmoses624

    4 ай бұрын

    Wee nae kama utaki acha embu muache unafki hiyo aleluya inakukera nini mbona kuna anko zumo hajawahi salimia kawaida zaidi ya kislam embu acheni kujiona watakatifu mnaniboa kiukwel

  • @LiboryMulunga
    @LiboryMulunga4 ай бұрын

    Unagusa TU hutumii nguvu

  • @kikotimedia6638
    @kikotimedia66384 ай бұрын

    Talented

  • @DianaRose-kh7sr
    @DianaRose-kh7sr2 ай бұрын

    ❤❤

  • @PASTORELIYANGILANGWA
    @PASTORELIYANGILANGWA4 ай бұрын

    Tunaipataje Live hiyo event???

  • @atupelemsomba5451
    @atupelemsomba5451Ай бұрын

  • @MiracleJeremia
    @MiracleJeremiaАй бұрын

    Unajua sana kaka

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano3334 ай бұрын

    Eliudi we ni noma

  • @ed1goandshine844
    @ed1goandshine8444 ай бұрын

    Unajua home boy

  • @Lizyokoye
    @Lizyokoye4 ай бұрын

    Kwann kibamba jaman

  • @patientlazaro6930
    @patientlazaro69304 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅 eti G flat ama hapo kapiga flat/ out of key 😅😅😅😂😂 Kama vile kweli

  • @francistuntufye7941

    @francistuntufye7941

    4 ай бұрын

    😂😂😂

  • @petermsabi2830
    @petermsabi28304 ай бұрын

    Eliud noma

  • @REBEKAHAMISI
    @REBEKAHAMISI4 күн бұрын

    Unajuwa wakwetu

  • @kelvinkaribuhe4189
    @kelvinkaribuhe41892 ай бұрын

    Jamaa anajuwa

  • @tawiso_online_tv.
    @tawiso_online_tv.4 ай бұрын

    Eliud fungua kanisa😂😂

  • @WetchiKhams
    @WetchiKhams4 ай бұрын

    🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @FrankAugustino
    @FrankAugustino2 ай бұрын

    😅😅

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob4 ай бұрын

    Mpiga picha hajui

  • @NordPictures012

    @NordPictures012

    2 ай бұрын

    Wee unae jua upo wap

  • @Dronepilottz
    @Dronepilottz4 ай бұрын

    Mwagona

  • @user-yj5zw8yi5i

    @user-yj5zw8yi5i

    4 ай бұрын

    Ewani zimbombo

  • @user-om7pp7zo6y
    @user-om7pp7zo6y4 ай бұрын

    😂😂😂😂❤🎉

  • @Mashema_media
    @Mashema_media3 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅

  • @chalamilaprinciple4164
    @chalamilaprinciple41644 ай бұрын

    😂😂

  • @giggsmsogoya4406
    @giggsmsogoya44064 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @evianarafael8965
    @evianarafael8965Ай бұрын

    😅😅😅❤❤❤

  • @fwalotv5625
    @fwalotv56254 ай бұрын

    🎉🎉😢🎉

  • @davidawet3214
    @davidawet32143 ай бұрын

    😂,😂😂

  • @Oredi_Mweusi444
    @Oredi_Mweusi4444 ай бұрын

    😂😂❤❤

  • @neemasamwel9545
    @neemasamwel95454 ай бұрын

    Ila Eliud 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @cbegram6161
    @cbegram61613 ай бұрын

    Hivi mc madevu yupo wapi jamani

  • @gracekikula6279

    @gracekikula6279

    9 күн бұрын

    Hata mimi natamani kujua aisee!yuko vizuri sana madevu

  • @PatriciaJoseph-fq5nw
    @PatriciaJoseph-fq5nw4 ай бұрын

    Eliudii😂😂😂

  • @user-zj3ev9eu9w
    @user-zj3ev9eu9w3 ай бұрын

    .

  • @shadrackadam4506
    @shadrackadam45064 ай бұрын

    😂😂😂😂 hahahaha

  • @floramallema8555
    @floramallema85554 ай бұрын

    😅😅😅😅😅🎉❤

  • @Dady-B
    @Dady-B4 ай бұрын

    😅kaka 😂😂😂😂

  • @tiopherysanga2934
    @tiopherysanga29342 ай бұрын

    leo umegundua akina samuel wote nishort

  • @naperiantv7297
    @naperiantv72974 ай бұрын

    😂😂

  • @georgedionizi4574
    @georgedionizi45744 ай бұрын

    😂😂😂

  • @user-dj2vm7lb6x
    @user-dj2vm7lb6x4 ай бұрын

    😂😂

  • @JumaKassim-ig1bw
    @JumaKassim-ig1bw3 ай бұрын

    😂😂😂

Келесі