JOGOO LA MAAJABU, ANAUZWA LAKI 3, YAI LAKE MOJA ELFU 20, ANAYEMFUGA AFUNGUKA - "NI MKUBWA DUNIANI"
JOGOO LA MAAJABU, ANAUZWA LAKI 3, YAI LAKE MOJA ELFU 20, ANAYEMFUGA AFUNGUKA - "NI MKUBWA DUNIANI"
GLOBAL TV ipo viwanja vya sabasaba kwenye maonesho ya biashara ambapo tumetembelea banda la mfanyabiashara anayefuga kuku ambao anawauza kwa shilingi laki tatu..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 129
SUBSCRIBE NOW UWE WA KWANZA KUONA:👉🏾 bit.ly/3MraYdQ
@kulthumhaji6928
2 жыл бұрын
Maendeleo hsyo.
@Youth-for-Jesus
2 жыл бұрын
Wekeni numba za mfugaji
@mathossecuritycompanyltd6306
2 жыл бұрын
ukwel dada hajui kuhoji kwa tija ya watizamaji, namba ya sim, jinalake la kibiashara mtandaoni anapatikanaje. Tumejua kweli hao kuku Sasa umetusaidiaje mawasiliano dada uwe unatuliza kichwa.
Hongera Masawe kwa kazi nzuri, hao kuku mwaka Jana niliuziwa mmoja laki name jike na jogoo kwasasa ninakuku 60 wanakaribia ukubwa huo na nishauza kuku 16 kwa Bei ya shilling 250000 na nivifaranga so ni kazi nzuri sana
@jacksonjonathan2262
2 жыл бұрын
Uko wapi ndg
@cantonaiddy6042
2 жыл бұрын
Namba yako tafadhari
@rehemamgaya5289
2 жыл бұрын
Uko wapi kaka namba yako tafadhali
@emmanuelpeter5686
2 жыл бұрын
Acha urofa masawe Ana maajabu gani sasa huyo ni kiki wa kawaida sama hata mimi ninae hauzwi bei hiyo unataka kuwaibia watu
@gesha4759
2 жыл бұрын
Ya kweli hayo?
Huyu ndo jogoo wa ajabu yule tuliomsoma ktk kitabu cha hadithi cha shule au?
@RobbyDejan1234
2 жыл бұрын
Hadithi ya Pazi na jogoo wa ajabu. 🤣
Namba ya cm please
Mashaalah
Wow jogoo mtagaji dunia iko mbio🤭
Duuuuu, au. Ndie. Wale wa kitabuni Kampindua. Mtu chin juu🤣🤣🤣🤣
namba ya simu
Mweshimiwa vifaranga shingi ngapi naunapatikana wapi tupe mawasili6
Please can you give out your contact from Kenya
Kaka naomb namb yako tafadhali sana
Dada anajua kuhoji maswali yenye mantiki
Namba zake Tunaomba pls
Namba ya simu please
Tuma namba na bei ya vifaranga
Uko wapi Nairobi.?
Kaka nakupataje mbn nimekuelewa
Dar anapatikana wap ?
Siachi kula kuku wa kienyeji amabe elfu ishirini unapata na mtamu ile mbaya, ila kwa laki tatu kuku mmoja duh watanisubiri san
Hayo kweli maajabu, Jogoo kuwa na yai
@gladysnjeri9640
2 жыл бұрын
Nairobi unapatikana wapi?
Naomba namba ya simu. Namuhitaji huyo jogoo na jike
😳
Tupe namba yako kaka tumeipenda kazk yako .anshallah
Naomba namba yako bro
Tupe namba
Helow
naweza kupata namba ya huyu mfugaji
Global tusaidie tupate namba ya huyo Mjasiriamali
huna akili wew njoo uone wapo zaid ya kilo sita
Mbona hajatag number "mawasiliano" yake
Jogoo anataga yayi 😂😂😂😂
@warakawayohana2896
2 жыл бұрын
Mtangazaji ameshidwa kuuliza hilo🤭
Nitapataje namba zake huyo muuza kuku
No.ya simu
Mm naitwa Judy nitawapataj
Nitumie namba yako kaka nikutafute
Vifaranga bei Gani?
Kku lk3 sio dar
Namba tafadhali
Mawasiliano tafadhali. Simu na email na anuani ya makazi. Please. Tunataka mbegu.
@subethchuwa3989
Жыл бұрын
Namba yako
Uyo mbn bei rahc yupo kuku million
Naomba number nahitaji mayai au vifaranga
Number ya simu
Bei yakifaranga nishingapi?
Naitaji kumu namba ya simu ndio sijui nope namba kaka
Tutawapata vp hawakuku number ya cm please
Nawapata vipi hawa kuku nikiwa Kenya?
Kwanza hyo kuku maradhi matupu kuku atatokea ujerumani alafu hna ukubwa wa ivo Turkey mashambani wanakuku wakubwa zaid ya hao kuku hasa ni wakiafrika pekee.
Napataje mayai yake?
Kifaranga kimoja shingapi
Je Varanga vinapatikana? na kwa njia gani
Naomba namba nipate jinsi ya kupata vifaranga
@hafidhjuma8276
8 ай бұрын
nipo kigamboni vifaranga vipo
Number ya simu tafadhali
Namba ya cm tafadhali
Mimi niko shinyanga nitawapataje vifalanga ?
HONGERA MASAWE
Yani uyo mdogo kabsa njoo indonesia uone kuku wa maajabu wakubwa sana
@mwavamwambarkissensi7586
2 жыл бұрын
Kaka naweza kupata mayai ya hao kuku wa Indonesia
@emmanuelshayo4703
2 жыл бұрын
@@mwavamwambarkissensi7586 kama kweli yupo Indonesia atakusaidia
Nahitaji jamani mayai
Hujaweka mawasiliano yake sasa??
Hakuna kuku mwenye thamani ya juu nchini Tanzania kama kuku aina kuchi njoo kanda ya ziwa wapo wengi sana harafu hawana gharama za usimamizi wake 🙆🙆🙆😄
@rayisadesigns2646
2 жыл бұрын
sio kanda ya ziwa tu pia Tanzania nzima wapo na bei kama ulivyosema ni nafuu, lakini kwa bei hii ya huyu jamaa mh!!
@ombentemba1432
Жыл бұрын
Hao kuchi nawapataaje?
Naweza pataje hii mbegu?
Nikweli uyo kuku anastahiki iyo bei nanenane mwaka juz alikuwa anuzwa laki nane alikuwa anakila kg 8
Ila bei ya vifaranga hatujajua.
@hafidhjuma8276
8 ай бұрын
nipo kigamboni vifaranga vipo
Hamjatoa mawasiliano
Wewe mtangazaji wa ajabu sana mbona hujaweka mawasiliano yake? Unadhani wafugaji waanaishi Dar?
Naomba nipate mayai yake, niko nairobi
Mbona Kama Ni wa kawaida tu, labda kwasabb katoka ujerumani
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
😂😂😂Umeonaee
Tokalini jogoo atagemayai?
@malak-lz6kx
2 жыл бұрын
Ndio hpo nashangaa mie ujue sio kuku hyo
Namba unijulishe unapatikana wapi nakupateje
Unauza laki3 ila kwa kila baada miez mi2 au unauza kwa kila cku? Hiyo ni mwaka kwa vuli.
Huyo siokuku original hayo nimagonjwa yakigeni
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
😂😂
inakuja na Ugali yake tyare?
Mbona hamkutupa mawasiliano tunahitaji hyo mbegu
Wekeni na mawasiliano yenu Sasa
Nenda Moshi Longuo, kwa Mama kuku, Kuku wakubwa mpaka kilo 7 kwa shs 25000 tu
@tommp7077
2 жыл бұрын
namba ya huyo mama bas naomba
utamu ni upishi
Vifaranga unauza bei gani nije ninunue
Jogoo kwani anatagaga jamani
@swaumdodoma7591
2 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Nimejiuliza pia ikabidi nirudi Mara Tatu kusoma kichwa cha Habari nilijua ninawenge😁😁😁😁😁😁
Namtaka huyo kuku
Sasa kuliko nifuge kuku miaka miwil kasoro ndio niwez kumuuza,...si bora nifuge ngurue namwuza baada ya miez sita
@uledimtumwa2406
2 жыл бұрын
Wewe Nguruwe ni halamu acha uroho. Bora ufuge Mbuzi boya wewe.
@pasteurmardocheemwale2023
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Yani laki tatu kwa kuku ni bei ya kawaida inaonekana bado hujakutana na wafugaji.
@muhammedwakif6216
2 жыл бұрын
Sana
Vicaranga beigani
@charleskapaya4248
2 жыл бұрын
Kifaranga ni bei gani. Namayai hutotoa kwa muda ileile siku 21?
tunaomba mawasiliano tupate nasi hao kuku
Joti
Kama wanalishwa antibiotics Mmmh!!
@judithkatabaro3294
2 жыл бұрын
Sio kweli hao ni kuku wanjr
@maswamills3161
2 жыл бұрын
@@judithkatabaro3294 wanjiro Arusha?sijaelewa
Huu ndio uongo yupo kochi wa kisukuma anaukubwa kama mbuzi
Vpi bro unapatikana vpi au wapi???
@sebagasper1651
2 жыл бұрын
0768475228
@morisigahungu3778
2 жыл бұрын
Ongela Sana kijana mimi nahitaji mawasiriano naomba numba ya whatsapp iri tuongee
Brahma ni kuku wa asili ya marekani, ujeruman uko ni kama walivyo hao hapa bongo
Uyo kuku ni mbuz
@edsongamuga1814
2 жыл бұрын
Hapana ni nguruwe!
@awathtupa6362
2 жыл бұрын
Wakawaida tu njooni vijijini muone mijogooo hayo nimanyoya tu
@Awatee
2 жыл бұрын
@@edsongamuga1814 🤣🤣
@havertzclement689
2 жыл бұрын
@@awathtupa6362 sidhani Kwa uku shmba nilpo kma Kuna mtu anaweza kununua Kwa iyo Bei kma bata mzinga ukiuza Kwa Bei ya lak na 20 wanalia san
@godfreysamson3069
2 жыл бұрын
Maana ake apo kwanza nichekee😂
Naomba namba yako bro