JOGOO LA MAAJABU, ANAUZWA LAKI 3, YAI LAKE MOJA ELFU 20, ANAYEMFUGA AFUNGUKA - "NI MKUBWA DUNIANI"

JOGOO LA MAAJABU, ANAUZWA LAKI 3, YAI LAKE MOJA ELFU 20, ANAYEMFUGA AFUNGUKA - "NI MKUBWA DUNIANI"
GLOBAL TV ipo viwanja vya sabasaba kwenye maonesho ya biashara ambapo tumetembelea banda la mfanyabiashara anayefuga kuku ambao anawauza kwa shilingi laki tatu..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 129

  • @globaltv_online
    @globaltv_online2 жыл бұрын

    SUBSCRIBE NOW UWE WA KWANZA KUONA:👉🏾 bit.ly/3MraYdQ

  • @kulthumhaji6928

    @kulthumhaji6928

    2 жыл бұрын

    Maendeleo hsyo.

  • @Youth-for-Jesus

    @Youth-for-Jesus

    2 жыл бұрын

    Wekeni numba za mfugaji

  • @mathossecuritycompanyltd6306

    @mathossecuritycompanyltd6306

    2 жыл бұрын

    ukwel dada hajui kuhoji kwa tija ya watizamaji, namba ya sim, jinalake la kibiashara mtandaoni anapatikanaje. Tumejua kweli hao kuku Sasa umetusaidiaje mawasiliano dada uwe unatuliza kichwa.

  • @cathmassawe7575
    @cathmassawe75752 жыл бұрын

    Hongera Masawe kwa kazi nzuri, hao kuku mwaka Jana niliuziwa mmoja laki name jike na jogoo kwasasa ninakuku 60 wanakaribia ukubwa huo na nishauza kuku 16 kwa Bei ya shilling 250000 na nivifaranga so ni kazi nzuri sana

  • @jacksonjonathan2262

    @jacksonjonathan2262

    2 жыл бұрын

    Uko wapi ndg

  • @cantonaiddy6042

    @cantonaiddy6042

    2 жыл бұрын

    Namba yako tafadhari

  • @rehemamgaya5289

    @rehemamgaya5289

    2 жыл бұрын

    Uko wapi kaka namba yako tafadhali

  • @emmanuelpeter5686

    @emmanuelpeter5686

    2 жыл бұрын

    Acha urofa masawe Ana maajabu gani sasa huyo ni kiki wa kawaida sama hata mimi ninae hauzwi bei hiyo unataka kuwaibia watu

  • @gesha4759

    @gesha4759

    2 жыл бұрын

    Ya kweli hayo?

  • @angelsungesu3317
    @angelsungesu33172 жыл бұрын

    Huyu ndo jogoo wa ajabu yule tuliomsoma ktk kitabu cha hadithi cha shule au?

  • @RobbyDejan1234

    @RobbyDejan1234

    2 жыл бұрын

    Hadithi ya Pazi na jogoo wa ajabu. 🤣

  • @tunsumemwakinyuke661
    @tunsumemwakinyuke6612 жыл бұрын

    Namba ya cm please

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali39182 жыл бұрын

    Mashaalah

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana28962 жыл бұрын

    Wow jogoo mtagaji dunia iko mbio🤭

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan62372 жыл бұрын

    Duuuuu, au. Ndie. Wale wa kitabuni Kampindua. Mtu chin juu🤣🤣🤣🤣

  • @abdallahmwinyi2106
    @abdallahmwinyi21062 жыл бұрын

    namba ya simu

  • @nehemiakahangwa1091
    @nehemiakahangwa10912 жыл бұрын

    Mweshimiwa vifaranga shingi ngapi naunapatikana wapi tupe mawasili6

  • @peterwanguha9930
    @peterwanguha9930 Жыл бұрын

    Please can you give out your contact from Kenya

  • @julianaswai7846
    @julianaswai78462 жыл бұрын

    Kaka naomb namb yako tafadhali sana

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa55482 жыл бұрын

    Dada anajua kuhoji maswali yenye mantiki

  • @misanajames1895
    @misanajames18952 жыл бұрын

    Namba zake Tunaomba pls

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore22362 жыл бұрын

    Namba ya simu please

  • @farajamiale1946
    @farajamiale19462 жыл бұрын

    Tuma namba na bei ya vifaranga

  • @gladysnjeri9640
    @gladysnjeri96402 жыл бұрын

    Uko wapi Nairobi.?

  • @glorymsopa4221
    @glorymsopa42212 жыл бұрын

    Kaka nakupataje mbn nimekuelewa

  • @peemsafatz4105
    @peemsafatz41052 жыл бұрын

    Dar anapatikana wap ?

  • @Najdi358
    @Najdi3582 жыл бұрын

    Siachi kula kuku wa kienyeji amabe elfu ishirini unapata na mtamu ile mbaya, ila kwa laki tatu kuku mmoja duh watanisubiri san

  • @veronicasanga2126
    @veronicasanga21262 жыл бұрын

    Hayo kweli maajabu, Jogoo kuwa na yai

  • @gladysnjeri9640

    @gladysnjeri9640

    2 жыл бұрын

    Nairobi unapatikana wapi?

  • @japhetrobert1728
    @japhetrobert17282 жыл бұрын

    Naomba namba ya simu. Namuhitaji huyo jogoo na jike

  • @halimaoman8900
    @halimaoman8900 Жыл бұрын

    😳

  • @user-tf7sx9xg7d
    @user-tf7sx9xg7d2 жыл бұрын

    Tupe namba yako kaka tumeipenda kazk yako .anshallah

  • @damianmakala2913
    @damianmakala29132 жыл бұрын

    Naomba namba yako bro

  • @amaradiombera2198
    @amaradiombera21982 жыл бұрын

    Tupe namba

  • @zayomaonlinetv.6067
    @zayomaonlinetv.60672 жыл бұрын

    Helow

  • @sotelisichula9210
    @sotelisichula9210Ай бұрын

    naweza kupata namba ya huyu mfugaji

  • @lootalukumay9870
    @lootalukumay98702 жыл бұрын

    Global tusaidie tupate namba ya huyo Mjasiriamali

  • @jumakivuma5247
    @jumakivuma524715 күн бұрын

    huna akili wew njoo uone wapo zaid ya kilo sita

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif29842 жыл бұрын

    Mbona hajatag number "mawasiliano" yake

  • @jumaciza461
    @jumaciza4612 жыл бұрын

    Jogoo anataga yayi 😂😂😂😂

  • @warakawayohana2896

    @warakawayohana2896

    2 жыл бұрын

    Mtangazaji ameshidwa kuuliza hilo🤭

  • @stephanusmethodius1968
    @stephanusmethodius196810 ай бұрын

    Nitapataje namba zake huyo muuza kuku

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama44072 жыл бұрын

    No.ya simu

  • @judithmlay2196
    @judithmlay2196Ай бұрын

    Mm naitwa Judy nitawapataj

  • @mohamedkapunda6421
    @mohamedkapunda64212 жыл бұрын

    Nitumie namba yako kaka nikutafute

  • @upendomungongo8889
    @upendomungongo88892 жыл бұрын

    Vifaranga bei Gani?

  • @fakiikibakola1300
    @fakiikibakola13002 жыл бұрын

    Kku lk3 sio dar

  • @pendokiria8179
    @pendokiria81792 жыл бұрын

    Namba tafadhali

  • @henrymmbando3096
    @henrymmbando30962 жыл бұрын

    Mawasiliano tafadhali. Simu na email na anuani ya makazi. Please. Tunataka mbegu.

  • @subethchuwa3989

    @subethchuwa3989

    Жыл бұрын

    Namba yako

  • @hemedchuma9603
    @hemedchuma96032 жыл бұрын

    Uyo mbn bei rahc yupo kuku million

  • @mcback4384
    @mcback43842 жыл бұрын

    Naomba number nahitaji mayai au vifaranga

  • @jacktonmakau3397
    @jacktonmakau33972 жыл бұрын

    Number ya simu

  • @jamhuri_imala3976
    @jamhuri_imala39762 жыл бұрын

    Bei yakifaranga nishingapi?

  • @scheffertomar2069
    @scheffertomar20692 жыл бұрын

    Naitaji kumu namba ya simu ndio sijui nope namba kaka

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif62162 жыл бұрын

    Tutawapata vp hawakuku number ya cm please

  • @nimrodsuleiman9093
    @nimrodsuleiman90932 жыл бұрын

    Nawapata vipi hawa kuku nikiwa Kenya?

  • @malak-lz6kx
    @malak-lz6kx2 жыл бұрын

    Kwanza hyo kuku maradhi matupu kuku atatokea ujerumani alafu hna ukubwa wa ivo Turkey mashambani wanakuku wakubwa zaid ya hao kuku hasa ni wakiafrika pekee.

  • @abdallahnguzo1180
    @abdallahnguzo11802 жыл бұрын

    Napataje mayai yake?

  • @zanzibanyihita5893
    @zanzibanyihita5893 Жыл бұрын

    Kifaranga kimoja shingapi

  • @machakuroger7068
    @machakuroger70682 жыл бұрын

    Je Varanga vinapatikana? na kwa njia gani

  • @veronicafisoo997
    @veronicafisoo9972 жыл бұрын

    Naomba namba nipate jinsi ya kupata vifaranga

  • @hafidhjuma8276

    @hafidhjuma8276

    8 ай бұрын

    nipo kigamboni vifaranga vipo

  • @victoriakiwanuka5428
    @victoriakiwanuka54282 жыл бұрын

    Number ya simu tafadhali

  • @saadasamson5020
    @saadasamson50202 жыл бұрын

    Namba ya cm tafadhali

  • @saimonianatorysubila232
    @saimonianatorysubila2322 жыл бұрын

    Mimi niko shinyanga nitawapataje vifalanga ?

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro37642 жыл бұрын

    HONGERA MASAWE

  • @supriaja2374
    @supriaja23742 жыл бұрын

    Yani uyo mdogo kabsa njoo indonesia uone kuku wa maajabu wakubwa sana

  • @mwavamwambarkissensi7586

    @mwavamwambarkissensi7586

    2 жыл бұрын

    Kaka naweza kupata mayai ya hao kuku wa Indonesia

  • @emmanuelshayo4703

    @emmanuelshayo4703

    2 жыл бұрын

    @@mwavamwambarkissensi7586 kama kweli yupo Indonesia atakusaidia

  • @everlinechallo8545
    @everlinechallo8545 Жыл бұрын

    Nahitaji jamani mayai

  • @omarybakari5812
    @omarybakari58122 жыл бұрын

    Hujaweka mawasiliano yake sasa??

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula56952 жыл бұрын

    Hakuna kuku mwenye thamani ya juu nchini Tanzania kama kuku aina kuchi njoo kanda ya ziwa wapo wengi sana harafu hawana gharama za usimamizi wake 🙆🙆🙆😄

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    2 жыл бұрын

    sio kanda ya ziwa tu pia Tanzania nzima wapo na bei kama ulivyosema ni nafuu, lakini kwa bei hii ya huyu jamaa mh!!

  • @ombentemba1432

    @ombentemba1432

    Жыл бұрын

    Hao kuchi nawapataaje?

  • @jerrymcbride2230
    @jerrymcbride22302 жыл бұрын

    Naweza pataje hii mbegu?

  • @asrymohd6690
    @asrymohd66902 жыл бұрын

    Nikweli uyo kuku anastahiki iyo bei nanenane mwaka juz alikuwa anuzwa laki nane alikuwa anakila kg 8

  • @dismasjavenary5023
    @dismasjavenary50232 жыл бұрын

    Ila bei ya vifaranga hatujajua.

  • @hafidhjuma8276

    @hafidhjuma8276

    8 ай бұрын

    nipo kigamboni vifaranga vipo

  • @ibrahimisaack4400
    @ibrahimisaack44002 жыл бұрын

    Hamjatoa mawasiliano

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn87882 жыл бұрын

    Wewe mtangazaji wa ajabu sana mbona hujaweka mawasiliano yake? Unadhani wafugaji waanaishi Dar?

  • @janemusimbi6127
    @janemusimbi61272 жыл бұрын

    Naomba nipate mayai yake, niko nairobi

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa3312 жыл бұрын

    Mbona Kama Ni wa kawaida tu, labda kwasabb katoka ujerumani

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    2 жыл бұрын

    😂😂😂Umeonaee

  • @yahayamaulana1561
    @yahayamaulana15612 жыл бұрын

    Tokalini jogoo atagemayai?

  • @malak-lz6kx

    @malak-lz6kx

    2 жыл бұрын

    Ndio hpo nashangaa mie ujue sio kuku hyo

  • @zanzibanyihita5893
    @zanzibanyihita5893 Жыл бұрын

    Namba unijulishe unapatikana wapi nakupateje

  • @sherabomar6681
    @sherabomar66812 жыл бұрын

    Unauza laki3 ila kwa kila baada miez mi2 au unauza kwa kila cku? Hiyo ni mwaka kwa vuli.

  • @yahayamaulana1561
    @yahayamaulana15612 жыл бұрын

    Huyo siokuku original hayo nimagonjwa yakigeni

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    2 жыл бұрын

    😂😂

  • @psycho-fit3630
    @psycho-fit36302 жыл бұрын

    inakuja na Ugali yake tyare?

  • @rashidomar2771
    @rashidomar27712 жыл бұрын

    Mbona hamkutupa mawasiliano tunahitaji hyo mbegu

  • @evachuw8092
    @evachuw80922 жыл бұрын

    Wekeni na mawasiliano yenu Sasa

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe38442 жыл бұрын

    Nenda Moshi Longuo, kwa Mama kuku, Kuku wakubwa mpaka kilo 7 kwa shs 25000 tu

  • @tommp7077

    @tommp7077

    2 жыл бұрын

    namba ya huyo mama bas naomba

  • @michaelrufingo151
    @michaelrufingo151 Жыл бұрын

    utamu ni upishi

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson96182 жыл бұрын

    Vifaranga unauza bei gani nije ninunue

  • @allymwilu8089
    @allymwilu80892 жыл бұрын

    Jogoo kwani anatagaga jamani

  • @swaumdodoma7591

    @swaumdodoma7591

    2 жыл бұрын

    😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Nimejiuliza pia ikabidi nirudi Mara Tatu kusoma kichwa cha Habari nilijua ninawenge😁😁😁😁😁😁

  • @zoozzoz9879
    @zoozzoz98792 жыл бұрын

    Namtaka huyo kuku

  • @violetnjau9312
    @violetnjau93122 жыл бұрын

    Sasa kuliko nifuge kuku miaka miwil kasoro ndio niwez kumuuza,...si bora nifuge ngurue namwuza baada ya miez sita

  • @uledimtumwa2406

    @uledimtumwa2406

    2 жыл бұрын

    Wewe Nguruwe ni halamu acha uroho. Bora ufuge Mbuzi boya wewe.

  • @pasteurmardocheemwale2023

    @pasteurmardocheemwale2023

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @hamadkhalfan6587
    @hamadkhalfan65872 жыл бұрын

    Yani laki tatu kwa kuku ni bei ya kawaida inaonekana bado hujakutana na wafugaji.

  • @muhammedwakif6216

    @muhammedwakif6216

    2 жыл бұрын

    Sana

  • @mariamchuwa7916
    @mariamchuwa79162 жыл бұрын

    Vicaranga beigani

  • @charleskapaya4248

    @charleskapaya4248

    2 жыл бұрын

    Kifaranga ni bei gani. Namayai hutotoa kwa muda ileile siku 21?

  • @abuumuadh5700
    @abuumuadh57002 жыл бұрын

    tunaomba mawasiliano tupate nasi hao kuku

  • @selemanikudura8046
    @selemanikudura80462 жыл бұрын

    Joti

  • @maswamills3161
    @maswamills31612 жыл бұрын

    Kama wanalishwa antibiotics Mmmh!!

  • @judithkatabaro3294

    @judithkatabaro3294

    2 жыл бұрын

    Sio kweli hao ni kuku wanjr

  • @maswamills3161

    @maswamills3161

    2 жыл бұрын

    @@judithkatabaro3294 wanjiro Arusha?sijaelewa

  • @maryshiganza539
    @maryshiganza5392 жыл бұрын

    Huu ndio uongo yupo kochi wa kisukuma anaukubwa kama mbuzi

  • @arnoldkea2903
    @arnoldkea29032 жыл бұрын

    Vpi bro unapatikana vpi au wapi???

  • @sebagasper1651

    @sebagasper1651

    2 жыл бұрын

    0768475228

  • @morisigahungu3778

    @morisigahungu3778

    2 жыл бұрын

    Ongela Sana kijana mimi nahitaji mawasiriano naomba numba ya whatsapp iri tuongee

  • @geja8708
    @geja8708 Жыл бұрын

    Brahma ni kuku wa asili ya marekani, ujeruman uko ni kama walivyo hao hapa bongo

  • @havertzclement689
    @havertzclement6892 жыл бұрын

    Uyo kuku ni mbuz

  • @edsongamuga1814

    @edsongamuga1814

    2 жыл бұрын

    Hapana ni nguruwe!

  • @awathtupa6362

    @awathtupa6362

    2 жыл бұрын

    Wakawaida tu njooni vijijini muone mijogooo hayo nimanyoya tu

  • @Awatee

    @Awatee

    2 жыл бұрын

    @@edsongamuga1814 🤣🤣

  • @havertzclement689

    @havertzclement689

    2 жыл бұрын

    @@awathtupa6362 sidhani Kwa uku shmba nilpo kma Kuna mtu anaweza kununua Kwa iyo Bei kma bata mzinga ukiuza Kwa Bei ya lak na 20 wanalia san

  • @godfreysamson3069

    @godfreysamson3069

    2 жыл бұрын

    Maana ake apo kwanza nichekee😂

  • @damianmakala2913
    @damianmakala29132 жыл бұрын

    Naomba namba yako bro

Келесі