JINSI YA KUTUNZA NAFSI NA ROHO USITOE MWILI KAFARA| watu unaowapenda vs unaowahitaji .

Tulikuahidi #TaarifaNaMaarifa

Пікірлер: 18

  • @Joekwid960
    @Joekwid96010 күн бұрын

    Dah MUNGU azidi kukutunza bro Cosmas naamini ipo siku Taifa litakuja kujua wewe ni mtu wa namna gani na utalisaidia taifa haswa katika uongozi. Amen

  • @user-lt8id9lv4x
    @user-lt8id9lv4x3 ай бұрын

    Samahan brother naomba mzee kama anaweza ongelea kuhusu genius na aina zao na madhaifu yao pia na kwanin wanakuwa wa kipekeee

  • @kevinmiruka2777
    @kevinmiruka27776 ай бұрын

    hello madini naitwa douglas kutoka kenya naomba ndugu comsmas hawe na show yake kila siku ongera sana brother

  • @user-kp9ig3uz9s
    @user-kp9ig3uz9s3 ай бұрын

    Hupo sahihi sana mm mwili wangu huwa unachaguwa chakula sili bila mwili kuhitaji chakula gani ndio maana naweza kutembea nikaona ndizi nikazitamani nikala nikashiba tena ndizi moja wakati ni mda wa kula tena mchana

  • @evaristindekisa4721
    @evaristindekisa47216 ай бұрын

    asante kwa elimu nzurii

  • @elogevyizigiro1157
    @elogevyizigiro11576 ай бұрын

    Asante sana

  • @africakiujumla1
    @africakiujumla16 ай бұрын

    Asante ❤

  • @user-yh4xs4sg7b
    @user-yh4xs4sg7b6 ай бұрын

    Inchi kubwa watu kama huyu wanatunzwa vzr sana kama hazina na inchi inawatumia vzr but Africa tunakwama wapi jamani mama samia fanya jambo kwa vichwa kama hv.

  • @user-ch5sz5jd4j

    @user-ch5sz5jd4j

    5 ай бұрын

    Kabisa

  • @ernestmatimba9964

    @ernestmatimba9964

    3 күн бұрын

    Mama Samia yupi unaemtaja wewe. Nature haijui Umaskini wala Ujinga.

  • @tusajigwe7491
    @tusajigwe74916 ай бұрын

    Nape aje hapa

  • @user-yh4xs4sg7b
    @user-yh4xs4sg7b6 ай бұрын

    Hiii ni simba ya dunia hv serikal kwann msiwape watu kama hawa nafasi wajenge nchi yetu kwa vijana na vizazi vijavyo.

  • @user-cd5sq1dz4u

    @user-cd5sq1dz4u

    6 ай бұрын

    Labda angekuwa china

  • @EzraJoelMwantyala
    @EzraJoelMwantyala4 ай бұрын

    Hapa ni zaidi ya elimu

  • @thomaskapande8618
    @thomaskapande86186 ай бұрын

    Session yenye ubora wake, thanks 👏

  • @vibetz9991
    @vibetz99916 ай бұрын

    Ndo mana watoto wa kishua Hawana Akili😂😂

  • @madinidotcom

    @madinidotcom

    6 ай бұрын

    Unaleta utani wa ngumi..😂

Келесі