JINSI YA KUTUNZA NAFSI NA ROHO USITOE MWILI KAFARA| watu unaowapenda vs unaowahitaji .
Tulikuahidi #TaarifaNaMaarifa
Жүктеу.....
Пікірлер: 18
@Joekwid96010 күн бұрын
Dah MUNGU azidi kukutunza bro Cosmas naamini ipo siku Taifa litakuja kujua wewe ni mtu wa namna gani na utalisaidia taifa haswa katika uongozi. Amen
@user-lt8id9lv4x3 ай бұрын
Samahan brother naomba mzee kama anaweza ongelea kuhusu genius na aina zao na madhaifu yao pia na kwanin wanakuwa wa kipekeee
@kevinmiruka27776 ай бұрын
hello madini naitwa douglas kutoka kenya naomba ndugu comsmas hawe na show yake kila siku ongera sana brother
@user-kp9ig3uz9s3 ай бұрын
Hupo sahihi sana mm mwili wangu huwa unachaguwa chakula sili bila mwili kuhitaji chakula gani ndio maana naweza kutembea nikaona ndizi nikazitamani nikala nikashiba tena ndizi moja wakati ni mda wa kula tena mchana
@evaristindekisa47216 ай бұрын
asante kwa elimu nzurii
@elogevyizigiro11576 ай бұрын
Asante sana
@africakiujumla16 ай бұрын
Asante ❤
@user-yh4xs4sg7b6 ай бұрын
Inchi kubwa watu kama huyu wanatunzwa vzr sana kama hazina na inchi inawatumia vzr but Africa tunakwama wapi jamani mama samia fanya jambo kwa vichwa kama hv.
@user-ch5sz5jd4j
5 ай бұрын
Kabisa
@ernestmatimba9964
3 күн бұрын
Mama Samia yupi unaemtaja wewe. Nature haijui Umaskini wala Ujinga.
@tusajigwe74916 ай бұрын
Nape aje hapa
@user-yh4xs4sg7b6 ай бұрын
Hiii ni simba ya dunia hv serikal kwann msiwape watu kama hawa nafasi wajenge nchi yetu kwa vijana na vizazi vijavyo.
Пікірлер: 18
Dah MUNGU azidi kukutunza bro Cosmas naamini ipo siku Taifa litakuja kujua wewe ni mtu wa namna gani na utalisaidia taifa haswa katika uongozi. Amen
Samahan brother naomba mzee kama anaweza ongelea kuhusu genius na aina zao na madhaifu yao pia na kwanin wanakuwa wa kipekeee
hello madini naitwa douglas kutoka kenya naomba ndugu comsmas hawe na show yake kila siku ongera sana brother
Hupo sahihi sana mm mwili wangu huwa unachaguwa chakula sili bila mwili kuhitaji chakula gani ndio maana naweza kutembea nikaona ndizi nikazitamani nikala nikashiba tena ndizi moja wakati ni mda wa kula tena mchana
asante kwa elimu nzurii
Asante sana
Asante ❤
Inchi kubwa watu kama huyu wanatunzwa vzr sana kama hazina na inchi inawatumia vzr but Africa tunakwama wapi jamani mama samia fanya jambo kwa vichwa kama hv.
@user-ch5sz5jd4j
5 ай бұрын
Kabisa
@ernestmatimba9964
3 күн бұрын
Mama Samia yupi unaemtaja wewe. Nature haijui Umaskini wala Ujinga.
Nape aje hapa
Hiii ni simba ya dunia hv serikal kwann msiwape watu kama hawa nafasi wajenge nchi yetu kwa vijana na vizazi vijavyo.
@user-cd5sq1dz4u
6 ай бұрын
Labda angekuwa china
Hapa ni zaidi ya elimu
Session yenye ubora wake, thanks 👏
Ndo mana watoto wa kishua Hawana Akili😂😂
@madinidotcom
6 ай бұрын
Unaleta utani wa ngumi..😂