Jinsi ya kusuka YEBO MPYA YA NANASI | New Pineapple Braids | JIFUNZE NYWELE HII MPYA KABISA🔥
Жүктеу.....
Пікірлер: 360
@faridaothman8 ай бұрын
MAFUNZO YA ONLINE Ada 12,000 tu 📌 Utajifunza makeup na kusuka Lipia 0657292650 Then Njoo Whatssp nikuunge darasani MASWALI YOTE YATAJIBIWA DARASANI 📌UNAPOWAHI KULIPIA UTAJIFUNZA VITU VINGI ZAIDI
@rechojimson4264
7 ай бұрын
Nikilipia hiyo n kwa mda gani najifunza wiki siku au aje mom
Пікірлер: 360
MAFUNZO YA ONLINE Ada 12,000 tu 📌 Utajifunza makeup na kusuka Lipia 0657292650 Then Njoo Whatssp nikuunge darasani MASWALI YOTE YATAJIBIWA DARASANI 📌UNAPOWAHI KULIPIA UTAJIFUNZA VITU VINGI ZAIDI
@rechojimson4264
7 ай бұрын
Nikilipia hiyo n kwa mda gani najifunza wiki siku au aje mom
@MasumbukoMathias-pl8lj
7 ай бұрын
,jamani mwenyewe nataka kujia zaidi@@rechojimson4264
@user-vr5zm8js7t
4 ай бұрын
Pia naomba kujua hiyo 12000 Kwa mda gani...maana hii ni nzuri Kwa watu wenye family, ofisi hawawezi kuja hosteli tegeta
@HopefulLizard-eq3nb
4 ай бұрын
❤❤
Uko vzur sana dada ang nimejifunz vitu ving kupitia wew
Good job have learnt something God bless your work
Asante sana dada ngu🙏 mungu azidi kubariki kazi yako pamoja uchuzi mwingi
Asantee faridaa,style tamuu❤
Asante, I have nothing to pay you rather than "be blessed everyday"
@faridaothman
8 ай бұрын
Thanks love .. Ameen be blessed two🤍🤍🤍❤️❤️
@catherinemarcel2144
8 ай бұрын
@@faridaothman 🙏🙏🙏
Asante sana Kwa kujitoa kutusaidia
So cute walahi😊
Wow following your classes from Kenya
thanks Farida ninajifunza kwa hii channel yako mungu akuongeze miaka mingi ya kuishi
Staili nzuri unafundisha vizuri pia may God bless you farida
Asante sana kipenzi nafurahia mafundisho yako
Uko vizuriii mwalim wetu💕
Mungu akubariki sana akupe moyo wa kufundisha na akutie nguvu kazi zako nzuri sana
Thank God nikiona tu, naisuka
Asante sana farida umenisaidia sana❤
Amina Sana dada Mungu akubariki nakupenda sana Ila siku nitakuja mpk chuoni nijifunze mengine live
Asante Kipenz Nimeelewa Vizuri Kabisa🤝
Najaribu Leo Asante kwa SoMo na Mungu akubariki
You never disappoint fridah I'm from kenya and i really love your work
May God bless you najifunza mambo mengi kutoka kwako
❤❤❤ninzuri sana aiseee napenda sana mafundisho yako nakupenda
i enjoy the lesson❤
Be blessed be blessed be blessed love
Nzurii sanaa jm
Be blessed my dea nimejifunza mengi sana
Asante San mwalimu 🙏uko vizur sana
Asante sana ubarikiwe
Asante madam
Asante sana my dear na mungu akubaliki
From Kenya... Asante sana
Asante dada mungu akubariki
Asante dear una tudunza mengi sana mungu aku bariki
Wao nimejifunza
asante sana mungu akubariki ❤❤
Mbarikiwe mpo vzr sana😍
Wow nice one
Asante sana dada naomba msaada uludie passion twist
@faridaothman
8 ай бұрын
Sawa
Asante Sana dada farida
Asante ubarikiwe dada usie mchoyo
Nzurii sanaa nmeipendaa👌
Asante sana nimeelewa
Ninzur kwakweli, mungu akuzidishie.
Kazi nzuri
Nakupenda sana kwa mafunzo nieleze mengi kuhusu wats up group❤❤
❤❤i like it thanks so much
Uko vizuri sana
Dada umenisaidia sana sana,nimejifunza adi nimeweza na nimefungua saloon kabisa ❤ Mungu alibariki dada
@faridaothman
7 ай бұрын
Barikiwa sanaa
Unajuwa mwalimu nice napenda Sana kusuka watu yangu mdogo
Hakika frida upo vizuri natamani sana kujua mitindo mingi
Wow beautiful
asanty sana kipenz
❤❤❤❤asante sana dada faridah leo nina salon kwa nguvu yako bado najifunza zaid kupitia wewe
Wow mungu akupe maisha marefu tuendelee kujifunza
Asante sana dear unatusaidia sana
Napenda sana darasa lako kwakwer mana kila unachofundisha hua naelewa Kwa ufasaha sana🙏❤❤❤❤
Mungu akubark sana dear
Asante sana dada kwa Mafunzo l ❤u
Thanks my dear❤❤❤
Farida wafanya vizuri sana.nataka kulipia nijifunze zaidi on line
Wafunza vizuri sana mungu akubari
Nimejifunza kitu asante ❤❤
Asante sana kwa mafunzo
Nice job Da farida
Thanks sister
Kazi nzur San my dear ubarikiwe
My dia hongera sana mpenzi umekuwa mwalimu mzuri sana kwangu mungu akulinde na akuzidishie love you
@faridaothman
7 ай бұрын
Ameen kipenz
Uko vizuri dada, mko sehemu gani
Wafunza vizuri sana mungu akumbari
Mungu akuongoze sana kwenye kazi yako
Mh hongera da faridah na mm nitafute wa kujifunzia sasa
Hongera my tunajifunza
God bless you
So cute❤❤
I don't understand your language but I like it very much
@faridaothman
16 күн бұрын
Thanks
Mungu akubaliki dada wetu
Asante da farida nitajitahidi nilipie kwa group
Wow 🙌
Be blessed
Nzuri sana❤
Hongera sana dada farida ubarikiwe kwa kuwa unatusaidia sana
Wah imependesa sana asante dada mungu akubariki sana sana
@faridaothman
8 ай бұрын
Sante sanaa❤
❤❤dada umebarikiwa kipaji ...
❤❤❤ beautiful
May God bless sister
❤❤❤❤❤ mimi nataka kujifunza one line
Asante kwa mafunzo
Madam Farida kazi zako ni nzur sana nitalipia uniunge
Ubarikiwe dada
Mungu akubariki pia dear
Ongera sana unatupa juzi ❤❤❤❤
Asnte sana dada mungu akuweke uzidi kutufundisha
Good job dadaa
Ubarikiwe Farida,,najif unza vitu vingi sana kwako
Hongera sana nahitaji kujifunza
Good job ❤
Wewe ni super woman unapenda wanawake wenzio nao wafanikiwe, ❤
Waooo nasuka mteja sasa hivi
Much love
it look good from kenya