JINSI YA KUSIMAMA NA DAMU YA YESU KWA LOLOTE || PASTOR GEORGE MUKABWA - JRC || 06/11/2022
Ойын-сауық
Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa
Пікірлер: 345
God bless you Pastor. More grace of God be upon you in Jesus name
Thank you Lord for this revelation,thank you pastor I now receive wisdom in Jesus name
God bless you forever Amen 🙏
Asante mungu kwa kutuma mtumishi wako kwetu..akika tunaelimika kupitia yeye. Thanks God.nasi tusaidie tusikue wakuskia tu bali wakuskia na kutenda in Jesus name.
Amen mtumishi ubarikiwe sana Kwa somo la damu ya yesu nimebarikiwa sana
Mungu akubariki nimepata hili neno kwa kweli nimeelewa na nilishaanza kutendea kazi
Mtumishi George, unanibariki sana kwa mafundisho yako, Mungu akubariki sana kwa huduma uliyopewa.
Amen Mungu Anisanehe Anisanehe Makosa Yangu Damu YaYesu Inasafishe NaUzao Wangu Pia Familia Yangu.
Ubarikiwe sana mchungaji siteseki na adui hanishindi tena nimepokea nguvu ya ushujaa wa ajabu.
Be blessed pastor, very powerful word of God. I need grace of God to walk with this word. Help me Jesus Christ.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu namini watumishi kama nyie ndiyo masalia ya Kristo
Asante mtumishi umenifundisha nanimeelewa vema barikiwa Sana 🙏🙏
Mungu nisamehe dhambi zangu nilehemu makosa Yang nisafishe Moyo wangu nioshe Kwa damu ya yesu kwenye Maisha yangu watoto wangu damu ya yesu nifunike Kwa jina la yesu kirsto Amen 🤲🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Aksante sana Pastor George Huu ni ufunuo halali wa neema ya Msalaba wa Yesu Kristo
Mchungaji mahubiri yote yamenibariki na kuniininua Kwa kiwango kingine Mungu akubariki zaidi.Amen
This is a powerful revelation Pastor, God bless you abundantly.
Tunashukuru Mch.George.mafundisho mazuri sana
@mussayoel5070
Жыл бұрын
Lllklkkkkkk
Ubarikiwe sana pastor George kwa Somo nzuri sana!
Kweli kabisa asante tena sana kwa mungu juu mungu ndo amekutuma kwa wanadamu
mchungaji ubarikiwe sana nmebarikiwa na kuinunuliwa juu ya damu ya yesu
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ love the massage (damu ya Yesu husafisha kabisa)Jesus for everyone 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen amen i declare these prayers in my life in the Mighty Name of Jesus amen🙏 The Precious Blood of Jesus Christ 🙏 amen
Amen Amen mafundisho mazur sana Yesu wa Nazareth nisaidie nikue kiroho zaid kupitia ibada hii Amen 🙏🏼
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, eeh Mungu wangu simama katikati yangu damu yako iliyomwagika isimame na mm katika kila hatua, simama katikati yangu jehova
Mtumishi barikiwa sana mafundisho unayofundisha ni kweli kanisa Mungu azidi kukutia nguvu isonge mbele.
Yesu asante kwa damu yako 🇰🇪
Mungu aliye Hai akubariki sana Pastor
Amen Amen Amen nimebarikiwa Sana na huduma hii ya mafundisho more grace pastor Niko Kenya
Nimependa sana iyo mtumishi nilikuwa sipati usingizi Tokanitumie damu yayesu nalala
Asante pasta Damu ya Yesu ikanene mama juu ya maisha yetu ubarikiwe sana
Ameeeeeeen,fubdisho hili limenifungua na limetoa mahali,Pastor be blessed in Mighty name Jesus Christ
Amina mtumishi, Mungu akubariki hakika inampendeza Mungu kwa jinsi unavyo zidi kutujenga kiroho
Pastor ,may GOD bless you, unaniinua kiroho sana, MUNGU akuzidishie neema
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu kwa kipindi hiki kimenibariki sana sema tupone baba
Amina Mch, Naomba Damu ya Yesu ikazidi kunena Mema siku zote juu yangu na familia yangu ktk jina la Yesu Kristu Amina
Barikiwa sana pastor asante Yesu kwa neno la kuinua. Amen Amen Amen ❤
Mimi ninapitia kipindi kigumu lkn nausikia tu huu wimbo kila nikiamka asbh . Nina imani Mungu yuko kazini anafanya jambo kwa ajili yangu 🙏
Bwana naomba unifunike na damu ya mwanao yesu kristo iniongoze katika mipango yangu na pia namshukuru mtumishi wako kwa mafundisho mazuru be bless 🙏🙏🙏
Ubarikiwe pst kwa mafundisho kutoka Kenya
@samuelbahati7976
15 сағат бұрын
Amen
Asante kwa fundisho la kweli la Damu ya Yesu kristo, be blessed pastor
Jamani nilimsikiliza na nikafuata maelekezo usiku nilichoona mambo ya kutosha barikiwa pastor
Hallelujah Glory to the king of kings our lord Jesus Christ Kwa upendo wake kwetu
Asante mtumishi nimebarikiwa na somo la damu ya Yesu ,Mungu aendelee kikutumia ili wengine tupone kupitia mafundisho yako.
Amen amen na ahsante Kristo Yesu kwa kutumia mtumishi wako kwa hili jambo la damu lako. Tufunguwe kwa mara nyingine na damu yako Yesu Kristo.
Barikiwa baba somo zuri naomba damu ya Yesu ikafute hatia zangu zone na magonjwa yote kwa jina la Yesu
Thankyou for the knowledge. Amen
Ameen,nimebarikiwa
Amen. Ubarikiwe na BWANA YESU
Asante yeah kwa kutunulia haya
Amen imetendeka kwa jina la YESU KRISTO
Very powerful teaching in spiritual life, thanks for good teaching us pastor, more blessings 🙏🙏😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏
Asanteh Namshukuru Mungu Kwa hili somo , Ubarikiwe Sana Pastor
Ahsante Mch kwasomo la Damu ya Yesu...barikiwa...ninapokea
Hallelujah huu ujumbe umenbari sana mafundisho mazuri sana mungu akuinue pastor 🙏🙏
Bwana yesu kristo Akufadhi pasta pasta
Asante sana kwa mafundisho ya utukufu.
Amen nimepata ufahumu wa kutumia damu ya yesu Mungu akubariki Mtumishi kwa mafundisho
Bwana Akubariki sana muchungaji kwa haya mafundisho mazuri ya baraka, nimejifunza mengi kutoka kwa damu ya Yesu na ninaamini nitafanikiwa sababu nimeelewa jinsi ya kuitumia. Mimi ni Rachel nafuata mafundisho yako nikiwa Kigali Rwanda.
Asante Bwana Yesu kwa Neema hii ya kupata mafundisho haya...ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu,Ameen .
@tumainichanya3268
Жыл бұрын
Baba nawashukuru Sana Kwa kunifungua macho kwangu ni neema kubwa nimeupata kwenu Mungu azidi kuwatinza ili nizidi kula vya mathabahu hayo.
@joycewanjiku5963
Жыл бұрын
Asante kwa neno la ukombozi kwa damu ya yesu nimeinuliwa kiwango kingine nashukuru Mungu akubariki
@joycewanjiku5963
Жыл бұрын
Asante kwa neno la ukombozi kwa damu ya yesu nimeinuliwa kiwango kingine nashukuru Mungu akubariki
@florakiraryo
4 ай бұрын
Neno nzuri Sana
ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa mafundisho yanaendelea kunisaidia Mungu akuinuwe
Hallelujah, Hallelujah, Hallelujah, Mungu alibari neno lake, mahalihili limetoka na kukaongezwe lingine, tuzidi kumukaribiya Mungu zaidi, injili iliyo safishwa na damu ya yesu, hii ndio injili tunaitaji kwa nyakati hizi za mwisho, asante.
Asante BWANA YESU kwa neno la nyakati Asante kwa kunipenda mno ubarikiwe sana pastor hakika BWANA anakutumia
Asante kwa damu ya Yesu I have understanding now blessed be the name of the Lord in Jesus name
Ok sawa 👍🤝🇰🇪🙏🙏🙏
Amen nabaikiwa Sana Sana na mafundisho yako 🙏🙏🙏
Asante kwa neno la baraka
God bless you kwa fundisho Zuri amen and thanks man of God
Asantee kwa ujumbe huu mzur, Tumebarikiwa wengi Naamin. Mungu akutunze
Amina pastor kiukweli dam ya yesu Ina nguvu Sanaa hii no elim ambayo imetufungua wengi
God bless you nimejifunz mengi Leo nikiangalia hii kutok Lebanon damu ya yesu itanizaidia Yale majaribu napitia🙏
Amina ata Mimi naamini Nita badilishwA Kwa damu ya yesu
Asante kwa neno takatifu🙏🙏🙏
Baba MUNGU akubariki sana umenitoa shimoni
Amen mtumishi wa Mungu, uko sahihi kabisa
Ameen mungu akubariki mtumishi wa mungu kwa neno takatifu nabarikiwa sana 🙏
Hallelujah🙌🙌🙌 am blessed in the name of Jesus
Amen amen amen 🙏
Pasta mafundisho Yako yamenigusa kabisa rohoni ubarikiwe na Bwana Yesu. Amina
Ubarikiwe sana mtumishi kwa mafundisho haya mazuri yakutumia damu ya Yesu
Amen asantee Mungu Wang hakika kila neno huja kwa wakati .
Barikiwa mtumishi
Bwana Yesu asifiwe mtumishi nashukuru kwa fundisho lako, haswa kwy kufunguliwa
@mariamzambi1995
Жыл бұрын
0
@mariamzambi1995
Жыл бұрын
Amen Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana. Nimejivunza mengi kuhusu Damu ya Yesu. Mungu niongezee hekima juu ya damu ya baraka. Asante.
Asante Sana pastor mungu akutunze zaidi na zaidi nainuliwa viwango vingine
Be blessed Man of God 🙏🙏
❤❤Amen Amen Mungu akubariki Mtumishi kwa Mafundisho
Mungu akubariki sana mtumishi🙏
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu nabarikiwa sana na mafundisho yako .
Utukufu kwa Bwana Yesu Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu.
Asante sana mtumishi mafundisho yako huwa yananijenga sana ubarikiwe na Mungu akutunze kwaajili yetu
@user-bg4xt1lf4x
7 ай бұрын
Asante mtumishi ubarikiwe
Mungu nifunike Kwa damu yako nilijuwe neno lako na kukupenda damu ya yesu inifunike watoto wangu damu yesu inifunike Maisha yangu family yangu 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mafundisho mazuri sana. Pastor stay blessed
Ameen Ameen Mtumishi wa MUNGU ubarikiwe sana
Ubarikiwe Mutumishi wa Mungu Mungu akuongezeye mafuta matakatifu
Ubarikiwe kabisa. Injili hii ni ya kweli. Apana mpaka kufundisha mafanyikio
Amina Asante YESU kwa damu yako
Am so so blessed through this preaching. ubarikiwe mno pastor
Barikiwa mtumishi kwa somo hili Asante Sana
Asante MUNGU kwa pastor damu ya YESU inauweza mkuu
Thank you Lord Jesus for more revelation about your blood .
Haleluyaaaa!!!nanyi mtaifahamu kweli nayo kweli itawaweka huru!