Jinsi ya kupanga Beat / How to arrange beat
#uniklibrary #mixvocal #producers
Katika Video hii Utajifunza jinsi ya kupanga beat kuanzia Intro, Verse pamoja na Chorus.
DAW.
Fl Studio.
#Samples #
Afro:
Hip Hop:www.mediafire.com/file/53e6c5...
Fahamu Zaidi;
_Eq; • Ifahamu EQ / Introduct...
_Reverb; studioslave.com/reverb-time-r...
_Compressor; • Ifahamu Compressor / H...
*Social*
Facebook; / unik-library. .
Instagram; / uniklibrary
Whatsapp _api.whatsapp.com/send/?phone=...
Whatsapp_api.whatsapp.com/send/?phone=...
©2021 UnikRecords
#UnikRecords #UnikRecords #UnikRecord
Пікірлер: 21
Kaz nzur
Nzuri
Kazi zimeenda shule naomba beat
Mmmmmh mi nimekosa chakusema kazi nzuri sana
Nakupa tiki👍👍👍👍
Shukran..hii imenisumbua sana
Boa
Hakupata vipi mkuu
YEAH
Oy m napga frem frexh Ila kupanga Kama hvo ndo nashndwa
nmekusoma kaka mkubwami naitwaHg nipo pande kahamahapa so naomba nikuulize kitu kidogo tu ningependa kufaham ile volume ya pich kwenye kinanda ambayo ukiwa unapiga kinanda ukiipandisha ile sauti inaweza kupanda ama kushuka kutokanana ulivyoizungusha kuipandisha ama kuishusha so kwa fl ni na mna gan ya kufanya kitu kama hicho ukiwa unachora? asante kakanaomba jib pliiz
ma2ga beats hapa, nakufuatilia nikiwa pande za dodoma
@unik90
3 жыл бұрын
karibu sana na asante sana kwa saport yako
Oy kak apo kweny kuwek intro
@yackobemanuely7207
3 жыл бұрын
0628620168
@unik90
3 жыл бұрын
Ungepeda kufahamu zaidi kwenye intro?
@yackobemanuely7207
3 жыл бұрын
@@unik90 yap kwanzia mwanz mwish
@yackobemanuely7207
3 жыл бұрын
@@unik90 nitumie no zako nikuchek tsp
@unik90
3 жыл бұрын
@@yackobemanuely7207 0659377308