JINSI YA KUFUNGUA LANGO LA MWAKA KABLA YA MWAKA.BY BISHOP FJ KATUNZI
Endelea kufuatilia vipindi mbalimbali na Mahubiri kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Bishop fj katunzi ambae ni Mwalimu wa Neno la Mungu, Mhubiri wa Injili, Mwandishi wa vitabu na mtafiti wa historia ya Kanisa. Pia amekua akiongoza safari za mafunzo katika nchi za ki-Biblia Israel, Misri, Uturuki na Jordani.
⚫️ SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/maranatha-gospel-radio
⚫️ VISIT LIVE IBADA: kzread.info?list...
⚫️ WASILIANA NA MARANATHA ONLINE TV: ( +255 754 367 826 )
⚫️ Email: faithtrustees40@gmail.com
*** OUR PLAYLISTS***
⚫️ HABARI MCHANGANYIKO: kzread.info?list...
⚫️ BISHOP FJ KATUNZI IBADA: kzread.info?list...
⚫️ MAFUNDISHO: kzread.info?list...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: kzread.info?list...
⚫️ UCHUMI: kzread.info?list...
⚫️ IJUE ISRAEL NA KANISA: kzread.info?list...
⚫️ SIMULIZI ZA KUFUNGULIWA: kzread.info?list...
⚫️ IFAHAMU CITY CENTER CHURCH: kzread.info?list... SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/maranatha-gospel-radio
⚫️ VISIT LIVE IBADA: kzread.info?list...
Пікірлер: 13
Bwana yesu asifiwe mkituma maubiri naomba muwe mnahandika tarehe Asante
Amina mchungaji tunakupata vzuri mbeya barikiwa sana
Aminaaaaaa nakataaaa mabaya yoteee 2024
Bwana asifiwe amen
Nakusikiliza vyema Toka Manyara
Amen
Amina
❤❤❤❤❤
Barikiwa sana baba mchungaji , kazi nzuri tunakupata vyema Morogoro.
Asante Mungu kwa neema ya kusikia neno hili, 2024 natembea ktk nafasi yangu kwa ushindi naziona siku 365 kuwa njema saana kwangu ktk jina lako Kristo, uliyenifia pale msalabani.
Ameniii baba tunakwelewa Sana tunduma karibu tunduma center utuhudumie
Amen, nabarikiwa
AMEN