JIJI la ARUSHA KUJENGA KAMA MLIMANI CITY STENDI NDOGO - BILIONI 3 ZATENGWA KUVUNJA na KUJENGA UPYA.
JIJI la ARUSHA KUIHAMISHIA MLIMANI CITY STENDI NDOGO - BILIONI 3 ZATENGWA KUVUNJA na KUJENGA UPYA...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 9
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Acheni siasa Arusha inazidi kuwa kitu cha ajabu, uchafu umekidhiri barabara mbovu matumizi mabovu ya barabara mpaka leo hakuna stand
Nyinyi mna maneno mengi ya ujanjaujanja, magufuli alikua akiongea leo kazi inaanza. Mmedanganya wananchi kuhusu bondeni city stand ni miaka inaenda na leo mmekuja na lingine? Maliza hayo ya nyuma kwanza maneno mengi acheni 😞😞😞
Maneno Kila mwaka lkn hamna utekelezaji
Hivi hatuchoki kusema kila siku mwaka wa 5 sasa ahadi za jiji la Arusha zinaishiaga midomoni.
@user-oz1tu3lb8o
4 ай бұрын
Hawa watu wa hovyo sana nazidi kumkumbuka Magufuli
Hongereni sana. Mstahiki mayor ni mtu makini, mkurugenzi pia anaonekana ni mweledi, pia baraza LOTE LA madiwani kweli ni watu makini. Kongole kwenu. Hongera sana Doita
Viwanja vya michezo virudishwe serikalini,visiwe vya chama chochote cha siasa 😬
Politics