JESHI LA GAMONDI LILIVYOFANYA MAZOEZI YA KIBABE COCO BEACH | CHAMA, PACOME HAWASHIKIKI

Спорт

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Пікірлер: 362

  • @mwajayhaxxan5507
    @mwajayhaxxan550725 күн бұрын

    Nani mwengine anaangalia huku anatabasamu 😊😊😊

  • @user-fm1ho3wq3l

    @user-fm1ho3wq3l

    25 күн бұрын

    😊😊😊yn mpk nimechk kwasaut

  • @user-mh6hy5eb4j

    @user-mh6hy5eb4j

    25 күн бұрын

    😂😂😂

  • @ommykiss7049

    @ommykiss7049

    24 күн бұрын

    Tupo wengi mno

  • @hk_ballers

    @hk_ballers

    24 күн бұрын

    Mimi

  • @lameckmathias1188
    @lameckmathias118825 күн бұрын

    Hii imekaa poa sana , inatangaza pia fahari ya Tanzania ❤

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo529025 күн бұрын

    All the best INSHAALLAH my lovely team YOUNG AFRICANS nikiwa QATAR

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f25 күн бұрын

    Nawependa sana jeshi langu Mungu awalinde na awape afya njema🥂💚

  • @MzeewaYanga-hm8jq

    @MzeewaYanga-hm8jq

    24 күн бұрын

    🙏🙏🙏

  • @lukwagopaul6572
    @lukwagopaul657225 күн бұрын

    Am happy that pacome and Aziz ki are back

  • @godfreysimoni4270
    @godfreysimoni427025 күн бұрын

    Niwatakie maandalizi mema wapambanaji wetu💚💛💚💛🖤

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t25 күн бұрын

    Mungu awe pamoja nanyi wachezaji bench la ufund na viongozi wetu Amen🙏🙏🙏

  • @mwajayhaxxan5507
    @mwajayhaxxan550725 күн бұрын

    Allah akawaongoze wapambanaji wetu,, ukawe msimu bora ndani kwa league ya ndani na kimataifa. Kila la kweli wananchi 💗💗

  • @anonziatamrema

    @anonziatamrema

    24 күн бұрын

    Amina

  • @andersonbruno6255
    @andersonbruno625524 күн бұрын

    Kila la heri young Africans kwenye mandalizi na mazoezi kuelekea msimu ujao Hawepo ata mmoja kumia amen Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔰🇹🇿💯

  • @julianasimon5518
    @julianasimon551824 күн бұрын

    Mi nimependa yanga kuiongezea thamani nchi yetu, kutokutoka nje ya nchi, walianza kina diamond kutoenda kushut video nje, sasa kambi pia hapahapa, ahsante rais wa yanga Mungu akuweke💚💛💪

  • @HusseinJumahussein-lf1xk
    @HusseinJumahussein-lf1xk25 күн бұрын

    Familia ya furaha💚💚💪💚💚💪🔥🔥🏆🏆

  • @AhmadSahabu
    @AhmadSahabu25 күн бұрын

    Hadi nashindwa nifurah kwa njia gani big up sana

  • @AmaniOmari-ev2gu
    @AmaniOmari-ev2gu25 күн бұрын

    Yanga bingwa teeeena❤❤❤❤❤❤❤ mpaka 2030

  • @catherineamiri9854
    @catherineamiri985425 күн бұрын

    OMG I LOVE THIS TEAM😊❤

  • @louidaniel9944

    @louidaniel9944

    25 күн бұрын

    Nmekumoyo asee❤

  • @hk_ballers

    @hk_ballers

    24 күн бұрын

    We all love this team 💚

  • @EvaristJosiah
    @EvaristJosiah25 күн бұрын

    Chama ameanza kung'aa kweli yanga maisha mazuri

  • @DanieliMzirai

    @DanieliMzirai

    25 күн бұрын

    Mmh umenichekesha 😅😅😂

  • @user-ic8oj1fy7q

    @user-ic8oj1fy7q

    25 күн бұрын

    Keki kumi na saba si mchezo 😂😂😂😂😂

  • @AmanaAmos-hv3yz

    @AmanaAmos-hv3yz

    25 күн бұрын

    Hahahaha ❤❤

  • @SIKUDHANISHIRINITZ
    @SIKUDHANISHIRINITZ25 күн бұрын

    Yani wachezaji wanang'ara adirahaa🎉 naipenda sana yanga yangu jamani❤❤

  • @chieframadhani4976
    @chieframadhani497625 күн бұрын

    Baba karib.🎉kwa wanainchi utanenepa baba kunaraha zote

  • @HusseinJumahussein-lf1xk
    @HusseinJumahussein-lf1xk25 күн бұрын

    Yanga sc bingwa🙏🙏🙏🙏🏆🏆🏆

  • @SadajumaJuma-tu2dx

    @SadajumaJuma-tu2dx

    25 күн бұрын

    Nice

  • @user-qn1ot2bx8b
    @user-qn1ot2bx8b25 күн бұрын

    Mamae kocha ashaanza kumpa madini chama

  • @IsaacNkonu

    @IsaacNkonu

    24 күн бұрын

    Hahaha wapinzan wajinyonge

  • @brightontheogenes5093
    @brightontheogenes509325 күн бұрын

    The Biggest team in AFRICAA Nyie hamuogopiiii....

  • @Purity-l2v

    @Purity-l2v

    24 күн бұрын

    😂. Dah tunaogopa

  • @MohamedibakariBakari
    @MohamedibakariBakari25 күн бұрын

    Nimeuona ulafiki wa chama na msheli balaa

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi587125 күн бұрын

    Mambo ni fire pit 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo24 күн бұрын

    Asante jeshi letu Mungu akupeni afia njema amini toka zenji

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p25 күн бұрын

    Hakika Yanga Sc ni familia moja kubwa Duniani inayotuleta wote pamoja, umoja na upendo ziwe ndani ya timu yetu daima, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.

  • @user-kp7em6zt1g
    @user-kp7em6zt1g24 күн бұрын

    Jamani kumbe Chama ni handsome hivi jamani na amsemi 💛💛💛💛💛💚💛💚💛💚💛💚 siku tatu tu kanawili

  • @kisaveryraphael432
    @kisaveryraphael43225 күн бұрын

    Alooh yanga likes apa✅

  • @binmohammed7171
    @binmohammed717125 күн бұрын

    Ligue iyanze naona Makolo washaanza kunenepa

  • @zeddymourice4249

    @zeddymourice4249

    25 күн бұрын

    😂😂😂😂😂kwahiyo haitakiwa hata kanyama kaziada kaongezeke?

  • @nehemiakiswaga1819

    @nehemiakiswaga1819

    25 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😊

  • @user-zs4qz4wm2n

    @user-zs4qz4wm2n

    25 күн бұрын

    Umetutabilia mazuri ...ni mwendo wa kunenepa tu zamu yenu kukonda uto😅😅

  • @mamboshepea8888

    @mamboshepea8888

    25 күн бұрын

    @@user-zs4qz4wm2n Yanga kuna raha jamani...hadi chama katakata😅😅

  • @yassinchuwa8824

    @yassinchuwa8824

    25 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @MeryFrancey-fs4qm
    @MeryFrancey-fs4qm23 күн бұрын

    Naipenda yanga na naitakia msimu mwema one day nataman niitumikie tim yangu from kigoma

  • @OmaryzingZing-jd3xm
    @OmaryzingZing-jd3xm25 күн бұрын

    Nawatakia maandalizi mema Timu yangu ya Yanga tuchukue makombe yo tutakayo shiliki Biidhinila by Ronaldo Jr apa flom Bagamoyo❤

  • @PaulinaAndrea-tk4of

    @PaulinaAndrea-tk4of

    25 күн бұрын

    ❤❤

  • @OmaryzingZing-jd3xm

    @OmaryzingZing-jd3xm

    24 күн бұрын

    P1 kazi kazi

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma987025 күн бұрын

    MUNGU ni mwema hongera Sana nyote kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee47725 күн бұрын

    Tuliorudia kuangalia zaidi ya mara moja tujuane hapa 😂😂🔰💛💚

  • @MzeewaYanga-hm8jq

    @MzeewaYanga-hm8jq

    24 күн бұрын

    Kumbe 2ko weng😂😂😂

  • @veronicapius3476
    @veronicapius347625 күн бұрын

    Tulimiss haya mambo😊😊😊

  • @Purity-l2v

    @Purity-l2v

    24 күн бұрын

    Umeona eee❤

  • @LightMeck
    @LightMeck25 күн бұрын

    Chama na gamond 💛💛

  • @amaniomar1755
    @amaniomar175525 күн бұрын

    Endeleeni kupambana wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko

  • @bravoremy
    @bravoremy25 күн бұрын

    Yanga 🔥🔥🔥

  • @MauBonde
    @MauBonde25 күн бұрын

    Wanangu yanga nimetoka kuangalia club bingwa ulaya kuna vitu vingi vya kujifunza ,nawaaminia daima mbele,watoto wa jangwani.muhimu mapambano yaendelee zaidi ya tulipoyaacha,team work ndio njia ya mafanikio ...love u yanga.

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw25 күн бұрын

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @safiaothman7506
    @safiaothman750625 күн бұрын

    Mashallah❤❤

  • @mariaerenest5632
    @mariaerenest563225 күн бұрын

    Kumbe chama ni hesamu boy walimtesa Sana kolo

  • @neemadavid7587

    @neemadavid7587

    24 күн бұрын

    Umeona hesamu wa maan kabisa makolo hawajui kutunza kabisa😂😂😂❤

  • @cchuwa6980
    @cchuwa698025 күн бұрын

    Familia ya yanga 🧡 inaishi kwa upendo sana

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka182725 күн бұрын

    Mashaallah Alhamndulilah nakuomba M/Mungu wajaalie afya, nusra waondoshee Khusda Inshaallah

  • @zaynabhabib770
    @zaynabhabib77025 күн бұрын

    Mungu ayongoso yanga msimu ujao iwebora ndani na nje hongera sana aziz k kuendelea kubak yanga

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface119925 күн бұрын

    Asha Ngedele wanakifa 10😅

  • @levislwamba5695
    @levislwamba569525 күн бұрын

    Nawatakia kila la heri kwa msimu huu uwe msimu wa.mafanikio makubwa sana my best team in Africa , nawafatilia sana nikiwa nyumbani kwangu marekani,

  • @laizerlstvchannel
    @laizerlstvchannel25 күн бұрын

    Much ❤️

  • @angelathanas5993
    @angelathanas599325 күн бұрын

    Team ya ushindi💚💛🔥🔥

  • @mningoiman9916
    @mningoiman991625 күн бұрын

    Yanga raha saaaanaaa hiyo ndio daima mbele nyuma mwiko hiki kikosi mwaka huu kuna mtu atakimbiza timu uwanjani

  • @InnocentArchery-zi6vu
    @InnocentArchery-zi6vu24 күн бұрын

    Yanga bingwa

  • @ommykiss7049
    @ommykiss704924 күн бұрын

    Yn kila nikimuangalia chama natabasam peke yng😊

  • @neemadavid7587
    @neemadavid758724 күн бұрын

    Kwan huyu n chama au macho yng jmn❤❤

  • @BARAKAMADUHU-nf1kr
    @BARAKAMADUHU-nf1kr24 күн бұрын

    Good kudadeki anachoelezewa chama niupasuaji wa odi ya akina mama

  • @Togolay
    @Togolay24 күн бұрын

    YANGA 4 LIFE

  • @user-cv4yi5hz9b
    @user-cv4yi5hz9b24 күн бұрын

    Master gamondi🎉🎉🎉🎉💚💚🤩🤩💚🏆💪🏿✅

  • @daudimichael7338
    @daudimichael733825 күн бұрын

    Yanga inaipa hadhi kubwa sana nchi na ligi yetu Africa

  • @DejacoDejoh
    @DejacoDejoh25 күн бұрын

    Yanga ni timu kubwa Sana na msimu hujaaao sijui😂😂❤❤❤

  • @Emanuelimiyonjo
    @Emanuelimiyonjo23 күн бұрын

    Yanga tamu💛💛💚💚🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰

  • @JumaMngumba
    @JumaMngumba24 күн бұрын

    My team🎉 daima mbele nyuma mwiko💚🖤💛

  • @JamesJamesphares-db3uh
    @JamesJamesphares-db3uh25 күн бұрын

    Usajili tulio fanya uko vizuri sana naipenda yangaa❤❤

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad633125 күн бұрын

    Wachezaji wote wa YANG'A watoke TIMU LKN Kama rais wa mahiri engineer Haris bado yupo Yanga naamini TIMU Bado Moto ule ule.

  • @immaknight4414
    @immaknight441424 күн бұрын

    Fitinessss 😅😅😅😅😂😂 daima mbelee nyuma mwikooo

  • @Sumamnazalety
    @Sumamnazalety25 күн бұрын

    🎉GooD luck young african

  • @hajimgwami5224
    @hajimgwami522424 күн бұрын

    WOTE HAO KATI YA CHAMA, PACCOME NA AZIZ WATATAFUTA NAMBA LKN MAX NAMBA YAKE NI 100%, LABDA TU SIKU MECHI IWE RAHISI

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha768024 күн бұрын

    That is a real meaning of team

  • @nelsonbenitho8050
    @nelsonbenitho805024 күн бұрын

    My lovely team ever

  • @johnjames-pw1dp
    @johnjames-pw1dp24 күн бұрын

    Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆

  • @RashidAhmad-op9yi
    @RashidAhmad-op9yi24 күн бұрын

    Tuko wengi wananchi daima mbele nyuma mwiko 💚💚💚💚💚

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa120625 күн бұрын

    Gamond na Mwamba wana agenda gani😂😂😂

  • @user-mb2ln1et5w
    @user-mb2ln1et5w25 күн бұрын

    Kwahyo Tena chama anavaa jezi no 20

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba31324 күн бұрын

    Gamond bwana eti anamwambia chama "uje uwapelekee moto makolo mpaka wakuite baba wa Lusaka

  • @eliudhezron181
    @eliudhezron18125 күн бұрын

    Wakwanza leo 🎉🎉🎉🎉

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u25 күн бұрын

    Mpaka raha Yan 🍀🌼🍀🌼

  • @chollejr_
    @chollejr_24 күн бұрын

    Ivo ayo mabelt uwa mnawaza Kama mimi😂😂😂😂😂😂

  • @JohnMkumbo-e4e
    @JohnMkumbo-e4e22 күн бұрын

    Nimeipenda hii

  • @abdullahhashimu2380
    @abdullahhashimu238025 күн бұрын

    Huyu yao yao ni noma sana saninaaa

  • @DaudiIpyana
    @DaudiIpyana25 күн бұрын

    I love you yanga❤❤🎉🎉

  • @daudtegemeo
    @daudtegemeo24 күн бұрын

    Walifanya vizuri kabisa

  • @AlexIsa-e8q
    @AlexIsa-e8q25 күн бұрын

    Hatari Kwanza jez ilivo mupendeza ya wanainchi

  • @petersynto2043
    @petersynto204324 күн бұрын

    Viva mwananchi chama langu ❤❤❤

  • @Aviwamwadin-so3vy
    @Aviwamwadin-so3vy24 күн бұрын

    Hata wachezaji wetu wamempokea vizuri

  • @victornzebele3990
    @victornzebele399025 күн бұрын

    All the best my team🔰🔰🔰🏆🏆🏆🥇🥇🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @suzan4200
    @suzan420024 күн бұрын

    Hivi mmegundua sahv video zetu zinafuatiliwa sana

  • @hk_ballers
    @hk_ballers24 күн бұрын

    Dube ana aibu sana 😂

  • @RamadhaniMangwira-s6w
    @RamadhaniMangwira-s6w24 күн бұрын

    Halafu haka kawimbo kanamatumaini makubwa 😄😄kanaitwaje jamani

  • @Antelius-ew6it
    @Antelius-ew6it25 күн бұрын

    Hadi raha sana 🙏

  • @mikwilemyovela3382
    @mikwilemyovela338224 күн бұрын

    Upendo kwetu❤❤

  • @williamlilangala7826
    @williamlilangala782625 күн бұрын

    Daa hili jesh noma

  • @NyemoLucas
    @NyemoLucas24 күн бұрын

    The club above all.

  • @augustinohongoli8088
    @augustinohongoli808825 күн бұрын

    Dah sijamuona mwanangu musonda na ibra bacca😢

  • @user-nl8ec4np1t

    @user-nl8ec4np1t

    24 күн бұрын

    Afu kweli na diarra

  • @user-nl8ec4np1t

    @user-nl8ec4np1t

    24 күн бұрын

    Eh na aucho pia

  • @changigejuma7479
    @changigejuma747925 күн бұрын

    Noma sana

  • @gabapentin8070
    @gabapentin807025 күн бұрын

    😂😂😂kama naliona ilo shazi kinachoitajika ni pumzi … focus … nyoka wengi .. ma breaker😂🔥

  • @RamadhaniMangwira-s6w
    @RamadhaniMangwira-s6w24 күн бұрын

    Nakubali sana chama kubwa yanga

  • @user-em2sd9tm1n
    @user-em2sd9tm1n25 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉maua yenu mastaa wetu

  • @ArnoldRwegasira-hp9gt
    @ArnoldRwegasira-hp9gt24 күн бұрын

    All the best champions

  • @user-tf2kr5hv7z
    @user-tf2kr5hv7z25 күн бұрын

    Vzr jesh le2 la wananch

  • @FredySawani-w7m
    @FredySawani-w7m25 күн бұрын

    ❤ yanga daima

  • @JofreyYohana
    @JofreyYohana24 күн бұрын

    Makolo bado misimu mitatu kuijenga timu yao kazi wanayo😂😂

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES25 күн бұрын

    Mm mwanasimba naomba wanasimba tujitoe mapema ligi kuu la sivyo tunakuwa magori kama mvua ya Hanang😅😅😅😅

  • @frida-oi6kw

    @frida-oi6kw

    24 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-fb9wp5xe8w
    @user-fb9wp5xe8w23 күн бұрын

    Adi raha

  • @user-nn9xj3jd1v
    @user-nn9xj3jd1v25 күн бұрын

    Good tem 🎉😂❤

  • @amohmark97
    @amohmark9723 күн бұрын

    Timu kubwa inajipanga kuchukua makombe yote 🎉

Келесі