Dah hiyoo Ngoma inanikumbusha mbali kinoma #HAKUFA KWA NGOMA DO SALALEE SIKU YAKE ILISHAFIKA PEMA ALALEEE
@salehsaid4559 Жыл бұрын
Kama unauskia huu wimbo mpk saiv 2023 tujuwane kwa like nying ilitisha San
@briantieno9737
6 ай бұрын
Noumaa sanaa ngomaa inaishii sanaaa
@user-io6ey4tj6n
6 ай бұрын
Miaka mia
@nufailawerevu8890
4 ай бұрын
2024
@SebastianDaniel-es4rf
4 ай бұрын
24 Co 23😂
@cardoalbert1366
3 ай бұрын
2024
@mtikasaidi85807 жыл бұрын
ngoma inaniumiza sana nikisikiliza
@athumanisalum40116 жыл бұрын
kumbe swaiba ndo umelala jumlaa. Duuuuh swahiba mahala pema ulale my beloved swahiba. From lovely song. Swaiba Ameen
@unicemario75119 ай бұрын
Pumzika kwa aman Coster wangu, 2023 naiskiliza hii ngoma kwa hisia na uchungu mkubwa sana.nilikupenda sana ktk hii dunia lkn Mungu alikupenda zaid.😭😭😭😭😭😭
@jumannenamwette4041
6 ай бұрын
Poleeeeee
@elizabethsacri9704 ай бұрын
Hii beat ndiyo inanimaliza hapa Mr Jebby aliweza RIP bro ni kweli Dunia mapito
@AngelJulius-tz1xu29 күн бұрын
pumzika kwa aman mama angu kipenz naskiliza wimbo ambao ulikua unauskiliza wakati marehu baba kafa saivi zamu yangu mm kuuskiliza kwasababu na ww umekufa dah! endeleeni kupumzika kwa aman AMEN.
@nicholaskobelo8748 Жыл бұрын
This generation was blessed yesterday, today and tomorrow
@minsalsaleem22095 жыл бұрын
Hit kali sana aisee,dah mziki bomba....Rest in peace brother...nenda swaiba nenda,sisi tuko bado kwenye msafara.
@HarunaShabani-hy8mx10 ай бұрын
nakumbuka mbli sanaa shukran umetangulia da❤❤
@dickzompaseven57142 жыл бұрын
Daaah,, Jebby!! Endelea kupumzka kwa amani swahiba
@user-kj8bi3jr9y3 ай бұрын
Bonge moja la ngoma hili kipindi hcho nasoma kibasila primary school
@jannephermaulaga98386 жыл бұрын
R.I.P Jebby hatimaye msg ya wimbo wako imetimia.
@ramadhaniwilonja33206 жыл бұрын
Nikisikiliza uyi ngoma namkumbuka sana swahiba Jebby r.i.P
@shamilahkassimu76494 жыл бұрын
Mpotezee unayempndaaa ndyo utaonaaa umuhimuuuu waa huu wimbo your the best jebby R. I. P
@kaburamelikiadi82817 жыл бұрын
jeby Rudi kwenye game brother .hii ngoma imeturia kinoma Sana sereeeeee we kichwa yaani nakukubali kaka hauna mpinzani vina Kama kawaida
@mzeewajambo8293
5 жыл бұрын
Rip jebby
@mussajabili68363 жыл бұрын
Kama unaskiliza kwakumpoteza magu gonga like
@chujimustafa7209
Жыл бұрын
Watu tunawaza ndugu wewe unatambua muongo
@user-dy2qn2xc3x
9 ай бұрын
Tumepoteza watu wengi tunaowapenda babu sio magu tu
@felixkashangaki44856 жыл бұрын
Rest In Peace "swaiba" wetu Jebby Nyuma yako mbele yetu
@abduljembe6608 Жыл бұрын
Mungu akulaze pema wewe na swahiba wako ndugu yetu Jebby,ngoma bado inaisha na itaendelea kuishi siku zote bonge la ujumbe.
@shabaniself12405 жыл бұрын
Mungu amlaze mahalipema peponi mziki wake utadumu daima
@kabangaonline45236 жыл бұрын
I.R.P. ULIVYOZALIWA ULILIA WAKATI WATU WALIOKUZUNGUKA WANAFURAHI LAKINI LEO TUNALIA WEWE UNATABASAM. PUMNZIKA JEBBY NISIJE NIKASEMA SANA NIKAKUFURU KWA MUNGU
@mrtezura9753Ай бұрын
😢😢😢Daaa nimelia kiukwei ,nimempoteza rafkyangu tuliitana swaiba shauri ya wimbo huu 😢😢😢😢😢
@emanuelmeshack81332 жыл бұрын
Nenda baba Ester!! Nitakuenzi milele. Dahh
@maulidkarim10554 жыл бұрын
Daaah hii ngoma nlikua naickza sana nikiwa na swaahib wangu alikua akiitwa SALIM RAJAB kutoka tanga apo cku allah aliyomchukua ilikua mwaka 2012 daaa achen wanangu nlichanganyikiwa sana mpk now cjawa sawa kila nnapoickia hii ngoma yan jebby aliimba ngoma endelevu kwa kila atakae kwenda gonga like kam umemkbuka alikua swaahub zaid kwako Like tu 💖💖💖💖💖
@marryjames63795 жыл бұрын
Yupo swaiba wangu tena R I P MY DADDY 😭😭😭🙏🙏💔💔💔💔🙏🙏
@jaroufsoud1235
4 жыл бұрын
polee
@zaitunintiaz23155 жыл бұрын
Duu mdogo wangu jebby nakukumbuka na maneno yako Chini ya mti msanii hata basikeli
@user-rw7gt7fn7m10 ай бұрын
😢😢😢 r.ip mungu nijalie mwisho mwema
@paulchacha63156 ай бұрын
Nilipo mpoteza swaiba, baba yangu.. nilimwaga chozi chini.. nilijua me ni gangster Ila that day I weeped… Jebi nasikiliza huu wimbo kila nikimkumbuka
@mirajihassanisiafu23313 жыл бұрын
R.i.p magufuli😪😭😭😭
@rostapatrick24196 жыл бұрын
Roho yangu imeniuma sana, nguvu kazi zinapotea, mungu akupunguzie adhabu ya kaburi jeby mwe.
@trippleangel2 ай бұрын
Rest in peace Jebby. Allah akusamehe makosa yako na alitie nuru kabur lako😢😢 Swahiba
@robertandrea92574 жыл бұрын
rest in peace abel koke dedication kwako brother........tutakutana kaka swaibaaaa 2020
@joycepili50642 жыл бұрын
2021 bado tupo hapa, wangapi wanigongee like hapa..
@yaedlifemedia32033 жыл бұрын
MUNGU AKUPUNGUZIE ADHABU ZA KABUR PIA AKUJALIE DARAJA KUBWA LA PEPO JANNAH'T FIL'DAUS
@benjaminulanga67496 жыл бұрын
uliimba kwa ajili ya swaiba leo hiyo nyimbo inakurudia wewe ndo umekua swaiba UWEZO ULONAO WALA HAUTOSHI WAKUJIRUDISHA WEWE UJE KUISHI USIJE UKASEMA SANA UKAPATA LAANA KWANI HAYA MENGINE YA MAULANA r.i.p JEBBY
@magereubenmwakyoma7387
5 жыл бұрын
Acha tu mungu ampokee jebby🙏
@brotheralig62087 жыл бұрын
Hu ngoma Jo inanikumbusha rafiki yng marehemu,
@shubebunyesi5426 жыл бұрын
Mungu akuweke Mahala unapo staiki.... R. I. P swaiba
@shwaibubuge48533 жыл бұрын
Dah hii ngoma kila nikisikiliza namkumbuka marehem mdogoangu
@abdallahhemed35275 жыл бұрын
Allah akusamahe mazambi yako
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
Ngoma hapo kiwalani kwenye kempu 😁🙈atareee sanaaa
@bosconyangala7762 жыл бұрын
Dah sana bro
@jumabakari14836 жыл бұрын
jebby lala kwaamani kamanda tutakukumbuka sana
@yakubabdul11106 жыл бұрын
Afande sele mti wa kale ,,,heshima kwako
@hamza-sq5es4 ай бұрын
Ulipo mungu akupunguzie azabu mana ihi wimbo itaishidaima
@kedyjohn18482 жыл бұрын
RIP my cousin Peter Mapunda Kimara boy, RIP my bro wa faida Goliama Moyo - I wouldn't have made it at Lighano Seminary without you, RIP Cheyo (my boyhood friend) and your brother Nyarukiro both from Kimara, RIP na wengine nyote, tutakutana tena tu for sure.
@adinanjuma24578 жыл бұрын
hii ngoma si mchezo! nimeitafuta muda mrefu sana!
@richmahegah77406 жыл бұрын
naikubali xana hii ngoma maana haijawahi kuchuja kabisa, Rip jebby
@magereubenmwakyoma73875 жыл бұрын
Pumzika kwaamani swahiba jebby mungu akupokee katika ufalme wake 🙏
@stephenbarnaba50616 жыл бұрын
Kifo hakizoeleki Jebby umetangulia mbele ya haki sasa wewe ndo rafiki yetu na wewe umetufundisha ndugu na jamaa zetu wameshatangulia mbele ya haki kupitia song lako rafiki duuuuh Pumzika kwa amani Swahiba{Jebby}
@paulkimaro2144 жыл бұрын
kama bado unaielewa hii nyimbo had shv 2020 gonga like
@sharafiismaili64048 жыл бұрын
Jebby bonge la artist, mchango wake umeonekana. big up brooo.
@mrjaytzmkongoe6383
6 жыл бұрын
Poleni wafiwa wote
@honestymwangoka33077 жыл бұрын
big up jebby unatixha rud tena katka gem
@ayubumnola1076
6 жыл бұрын
m
@mzeewajambo8293
5 жыл бұрын
Ukisoma hiz comments inauzunisha sana
@frankditrick3109
4 жыл бұрын
Kk dah
@ndegeyae5 жыл бұрын
Remarkable song .RIP Jebby
@mwanaidiomari79412 жыл бұрын
Kitambo sanaa Hii ndo miziki
@musamziray68744 жыл бұрын
Dah! Wanayo icheki hii 2020, weka alama tukujue
@mickyplanmaker9053 Жыл бұрын
R.I.P Baba Mzazi , Uncle Silver na Marafiki zangu wafuatao; Richard Wallace Hassan Baruti Swaydou Nestory 🫡🕊️🙏
@samweljohn8213 жыл бұрын
Huu unanikumbusha mbali saana
@santusmagaiga5779 Жыл бұрын
R.I.P Khaln Abdul, Lameck sweetbert, alpadius, Gaston…..wapendwa wangu nimewamis sana 😭😭 Sawa rafiki ninao ila nyie daah 😭😭😭
@nurdinhamidu75146 жыл бұрын
Swahiiiba 😍😍
@aminamohamed94274 жыл бұрын
Allah akupunguzie adhabu ya kabri inshallah
@bintmhammad95576 жыл бұрын
Wewe mbele sisi nyuma,
@kambonamajaliwa46776 жыл бұрын
Hakika huyu jamaa alikuwa miongoni mwa watu waliokuwa wakiimba nyimbo za maadili na si mapenzi kama leo.Ebu kumbuka nyimbo zake ukiwemo huu,MAREHEMU KAACHA ORODHA,KASTORY NK daa R.I.P bro sote njia moja.Mungu akupunguzie adhabu amen!
@Bonifacemagus Жыл бұрын
Rip jebby, ila leo nimepoteza rafiki na hii nyimbo imeleta maana sana. Mpumzike kwa aman sana
@ibracadabra76876 жыл бұрын
Gone too soon bro dah! 😥😥 have fun among the stars
@bayserjr47136 жыл бұрын
Wimbo Wako Safari Yko ivo ivo RiP
@MussaEmma-kv3og Жыл бұрын
Haupo Tena duniani jebby ulikuwaga swaiba wangu
@bernardassenga13646 жыл бұрын
Swaiba umekwenda lakini hukusema kama utaondoka nenda Jebby R.I.P bro
@jameskilasa7592 жыл бұрын
Pumzika kaka yangu mpendwa swahiba kwangu askofi king baba D joshua
@barakamonyo28443 жыл бұрын
See you Kalista nitakumiss swaiba wangu
@wizbob72073 жыл бұрын
Dah uyu afaadhe sele bange kwl maana yye kasema tunakiri ku MUNGU kakupend zaid alichokifanya kw marehm hayat maguful ni mtihn...MUNGU atunusr
@ommylee7282 жыл бұрын
Daah r.i.p Dullah makabila mzichi we wangu
@jazilhamussa72316 жыл бұрын
m/mungu Akupe wepesi Katika safarii yako jebby
@gilbertmchahogo72226 жыл бұрын
Eliah Winyanya; Umeondoka mapema sana rafiki yangu sina cha kusema Mola azidi kuunganisha kwa namana ajuavyo yeye..... I have a lot to remembering you as a wonderful and grate friend. R.I.P. this song has all we have had shared together kabala hujaondoka.
@abdultaddy2729 Жыл бұрын
R.I.P John Joseph Pombe Magufuli Yesu wa wanyonge Swaiba wetu
Пікірлер: 669
Kama unauskiza huu wimbo 2024 tujuane na likes
@leonardmhagama5828
3 ай бұрын
Niko hapa naishi nayo "......nenda. Swaiba nenda mi niko kwenye msafaraaa...."
@sekelajackob2905
2 ай бұрын
Nipo
Kama unausikiliza huu Wimbo 2024 Weka like hapa 🔥🔥
Hizi ndo nyimbo mpka tutazeeka na kufa watoto wetu nao watakujazipenda cyo nyimbo za kinazuchu cjui CHAAPATI CHAAPATI ,NYOOOOO
WALIO KUJA BAHADA YAKUMPOTEZA MH AYAT MAGUFULI GONGENI LIKE TWENDE SAWA
R.I.P Dallas, Aweso, Sadam niliwapenda ila Allah Aliwapenda zaidi kila nikisikiza huu mziki nawakumbuka nyinyi tu. Laleni salama ndugi Zangu.😭😭😭
@hassanabdul6160
3 жыл бұрын
Poleee nduguuu
@peterathmanmayoka2433
2 жыл бұрын
Pole Adnan, Njia yetu sote bro
Daaa baada ya kusikliza Leo hii ngoma ndio megundua jamaa alikufa ,,pumzika kwa amani JERBY
Daa Rip nkisu mwakyoma nakukumbuka swaiba wangu umeondoka na mkeo wa watoto daaa kweli Dunia mapito.
it's almost 2024 and we're still here listen to this song
Daaaaaah! Kama masihara Nae rafiki wa Swaida kamfata swaiba wake. daaaah mbele yako nyuma yetu ulale maala pema peponi amina.
Dah jaman zamani watu wakiimba nyimbo nzuri sana tena sanaa, 2019
Swahiba 2024 bado naiskikiliza RIP JEBBY tunashukuru kwa kutuachia kazi safi 🙏🏿🙏🏿🙏🏿 hiyo ni njia yetu sote
Cjaonaa msanii kamaa afandee seleee mpkaa leooo mm talented wameishaa kbxaaaaaaaa
Pumzika kwa amani kaka jebby, nenda swahiba nenda mi nipo kwenye msafara nenda mungu akipenda ntakuona kesho akhera swahiba
Pumzikeni kwa amani ndugu GODWIN NGOWI n REGAN LYIMO. We shall meet again brothers. 🙏
@kelvinmartin5302
2 жыл бұрын
Rip chag
Kwenye kiwanda cha bongo flaver tumempoteza mtu muhimu bro Jebby r.i.p asee
@davidmbuge56
5 жыл бұрын
Sana best r I p zilla
@abeidyakuti3470
Жыл бұрын
Sana, mchizi nilikuwa namuelewa
Duuh R.I.P Jebby msalimu swaiba wako ahsante kwa ajili ya maisha yako
Jebby ulitisha mbaya bro rest in peace my broo ulibamba vilivyo kama uliikubali na unaikubali gonga like yako chini
@gracearon5998
3 жыл бұрын
Swaibaaaaa
@stephenmwanisenga7068
3 жыл бұрын
Pamoja
Hizi ndo nyimbo tunazopenda kuskia sio za wabana pua saiv hazn ujumbe km hz swahiba rip jebby
R.I.P SWAHIBA JEBBY KIJUKUU MWANA. ALLAH KAREEM ALWAYS.....
@kalingakalinga8926
5 жыл бұрын
Pumzika kwa Aman Jebby.
Swaiba,. Daaaaah japo umeondoka your song will live forever.
hawa ndyo wasanii walio utendea haki mziki wa bongo fleva. big up
@fednandnews2240
6 жыл бұрын
PHILIPO MBOGO kwel
@naymasaid7
6 жыл бұрын
R.I.P Jebby
@kaobamaabel5561
5 жыл бұрын
+Fednand Mabeyo suree
R.I.P JeBby unamwimbia swahiba wako na we umemfata!!
@fetlisheshenry2510
6 жыл бұрын
😭😭😭😭
@ibrahimmwanaidy9717
5 жыл бұрын
Raymond Amosi Dunia mapito nae kamfuata
R.I.P JEBBY... Huu wimbo ni kama ulijiimbia mwenyewe. daaaaah
R.I.P swaiba Ayoub 😢😥 Pumzika kw amani kamanda 12.5.2019 😞
R I P Swaiba 2takukumbuka kwa kazi zako.
Huu Wimbo unanikumbusha mengi sana
Dah hiyoo Ngoma inanikumbusha mbali kinoma #HAKUFA KWA NGOMA DO SALALEE SIKU YAKE ILISHAFIKA PEMA ALALEEE
Kama unauskia huu wimbo mpk saiv 2023 tujuwane kwa like nying ilitisha San
@briantieno9737
6 ай бұрын
Noumaa sanaa ngomaa inaishii sanaaa
@user-io6ey4tj6n
6 ай бұрын
Miaka mia
@nufailawerevu8890
4 ай бұрын
2024
@SebastianDaniel-es4rf
4 ай бұрын
24 Co 23😂
@cardoalbert1366
3 ай бұрын
2024
ngoma inaniumiza sana nikisikiliza
kumbe swaiba ndo umelala jumlaa. Duuuuh swahiba mahala pema ulale my beloved swahiba. From lovely song. Swaiba Ameen
Pumzika kwa aman Coster wangu, 2023 naiskiliza hii ngoma kwa hisia na uchungu mkubwa sana.nilikupenda sana ktk hii dunia lkn Mungu alikupenda zaid.😭😭😭😭😭😭
@jumannenamwette4041
6 ай бұрын
Poleeeeee
Hii beat ndiyo inanimaliza hapa Mr Jebby aliweza RIP bro ni kweli Dunia mapito
pumzika kwa aman mama angu kipenz naskiliza wimbo ambao ulikua unauskiliza wakati marehu baba kafa saivi zamu yangu mm kuuskiliza kwasababu na ww umekufa dah! endeleeni kupumzika kwa aman AMEN.
This generation was blessed yesterday, today and tomorrow
Hit kali sana aisee,dah mziki bomba....Rest in peace brother...nenda swaiba nenda,sisi tuko bado kwenye msafara.
nakumbuka mbli sanaa shukran umetangulia da❤❤
Daaah,, Jebby!! Endelea kupumzka kwa amani swahiba
Bonge moja la ngoma hili kipindi hcho nasoma kibasila primary school
R.I.P Jebby hatimaye msg ya wimbo wako imetimia.
Nikisikiliza uyi ngoma namkumbuka sana swahiba Jebby r.i.P
Mpotezee unayempndaaa ndyo utaonaaa umuhimuuuu waa huu wimbo your the best jebby R. I. P
jeby Rudi kwenye game brother .hii ngoma imeturia kinoma Sana sereeeeee we kichwa yaani nakukubali kaka hauna mpinzani vina Kama kawaida
@mzeewajambo8293
5 жыл бұрын
Rip jebby
Kama unaskiliza kwakumpoteza magu gonga like
@chujimustafa7209
Жыл бұрын
Watu tunawaza ndugu wewe unatambua muongo
@user-dy2qn2xc3x
9 ай бұрын
Tumepoteza watu wengi tunaowapenda babu sio magu tu
Rest In Peace "swaiba" wetu Jebby Nyuma yako mbele yetu
Mungu akulaze pema wewe na swahiba wako ndugu yetu Jebby,ngoma bado inaisha na itaendelea kuishi siku zote bonge la ujumbe.
Mungu amlaze mahalipema peponi mziki wake utadumu daima
I.R.P. ULIVYOZALIWA ULILIA WAKATI WATU WALIOKUZUNGUKA WANAFURAHI LAKINI LEO TUNALIA WEWE UNATABASAM. PUMNZIKA JEBBY NISIJE NIKASEMA SANA NIKAKUFURU KWA MUNGU
😢😢😢Daaa nimelia kiukwei ,nimempoteza rafkyangu tuliitana swaiba shauri ya wimbo huu 😢😢😢😢😢
Nenda baba Ester!! Nitakuenzi milele. Dahh
Daaah hii ngoma nlikua naickza sana nikiwa na swaahib wangu alikua akiitwa SALIM RAJAB kutoka tanga apo cku allah aliyomchukua ilikua mwaka 2012 daaa achen wanangu nlichanganyikiwa sana mpk now cjawa sawa kila nnapoickia hii ngoma yan jebby aliimba ngoma endelevu kwa kila atakae kwenda gonga like kam umemkbuka alikua swaahub zaid kwako Like tu 💖💖💖💖💖
Yupo swaiba wangu tena R I P MY DADDY 😭😭😭🙏🙏💔💔💔💔🙏🙏
@jaroufsoud1235
4 жыл бұрын
polee
Duu mdogo wangu jebby nakukumbuka na maneno yako Chini ya mti msanii hata basikeli
😢😢😢 r.ip mungu nijalie mwisho mwema
Nilipo mpoteza swaiba, baba yangu.. nilimwaga chozi chini.. nilijua me ni gangster Ila that day I weeped… Jebi nasikiliza huu wimbo kila nikimkumbuka
R.i.p magufuli😪😭😭😭
Roho yangu imeniuma sana, nguvu kazi zinapotea, mungu akupunguzie adhabu ya kaburi jeby mwe.
Rest in peace Jebby. Allah akusamehe makosa yako na alitie nuru kabur lako😢😢 Swahiba
rest in peace abel koke dedication kwako brother........tutakutana kaka swaibaaaa 2020
2021 bado tupo hapa, wangapi wanigongee like hapa..
MUNGU AKUPUNGUZIE ADHABU ZA KABUR PIA AKUJALIE DARAJA KUBWA LA PEPO JANNAH'T FIL'DAUS
uliimba kwa ajili ya swaiba leo hiyo nyimbo inakurudia wewe ndo umekua swaiba UWEZO ULONAO WALA HAUTOSHI WAKUJIRUDISHA WEWE UJE KUISHI USIJE UKASEMA SANA UKAPATA LAANA KWANI HAYA MENGINE YA MAULANA r.i.p JEBBY
@magereubenmwakyoma7387
5 жыл бұрын
Acha tu mungu ampokee jebby🙏
Hu ngoma Jo inanikumbusha rafiki yng marehemu,
Mungu akuweke Mahala unapo staiki.... R. I. P swaiba
Dah hii ngoma kila nikisikiliza namkumbuka marehem mdogoangu
Allah akusamahe mazambi yako
Ngoma hapo kiwalani kwenye kempu 😁🙈atareee sanaaa
Dah sana bro
jebby lala kwaamani kamanda tutakukumbuka sana
Afande sele mti wa kale ,,,heshima kwako
Ulipo mungu akupunguzie azabu mana ihi wimbo itaishidaima
RIP my cousin Peter Mapunda Kimara boy, RIP my bro wa faida Goliama Moyo - I wouldn't have made it at Lighano Seminary without you, RIP Cheyo (my boyhood friend) and your brother Nyarukiro both from Kimara, RIP na wengine nyote, tutakutana tena tu for sure.
hii ngoma si mchezo! nimeitafuta muda mrefu sana!
naikubali xana hii ngoma maana haijawahi kuchuja kabisa, Rip jebby
Pumzika kwaamani swahiba jebby mungu akupokee katika ufalme wake 🙏
Kifo hakizoeleki Jebby umetangulia mbele ya haki sasa wewe ndo rafiki yetu na wewe umetufundisha ndugu na jamaa zetu wameshatangulia mbele ya haki kupitia song lako rafiki duuuuh Pumzika kwa amani Swahiba{Jebby}
kama bado unaielewa hii nyimbo had shv 2020 gonga like
Jebby bonge la artist, mchango wake umeonekana. big up brooo.
@mrjaytzmkongoe6383
6 жыл бұрын
Poleni wafiwa wote
big up jebby unatixha rud tena katka gem
@ayubumnola1076
6 жыл бұрын
m
@mzeewajambo8293
5 жыл бұрын
Ukisoma hiz comments inauzunisha sana
@frankditrick3109
4 жыл бұрын
Kk dah
Remarkable song .RIP Jebby
Kitambo sanaa Hii ndo miziki
Dah! Wanayo icheki hii 2020, weka alama tukujue
R.I.P Baba Mzazi , Uncle Silver na Marafiki zangu wafuatao; Richard Wallace Hassan Baruti Swaydou Nestory 🫡🕊️🙏
Huu unanikumbusha mbali saana
R.I.P Khaln Abdul, Lameck sweetbert, alpadius, Gaston…..wapendwa wangu nimewamis sana 😭😭 Sawa rafiki ninao ila nyie daah 😭😭😭
Swahiiiba 😍😍
Allah akupunguzie adhabu ya kabri inshallah
Wewe mbele sisi nyuma,
Hakika huyu jamaa alikuwa miongoni mwa watu waliokuwa wakiimba nyimbo za maadili na si mapenzi kama leo.Ebu kumbuka nyimbo zake ukiwemo huu,MAREHEMU KAACHA ORODHA,KASTORY NK daa R.I.P bro sote njia moja.Mungu akupunguzie adhabu amen!
Rip jebby, ila leo nimepoteza rafiki na hii nyimbo imeleta maana sana. Mpumzike kwa aman sana
Gone too soon bro dah! 😥😥 have fun among the stars
Wimbo Wako Safari Yko ivo ivo RiP
Haupo Tena duniani jebby ulikuwaga swaiba wangu
Swaiba umekwenda lakini hukusema kama utaondoka nenda Jebby R.I.P bro
Pumzika kaka yangu mpendwa swahiba kwangu askofi king baba D joshua
See you Kalista nitakumiss swaiba wangu
Dah uyu afaadhe sele bange kwl maana yye kasema tunakiri ku MUNGU kakupend zaid alichokifanya kw marehm hayat maguful ni mtihn...MUNGU atunusr
Daah r.i.p Dullah makabila mzichi we wangu
m/mungu Akupe wepesi Katika safarii yako jebby
Eliah Winyanya; Umeondoka mapema sana rafiki yangu sina cha kusema Mola azidi kuunganisha kwa namana ajuavyo yeye..... I have a lot to remembering you as a wonderful and grate friend. R.I.P. this song has all we have had shared together kabala hujaondoka.
R.I.P John Joseph Pombe Magufuli Yesu wa wanyonge Swaiba wetu